×

Habari

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Mei 29, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 29, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Pogba Aanza Mfungo wa Ramadhani Akiwa Macca

Staa wa Manchester United, Paul Pogba amesafiri hadi nchini Saudi Arabia, Macca ikiwa ni muda mfupi baada ya kuiwezesha timu...

READ MORE

Video: IGP Simon Sirro Ateuliwa na Rais Kuwa Mkuu wa Polisi Nchini

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Mei, 2017 amemteua Kamishna wa Polisi...

READ MORE

Rais Magufuli na Mkewe Watembelea Wagonjwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali...

READ MORE

Rais Uhuru Kenyatta Akutana na Donald Trump Nchini Italia

Rais Uhuru Kenyatta amekutana na Rais Donald Trump jana huko Taormina nchini Italia walipo kuwa wanaudhuria mkutano wa nchi za...

READ MORE

Pichaz + Video: Mazishi ya Baba wa Amina Chifupa Leo Kisutu, Dar

KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kapteni Hamisi Chifupa ambaye alikuwa baba wa  aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa (Vijana) wa...

READ MORE

Madee Anaswa Akiwa Amebeba Pochi la Snura!

Msanii Madee (kulia) akiwa amebeba pochi la Snura jijini Tanga. Wakiongea jambo. Mwanamuziki Snura Mushi akifanya yake stejini. KATIKA hali...

READ MORE

Mwili wa Semwanga Wawasili Uganda kwa Mazishi

IVAN SEMWANGA, aliyekuwa mume wa Zarina Hassan ‘The Bosslady’ ambaye sasa ni mpenzi na mzazi mwenzake wa mwanamuziki wa Tanzania,...

READ MORE

Mkude Anusurika Ajali ya Gari Akitoka Dodoma

Kiungo na nahodha wa timu ya Simba SC, Jonas Mkude amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria na abiria wengine...

READ MORE

Video: Mazishi ya Baba wa Amina Chifupa Makaburini Kistu, Dar

Mzee Hamis Chifupa baba mzazi wa aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum, marehemu Amina Chifupa, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana...

READ MORE

Trilioni 281 Zilizoibwa Ishu ya Mchanga wa Dhahabu, Huyu…Msaliti?

STORI: MWANDISHI WETU | RISASI JUMAMOSI | HABARI DAR ES SALAAM: Wakati wananchi wakiendelea kushangazwa na kiasi kikubwa cha fedha...

READ MORE

Maimartha Jesse Achonga Sura Yake

STORI: HAMIDA HASSAN | RISASI | TANO KALI MTANGAZAJI wa Azam Televisheni, Maimartha Jesse amefanya upasuaji wa kuchonga sura yake...

READ MORE

Lungi Adaiwa kumuingiza Q-Chillah Kwenye ‘Unga’

NA MWANDISHI WETU | RISASI | HABARI Staa mkongwe wa filamu Bongo, Lungi Mwaulanga amedaiwa kuwa ndiyo chanzo cha Mwanamuziki...

READ MORE

Pichaz + Video: Arsenal Mabingwa wa FA Cup Baada ya Kuifunga Chelsea 2-1

Baada ya kusubiriwa kwa hamu mchezo wa fainali ya FA Cup kati ya Arsenal dhidi ya Chelsea katika uwanja wa...

READ MORE

Droo Ndogo ya Nne ya Shinda Nyumba Sasa Mei 31

DROO ndogo ya nne ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awa­mu ya Pili imewadia na sasa itafanyika Mei 31, mwaka...

READ MORE

Simba Bingwa wa Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) Mwaka 2016/17

Klabu ya Simba Sc imetwaa ubingwa wa Kombe la Azam Sport FederationCup(ASFC) baada ya kuifunga klabu ya Mbao FC, kwa...

READ MORE

Gigy Money, Lulu Diva Waingia Kwenye Bifu Zito

  STORI: HAMIDA HASSAN | RISASI JUMAMOSI | TANO KALI WAREMBO wawili ambao ni Video Queen, Gift Stanford ‘Gigy Money’...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Mei 28, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 28, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

FIFA Yajibu Rufaa ya Simba Kuhusu Kuipa Pointi Tatu Kagera

Habari mpya ni kuwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limeijibu barua ya rufaa ya Klabu ya Simba ambayo ilipeleka...

READ MORE

Video: Tamthilia: Jumba la Dhahabu – 11

SUBSCRIBE NOW: https://www.youtube.com/user/uwazi1 GLOBAL TV Online inakuletea mfululizo wa Tamthilia maarufu. Naamini uliiona lakini haikua yote au ulisikia ubora wa...

READ MORE

FULL TIME: Simba 2-1 Mbao FC, Fainali FA Cup, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma

Dakika ya 123: Mwamuzi anamaliza mchezo, Simba inapata ushindi wa mabao 2-1. Kichuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anaipatia Simba bao la pili kwa njia...

READ MORE

Zari na King Lawrence ni Mtiti Kuhusu Kurithi Mali za Marehemu Ivan

UGANDA: Kufuati kifo cha mfanyabiashara maarufu nchini Uganda na Afrika Kusini, Ivan Ssemwaga, familia na marafiki wa marehemu wamepinga vikali...

READ MORE

Umewahi Kusikia au Kuona Bomba la Kupitisha Pombe? Soma Hapa

Waandalizi wa Tamasha maarufu la muziki wa rock nchini Ujerumani wamewahakikishia wateja zaidi ya elfu 75 kwamba, katu! hawatokumbwa na...

READ MORE

TANZIA: Baba Mzazi wa Amina Chifupa Afariki Dunia

TANZIA: Baba mzazi wa aliyekuwa mbunge wa viti maalum, marehemu Amina Chifupa, Mzee Hamiss Chifupa amefariki dunia usiku wa kuamkia...

READ MORE

Usikose Kutazama JUMBA LA DHAHABU – Sehemu ya 11 Leo

Unaikumbuka Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu? Usikose kuitazama upya kupitia Global TV Online ambapo kuanzia leo na kila siku ya...

READ MORE

Simba SC Ndege Lazima Aisee

NA Omary Mdose | CHAMPIONI| Dodoma SIMBA imesema ni lazima iifunge Mbao FC leo Jumamosi katika mechi ya fainali ya...

READ MORE

Yanga Wamuomba Manji Abaki

Wilbert Molandi | CHAMPIONI| Dar es Salaam VIONGOZI wa Kamati ya Utendaji ya Yanga wameigomea barua ya kujizulu waliyoandikiwa na...

READ MORE

Mkude: Hatuna Mzaha kwa Mbao FC

NA MWANDISHI WETU |CHAMPIONI NAHODHA wa Simba, Jonas Mkude, amesema leo Jumamosi wataingia uwanjani kwa nia moja tu ya kushinda...

READ MORE

Mbao FC Yakomalia Ushindi wa Penalty

Omar Mdose | CHAMPIONI| Dodoma MBAO FC kweli imepania kutwaa ubingwa wa Kombe la FA na kubeba zawadi ya Sh...

READ MORE

Pam D Aofia Kumuanika Mpenzi Wake

 STORI: BONIPHACE NGUMIJE, RISASI JUMAMOSI, MKITO NUSUNUSU MWANADADA anayefanya vyema kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefunguka...

READ MORE

Mo Music Amchokonoa Barakah The Prince

 STORI: MAYASA MARIWATA, RISASI JUMAMOSI, MKITO NUSUNUSU MSANII wa Bongo Fleva, Moshi Katemi `Mo Music’ ameonyesha kumchokonoa mwanamuziki mwenzake, Barakah...

READ MORE

Undani wa Kifo Cha Mume wa Zari Nyuma ya Pazia

 STORI: SIFAEL PAUL, RISASI JUMAMOSI, MTANDAO KAMPALA: Kifo cha aliyekuwa mume wa staa wa Uganda na Afrika Mashariki, Zarinah Hassan...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Mei 27, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Mei 27, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Maisha Ya Mke wa Deo Filikunjombe Baada ya Miaka Miwili ya Kifo Cha Mumewe

STORI: BRIGHTON MASALU NA ANDREW CARLOS, IJUMAA, HABARI MAMA shujaa! Ikiwa imebaki miezi minne na siku kadhaa itimie miaka miwili...

READ MORE

Irene Uwoya Alamba Shavu Ubalozi wa Itel Mobile

KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel mobile Tanzania leo imetiliana saini na msanii wa Bongo Muvi, Irene Uwoya kuwa...

READ MORE