×

Habari

Vitisho Vyazidi… Mama Aikimbia Nyumba, Amwambia Nay Aache Muziki

Musa Mateja | CHAMPIONI | Dar es Salaam WAKATI msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, akiende­lea kusaka faraja...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Awaongoza Watanzania Kumkumbuka Rais Karume

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaomba viongozi na wananchi wa Tanzania Bara na Visiwani kushirikiana kwa pamoja katika kuimarisha na...

READ MORE

PICHAZ: Shughuli ya Uokoaji kwa Waliofukiwa na Kifusi Pugu Inaendelea

SHUGHULI ya kuokoa miili ya watu wawili waliofukiwa na kifusi katika Machimbo ya kokoto ya Golani yaliyopo nje kidogo ya...

READ MORE

Global Yatoa Nailoni za Mvua kwa Wauza Magazeti Dar

KAMPUNI ya Global Publishers wachapaji wa Magazeti ya Amani, Risasi, Ijumaa, Ijumaa Wikienda, Uwazi na Championi leo imetoa nailoni za...

READ MORE

Fifii Aongoza Ibada ya Miaka 5 Kanumba Makaburini

MSANII wa filamu za kibongo Tumaini Bigirimana ‘Aunt Fifii’ ameongoza ibada mbele ya mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa...

READ MORE

Johari: Wasanii Huu ni Wakati wa Kupendana

STAA wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kuwa kwa sasa wasanii wa maigizo wanapaswa kushikamana na kuondoa tofauti zao....

READ MORE

Steve:Tumuenzi Kanumba kwa Vitendo

MSANII wa maigizo na vichekesho nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa, wasanii wa tasnia ya filamu wanapaswa kumuenzi kwa...

READ MORE

Barabara Stendi ya Makumbusho Zaendelea Kujengwa

BARABARA za kuingia na kutoka katika Stendi ya Daladala ya Makumbusho, Dar es Salaam zimeendelea kujengwa tofauti na awali zilivyokuwa...

READ MORE

Harmorapa Ampokea Msanii wa Kimataifa Aliyefika Nchini kwa Ajili ya Kufanya Nae Kolabo

  MWANAMUZIKI wa kimataifa ‘Kroctics’, kutoka Ubelgiji yupo nchini kwa ziara yake ya kizazi na msanii wa Bongo Fleva mwenye...

READ MORE

Breaking News: Watu Wanne Wafukiwa na Kifusi Dar, Mmoja Afariki Dunia

DAR ES SALAAM: Watu wanne wameripotiwa kufukiwa na kifusi katika machimbo ya kokoto, Golani yaliyopo eneo la Pugu nje kidogo...

READ MORE

Mabinti wa Hip Hop Wasibaniwe, Watoboe!

KWA sasa huwezi kutaja maendeleo ya muziki wa kuchana kwa kinadada bila kumtaja mwanadada Onika Maraj ‘Nicki Minaj’. Nicki ambaye...

READ MORE

Kamanda Siiro Afunguka Kupotea kwa ROMA Mkatoliki

Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam, Simon Sirro amesema kuwa tayari wameshapata taarifa za kupotea kwa Msanii...

READ MORE

BREAKING NEWS: Wasanii Waungana Kumsaka ROMA, Wakutana COCO Beach! (VIDEO)

WASANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini kwa pamoja wameungana na kuviomba wameungana na kuviomba vyombo vya usalama nchini kufanya juhudi...

READ MORE

Afariki Dunia Baada ya Kuzidiwa na Pombe Kali!

Na SAIMENI MGALULA | GAZETI LA IJUMAA| HABARI MBEYA: Ama kweli pombe siyo chai! Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja...

READ MORE

DC Gairo Atembelea Kijiji cha Kisitwi

    Na Dustan Shekidele, Global Publishers |Morogoro Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Siriel Shahidi Mchembi  akiwa viongozi wengine wilayani...

READ MORE

Harusi ya Kifahari, Baadaye Mnaachana, Nini Kinasababisha?

NI wiki nyingine ninapoku­karibisha msomaji wan­gu kwa moyo mkunjufu kwenye uwanja huu mzuri, leo tukiwa tunaendelea na sehemu ya tatu...

READ MORE

Utapeli Magroup ya WhatsApp

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| KIUJUMBE TOKA JUNGUNI DAR ES SALAAM: Katika kutafuta namna ya kujipatia kipato kwa wakati...

READ MORE

#GlobalMusic: WizKid ‘Come Closer’ feat. Drake – (Official Music Video)

Wizkid na Drake wamerudi na video ya collabo yao mpya ‘Come Closer’. Baada ya kufanya kazi pamoja kwenye collabo ya...

READ MORE

Kwaheri The Undertaker

FLORIDA, MAREKANI|  CHAMPIONI| MAKALA ZA BURUDANI JUMAPILI Iiliyopita kulifanyika tamasha kubwa la mieleka ambalo kwa mwaka huwa linafanyika mara moja, linajulikana kwa...

READ MORE

Mama Kanumba, Mrithi wa Mwanaye Kimenuka!

SIKU chache baada ya mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa kumtambulisha mrithi wa mwanaye kuwa ni Fredy Swai, wametibuana...

READ MORE

Msuva awatolea povu Kichuya, Mbaraka

Musa Mateja | CHAMPIONI| Dar es Salaam USHINDANI wa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara unaendelea kwa kasi lakini upande...

READ MORE

Amber Lulu: Bila Pombe Kali Siimbi, Siuzi Nyago!!

 Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| STAR MIX VIDEO Queen ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva amefungukia kazi zake...

READ MORE

Yanga Waweka Kambi kwa Maaskofu

Mwandishi Wetu | CHAMPIONI| Dar es Salaam TIMU ya Yanga, jana iliingia kambini Baraza la Maaskofu, Kurasini jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Hotuba ya Waziri Mkuu Aliyoitoa Jana Bungeni

UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, naomba kutoa Hoja kwamba kutokana na taarifa zilizowasilishwa leo katika Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati...

READ MORE

VIDEO: Simu ya Roma Ipo Hewani, Haipokelewi…

ITAZAME video mke wa Roma, mama Ivan afunguka…

READ MORE

Miss Tanzania Azaa na Mbunge…

DAR ES SALAAM: Imevuja! Mbunge wa jimbo moja lililopo katikati ya nchi ya Tanzania akikiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) anadaiwa...

READ MORE

Hapa Nimekuwekea Magazeti Yote ya Tanzania Leo Ijumaa, Aprili 07, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 07, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

VIDEO: ROMA Mkatoliki Kutekwa na Kupelekwa Kusikojulikana, Mkewe Afunguka Mazito

Kufuatia tukio la Rapa ROMA Mkatoliki kuvamiwa studio za Tongwe Records akiwa na wenzake kisha kupelekwa kusikojulikana, Global TV Online...

READ MORE

Kuelekea Pasaka… Mnada wa Ng’ombe Pugu Wafurika

IKIWA imebaki wiki moja kufikia Sikukuu ya kuadhimisha kifo na ufufuko wa Yesu Kristo ‘Pasaka’, baadhi ya wananchi wameonekana kufurika katika...

READ MORE

TANZIA: Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Andy Chande Afariki Dunia

Aliyekuwa mfanyabiahsra maarufu wa Tanzania na kiongozi wa ‘Freemason’ Afrika Mashariki, Jayantilal Keshavji “Andy” Chande amefariki dunia leo Nairobi nchini Kenya....

READ MORE

Zitto, Nay wa Mitego Walaani R.O.M.A Kuvamiwa na Kukamatwa na Polisi Usiku

IKIWA ni saa chache baada ya Mbunge wa Mikumi na staa Bongo Fleva Joseph Haule ‘Prof Jay’ kutoa taarifa kupitia account...

READ MORE

Kigwangala Azindua Mkutano wa vijana kujadili Maendeleo Barani Afrika

  NAIBU Waziri wa Afya,Maendeleo,Wazee na Watoto, DK.Hamis Kigwangalah amefungua Mkutano wa vijana barani Afrika unaolenga vijana kujadili namna wanavyoweza...

READ MORE

Diamond Awahusia Watoto Wake Mtandaoni

DAR ES SALAAM: Msanii wa kiwango cha kimataifa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, amewaasa wanaye kuwa wanatakiwa kuitumia vyema midomo yao....

READ MORE

Kipi Bora Adungwe Mimba, Atoroshwe au Umuozeshe?

Na HARMORAPA| GAZETI LA AMANI| SINDANO ZA MASTAA MPENZI msomaji natumia fursa hii kukukaribisha kwenye safu hii bora kabisa ya...

READ MORE

Vita ya Idadi ya ‘Followers’ Insta na Kiburi cha Watumiaji

“MIMI ni mtu mkubwa, nina wafuasi (followers) wengi sana kwenye mtandao wangu wa  Instagram ‘Insta’, unacheki walivyokuwa wengi, wamefi ka...

READ MORE

Spika Job Ndugai Awaagiza Polisi Wamkamate Mbunge Halima Mdee

DODOMA: Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amempa saa 24 Mbunge wa Kawe, Halima James...

READ MORE

Mume Wangu Ananuka Mdomo

Na Busara Ziro| GAZETI LA AMANI| BUSARA ZIRO SHIKAMOO babu, mimi naitwa Mwajuma wa Morogoro. Tatizo langu babu, mume wangu...

READ MORE

Nape Kuanika Kila Kitu Jumamosi Hii, Alichokisema Leo Bofya Hapa

ALIYEKUWA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnuye amesema kuwa Jumamosi hii jimboni kwake Mtama mkoani Lindi, ataeleza UKWELI...

READ MORE

Roma Mkatoliki Avamiwa Studio za Tongwe Usiku, Akamatwa!

Taarifa iliyotolewa na Mbunge ambaye pia ni Rapa, Joseph Haule ‘ Prof. Jay’ kupitia ukurasa wake wa facebook imeeleza kuwa Rapa...

READ MORE