Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern, Mzee Yusuf amefiwa na mkewe usiku huu. Mmoja wa Wakurugenzi wa Jahaz Modern...
READ MORELEO Jumamosi Juni 17 zilikuwa shamra shamra za uzinduzi wa michuano ya soka la mitaani maarufu kama Ndondo Cup 2017...
READ MOREDAR ES SALAAM: Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na uvumi unaosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii, juu...
READ MOREDAR ES SALAAM: Exclusive! Kwa mara ya kwanza katika mahojiano maalum siku chache tangu atoke gerezani, mtoto aliyewahi kuwa gumzo,...
READ MOREExclusive! Kwa mara ya kwanza katika mahojiano maalum siku chache tangu atoke gerezani, mtoto aliyewahi kuwa gumzo, Ramadhan Seleman Musa...
READ MOREMwakilishi wa TING, Caroline Collent (kushoto) akimkabidhi zawadi ya King’amuzi, Ally Ramadhani Kazi. DAR ES SALAAM: Baada ya washindi watatu...
READ MOREMkali wa muziki wa Hip Hop Bongo, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoriki, baada ya juzi kuibukia Shule ya Mchikichini iliyopo Mbagala...
READ MOREMama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania, leo amezindua fursa za ajira kati ya Watanzania na Wachina, zoezi...
READ MOREUNDAVA undava tu kwani Simba baada ya kuchukuliwa mchezaji wake Ibrahim Ajibu na Yanga, nayo inapambana kuhakikisha inamsajili straika Donald...
READ MOREMWANAMUZIKI anayetamba na Ngoma ya Wasikudanganye, Faustina Charles`Nandy’ amefunguka kuwa hapendi kufanya kolabo na msanii yeyote kwa sasa bali ataendelea...
READ MORESTAA wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anadaiwa kuwa kwenye mahaba motomoto na aliyekuwa mpenzi wa msanii mwenzake, Zuwena...
READ MOREDAR ES SALAAM: Msanii wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto maarufu kwa jina la ‘Mjomba’ amelamba shavu jingine...
READ MOREMr Universe Tanzania mwaka 2002, Matukio Chuma, amewataka vijana wa Kitanzania kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza ndani na nje ya nchi...
READ MORERais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo,...
READ MORESTAA wa maigizo na filamu za kicheshi Bongo, Ummy Wenslaus ‘Dokii’ amejitofautisha na wasanii wenzake, ambapo pamoja na mambo mengine...
READ MOREMwenyekiti wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-an Tanzania Sheikh Othman Ally Kaporo amesema kuwa jumuiya hiyo imetenga kiasi cha dola za...
READ MOREMbulu. Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Haydom, kuelekea Mbulu Mjini, kuingia...
READ MORELulu Augen ‘Amber Lulu’ amefungukia lawama ambazo amekuwa akizipata sababu ya vituko anavyovifanya katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa...
READ MORERAPA namba moja Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ jana alitembelea shule ya Msingi Mchikichini iliyopo Mbagala Rangi Tatu na kufundisha...
READ MORENIANZE kwa kumpa pole sana mama wa watoto watano, Zarinah Hassan ‘The Bossy Lady’ ambaye wiki chache zilizopita, alipata msiba...
READ MOREDAR: Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umeibuka na kuzungumzia sakata la mchanga wa madini (makinikia) ambalo kwa...
READ MORERoma akiwa darasani anafundisha somo la hisabati. BAADA ya kufanya miujiza katika bonge la shoo la Nichane Nikuchane lililofanyika...
READ MOREDAR ES SALAAM: Polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya walemavu waliofunga barabara wakipinga kuzuiwa kuingia katikati ya mji...
READ MOREDar es Salaam. Serikali kupitia Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe imelifungia gazeti la Mawio kuchapishwa...
READ MOREMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amekubali ombi la kuwa mgeni rasmi katika...
READ MOREMbunge wa jimbo la Sengerema, William Ngeleja, amesema kutuhumiwa siyo kukutwa na hatia na maisha yanaendelea. Ngeleja ambaye ni mmoja...
READ MOREAsilimia 71 ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani. Kiwango hiki kimeshuka kutoka asilimia 96 mwezi Juni...
READ MORERapa namba moja kwa mwenye hits song zenye kudumu miaka dahali, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoriki’, June 15 mwaka huu alirudi...
READ MOREMbunge wa Mkuranga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdallah Ulega amewafananisha wabunge wa upinzani na popo kuwa hawaeleweki...
READ MOREChama cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, kimesema kinasubiri majibu ya uchunguzi wa tuhuma...
READ MOREDAR ES SALAAM: Baada ya washindi wa watatu wa droo ndogo ya nne ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu...
READ MOREKAMPALA: Katikati ya majonzi, yapata siku 15 tu tangu mumewe, Ivan Ssemwaga ‘Ivan Don’ azikwe huko Nakalilo nchini Uganda...
READ MOREHATIMAYE beki mahiri wa zamani wa Ashanti, Simba na Mbeya City, Juma Said Nyosso amesaini mkataba wa miaka miwili wa...
READ MOREWATU 12 wamethibitishwa kufa katika moto uliolitekeleza jengo la ghorofa 27 la Grenfell Tower jijini London, Uingereza, ambao ulilikumba tangu...
READ MOREDODOMA: Mbunge wa Viti Maalum Shinyanga Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Salome Makamba amehoji bungeni sababu...
READ MORE