KAMANDA wa polisi mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi Simon Haule amethibitisha kuokotwa kwa viungo vya mwili wa binadamu katika bwawa...
READ MOREMWANA-HIP Hop asiyechuja Hamisi Mwijuma maarufu kama Mwana FA, amewananga wasanii wenzake akidai kuwa wengi wao wanafahamika kwa kiki zao...
READ MOREHospitali ya Marie Stopes iliyoboreshwa na kituo cha kupokea simu za wateja, Mwenge jijini Dar es salaam hivi karibuni.
READ MOREKiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, ametangaza kuwa hatashiriki kwenye uchaguzi mkuu ambao unapangwa kufanyika tarehe 26 mwezi...
READ MOREHARARE, ZIMBABWE: Ikiwa ni siku tatu baada Rais John Magufuli kufanya mabadiliko ya Baraza lake la Mawaziri hapa nchini, Rais...
READ MORETaarifa kwa Vyombo vya Habari DAR ES SALAAM; Kuendelea kukua kwa teknolojia ya Mawasiliano, kumekuwa chachu...
READ MOREMakusanyo ya kodi kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2017/2018 (Julia, Agosti na Septemba) yamefikia Sh3.65 trilioni...
READ MOREKESI ya raia 40 wa Ethiopia waliokuwa wanakwenda Afrika Kusini wakipitia Tanzania imeahirishwa leo hadi Oktoba 13 mwaka huu katika...
READ MOREKELELE zimekuwa nyingi na limetikisa kwenye mitandao ya kijamii na mitaani, ikiwemo kwenye migahawa, vijiweni, saluni na kwingineko kuhusu madai...
READ MOREMSHINDI wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, George Majaba ambaye ni mkazi wa Makole Dodoma, wakati...
READ MOREMKUU wa Shule ya Sekondari Migukulama iliyopo Halmasahauri ya Buchosa wilayani Sengerema, Benedicto Lweikiza (45) amejinyonga hadi kufa akiwa chumbani...
READ MOREKatibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo amejivua rasmi uanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo. MAGAZETI: Siku...
READ MORENAMSHUKURU Mungu wa Mbinguni, kwa fadhili zake ni za milele. Amekuwa nami katika kila hatua niipigayo maishani kwangu,...
READ MORERais Magufuli ametumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela kufuatia vifo vya watu 12. Rais Magufuli...
READ MOREWAKILI Sheck Mfinanga amejitoa kumwakilisha mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema katika kesi ya uchochezi akidaiwa kumkashifu Rais John...
READ MOREWATUHUMIWA wa mauaji ya mwanaharakati wa kuhifadhi Wanyamapori raia wa Afrika Kusini, Wayne Lotter, aliyepigwa risasi na kuuawa maeneo ya...
READ MOREWATU nane wamekufa na wawili wameokolewa wakiwa salama baada ya Toyota Hiace kutumbukia Ziwa Victoria katika kivuko cha Kigongo Feri...
READ MOREMAWAZIRI na manaibu walioapishwa na Rais John Magufuli, wametoa ahadi ya jinsi watakavyotekeleza majukumu yao. Mawaziri na manaibu walioapishwa leo...
READ MOREWAKILI wa kujitegemea, Peter Kibatala ameandika waraka kwa Rais wa chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Tundu Lissu kwamba atahakikisha...
READ MORESpika wa Bunge, Job Ndugai amemshukuru aliyekuwa Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kwa utumishi uliotukuka. Ametoa shukrani hizo leo...
READ MOREMAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tunduma, Herode Jivava ametiwa nguvuni na Polisi akidaiwa kutishia kuua kwa maneno. Jivava ambaye pia...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri wapya walioteuliwa kufuatia mabadiliko...
READ MORESTAA wa Ngoma ya Zimbabwe, Ibrahim Musa, ‘Roma Mkatoliki’ amefunguka kuwa, katika maisha yake kamwe hawezi kutembea na waleti mfukoni...
READ MOREKATIBU wa Bunge wa zamani, Dkt. Thomas Kashililah amesema, Rais John Magufuli hakufanya kosa katika uteuzi wa Katibu wa Bunge....
READ MOREMkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro amesema hataki malumbano na hana majibu kuhusu shinikizo linalotolewa na Chadema...
READ MORETALKING of Arusha Region and its tourist attractions one has to reckon with Masailand Hotel which has all the...
READ MOREMkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, Jana alizungumza na askari wa kikosi maalumu cha kupambana na...
READ MOREWAHITIMU wa darasa la saba wa Shule ya Msingi ya St. Mary’s iliyoko Mbezi-Goigi, jijini Dar es |Salaam, jana...
READ MOREUKIZUNGUMZIA Mkoa wa Arusha na vivutio vyake, kamwe huwezi kuiweka pembeni Hoteli ya Masailand yenye mandhari nzuri kwa mapumziko....
READ MOREWatu wawili wamefariki dunia na mwingine mmoja kujijeruhi baada ya kutokea ugomvi unaohusishwa na wivu wa mapenzi mjni Bunda. ...
READ MORERAIS John Magufuli amefanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri kwa kuwahamisha baadhi yao kwenda wizara nyingine, kuwapandisha baadhi ya...
READ MOREMkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, amewapongeza wafanyakazi wa Mfuko huo, kwa kazi nzuri wanayofanya...
READ MOREBabati. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amefanywa upasuaji mara 14 na ataendelea...
READ MOREMwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amepongeza kitendo cha Rais John Magufuli kuitenganisha Wizara ya Nishati na Madini kwa kuwa kwa...
READ MOREJUKWAA la Katiba (Jukata) limemuomba Rais John Magufuli apokee maandamano ya amani kushinikiza kufufua mchakato wa Katiba mpya. Jukata limefikia maamuzi...
READ MORERais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri nchini huku akizigawanya baadhi ya wizara zikiwemo Wizara ya...
READ MOREMeli ya Mfalme wa Oman, Sultan Qabous imeondoka Leo kuelekea Zanzibar Tanzania. Ikifika huko Zanzibar itafanya safari ya kwenda Dar-es Salaam...
READ MORE