×

Habari

Bungeni, Dodoma: Chenge Awatibua Upinzani, Wasusa

  IKIWA ni kikao cha kwanza cha mkutano wa 10 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Raila Odinga Ajiapisha Kuwa ‘Rais wa Wananchi wa Kenya’

KIONGOZI wa upinzani Raila Odinga (NASA) ameapishwa kuwa ‘Rais wa Wananchi’ wa Kenya licha ya kugomea uchaguzi mkuu wa marudio...

READ MORE

Kisa Odinga, Vituo Vikubwa vya Habari Vyafungiwa Kenya

  BAADHI ya vituo vikubwa vya redio na televisheni vya Royal Media Services (RMS), vikiwemo runinga ya Citizen TV, vimefungiwa...

READ MORE

KISUTU: Yaliyojiri Kortini Kesi ya Jamii Media

KESI namba 457 ya Jamhuri dhidi ya JamiiForums (inayohusu Kampuni za CUSNA Investment & Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi katika...

READ MORE

LIVE UPDATES: Hali Ilivyo Kenya, ‘Raila Odinga Akijiapisha Kuwa Rais’

 NAIROBI: Hali ya wasiwasi imetanda nchini Kenya baada ya kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo Bwana Raila Odinga, kushikilia...

READ MORE

BREAKING NEWS: NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE – Video

Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 30, 2018, limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE)...

READ MORE

Kwenye Kampeni, Tuepuke Kauli Mbaya,Uchochezi

KWANZA kabisa naomba mimi na wewe msomaji wangu tumshukuru Mungu kwa kutufanya leo tuwe tunapumua. Mimi nina afya njema hakika...

READ MORE

Si Kweli Kwamba Kinyonga Huwa Anapasuka Ili Kuzaa

 WIKI hii kwenye Ndondoo za Mnyama ninamzungumzia kinyonga ambaye wengi wanamfahamu kutokana na sifa yake ya kubadilikabadilika rangi na mwendo...

READ MORE

Ajali Mbaya: Basi Lenye Abiria Lateketea

  ABIRIA waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Tahmeed wamenusurika kupoteza maisha baada ya basi hilo aina ya Yutong kuteketea moto leo mchana...

READ MORE

Makonda Aanza Kusikiliza Kero za Waliodhulumiwa Nyumba – Video

MKUU wa Mkoa wa Dares Salaam, Paul Makonda, leo ameanza kusikiliza kero mbalimbali zinazohusu masuala ya migogoro ya ardhi  na...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Akutana na Dkt. Slaa Ikulu -Video

  RAIS Dkt. John Magufuli amempongeza Balozi mteule Dkt. Wilbrod Slaa kwa moyo wake wa kizalendo wa kukubali kwenda kuiwakilisha...

READ MORE

BREAKING: Dkt. Malisa Awalipua CHADEMA, CCM Uchaguzi Kinondoni – Video

  MGOMBEA Ubunge katika Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya TLP, Dkt. Godfrey Malisa amewataka wananchi wa wa Jimbo hilo...

READ MORE

Naibu Spika Dk Tulia apokea msaada kwa watoto wenye uhitaji maalumu

  NAIBU Spika Tulia Akson amepokea msaada wa vifaa mbalimbali kutokea kwa Taasis ya Human Relief kwa ajili ya kuwasaidia...

READ MORE

Msikiti wa Kisasa Kujengwa Chanika

MWAKILISHI wa Masjid Rahman kutoka nchini Oman, Nasr Al Jahadhamy, amesema kuwa atajenga msikiti mkubwa katika eneo la Zingiziwa-Chanika nje...

READ MORE

Magufuli Ahudhuria Msiba wa Jaji Kisanga Oyster Bay

Rais John Magufuli na mkewe Mama Janeth leo wamefika nyumbani kwa marehemu Jaji Robert Kisanga kutoa pole kutokana na kifo...

READ MORE

Rais Magufuli Asali Ibada Ya Jumapili Katika Kanisa Katoliki MT. Petro

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo ameshiriki Sakramenti Takatifu katika Ibada ya jumapili iliyofanyika...

READ MORE

POWER ON FITNESS GYM YAUKARIBISHA MWAKA 2018 KWA MBWEMBWE

  Power on Fitness Gym iliyopo Mwenge, Kinondoni jijini Dar es Salaam imeukaribisha mwaka 2018 kwa staili ya kipekee ambapo...

READ MORE

Changamkia Fursa Kutoka Global TV Ripota

  Je Una Smartphone? Simu yako inaweza kupiga Video?Kama jibu ni ndiyo changamkia fursa hii sasa njoo pamoja na simu...

READ MORE

MAKONDA AMWAGA MACHOZI MBELE YA FAMILIA ILIYOTAPELIWA NYUMBA  

Mkuu wa  Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kushoto) akiambatana na wanafamilia inayodaiwa kutapeliwa nyumba yao baada ya kuwatembelea ...

READ MORE

GLOBAL HABARI: CHADEMA, CCM WAZINDUA RASMI KAMPENI!

GLOBAL HABARI: Taarifa ya Habari Kutoka Global TV

READ MORE

Lowassa, Mbowe, Sumaye Wamuombea Kura Mwalimu

VIONGOZI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ngazi ya Taifa wakiongozwa na mwenyekiti wao, Freeman Mbowe wamemuombea ridhaa ya...

READ MORE

ERIC SHIGONGO AZUNGUMZA NA WANAFUNZI MUHIMBILI – VIDEO

Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group na mhamasishaji maarusu Afrika Mahsriki na Kati, Eric Shigongo amefanya mkutano na wanafunzi...

READ MORE

Mwigulu Aongoza Jahazi la CCM Kumuombea Kura Mtulia

MBUNGE wa Iramba Magharibi, Singida na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameongoza jahazi la makada, wanachama...

READ MORE

Wanahabari Global Wapigwa Msasa

WAHARIRI na waandishi waandamizi kutoka Kampuni ya Global Publishers wamepewa semina ya kuboresha ufanisi wa kazi zao, somo lililotolewa leo...

READ MORE

IGP Sirro Asema Vijana 60 wa Tanzania Wamekamatwa Msumbiji

Mkuu wa Jeshi la Polisi, (IGP) Simon Sirro amekuatana na viongozi wa dini leo na kuzungumza na vyombo vya habari...

READ MORE

Trump Uso kwa Uso na Rais Kagame, Atuma Salamu Afrika

RAIS wa Marekani, Donald Trump amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Rwanda Paul Kagame ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja...

READ MORE

OLDUVAI GORGE: HUYU NDIYE FARU FAUSTA, MKONGWE KULIKO WOTE

  KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeipongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwa kazi nzuri...

READ MORE

Mke wa Deo Filikunjombe, Waziri Mambo Hadharani

Mambo ni moto! Ubuyu ulionyooka uliolifikia gazeti hili unadai kuwa, waziri mmoja mchapakazi (jina tunalihifadhi kwa sasa), anadaiwa kurithi mikoba...

READ MORE

Halotel Yatoa Mil. 50, Kuunga Mkono Juhudi za Makonda

  KAMPUNI ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Halotel, imeunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

WASTARA: “Nilitetemeka, MAGUFULI ni Mkali, Anaijua Sauti Yangu Vizuri”

Msanii wa Bongo Muvi, Wastara Juma, amesema kuwa hakuamini baada kupigiwa simu na Rais John Pombe Magufuli ili kumjulia hali...

READ MORE

GLOBAL HABARI: JPM, MAMA JANETH WAMPA WASTARA MIL 15 ZA MATIBABU

Rais John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wamechangia Sh. milioni 15 kwa ajili ya matibabu ya msanii Wastara Juma...

READ MORE

Museveni Akubaliana Na Trump ‘Kuwananga’ Waafrika

RAIS Yoweri Museveni wa Uganda amesema anampenda Rais wa Marekani, Donald Trump, kwa kusema ukweli baada ya kuzishambulia baadhi ya...

READ MORE

MAAJABU: OPRAH ANA MIKONO MITATU, MWIGIZAJI MIGUU MITATU!

JARIDA maarufu nchini Marekani la Vanity Fair linalobeba habari za utamaduni, fasheni na matukio ya sasa na kuchapishwa na kampuni...

READ MORE

Walichokisema Lowassa, Membe Msibani kwa Gwajima – Video

WANASIASA nguli nchini, Edward Lowassa na Bernad Membe, kwa nyakati tofauti wametoa maneno ya faraja kwa Askofu wa Kanisa la...

READ MORE

JPM, Mama Janeth Wampa Wastara Mil 15/= Za Matibabu (Video)

RAIS John Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wamechangia Sh. milioni 15 kwa ajili ya matibabu ya msanii Wastara Juma...

READ MORE