×

Habari

TBA Yakiri Kubomoka kwa Mabweni Mapya ya UDSM Yaliyozinduliwa na JPM

MKURUGENZI wa Wakala wa Majengo nchini (TBA), Mhandisi Elius A. Mwakalinga, amekiri picha zinazosambaa mitandaoni zikionyesha majengo mapya ya mabweni...

READ MORE

Bora Uchebe Afe Kuliko Kumkosa Shilole

  MCHUMBA wa staa wa mduara Bongo, Zuwema Mohamed ‘Shilole’, Uchebe Ashiraf amefunguka kuwa kuliko kumkosa Shilole kwenye maisha yake...

READ MORE

Usiku wa 900 Itapendeza, Dk. Shika Kuungana na Ebitoke, Nature Dar Live

‘BILIONEA’ aliyejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara, Said Lugumi, Dk. Louis Shika anatarajiwa kuungana...

READ MORE

Siku Chache Kabla ya Ndoa, Shilole Hoi, Atundikiwa Dripu

WAKATI akisubiri kufunga ndoa na mchumba wake, Uchebe Ashraf siku chache zijazo, staa wa muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ yu...

READ MORE

Jengo la Ghorofa 10 la Tanesco Ubungo Litakavyoporomoshwa Mwezi Mzima

IKIWA ni kutekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa Shirika la Tanesco nchini kubomoa sehemu ya jengo lake lililo kwenye...

READ MORE

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia Atangaza KUhama CUF, Ajiunga CCM (Video)

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CUF, Maulid Mtulia amejiuzulu uanachama wa CUF na kujiuzulu nafasi zake...

READ MORE

Kaka wa Messi Mbaroni Baada ya Bunduki Kukutwa Kwenye Boti Yake Iliyotapaa Damu

  KAKA mkubwa wa nyota wa soka, raia wa Argentina, Lionel Messi, amekamatwa baada ya kukutwa na bunduki isiyokuwa na...

READ MORE

LIVE GLOBAL HABARI: JESHI LA POLISI LATOA TAMKO KUFUATIA NASSARI KUVAMIWA

KUFUATIA tukio la Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kuvamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo na...

READ MORE

Nyerere Afunguka Wema Kuhamia CCM, Ataja Sababu za Kumjibu Polepole – (Video)

Muigizaji maarufu nchini, Steve Nyerere ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kuwa amefurahishwa sana na maamuzi...

READ MORE

Mama Amlipua Wema LIVE, Adai Steve Nyerere ni Bomu (Video)

IKIWA ni takribani saa 15 tangu mwanaye ambaye ni Queen wa Filamu za Bongo na aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2006,...

READ MORE

LIVE: CHADEMA Watoa Kauli na Maamuzi Mapya Baada ya Patrobas Kuhamia CCM

KAMATI Tendaji ya Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), BAVICHA wamefanya uteuzi wa viongozi wake ngazi...

READ MORE

Mbunge Nassari Anusurika Kuuawa Kwa Risasi Na Watu Wasiojulikana – Video

  MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari usiku wa kuamkia leo yeye na  familia yake walivamiwa nyumbani kwao ...

READ MORE

Kisa Wema, Nyerere Amvaa Polepole: Hiki Chama Hujakiunda… Wewe ni Nani?

HEADLINE inayobamba mitandaoni na kwenye vyombo vya ahabri kuanzia jana jioni ni kuhusu Malkia wa Filamu Bongo, Wema Sepetu kuhama...

READ MORE

Polepole: Chama Chetu Sio Daladala….. Ni Heri Akabaki Hukohuko (Video)

BAADA ya Msanii maarufu wa Bongo Movie, Wema Sepetu kutangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kurudi...

READ MORE

Wema Sepetu Atangaza Rasmi Kurudi CCM -(Video)

MSANII maarufu wa Bongo Movie, Wema Sepetu leo Ijumaa, Desemba 1, 2017 ametangaza rasmi kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Mapenzi Ya Jinsia Moja Yamkamatisha Mtumishi wa Mgodi wa GGM

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mtumishi wa mgodi wa GGM, Milembe Suleiman anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi...

READ MORE

HEINEKEN WAZINDUA BIDHAA YA AMSTEL TANZANIA

KAMPUNI ya Vinywaji baridi ya Heineken jana (Novemba 30) walizindua bidhaa mpya aina ya Amstel (ya chupa) katika soko la...

READ MORE

Stamina: Wanaosema Kiba_100 ni Tusi Wanakosea

RAPA anayekimbiza kwa sasa kutoka pande za Morogoro, Stamina amesema kwamba ngoma yao mpya walioimba na Roma Mkatoli (ROSTAM), wakimshirikisha...

READ MORE

RC Makonda, IGP Sirro, Mo Dewji, Bakhresa na Kigwangalla Wateuliwa TFF

MBALI na Kamati Kuu ya Kuratibu Michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U17/2019) kwa vijana wenye...

READ MORE

Tanesco Waanza Kuondoa Vifaa Kwenye Jengo Lao Ubungo

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambaye amepewa kazi ya kubomoa jengo la Tanesco Ubungo, leo Ijumaa ameanza kusimamia shirika hilo...

READ MORE

VP Samia Suluhu Awaonya Vikali Machangudoa

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Desemba 1, 2017 amewaongoza wakazi wa Dar...

READ MORE

Baraza la Mawaziri la Mnagangwa Ajaza Wajeda Waliomuondoa Mugabe

RAIS mpya wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ametangaza Baraza jipya la Mawaziri, ambalo ndani yake amewaweka maofisa wa Jeshi la Ulinzi...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Gari Linalodaiwa Kuzama Baharini Dar (Video)

TAARIFA na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii asubuhi hii zinaeleza kuwa gari dogo aina ya Toyota Land Cruiser (Prado)...

READ MORE

Matukio Haya Yametikisa 2017, Tumekuwekea Hapa

TANGU mwaka huu uanze kumekuwa na matukio mengi yaliyojitokeza kwa mastaa, ambayo yalileta mshtuko kwenye jamii hususan kwa watu wanaofuatilia...

READ MORE

MADAI YA KUSIKITISHA, BABA AZAA NA BINTIYE!

Dunia imekwisha! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia jamaa mmoja mkazi wa Mabibo-Mahakama ya Ndizi kudaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi...

READ MORE

STRAIKA MPYA WA SIMBA HUYU HAPA, NI HATARI TUPU!

HARAKATI za usajili wa wachezaji katika vilabu vya soka la Tanzania, zinaendelea kwa nguvu huku Klabu ya Simba ikikaribia kumsajili...

READ MORE

HATIMAYE SERIKALI YAKUBALI MO DEWJI, MANJI WAWE MABOSI SIMBA NA YANGA

WAKATI sakata la uwekezaji likiendelea kuteka hisia za wadau wengi wa soka la nchini Tanzania, hatimaye serikali imetoa tamko juu...

READ MORE

Eto’o Akanusha Kukodi Ndege Kuwarudisha Cameroon ‘Watumwa’ wa Libya

MCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o, amekanusha ripoti kwamba alikodisha ndege...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine Wizara ya Ardhi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amteua Bi. Stella Tullo Chagi kuwa Msajili wa Mabaraza...

READ MORE

ZAIDI YA MILLION 20 ZAPATIKANA KUSAIDIA WATOTO WENYE MATATIZO YA VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI

Ikiwa Jana ni Jumanne ya kutoa (GIVING TUESDAY) kote duniani na Taasisi ya Foundation for Civil Society iliadhimisha kwa kuwasaidia...

READ MORE

WAKAMATWA NA MADINI, WAHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa hukumu kwa wafanyabiashara watatu ambao ni Mashaka Lucas, Jafarri Hussein na Akifu Mohamed,...

READ MORE

BONGO MUVI WATOA SOMO KWA WANAFUNZI

  Wamama wa Bongo Muvi kupitia Malezi Daima Foundation leo wamefanya semina kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Buza...

READ MORE

Lissu Asimulia Mambo Mazito Kwa Dakika 60

Nairobi-Kenya. Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesimulia hali ilivyokuwa siku ya tukio na pia kueleza ujumbe aliompa Makamu...

READ MORE

Kagaigai: Wabunge Waliotimuliwa CUF, Mahakama Haijaamuru Warudishwe Bungeni

KATIBU wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Stephen Kagaigai amekanusha taarifa zinazovumishwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa wabunge...

READ MORE

Dk Shika Atamba Kutikisha Usiku wa 900 Itapendezaa (Video)

YULE daktari bingwa wa magonjwa ya binadamu aliyejizolea umaarufu mkubwa hapa nchini siku za hivi karibuni kufuatia kufika dau wakati...

READ MORE

MAKAMPUNI 500 KUSHIRIKI MAONYESHO YA PILI YA BIDHAA DAR

ZAIDI ya Makampuni 500 yanatarajia kushiriki katika maonesho ya pili ya bidhaa za viwanda  yanayotarajia kufanyika Desemba 7 hadi hadi...

READ MORE

Afande Sele Hapo Vepee Zipu ya Jinsi Kufunguka!

DAR ES SALAAM: Hapo vepee! Ndivyo walivyosikika wapenda ubuyu, wakimuelekezea vidole, mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Selemani Msindi ‘Afande...

READ MORE

LHRC Yabaini Mapungufu Kibao Uchaguzi wa Madiwani

  MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga, amesema kuwa kituo hicho kimefuatilia kwa ukaribu...

READ MORE