×

Habari

BARABARA STENDI YA MAKUMBUSHO KIVUTIO!

  MIUNDOMBINU ya barabara iliyokuwa korofi katika eneo la kuingia stendi ya Makumbusho jijini Dar na mitaa mingine inayozunguka stendi...

READ MORE

WAPINZANI WA SIMBA KUTUA KESHO

  Klabu ya Simba inatarajia kucheza mchezo wake wa Kombe la Shirikisho dhidi ya klabu ya Al Masry kutoka nchini...

READ MORE

Mr Nice Aipongeza BASATA

MKONGWE wa Bongo Fleva aliyetamba miaka ya 2000 kwa staili yake ya Takeu, Lukas Mkenda ‘Mr Nice’ amefunguka na kuwaasa...

READ MORE

Shule ya Miti Iliyompa Wakati Mgumu Nape Nnauye – VIDEO

  MBUNGE wa Jimbo la Mtama, Nape Nauye amefanya mabadiliko makubwa kwa muda wa miaka miwili na nusu katika jimbo...

READ MORE

NAPE ‘KUWAPIGA’ WANAOBORONGA MRADI WA MAJI MTAMA – VIDEO

MBUNGE wa Jimbo la Mtama  mkoani Lindi, Nape Moses Nnauye amesema atawashtaki bungeni wakandarasi wanaotekeleza mradi wa maji jimboni kwake...

READ MORE

Msako wa Wahalifu Dodoma, Gari Lanaswa na Mabati – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Giles Mroto amesema kuwa jeshi hilo limefanya operesheni ya kusaka wahalifu na kufanikiwa kunasa...

READ MORE

Mgonjwa Apasuliwa Ubongo Kimakosa

  WAZIRI wa Afya Kenya, Sicily Kariuki ampa likizo ya lazima Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta, Lily Koros...

READ MORE

Chadema Yamsimamisha Kazi Mwenyekiti wa Bavicha

HALI si shwari ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya chama hicho kuchukua hatua...

READ MORE

SIMANZI: KICHANGA CHATUPWA CHOONI NA MAMA YAKE – VIDEO

Ukistaajabu ya Musa Utayaona ya Firauni!, hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio la kustaajabisha lililotokea hivi karibuni ambapo mama anadaiwa...

READ MORE

Wahamiaji Haramu Watano Mbaroni – VIDEO

Wahamiaji haramu watano ambao ni raia wa Somali wamekamatwa, Wilaya ya Tunduma mkoani Mbeya wakiwa katika nyumba ya mama mmoja...

READ MORE

BAADA YA AKWILINA KUZIKWA, DENTI MWINGINE DAR AUAWA KINYAMA!

  WAKATI ripoti ya uchunguzi wa kipolisi juu ya mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Usafi...

READ MORE

MAKONDA AFANIKISHA SAFARI NA MATIBABU YA AHMED ALBAITY CHINA

NDOTO na shauku ya kijana Ahmed Albaity alieteseka kwa zaidi ya Miaka 10 Kitandani kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu...

READ MORE

Mtanzania Auawa Afrika Kusini

RAIA wa Tanzania aliyekuwa mwanafunzi wa Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Chuo Kikuu cha Johannesburg (UJ) nchini Afrika Kusini, Baraka...

READ MORE

Yanga Wapelekwa kwa Babu Singida, Kazi Ipo!

Droo ya upangaji wa timu zitakazokuwa zinacheza hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho imefanyika asubuhi ya leo katika...

READ MORE

Gari Lateketea kwa Moto Dar – Video

GARI dogo limeteketea kwa moto leo Ijumaa, Machi 2, 2018 asubuhi katika maeneo ya Ukonga Banana kwenye barabara ya kuelekea...

READ MORE

WASTARA, MAMA SOPHIA: ASANTENI SANA GLOBAL

KAMPUNI ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Amani, Risasi na Ijumaa Wikienda imekuwa ikifanya kazi kubwa ya...

READ MORE

Viongozi ACT Wazalendo Wahamia CCM, Wamlipua Zitto – Video

VIONGOZI kadhaa wa chama cha ACT Wazalendo na wanachama wao wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Rufaa ya Sugu na Masonga Yapokelewa Mahakama Kuu

  Rufaa ya kupinga hukumu ya kifungo cha mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda...

READ MORE

Mvua Zang’oa Daraja la Kivule, Ilala

DARAJA la Kivule lililopo eneo la Sirari Wilaya ya Ilala limekatika kutokana na mvua zilizoanza kunyesha jana jijini Dar es...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO IJUMAA, MACHI 2, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Machi 2, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

BREAKING: Daladala Yagonga Magari Mawili Temeke – Video

AJALI mbaya ya gari imetokea leo Machi 1, 2018, maeneo ya Temeke, baada ya basi ya abiria (Daladala) aina ya...

READ MORE

WASHINDI SPOTI HAUSI WAJINYAKULIA ZAWADI ZAO KUTOKA TECNO – VIDEO

  KIPINDI bora na maarufu cha michezo kinachorushwa kila Alhamisi saa 10:00 kupitia YouTube Channel ya Global TV Onlione, SpotiHausi...

READ MORE

Benki ya NMB yazindua tawi jipya Kigamboni 

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa (wa tatu kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tawi jipya la Benki ya...

READ MORE

SERIKALI YATOA BILIONI 1.92 KUBORESHA AFYA NANYAMBA  

    SERIKALI imepeleka sh. bilioni 1.92 katika Halmashauri ya Mji wa Nanyamba wilayani Mtwara kwa ajili ya ujenzi na...

READ MORE

HUU NDIYO UKWELI KUHUSU KUNYONGWA KWA JACK PATRICK, BINTI KIZIWI CHINA

  DAR ES SALAAM: Wakati Wabongo Baraka Malali na mkewe, Ashura Mussa wakazi wa Magomeni jijini Dar wakisubiri hukumu ya...

READ MORE

MWALIMU AKAMATWA KWA KUZINI NA KIVULANA

    STEPHANIE PETERSON (26) mwalimu wa kike wa shule ya msingi huko New Syma, Florida, Marekani,  amekamatwa wiki hii...

READ MORE

Wastara Arejea Kutoka India kwa Matibabu, Yuko Fiti – Video

MSANII wa Bongo Movie, Wastara Juma amerejea Tanzania leo Alhamisi, Machi 1, 2018 akitokea  India alikokuwa akitibiwa mguu na mgongo...

READ MORE

RATIBA YA TRA ELIMU KWA MLIPA KODI NCHINI KWA MWEZI MACHI

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) wametoa ratiba ya wiki ya elimu kwa mlipa kodi nchini kuanza tarehe 5 hadi 9...

READ MORE

Karia Azichimba Mkwara Simba, Yanga SC

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ametamka kuwa hataruhusu klabu yoyote kucheza Ligi Kuu Bara kama itakuwa haijawakatia bima...

READ MORE

Shilole Ahukumiwa kwa Utapeli, Mahakama Kukamata Mali Zake! – Video

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 14 na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya...

READ MORE

Breaking News: Mlipuko Watokea Mahakama Ya Kisutu

Mahakama ya Kisutu imekumbwa na hitilafu ya umeme leo baada ya mvua kunyesha na kusababisha mlipuko na sintofahamu mahakamani hapo....

READ MORE

TANZIA: NYOTA WA ZAMANI WA SIMBA SC AFARIKI DUNIANI

MCHEZAJI nyota wa zamani wa Simba, Urther Mambeta amefariki dunia jana jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda...

READ MORE

MPAKA HOME: MUME WA MAREHEMU RECHO HAULE ATOBOA SIRI NZITO (VIDEO)

MUME wa aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo, marehemu Recho Haule, Saguda George amefunguka siri nzito juu ya maisha yake...

READ MORE

Rwanda: Makanisa 714 na Msikiti Vyafungwa

  KIGALI, RWANDA: Serikali imeyafunga makanisa 714 na msikiti mmoja kwa kukosa kutimiza masharti yaliyowekwa ya usafi,  usalama na makelele...

READ MORE

Rais Shein Apangua Baraza la Mawaziri, Aongeza Wizara

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Ali Mohamed Shein amefanya mabadiliko katika Baraza la Mapinduzi huku...

READ MORE

CDF Mabeyo Awatahadharisha Watanzania

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo amewahadharisha Watanzania na kuwataka wajiepushe na vitendo vinavyoweza kutishia...

READ MORE

GIGY MONEY: NIMEKUA, NAACHA UTOTO!

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kwa sasa ameachana na mambo ya kitoto ili...

READ MORE

Tanzania Yazikana Meli za Korea Kaskazini

WAZIRI wa Mambo ya Nje, Dk. Augustine Mahiga amewafahamisha  mabalozi wa nchi tano ambazo ni wajumbe wa kudumu wa baraza...

READ MORE

MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA KOROSHO TANDAHIMBA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo ametembelea kiwanda cha korosho kilichopo Tandahimba, mkoani Mtwara ambapo amejionea jinsi uzalishaji na utayarishaji wa...

READ MORE

Maandamano Yamponza Lwakatare

MBUNGE wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo...

READ MORE