×

Habari

Linah, Petit Man Live!

AMA kweli mastaa hawaishiwi vimbwanga! Hayo yalidhihirika usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita baada ya staa wa kike wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Trump Ampa Mwaliko Kenyatta

SERIKALI ya Kenya chini ya Rais Uhuru Kenyatta imepokea mwaliko kutoka nchini Marekani kuhudhuria katika hafla ya kuwashukuru kwa kuendeleza...

READ MORE

Watoto Walivyosherehekea Krismasi Dar Live

  KATIKA kusherehekea sikukuu ya Krismasi watoto jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake leo wamesherehekea kwa furaha kubwa katika...

READ MORE

Malawi Yaichapa Tanzania Soka la Ufukweni

Timu ya Tanzania Bara kwa mchezo wa Beach Soka imefungwa mabao 7-6 na Malawi katika mchezo wa kwanza uliopigwa kwenye...

READ MORE

Breakings: Mwenyekiti wa CCM Mkoa Apata Ajali na Familia Yake

AJALI: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Juma Kilimba amepata ajali ya gari lake kupinduka leo akiwa na familia yake,...

READ MORE

Baba Mzazi Aliyenaswa Gesti na Mwanaye wa Kumzaa Kimenuka!

KIMENUKA! Fadhil Mshamu, mkazi wa Kibaha mkoani hapa anakula Krismasi na Mwaka Mpya wa 2018, akiwa na stresi kufuatia kusomewa...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo… Global Publishers Instagram Inakupa Zawadi ya X-Mass Bureee!

Ladies and Gentlemen!!!🔥 Leo ndio leooooooo!! Katika Kuhakikisha Tunasheherekea na Wewe Sikukuu ya 🎄X-MaX🎄….. Leo Desemba 25….. Nafasi za Kujishindia...

READ MORE

Muuza Bangi Aingia Kimakosa Ndani ya Gari la Polisi Akidhani ni Teksi

MTU mmoja anayedaiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya amejikuta akipata wakati mgumu katika kipindi hiki cha Sikukuu ya...

READ MORE

Ibada ya Misa ya Takatifu, Sikukuu ya X-Mass, Kanisa katoliki la Mt. Petro – Oyster Bay

Ibada ya Sikukuu ya Christmas, Parokia ya Mt. Peter- Oyster Bay

READ MORE

Sikukuu ya X-Mass… Neno la Rais Magufuli kwa Watanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kuwatakia heri Watanzania wote katika kusherehekea siku...

READ MORE

Rais Aachiwa Gerezani kwa Msamaha wa Rais Mwenzake

Rais wa zamani wa Peru, Alberto Fujimori ameachiwa huru kwa msamaha wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Pedro Pablo...

READ MORE

Msagasumu Vs Man Fongo, Pembeni Gigy Money… Hapatoshi Dar Live Leo!

DARR-RRR eeee salaa-aam! Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa pande zote za jiji na viunga vyake, hatimaye...

READ MORE

Majaliwa Avunja Mfuko wa Kuendeleza Pamba, Aagiza Wahusika Wachunguzwe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameuvunja Mfuko wa Wakfu wa Kuendeleza zao la Pamba (CDTF) na amegiza wahusika wote wachunguzwe ili...

READ MORE

Ujenzi wa Hospitali Ya Wilaya Arusha Wazinduliwa

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amezindua ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Arusha mjini katika eneo la Njiro...

READ MORE

Shein Awapa Kila Mmoja Kiwanja, Sh. Milioni Tatu Zanzibar Heroes

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein ametoa zawadi ya kiwanja kwa kila mchezaji...

READ MORE

Mbarawa: Ukitozwa Nauli Isiyo Rasmi Ripoti Vyombo Husika

  WAZIRI wa Kazi, Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, pamoja na kuwatakia Watanzania heri ya sikukuu ya Chrismas na...

READ MORE

Mwigulu Ataja Sababu Za Upinzani Kugomea Uchaguzi

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amezindua kampeni za Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi mdogo jimbo la Longido unaotarajiwa...

READ MORE

Salamu za Krismas na Mwaka Mpya 2018 Kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM)

CHAMA Cha Mapinduzi kinakutakia Sikukuu njema ya Krismas na Mwaka Mpya 2018.

READ MORE

Jenerali wa jeshi aliyemng’oa Mugabe sasa ni naibu wa Zanu-PF

Jenerali wa Zimbabwe, aliyeongoza mapinduzi yaliyopelekea Robert Mugabe kuondoshwa madarakani, ameteuliwa kuwa naibu kiongozi wa chama tawala cha ZANU-PF. Uteuzi...

READ MORE

Basi la Abiria Likiendeshwa na Kijana wa Miaka 16 Latumbukia Mtoni na Kuua 32

Basi lililokua na abiria 50 nchini India limeanguka katika daraja moja na kuwaua takriban watu 32 lilipoingia katika maji Kaskazini...

READ MORE

Breaking News: Omog Afungashiwa Virago Simba

KLABU ya Simba leo Desemba 32, 2017 imeamua kuvunja mkataba na kocha wake mkuu, Joseph Omog ikiwa ni takribani siku...

READ MORE

Abiria Dar Walia Kukosekana kwa Usafiri Ubungo Msimu wa Sikukuu

  LICHA ya kuongezwa kwa mabasi yaliyokuwa  yakitoa huduma zake ndani ya Jiji la Dar es Salaam  yaliyopewa vibali vya...

READ MORE

Spika Ndugai Aikosoa Serikali Upangaji wa Vituo vya Kazi kwa Walimu Wapya

DODOMA: Spika wa Bunge, Job Ndugai amekosoa mpango wa TAMISEMI kuwapangia walimu wapya vituo vya kazi moja kwa moja akisema...

READ MORE

EFM REDIO YASHEHEREKEA SIKUKUU YA KRISMASI NA WASIKILIZAJI WAKE

Makapu ya sikukuu yakiwa tayari kukabidhiwa kwa washindi. Washindi wa kapu la sikukuu wakiwa katika picha ya pamoja na zawadi...

READ MORE

KAHAMA: Acacia Yatangaza Kupunguza Wafanyakazi 3,000

KAMPUNI ya Uchimbaji Madini ya ACACIA imetangaza kupunguza wafanyakazi wake zaidi ya 3,000. Hatua hiyo imesababishwa na gharama za uendeshaji...

READ MORE

MOROGORO: Mwanamke Ajifungua Mapacha Wanne

MWANAMKE mmoja mkazi wa Mkoa wa Morogoro, Asha Mashaka amejifungua watoto mapacha wanne katika Wodi ya Wazazi ya Hospitali ya...

READ MORE

Video: Ajali Mbaya! Gari Lavunja Duka la Nguo Dar na Kujeruhi

GARI aina ya Toyota Spacio T945 DHD limezua kizaazaa baada ya kuvunja duka la nguo la Jordan Store Collection lililopo...

READ MORE

Lulu Diva: Sijaumia Belle 9 Kuoa

MSANII anayefanya poa kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ambaye kipindi cha nyuma aliwahi kuweka wazi hisia...

READ MORE

Breaking: Askari Mwingine wa JWT Aliyeshambuliwa DRC Afariki Dunia

ASKARI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) aliyekuwa katika Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha Kulinda Amani...

READ MORE

Ubungo: Usafiri wa Abiria Waenda Mikoani ni Kizungumkuti

KUFUATIA msimu wa sikukuu ambapo watu wengi husafiri kuelekea mikoani kwa ajiri ya kwenda kusherehekea sikukuu hizo na ndugu jamaa...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukutwa na Magamba ya Kakakuona na Nyama ya Simba

JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Ngerezya Chamukaga mkazi wa Kijiji cha Kanyara wilaya ya Sengerema kwa kukutwa na...

READ MORE

Nabii Amnunulia Binti Yake wa Miaka 4 Gari la Mil. 926

NABII wa Kanisa la Enlightened Christian Gathering, Shepherd Bushiri, amemfanyia sapraizi mwanayae wa kike, Israella Bushiri mwenye umri wa miaka...

READ MORE

Mali za CCM Zamfikisha Kortini Mwenyekiti UVCCM

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha, Lengai Ole Sabaya ambaye amesema alifunguliwa kesi nne kwa sababu ya kutetea mali...

READ MORE

MANISPAA UBUNGO YAPONGEZWA KUJENGA SHULE YA SEKONDARI

Waziri Suleiman Jafo akiangalia vyumba vya madarasa ya Sekondari ya Mavulunza leo.     MANISPAA ya Ubungo imepongezwa na Waziri...

READ MORE

Jafo Ataka Soko la Mabibo Lijenge Miundombinu Bora

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Suleiman Jafo, ametembelea soko...

READ MORE

Aliyetajwa na JPM Kukamatwa na Mabilioni Airport, Afikishwa Mahakamani

IKIWA ni takribani siku 9 baada ya Rais Dkt. John Magufuli kubainisha kukamatwa kwa mtu aliyekuwa akiingiza nchini kiasi kikubwa...

READ MORE

Mabinti Wanaswa Wizi wa Pikipiki, Sare za Jeshi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu watatu, wakiwemo mabinti wawili wa miaka 19,  kwa tuhuma...

READ MORE

Rugemarila Azua Mapya Sakata la Escrow, Sasa Kumtaja Mwizi wa Fedha za Escrow

MFANTABIASHARA hara James Rugemarila anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji fedha ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Kim Jong Un: Marufuku Kunywa, Kuimba Korea Kaskazini Wakati wa Krismasi

RAIS Kim Jong Un wa Korea ya Kaskazini amepiga marufuku kuimba, kunywa vileo na kufanya mikusanyiko ya aina yote nchini...

READ MORE

Lissu: Bado Nina Risasi Moja Mwilini

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema mwili wake bado una risasi moja licha ya kutolewa nyingine 15, huku...

READ MORE