×

Habari

Wanasayansi Wabaini Ziwa Victoria Huenda Likakauka

Wanasayansi wanasema kwamba Ziwa Victoria ambalo ni kubwa zaidi lenye maji tulivu Barani Afrika linalounganisha nchi za Tanzania, Kenya na...

READ MORE

Mmiliki wa Shule Mahakamani kwa Tuhuma za Mauaji ya Mwanafunzi

MMILIKI wa Shule ya Msingi na Sekondari ya Scolastica iliyopo mji wa Himo wilayani Moshi, mkoani kilimanjaro, Edward Shayo amefikishwa...

READ MORE

Kauli ya Zitto Baada ya ACT Wazalendo Kuambulia Patupu Kata Zote

KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, leo Jumatatu, Novemba 27, 2017 amefunguka kuwa, chama chao wameshapata matokeo ya...

READ MORE

Mama Kanumba Afungukia Cheko Lake Mahakamani

MAMA wa aliyekuwa mwigizaji mahiri wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amefungukia cheko alilolitoa mahakamani wakati wa hukumu...

READ MORE

Lowassa Amvaa RC Gambo, Asema Hana Mpango wa Kurudi CCM

ALIYEKUWA mgombea urais wa CHADEMA 2015 Edward Ngoyai Lowassa ambaye alihama CCM, ameweka wazi taarifa za kutaka kurudi CCM, na...

READ MORE

Breaking News: Jengo la Wizara ya Maji Labomolewa kwa Agizo la JPM (Video)

  Hatimaye Jengo la Wizara ya Maji na Umwagiliaji lililo ndani ya hifadhi ya Barabara ya Morogoro eneo la Ubungo...

READ MORE

Niyonzima: Mavugo Hakosi Timu

WAKATI tetesi za kutemwa kwa mshambuliaji Mrundi, Laudit Mavugo, kiungo mchezeshaji wa Simba, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, amesema kuwa mchezaji huyo...

READ MORE

Breaking News: Meya Ubungo Aachiwa kwa Dhamana

Meya wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob (Chadema) ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na polisi...

READ MORE

BEATRICE SINGANO ALIVYOTUNUKIWA MASTERS (MBA)

Hongera Beatrice kufanikisha mpango wako. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano Mallya amehitimu na kutunukiwa Shahada ya Uzamili...

READ MORE

CCM Yaikamata Kaskazini, Yashinda Kata Nne Jimboni kwa Joshua Nassari

KATIKA Matokeo ya Uchaguzi mdogo uliofanyika katika kata 43 nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeshinda kata nne za Arumeru Mashariki...

READ MORE

Breaking News: Chadema Wajitoa Uchaguzi Kata Tano Arumeru Mashariki

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameagiza wagombea wote wa udiwani wajitoe kwenye uchaguzi wa kata tano Arumeru Mashariki, mawakala na...

READ MORE

WACHACHE WAJITOKEZA MARUDIO UCHAGUZI WA UDIWANI MBWENI, DAR

  UCHAGUZI  wa  marudio ya  udiwani  katika  kata 43 unaofanyika leo sehemu mbalimbali nchini,  umeleta  hali  ya  sintofahamu katika Kata...

READ MORE

Rais Magufuli Atembelea Meli Ya Hospitali Ya China

  Rais John Magufuli leo ameitembelea na kuwaaga wanajeshi wa Meli ya Hospitali ya Jeshi la Maji la China ambayo...

READ MORE

Magufuli Avamia Bandarini Leo Na Kukuta Madudu

Rais John Magufuli ametoa siku saba kwa Mamlaka ya Mapato( TRA), Mamlaka ya Bandari(TPA), Takukuru na Wizara ya Fedha kuhakikisha...

READ MORE

700 WAHITIMU MAFUNZO CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU MWALIMU NYERERE

 Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 12 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Mkurugenzi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo...

READ MORE

SHULE YA KIPINGU NAYO YAPIGWA MNADA

Mshereheshaji wa mnada huo (katikati) akiwapa masharti vigogo waliofikia kununua shule hiyo kwa ‘pesa mbuzi’ ya shilingi milioni 100.  ...

READ MORE

Magufuli: Pinda alinizuia kubomoa Jengo la Tanesco

Rais John Magufuli amesema aliyekuwa Waziri Mkuu katika serikali ya awamu ya nne, Mizengo Kayanda Pinda, alimzuia kubomoa jengo la...

READ MORE

DK. SHIKA: BATA LA UZEENI NI BALAA!

Dk Louis Shika ambaye katika siku za hivi karibuni amejipatia umaarufu mkubwa, juzikati amefunguka kuwa ‘bata’ la uzeeni analokula sasa...

READ MORE

David Kafulila Ajiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM)

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amemuapisha aliyekuwa mbunge wa zamani wa Jimbo la...

READ MORE

Bwana Harusi Afariki, Mkewe Ajeruhiwa Ajalini Wakitoka Kufunga Ndoa

WATU 12 wamekufa na wengine 22 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea kijiji cha Ighuka wilayani Ikungi kwenye Barabara Kuu ya Singida...

READ MORE

IGP SIRRO ATOA TAMKO WATAKAOHARIBU UCHAGUZI MADIWANI (VIDEO)  

  MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, Simon Sirro amewatahadharisha wananchi kote nchini kutokuvuruga uchaguzi wa marudio wa udiwani unaotarajiwa...

READ MORE

MAHAKAMANI AKIDAIWA KUKUTWA NA ‘NYETI ZA MWANAMKE’ (VIDEO)

SALUM NKONJA (22) mkazi wa Ipililo wilayani Maswa mkoani Shinyanga leo  amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na...

READ MORE

Emmerson Mnangagwa Aapishwa Rais Mpya Zimbabwe

HATIMAYE Zimbabwe imempata rais mpya, Emmerson Mnangagwa, ambaye ameapishwa rasmi kuchukua wadhifa huo kufuatia kujiuzulu kwa Robert Mugabe aliyeliongoza taifa...

READ MORE

Rais Magufuli Amtumia Spika Wa Bunge Salamu Za Rambirambi Kifo Cha Gama

​ Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge...

READ MORE

KESI YA KINA RUGEMALIRAYAAHIRISHWA HADI DESEMBA 8

  KESI ya James Rugemalira na Harbinder Sing Sethi imeahirishwa hadi  Desemba 8 mwaka huu kutokana na upelelezi kutokamilika.  ...

READ MORE

Yaliojiri Kuapishwa Rais mpya wa Zimbabwe Emerson D. Mnangagwa

Raia wa Zimbabwe wamekusanyika kwa wingi kwenye uwanja wa michezo mjini katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare kwa ajili...

READ MORE

Breaking News: Ofisi ya Mtendaji Ubungo Yateketea Kwa Moto

Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Saranga, Ubungo, jijini Dar es Salaam,  imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo, huku...

READ MORE

Breaking News: Mbunge wa Songea Mjini Leonidas Gama Amefariki Dunia

Mbunge wa Songea Mjini (CCM), Leonidas Gama, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Peramiho alikokuwa anapatiwa matibabu. ...

READ MORE

DANGURO LA VIBINTI DAR LAIBULIWA MCHANA KWEUPE!

  DAR ES SALAAM: Wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akionyesha nia yake ya kuikomesha biashara...

READ MORE

HIVI NDIVYO LULU ANAVYOISHI GEREZANI!

  PAMOJA na ustaa wake, msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, anadaiwa kuishi maisha ya tofauti kwa sasa kiasi...

READ MORE

BREAKING NEWS: MAGUFULI AMTEUA DKT SLAA KUWA BALOZI

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, Leo Novemba 23, amemteua Dkt Willbord Slaa, kuwa balozi. Kwa...

READ MORE

DKT. SHIKA AWA KIVUTIO KWA WANAFUNZI, WANANCHI KAHAMA (VIDEO)

Chuo cha Sayansi ya Afya cha Kahama, mkoani Shinyanga, leo kimefanya mahafali yake ya kwanza kwa kishindo ambapo mgeni rasmi...

READ MORE

Mrembo Adakwa Kwa Kufungua Kampuni Ya Simu Kinyemela

Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Faudhia Abdi na wenzake, Mahad Salat na Ally Yusuf leo (Alhamisi) wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama...

READ MORE

ZANTEL YAWAKOMBOA WAKULIMA WA ZAO LA MWANI ZANZIBAR

  Watu wengi waliopo nje ya Zanzibar wanadhani kuwa Unguja na Pemba ni visiwa vya starehe na mahali pa kupumzika...

READ MORE

Masharti Mapya Mnada wa Nyumba za Lugumi Kesho

ILI kuhakikisha mnada wa nyumba mbili za Lugumi huko JKT Mbweni na Upanga jijini Dar es Salaam unakwenda vizuri, watu...

READ MORE