×

Habari

Kesi ya Wema Kuunguruma Leo Mchana

  KESI inayomkabili mlimbwende wa Bongo Movie, Wema Sepetu ambaye anatuhumiwa kwa matumizi ya bangi imeahirishwa kusikilizwa kwa muda katika...

READ MORE

Kenyatta: Nipo Tayari Kukabidhi Madaraka Iwapo Nitashindwa

  Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema ikiwa atashindwa kwa haki, Uchaguzi Mkuu wa tarehe nane mwezi Agosti, atakubali matokeo...

READ MORE

Mume: Mke Wangu Amedai Mimi Siyo wa ‘Type Yake’, Amesepa (VIDEO)

  Mwanaume aliyejitambulisha kwa jina la Samson Segeli, amefunguka ya moyoni jinsi mkewe, Ester Gaspari alivyomkataa baada ya kuishi naye...

READ MORE

Kabila Linalohusudu Vitambi, Linalotembea Utupu-7

  WIKI iliyopita tuliona jinsi wavulana wa Kabila la Bodi wanavyokuzwa kwa kufundishwa kazi mbalimbali ikiwemo ya kulinda mifugo yao....

READ MORE

MAREKANI: Siku 10 Baada ya Kuteuliwa, Msemaji wa Ikulu Atumbuliwa

Mkuu mpya wa Utumishi wa Rais Donald Trump, John Kelly, aliyeapishwa jana Jumatatu, amemfuta kazi Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ya Marekani...

READ MORE

Sangoma Anaswa na Mguu wa Bundi, Mkia wa Nyumbu

  Mganga wa kienyeji ‘sangoma’ katika Kijiji cha Majimoto kilichopo katika Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, Kambona Nkana anayejulikana kwa...

READ MORE

Global TV Kenya: Mwili wa Afisa wa Tume ya Uchaguzi Kenya Wapatikana (VIDEO)

Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano wa Tume ya Uchaguzi nchini Kenya IEBC, Christopher Chege Msando ambaye alitoweka siku ya Ijumaa...

READ MORE

MALAWI: Polisi Kumtia Nguvuni Rais Mstaafu Banda

MALAWI: Polisi wametoa kibali cha kukamatwa kwa Rais Mstaafu Joyce Banda kufuatia tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kutakatisha...

READ MORE

WEMA: NISIPOPATA MTOTO NAFUNGA KIZAZI

  Exclusive! Hapo nyuma kumepita matukio mengi yaliyomhusu staa mwenye jina lake kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Wema Abraham...

READ MORE

Tanesco Yagoma Kukata Umeme Kupisha Bomoabomoa Kimara

Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limedaiwa kugomea zoezi la ukataji umeme kwenye nyumba zinazotakiwa kuvunjwa eneo la Kimara na Kiluvya...

READ MORE

Mbunge Aliyeondolewa CUF Azuiwa Kuingia Kwenye Kikao cha Madiwani

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF) aliyevuliwa ubunge hivi karibuni Salma Mwasa amesikitishwa na kitendo cha askari wa Manispaa ya Ubungo...

READ MORE

LIVE: Simulizi ya Askari Polisi Mlemavu wa Macho

Global TV Online imefanya mahojiano na askari wa Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, ambaye ni mlemavu wa macho,...

READ MORE

Majadiliano Serikali, Barrick Gold Yaanza

  Majadiliano kati ya kamati maalumu iliyoundwa na Rais John Magufuli na wawakilishi kutoka kampuni ya Barrick Gold Corporation kuhusu...

READ MORE

EU Yatangaza 15 Watakaoshiriki European Youth Film 2017

UMOJA Ulaya (EU) nchini umetangaza majina ya washiriki 15 walioshinda ambao wataendelea kuwemo kwenye shindano la European Youth Film 2017...

READ MORE

ABDU KIBA: SIJAMUONA WA KUSHINDANA NA SISI

MSANII wa Bongo Fleva, Abdu Kiba, ameibuka na kuwatolea uvivu wale wote wanaosema kwamba kaka yake, Ally Kiba, amefulia kimuziki...

READ MORE

Mbowe Aitaka Serikali Iweke Hadharani Ripoti Zote Mbili za Madini

Serikali imetakiwa kuweka hadharani ripoti zote mbili za madini zilizoandaliwa na kamati zilizoundwa na Rais John Magufuli kuchunguza uendeshaji wa...

READ MORE

‘SHINDA NYUMBA’ YATIKISA MLANDIZI

  BAHATI Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili leo ilitembelea eneo la Mlandizi mkoani Pwani ambako Mr Shinda Nyumba...

READ MORE

Hatimaye Aishi Manula Kujiunga Kambi ya Simba Sauzi

Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuwa kipa Aishi Manula, kesho Agosti 1, 2017 atajiunga na kambi ya timu hiyo iliyopo...

READ MORE

VIDEO: Wanariadha Waagwa, Waahidi Kurudi na Medali

  TIMU ya taifa ya riadha itakayoshiriki mashindano ya riadha ya dunia yanayoanza wiki hii jijini London, Uingereza,  leo imeagwa...

READ MORE

IGP SIRRO AAGIZA TIMU ZA SOKA ZA POLISI ZIVUNJWE, IBAKI MOJA TU

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro ametoa agizo kuwa mchakato ufanyike wa kuzivunja timu zote za jeshi...

READ MORE

Mbowe Aipinga Serikali Kuwanyang’anya Viwanda Wawekezaji

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Serikali haiwezi kujenga viwanda peke yake bila kuihusisha sekta binafsi ambayo ndiyo mdau mkuu...

READ MORE

Yaliyojiri Kesi ya Askofu Gwajima ya Kushindwa Kuhifadhi Silaha na Risasi

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Agosti 30, 2017 itatoa hukumu katika kesi ya kushindwa kuhifadhi silaha na risasi inayomkabili...

READ MORE

VIDEO: Bomoabomoa Mpanda ni Vilio Tupu, Mamia ya Nyumba Zabomolewa

Bomoabomoa Mpanda ni Vilio Tupu, Mamia ya Nyumba Zabomolewa Wakazi wa maeneo ya Tambukareli, Mpanda Hotel na Msasani, wamejikuta katika...

READ MORE

TANZIA: Mume wa Mbunge Mary Nagu Afariki Dunia

Profesa Joseph Nagu ambaye ni mume wa Mbunge wa Jimbo la Hanang mkoani Manyara, Dk Mary Nagu amefariki dunia katika...

READ MORE

Chadema Yalia na Serikali Kuhusu Mfumuko wa Bei Nchini

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Serikali imeshindwa kusimamia mfumuko wa bei ya chakula nchini kwa sababu haitambui umuhimu wa...

READ MORE

Majaliwa Aagiza TAKUKURU Kukamatwa Viongozi Jiji la Mbeya kwa Ubadhirifu

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mbeya kuwakamata, kuwahoji na kisha...

READ MORE

Mumewe Kuibuka na Mke Mwingine, Mke wa Cloud Afunguka Mazito!

  Baada ya staa wa filamu za Kibongo, Issa Mussa ‘Cloud 112’ kutinga Bongo akitokea Sweden akiwa na mke mwingine...

READ MORE

Malinzi, Mwesigwa Rumande Tena Hadi Agosti 11

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amerejeshwa rumande kwa siku nyingine 11 baada ya kesi inayomkabili ya...

READ MORE

TANZIA: Mmiliki wa Impala Afariki Dunia

Mfanyabiashara maarufu nchini, Maleu Mrema amefariki dunia jana akiwa kwenye matibabu nchini Afrika Kusini. Ndugu wa marehemu,Vincent Laswai alithibitisha msiba...

READ MORE

Shilole, Darassa Kuangusha Bonge la Shoo Chato

  WAKALI wasioshikika kunako gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Sharif Thabeet ‘Darassa’ Jumamosi wiki hii...

READ MORE

MR SHINDA NYUMBA ZAWADI MLANDIZI LEO

  BAHATI Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili leo itatembelea eneo la Mlandizi mkoani Pwani ambako Mr Shinda Nyumba...

READ MORE

Shilole Atolewa Posa, Ndoa Soon!

UBUYU unaomung’unywa taratibu mjini unamgusa mwanamama aliyetokea kwenye filamu za Kibongo kisha akajikita katika Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ au...

READ MORE

Okwi: Nisubirini Uwanjani Niwanyooshe

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi amefunguka kwa sasa anaendelea na mazoezi na kikosi hicho ambapo mashabiki ambao wana hofu...

READ MORE

Tamasha la ‘Komaa Concert 2017’ Latikisa Dar

TAMSHA la “KOMAA CONCERT 2017, la kituo cha redio cha Efm na TV-E jana lilifunika vilivyo katika viwanja vya Tanganyika...

READ MORE

Kampeni ya ‘Magufuli Baki’ Kuanza ‘Soon’

  KAMPENI ya ‘Magufuli Baki’ iliyoanzishwa karibuni na mwanaharakati ambaye pia aliwahi kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Sengerema kupitia...

READ MORE

Chadema Yasema Haikutuma Mtu Kuzuia Mwandishi wa TBC

Kuhusu Mwandishi wa TBC kuzongwa /kuzuiliwa kutimiza wajibu wake. Tumepokea kupitia vyombo vya Habari taarifa za tukio la Mwandishi wa...

READ MORE

NEC Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Uteuzi Wa Wabunge CUF

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefafanua juu ya uteuzi wa wabunge wapya wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi...

READ MORE