×

Habari

Rooney Akatwa Mshahara wa Wiki Mbili

KLABU ya Everton iliyo katika ligi kuu ya Uingereza (EPL), imempiga faini mchezaji wake, Wayne Rooney, kwa kumkata mshahara wa...

READ MORE

Uchaguzi wa Rais Kenya Wapigwa Kalenda

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), imebadilisha tarehe ya kufanyika uchaguzi wa marudio wa Urais ambao sasa utafanyika...

READ MORE

JWTZ Watii Agizo la JPM, Wawasili Mererani Kuweka Uzio Eneo la Tanzanite

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeanza kutekeleza agizo la Rais John Magufuli aliyelitaka kujenga uzio kuzunguka kitalu...

READ MORE

Watangazaji wa Kike… Wakali wa Taarifa ya Habari TV / Redioni

UKITAMBUA na kuona ubora wa kazi anayoifanya mwenzako kisha kumwambia, basi atafanya zaidi ya ilivyotarajiwa. Tujifunze kukubali na kupongeza juhudi...

READ MORE

MAAMBUKIZI YA UKIMWI YANAPUNGUA – TACAIDS

  TUME ya kudhibiti ukimwi nchini (TACAIDS) imesema kiwango cha maambukizi ya virusi vya ukimwi kinaendelea kupungua kutoka aslimia 0.32...

READ MORE

Tamasha La Ngoma Za Asili La Tulia Lazinduliwa

TAMASHA la ngoma za kitamaduni lililopewa jina la Tulia Traditional Dance Festival, limeanza kwa mbwembwe mjini Tukuyu, mkoani Mbeya jana,...

READ MORE

Meya Dar aitumbua kampuni ya ushuru wa maegesho ya magari

MSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, leo amesitisha  mkataba na Kampuni ya Mwamkinga Auction Mart and...

READ MORE

LIVE KUTOKA CCM KIRUMBA: MBAO 2-2 SIMBA (FULL TIME)

FULL TIME DAKIKA 3 ZA NYONGEZA Dk 89, Kipa wa Mbao FC anadaka vizuri shuti la faulo KADI Dk 88,Mohammed...

READ MORE

Spoti Hausi LIVE: Safari ya Gazeti la Championi Nchini Uingereza

#SpotiHausi ni kipindi cha #Michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni. Mwandishi mahiri wa Gazeti la Championi, Saleh...

READ MORE

KUELEKEA MKUTANO WA MAJAJI; JAJI MKUU AMGUSA LISSU -VIDEO

  JAJI MKUU wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, leo amesema shambulio la kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki na...

READ MORE

Profesa Msomi Zaidi Duniani Mwenye Shahada 145

KAMA unafikiri kupata shahada (digrii) ni kazi ngumu, tangu sasa fahamu kwamba Profesa V.N. Parthiban anayefundisha jijini Chennai, India, ana...

READ MORE

Kupigwa Risasi kwa Lissu, Wanasheria wa Uingereza Watuma Waraka Mzito kwa Rais JPM

KUFUATIA matukio ya kukamatwa mara kadhaa na baadaye kupigwa risasi na watu wasiojulikana kwa Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia...

READ MORE

Kimbuka Maria Chapiga Kisiwa Chote cha Puerto

KIMBUNGA Maria kimekata umeme katika kisiwa chote cha Puerto Rico, chenye watu zaidi ya milioni 3.5 huku kikiharibu vibaya makazi...

READ MORE

LIVE: Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa Longido, Mkoani Arusha

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amefanya ziara ya kikazi wilayani Longido, mkoani Arusha ambapo leo...

READ MORE

Nyalandu Asubiri Uamuzi wa Madaktari Kumpeleka Lissu Marekani

MBUNGE wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ambaye yupo nchini Kenya kuandaa mikakati ya kupata ruhusa kutoka kwa madaktari...

READ MORE

Mmiliki wa Nyumba Ya Pili Ya Global Sasa Kujulikana J’5 ijayo

BAADA ya miezi sita ya wasomaji wa maga­zeti ya Global Publish­ers, kukata na kutuma kuponi zao kwa ajili ya Bahati...

READ MORE

Zitto Kabwe Akamatwa Dar, Asafirishwa Dodoma Usiku

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT –Wazalendo), Zitto Kabwe amekamatwa na polisi akiwa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) akitokea...

READ MORE

Nyalandu Kumpeleka Lissu Kutibiwa Marekani

MBUNGE wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameweka kambi nchini Kenya kuangalia uwezokano wa kupata ruhusa kutoka kwa madaktari...

READ MORE

Kundi la Nyuki Lavamia Mahakama Kuu na Kuwashambulia Polisi -Video

TAARUKI imeibuka katika viunga vya Jiji la Nairobi baada ya waandamanaji na Jeshi la Polisi kikosi cha kutuliza ghasia wote...

READ MORE

Ecobank yazindua njia salama ya malipo kwa mtandao

Ecobank yaja na suluhisho la kufanya malipo salama kwa njia mtandao kupitia MASTERPASS na MVISA . Ecobank katika kuendeleza dhamira...

READ MORE

Mbowe: Kupona kwa Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefunguka kuhusu hali ya afya ya Mbunge wa Singida Mashariki...

READ MORE

Rais Magufuli Azindua Barabara Mererani, Manyara

  Rais Magufuli leo amezindua barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA)...

READ MORE

Aliyenusurika Ajali Iliyoua Watanzania 13 Uganda Afunguka -Video

KUFUATIA ajali mbaya ya Lori aina ya Fuso na basi aina ya Coaster kugongana nchini Uganda na kusababisha vifo vya...

READ MORE

‘Hausigeli’ Anaswa Akikirushia Kichanga Kwenye Kikapu cha Takataka

Mfanyakazi wa nyumbani anashikiliwa na jeshi la polisi nchini Namibia baada ya kufanya kitendo kibaya kwa mtoto wa miezi tisa...

READ MORE

Mahakama Yawaachia Vigogo wa Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi

MAHAKAMANI ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru vigogo watatu wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), akiwemo mtendaji mkuu wa...

READ MORE

Kesi ya Kitilya, wenzake: Hakimu Awataka Wawe Wavumilivu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtaka akiyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Harry Kitilya na wenzake kuwa na...

READ MORE

Kubenea Apelekwa Zahanati ya Bunge Dodoma

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea amepelekwa katika zahanati ya Bunge baada ya kujihisi vibaya. Katibu wa wabunge wa Chadema,...

READ MORE

Miili ya Ndugu 13 Waliofariki kwa Ajali Uganda Ilivyoagwa Dar (Pichaz)

SIMANZI, vivlio na majozni imetawala wakati wa kuaga miili ya Watanzania 13 ambao ni ndugu wa familia moja waliofariki kwenye...

READ MORE

Breaking News: Polisi, Vijana Wapambana Bomoa-Bomoa Jangwani, Dar

  NYUMBA  zilizopo eneo la bondeni Jangwani jijini Dar es Salaam, zimeendelea kubomolewa leo na kikosi maalum huku vijana wasiofahamika...

READ MORE

JPM Aliagiza Jeshi la Wananchi Kujenga Ukuta Eneo la Tanzanite

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameliagiza Jeshi la Wananchi (JWTZ) kushirikiana na Suma JKT...

READ MORE

Miili ya Watanzania 13 Waliofariki Ajalini Uganda Yaagwa Lugalo

MIILI ya Watanzania 13 ambao ni ndugu wa familia moja waliofariki kwenye ajali mbaya ya gari iliyotokea nchini Uganda hivi...

READ MORE

FA Adai Fid Q ‘Mlaini’

RAPA asiyechuja kwenye muziki wa Hip Hop Hamisi Mwinjuma ‘Mwana FA’ amedai mkali mwenziye mwenyeji wa Mwanza, Farid Kubanda ‘Fid...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Awasili Jijini Arusha (LIVE)

  RAIS John Magufuli leo Jumatano amewasili jijini Arusha kwa ziara maalumu ya siku tatu ambapo mapema asubuhi atafungua barabara...

READ MORE

Kubenea Ashikiliwa na Jeshi la Polisi

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea yupo mikononi mwa polisi akisubiri mchakato wa kusafirishwa kupelekwa mjini Dodoma kwenye Kamati ya...

READ MORE

Watanzania Waishio Nje Wachangia Mil. 22.3 Matibabu ya Lissu

Dar es Salaam — JUMLA ya Dola za Marekani 9,968 ambazo ni sawa na Sh. Millioni 22.3 za Tanzania, zimechangwa...

READ MORE

TBBF Yatangaza Mashindano ya Mr. Tanzania na Mr. Photogenic

CHAMA cha Watunisha Misuli nchini (Tanzania Bodybuilding Federation  -TBBF) imetangaza rasmi tarehe maalum ambayo itafanyika mashindano ya Mr.Tanzania, Style, Icon...

READ MORE

Bombardier Ya Kwenda Bukoba Yakwama Mwanza

NDEGE ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) iliyoondoka saa 12:00 asubuhi Dar es Salaam kwenda Bukoba kupitia Mwanza, imekwama...

READ MORE