×

Habari

TANZIA: MWANZILISHI WA ULINZI NA USALAMA SECURITY AFARIKI DUNIA

Mwanzilishi wa group linalojulikana kwa jina ULINZI NA USALAMA SECURITY, Yona Fares amefariki dunia jana Jumapili. Yona alikuwa maarufu mitandaoni...

READ MORE

BAVICHA KUHAMASISHA VIJANA NCHI NZIMA

  BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) limedhamiria kuzunguka nchi nzima kuwahamasisha vijana kudai uhuru wa...

READ MORE

Mzee Majuto Ampa Tano Ngubilu

KOMEDIANI lejendari Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amesema kuwa mwaka 2018 ameibuka kivingine baada ya kujikita kwenye sinema za action...

READ MORE

Rais Wa Rwanda Paul Kagame Amewasili Nchini Na Kupokelewa Na Rais Magufuli

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amewasili  nchini leo Jumapili, Januari 14 kwa ziara ya siku moja. Rais Kagame aliyepokewa na...

READ MORE

CCM YASHINDA KWA KISHINDO SINGIDA, SONGEA NA LONGIDO

KATIKA uchaguzi wa marudio uliofanyika jana nchini katika majimbo matatu ya ubunge, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea  katika majimbo...

READ MORE

Matokeo Ya Uchaguzi Mdogo Wa Udiwani Kata Ya Kimandolu, Arusha

Matokeo Ya Uchaguzi Mdogo Wa Udiwani Kata Ya Kimandolu – Arusha Uliofanyika Leo Tarehe 13/01/2018. Waliojiandikisha Ni 16,091 Kura Zilizopigwa...

READ MORE

Breaking News: Damas Ndumbaro Ashinda Ubunge Songea

MGOMBEA Ubunge jimbo la Songea Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dr. Damas Ndumbaro ameshinda Uchaguzi kwa kupata kura 45162...

READ MORE

Breaking News: Kiwanda cha Bora Kimeteketea Kwa Moto Usiku Huu (Video, Audio na Pichaz)

Listen to Kiwanda cha Bora Kimeteketea Kwa Moto byNicolaus Trac on hearthis.at KIWANDA cha kutengeneza viatu cha Bora kinachotengeneza viatu...

READ MORE

Picha za Mazishi ya Mama Kibatala Morogoro

                      PICHA NA CHADEMA MEDIA

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFUNGA HOJA YA MIAKA SABA YA URAIS – VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo...

READ MORE

Samatta Aondoka na TECNO CX Mpya ya Global Insta

KAMPUNI YA Global Publishers kupitia shindano lake la Global Insta imemkabidhi zawadi Baraka Michael (brity59) ambaye ni mshindi wa Simu...

READ MORE

NISHATI JIRIDHISHENI NA UBORA WA VIFAA-MAJALIWA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Nishati ijiridhishe na ubora wa vifaa vinavyotumiwa na wakandarasi katika miradi ya...

READ MORE

Simanzi na Majonzi Kuagwa kwa Mama Kibatala

SIMANZI na majonzi vimetawala wakati wa misa ya kumuombea marehemu Anastazia Mayunga ambaye ni Mama wa Mkurugenzi wa Sheria na...

READ MORE

Kisa Obama, Trump Agoma Kuzindua Ubalozi Wake Uingereza

Rais wa Marekani, Donald John Trump amekataa safari yake ya kwenda nchini Uingereza ambapo mbali na mambo menginine ambayo angefanya,...

READ MORE

Siku Nne Baada ya Lowassa Kutinga Ikulu, Kamati Kuu Chadema Yakutana

KAMATII Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inakutana leo Jumamosi, Januari 13 ikiwa ni siku nne tangu Edward...

READ MORE

Botswana Wamvaa Trump Kwa ‘Kuzitusi’ Nchi za Afrika

SERIKALI ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani, Donald John trump kwa matamshi yake kuwa Mataifa ya Afrika ni “machafu” na...

READ MORE

Air Tanzania Inavyoipeleka Nchi Kwenye Uchumi wa Kati

WAKATI Tanzania ikiwa katika harakati za kuingia katika uchumi wa kati, ni muhimu pia kwa wananchi kushiriki katika dhamira hiyo...

READ MORE

Uzalendo wa Kweli ni Kupenda vya Kwetu

READ MORE

Airtel Waijibu Serikali Kuhusu Sakata la Ubinafsishaji wa TTCL

Statement from Bharti Airtel: We have noted with concern the statement made by the Hon’ble Finance Minister on Jan 11,...

READ MORE

Mrema Awafikisha Polisi Waliomzushia Kifo

MWENYEKITI wa Bodi ya Parole, Augustine Mrema amefika kituo cha polisi cha OysterBay kuripoti tukio la kuzushiwa kifo kupitia mitandao...

READ MORE

KAMANDA SIRRO ATAKA WANANCHI WAHESHIMIWE

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Simon Sirro  alipozungumza jana na askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na...

READ MORE

Picha za Matukio: Sherehe ya Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar

               

READ MORE

Huyu Guardiola Anatisha!

KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi...

READ MORE

Wakili Kibatala Apata Pigo

Wakili msomi Peter Kibatala ambaye pia ni mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Mkurugenzi wa Sheria na Katiba Maendeleo (CHADEMA)...

READ MORE

Serikali Yatoa Kibano kwa Shule Binafsi

WARAKA wa Elimu Namba 7 wa Mwaka 2004 umepiga marufuku utaratibu wa shule zisizo za serikali kukaririsha darasa, kufukuza au...

READ MORE

Madaktari wa Korea Kutoa Huduma Bure Mwanza – VIDEO

Madaktari 24 kutoka Hospital ya Asan Medical Centre, Korea Kusini,  wamewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa huduma...

READ MORE

Global Entertainment: Hali ya Wastara Yamtoa Machozi Steve Nyerere

Global TV Online kupitia Kipindi chake kipya cha Burudani, Global Entertainment, kinachoruka kila Ijumaa saa 9:000 Alasiri, leo Januari 12, 2017...

READ MORE

Makonda Ataja Kinachomfanya Kagame Aipende Tanzania

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amefunguka na kusema uwezo mkubwa wa Rais Magufuli na Demokrasia...

READ MORE

Shein Asema Uchumi wa Zanzibar Umeimarika, Atangaza Elimu Bure

Sherehe za mapinduzi  Shein atangaza elimu bure. Rais   wa Serikali ya Mapindizu ya Zanzibar  Dkt. Shein ametangaza kutoa elimu ya...

READ MORE

Mvua Yazidi Kuleta Maafa Dodoma

MTU mmoja mkazi wa Kijiji cha Mwakisebe Kata ya Kimaha wilayani Chemba mkoani Dodoma amefariki dunia, huku watu wengine zaidi...

READ MORE

Taarifa ya Uchunguzi Kuhusu Umiliki wa Airtel Yawasilishwa kwa JPM

Serikali imesema ubinafsishaji wa Kampuni ya Airtel uligubikwa na ukiukwaji wa heria, Kanuni na Taratibu. Mazungumzo kufanyika ili nchi ipate...

READ MORE

TUMIENI TAMASHA LA BIASHARA KUKUZA BIASHARA YA UTALII-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko ya Zanzibar kuhakikisha inatumia Tamashara la Biashara la Zanzibar...

READ MORE

Madiwani Wengine Chadema, CUF Waachia Ngazi, Wajiunga CCM

Diwani wa Kata ya Namichiga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wilayani Ruangwa mkoani Lindi Bwana, Mikidadi...

READ MORE

Kingunge Amsindikiza Mkewe Safari ya Mwisho – Pichaz

MWANASIASA mkongwe nchini, Mzee Kingunge Kombale Mwiru amemsindikiza mkewe Peras Ngombale Mwiru katika safari yake ya mwisho ambaye amezikwa katika makaburi...

READ MORE

Bavicha Washtushwa na Lowassa Kwenda Ikulu

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema (Bavicha) limesema limeshtushwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya...

READ MORE