×

Habari

Breaking News: Mzee Yusuph Amefiwa na Mke Wake Usiku Huu

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern, Mzee Yusuf amefiwa na mkewe usiku huu. Mmoja wa Wakurugenzi wa Jahaz Modern...

READ MORE

Ufunguzi Ndondo Cup 2017… Makuburi FC Vs Stim Tosha Zatoshana Nguvu

LEO Jumamosi Juni 17 zilikuwa shamra shamra za uzinduzi wa michuano ya soka la mitaani maarufu kama Ndondo Cup 2017...

READ MORE

Ishu ya Mchele wa Plastiki Bongo, Kiwanda Kinachodaiwa Kutengeneza Chavamiwa (Pichaz + Video)

  DAR ES SALAAM: Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na uvumi una­osambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii, juu...

READ MORE

Rama Mla Nyama za Watu, Baada ya Kutoka Gerezani Aanika Matukio Ya Kutisha

DAR ES SALAAM: Exclusive! Kwa mara ya kwanza katika mahojiano maalum siku chache tangu atoke gerezani, mtoto aliyewahi kuwa gumzo,...

READ MORE

Unamkumbuka Rama ‘Mla Nyama za Watu’? – Mtazame LIVE Interview Kupitia Global TV

Exclusive! Kwa mara ya kwanza katika mahojiano maalum siku chache tangu atoke gerezani, mtoto aliyewahi kuwa gumzo, Ramadhan Seleman Musa...

READ MORE

Droo Ndogo ya Nne Shinda Nyumba… Washindi Wapongeza Kukabidhiwa Ving’amuzi (Video)

Mwakilishi wa TING, Caroline Collent (kushoto) akimkabidhi zawadi ya King’amuzi, Ally Ramadhani Kazi. DAR ES SALAAM: Baada ya washindi watatu...

READ MORE

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima (+Pichaz 20)

Mkali wa muziki wa Hip Hop  Bongo, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoriki, baada ya juzi kuibukia Shule ya Mchikichini iliyopo Mbagala...

READ MORE

BreakingNews: Makamu wa Rais Bi. Samia Azindua Fursa za Ajira na Wachina UDSM

Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania, leo amezindua fursa za ajira kati ya Watanzania na Wachina, zoezi...

READ MORE

Simba Yahamia kwa Ngoma

UNDAVA undava tu kwani Simba baada ya kuchukuliwa mchezaji wake Ibrahim Ajibu na Yanga, nayo inapambana kuhakikisha inamsajili straika Donald...

READ MORE

Nandy: Sipendi Kolabo!

MWANAMUZIKI anayetamba na Ngoma ya Wasikudanganye, Faustina Charles`Nandy’ amefunguka kuwa hapendi kufanya kolabo na msanii yeyote kwa sasa bali ataendelea...

READ MORE

Nisha Adaiwa Kumchukua Bwana wa Shilole

STAA wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anadaiwa kuwa kwenye mahaba motomoto na aliyekuwa mpenzi wa msanii mwenzake, Zuwena...

READ MORE

Mrisho Mpoto Alamba Shavu Ngorongoro

DAR ES SALAAM: Msanii wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto maarufu kwa jina la ‘Mjomba’ amelamba shavu jingine...

READ MORE

Mr Universe Atua Bongo, Ashusha Somo kwa Vijana

Mr Universe Tanzania mwaka 2002, Matukio Chuma, amewataka vijana wa Kitanzania kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza ndani na nje ya nchi...

READ MORE

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo,...

READ MORE

Pichaz + Video: Dokii Ajitofautisha Na Waigizaji Wenzake!

STAA wa maigizo na filamu za kicheshi Bongo, Ummy Wenslaus ‘Dokii’ amejitofautisha na wasanii wenzake, ambapo pamoja na mambo mengine...

READ MORE

Mashindano ya Qur-an ya Dunia Kufanyika Diamond Jubilee, Dar

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-an Tanzania Sheikh Othman Ally Kaporo amesema kuwa jumuiya hiyo imetenga kiasi cha dola za...

READ MORE

Watatu Wafariki, 24 Wajeruhiwa Ajali ya Basi Manyara

Mbulu. Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Haydom, kuelekea Mbulu Mjini,  kuingia...

READ MORE

Amber Lulu Awafungukia Wanaomponda

Lulu Augen ‘Amber Lulu’ amefungukia lawama ambazo amekuwa akizipata sababu ya vituko anavyovifanya katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa...

READ MORE

VIDEO: Mcheki R.O.M.A Mkatoliki Alivyorudi Darasani na Kufundisha Somo la Hisabati

RAPA namba moja Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ jana alitembelea shule ya Msingi Mchikichini iliyopo Mbagala Rangi Tatu na kufundisha...

READ MORE

Zari Mambo Ya Mitandao Waachie Mabinti

NIANZE kwa kumpa pole sana mama wa watoto watano, Zarinah Hassan ‘The Bossy Lady’ ambaye wiki chache zilizopita, alipata msiba...

READ MORE

VIDEO: #GlobalBreakingNews: Sakata la Makinikia… Chadema Wafunguka LIVE

DAR: Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umeibuka na kuzungumzia sakata la mchanga wa madini (makinikia) ambalo kwa...

READ MORE

Roma, Mr Blue na Darassa Kuliamsha Dude Idd Mosi Dar Live

  Roma akiwa darasani anafundisha somo la hisabati. BAADA ya kufanya miujiza katika bonge la shoo la Nichane Nikuchane lililofanyika...

READ MORE

Breaking News: Polisi Dar Yatumia Mabomu ya Mchozi Kutawanya Maandamano ya Walemavu

DAR ES SALAAM: Polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya walemavu waliofunga barabara wakipinga kuzuiwa kuingia katikati ya mji...

READ MORE

Serikali Yalifungia Gazeti la Mawio Kwa Miaka Miwili

Dar es Salaam. Serikali kupitia Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe imelifungia gazeti la Mawio kuchapishwa...

READ MORE

#Sportpesa: Makamu wa Rais Bi. Samia Mgeni rasmi mchezo wa Everton vs Gor Mahia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amekubali ombi la kuwa mgeni rasmi katika...

READ MORE

William Ngeleja: Kutuhumiwa Siyo Kukutwa na Hatia……Maisha Yanaendelea (VideO)

Mbunge wa jimbo la Sengerema, William Ngeleja, amesema kutuhumiwa siyo kukutwa na hatia na maisha yanaendelea. Ngeleja ambaye ni mmoja...

READ MORE

TWAWEZA: Rais JPM Ameshuka Umaarufu Kutoka 96% hadi 71, CCM Yazidi Kupaa

Asilimia 71 ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani. Kiwango hiki kimeshuka kutoka asilimia 96 mwezi Juni...

READ MORE

VIDEO: R.o.m.a Awa Mwalimu wa Hisabati, Mcheki Akikata Namba Darasani

Rapa namba moja kwa mwenye hits song zenye kudumu miaka dahali, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoriki’, June 15 mwaka huu alirudi...

READ MORE

VIDEO: Wapinzani ni Sawa na ‘POPO’, Walijigeuza Mawakili wa Wezi -Abdallah Ulega

Mbunge wa Mkuranga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdallah Ulega amewafananisha wabunge wa upinzani na popo kuwa hawaeleweki...

READ MORE

BreakingNews: CCM Yaapa Kuwashughulikia Kikamilifu Makada Waliotajwa Ripoti ya Mchanga wa Madini (+VIDEO)

Chama cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, kimesema kinasubiri majibu ya uchunguzi wa tuhuma...

READ MORE

Shinda Nyumba Droo ya 4: Washindi wa Ving’amuzi vya Ting Kwatu!

DAR ES SALAAM: Baada ya washindi wa watatu wa droo ndogo ya nne ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu...

READ MORE

Baada ya Kifo cha Mumewe… Zari Akwaa Aibu 5

  KAMPALA: Katikati ya majonzi, yapata siku 15 tu tangu mumewe, Ivan Ssemwaga ‘Ivan Don’ azikwe huko Nakalilo nchini Uganda...

READ MORE

Juma Nyosso Asaini Kagera Miaka Miwili

HATIMAYE beki mahiri wa zamani wa Ashanti, Simba na Mbeya City, Juma Said Nyosso amesaini mkataba wa miaka miwili wa...

READ MORE

LondonUpdates: Moto Wa Ghorofa La Grenfell Tower London Waua Watu 12 (Pichaz + Video)

WATU 12 wamethibitishwa kufa katika moto uliolitekeleza jengo la ghorofa 27 la Grenfell Tower jijini London, Uingereza, ambao ulilikumba tangu...

READ MORE

VIDEO: Mbunge Ahoji Uwanja wa Ndege Kujengwa Chato, Ataka Ufafanuzi wa Ununuzi wa Bombardier

DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum Shinyanga Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Salome Makamba amehoji bungeni sababu...

READ MORE