×

Habari

MWANZA: Majambazi Yapora Mamilioni Kiwandani, Matatu Yadakwa

  Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, linawashikilia watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha...

READ MORE

KISUTU: Yaliyojiri Kesi ya Manji ya Uhujumu Uchumi

KESI inayomkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji na wenzake watatu imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Mwanamke Jini Alivyonipenda na Kunipeleka Ujinini! – Sehemu ya 1

NAITWA Omar Ibrahim Msangi.  Nilikuwa ndiyo kwanza nitimize umri wa miaka thelathini.  Masomo niliyochukua yalikuwa ni ufundi wa kompyuta na...

READ MORE

MASTAA WAPEWA KIBANO NA TRA

  IMEFICHUKA! Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka wazi kuwa kwa sasa inakula sahani moja na kuwapa kibano kikali mastaa...

READ MORE

Taarifa Toka Kurugenzi Ya Mawasiliano Ya Rais Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema Serikali imeanza kuchukua hatua dhidi ya watu...

READ MORE

Wanaomuua Jini Kabula Wajulikana!

  WAKATI hali ya staa wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ikiwa bado si shwari, watu ambao wanatajwa kuzidi...

READ MORE

Halima Azidi Kuisakama Serikali Hoja za Kuporomoka kwa Uchumi

Waziri Kivuli wa Mipango, Fedha na Uchumi, Halima Mdee ameitaka Serikali kujibu hoja kuhusu kuporomoka kwa uchumi katika utawala wa...

READ MORE

Maafisa Wapya wa Jeshi la Zimamoto Walioteuliwa na Rais Waapishwa

            Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini Tanzania Thobias Andengenye amewaapisha maofisa...

READ MORE

Ee Mungu, Mponye Kijana Huyu Anateseka!

  AMA kweli hujafa hujaumbika! Kijana Adam Mwangoka (21), mkazi wa Arusha, amepatwa na gonjwa la ajabu la macho yake...

READ MORE

Waandishi wa Habari Wapigwa Msasa Ishu ya Nishati Jadidifu

Waandishi wa habari wakinolewa kwenye semina kuhusu nishati jadidifu (renewable energy) Semina ikiendelea Wadau wakifuatilia semina hiyo. Kulia ni mwandishi...

READ MORE

Chadema: Majibu ya Serikali Kuhusu Hali Hasi ya Uchumi ni Dhaifu

MBUNGE wa jimbo la Kawe kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee,   amesema Watanzania wanapaswa kupima ukweli kuhusu...

READ MORE

VIDEO: Mbunge wa Mbozi Aachiwa kwa Dhamana

Mbunge wa Mbozi, Paschal Haonga (Chadema) aliyekamatwa na polisi kisha kuwekwa ndani katika Kituo cha Polisi akidaiwa kutoa kauli ya...

READ MORE

DSTV yazindua msimu mpya wa soka, Premier kutangazwa kwa Kiswahili

    WAKATI vuguvugu la soka ulimwenguni likizidi kupanda, Kampuni ya Multichoice Tanzania kupitia King’amuzi cha DSTV, imezindua kampeni maalum...

READ MORE

Rais Magufuli: Mwizi ni Mwizi Tu, Hata Kama ni Mzungu!

  RAIS John Magufuli amesema ifike wakati wizi uliokuwa ukifanywa na baadhi ya viongozi wa serikali wakishirikiana na wawekezaji kutoka...

READ MORE

VIDEO: Magufuli Afuta Hati ya Mashamba ya Ekari 14,000, Muheza

RAIS John Magufuli amefuta hati ya mashamba matano yenye zaidi ya ekari 14,000 zilizochukuliwa na watu na wakashindwa kuyaendeleza, wilayani...

READ MORE

LIVE: Msikie Baba Mzazi wa Msuva Akifunguka Alivyompigania Mwanaye

GLOBAL TV Online, Kupitia kipindi chake cha Michezo, SPOTI HAUSI, kimeongea EXCLUSIVELY na Baba Mzazi wa aliyekuwa mchezaji wa Timu...

READ MORE

Mahakama Yampa Harbinder Sethi Siku 14 Kutibiwa Nchini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kesi inayowakabili mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder  Singh Sethi...

READ MORE

MSAMI AFUNGUKIA ISHU YA KUTONGOZWA NA UWOYA

Staa wa Bongo Fleva, Msami Baby, anayetamba na kibao chake kipya cha So Fine, alichomshirikisha rapa machachari, Chemical amefungukia taarifa...

READ MORE

JPM Aamuru Mgambo JKT Kurudisha Eneo la Ekari 50

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ameamuru eneo la ekari 50 lililopo Mkata mkoani Tanga...

READ MORE

Aolewa Saa 10 Jioni, Afariki Saa 7 Usiku, Aondoka na Kichanga Tumboni!

  DAR ES SALAAM: Hii inauma sana! Wakati wengi wakitamani kuingia kwenye ndoa ili kuyafurahia maisha hayo, kwa binti Zai...

READ MORE

Hapi Amaliza Mgogoro wa Ardhi Nyakasangwe

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, ametoa miezi mitatu kwa kampuni ya upimaji wa ardhi ya Afro Map kuhakikisha...

READ MORE

Breaking News: Waziri Lukuvi Awarejeshea Viwanja Watu 180 Waliodhulumiwa Ardhi

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amefuta hati za viwanja 180 na kuvirejesha viwanja hivyo...

READ MORE

Basi la Sharon Lapinduka, Wawili Wafariki Dunia

WATU wawili wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi mali ya Kampuni ya Sharon lililokuwa litatoka Dodoma kwenda Arusha,...

READ MORE

KARRUECHE KAMA UKO SINGLE WIVU WA NINI KWA QUAVO NA NICK MINAJ?

WAHENGA walinena mapenzi ni kikohozi kuyaficha huwezi na msemo huu unajidhihirisha kwa mwanamitindo ambaye pia ni muigizaji kutoka pande za...

READ MORE

MH! 50 CENT NA JASMIN BROWN KULIKONI?

RAPA mkongwe anayewika kunako gemu ya muziki nchini Marekani, 50 Cent, ameibua maswali kwa mashabiki wake kutokana na ukaribu wake...

READ MORE

Rasmi Mbio za Rotary Dar Marathon zazinduliwa

KLABU saba za Rotary za jijini Dar kwa kushirikiana na Benki M mapema leo Jumatano zimefanikiwa kuzindua mbio na matembezi...

READ MORE

Kesi ya Wabunge Waliovuliwa Uanachama CUF Yaanza Kuunguruma Kortini

  Wabunge wanane wa Chama cha Wananchi (CUF) waliovuliwa uanachama na Mwenyekiti wa Chama hicho anayetambulika na Msajili wa Vyama,...

READ MORE

Mwenyekiti wa Tadea Mzee Chipaka Afariki Dunia

Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani nchini cha TADEA, John Lifa Chipaka amefariki dunia jana jioni katika Hospitali...

READ MORE

BONGE LA NYAU AMETANGULIA, MFUATENI

UKIWAULIZA wanamuziki wanaokwenda kushuti video zao Sauzi kwamba wanavutiwa na nini hasa, majibu yao yanafanana; watakwambia wanatafuta ‘quality’, ambayo hutokana...

READ MORE

Msajili wa Vyama vya Siasa Agomea Maamuzi ya Maalim Seif

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amepinga maamuzi ya Chama Cha Wananchi (CUF) kuwafukuza Uanachama Wabunge wawili...

READ MORE

KIFO CHA MTOTO NORAH, ALICHOWEKA MTANDAONI MTUHUMIWA INATISHA!

SIKU chache baada ya kufariki dunia katika mazingira yenye utata kwa mtoto Norah Mareale, mtu ambaye anatuhumiwa kuwa mhusika wa...

READ MORE

Wavuvi Watatu Wapigwa Risasi

UMATI wa wavuvi kupitia chama chao cha Wavuvi Wadogowadogo Minazi Mikinda (WAWAMI) wa jijini Dar es Salaam, wameicharukia serikali baada...

READ MORE

VIDEO: OFM KAZINI… DAKTARI ‘MUUAJI’ ANASWA!

  Jamaa aliyejitambulisha kuwa ni daktari wa hospitali moja iliyopo maeneo ya Buza jijini Dar, aliyetajwa kwa jina moja la...

READ MORE

Exclusive: Maskini Jini Kabula! Ukimsikia Utalia, Anatia Huruma (VIDEO)

  Ikiwa ni takriban miezi miwili na siku kadhaa tangu kuzagaa kwa ishu za kuugua ugonjwa wa afya ya akili...

READ MORE

Kesi ya Wema; Wakili Apinga Ushahidi wa Mkemia Mkuu

KESI inayomkabili staa wa Bongo Muvi, Wema Sepetu, imeahirishwa hadi Agosti 4 mwaka huu ambapo Hakimu Mkazi, Thomas Simba, atatoa...

READ MORE

Wapinzani: Serikali Ikubali Wachunguzi wa Nje Mauaji ya Msando

  MUUNGANO wa upinzani nchini Kenya (NASA) umekubali nia ya serikali za Marekani na Uingereza kusaidia kuchunguza mauaji ya ofisa...

READ MORE

Prof. Mkumbo na Mikakati ya Kuboresha Miundombinu ya Maji, Dar na Pwani

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo amesema wizara yake imeahidi kuboresha huduma ya maji katika...

READ MORE

KEVIN HART; KUTOKA UIGIZAJI HADI RIADHA!

MUIGIZAJI mahiri na aliyejizolea umaarufu mkubwa nchini Marekani kutokana na vichekesho vyake, Kevin Hart, ameweka wazi kuwa anatarajia kushiriki katika...

READ MORE

AMBER ROSE NA HEKAHEKA ZA KUPUNGUZA MATITI

MWANAMITINDO maarufu asiyeishiwa vituko nchini Marekani, Amber Rose, yupo katika hekaheka za kupunguza matiti yake kwa sababu ni makubwa na...

READ MORE