×

Habari

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa Desemba 2, 2016 Yako Hapa

  Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 2, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mvua Yaharibu Makazi ya Kaya Zaidi ya 100, Butiama

BUTIAMA: Mvua kubwa ambayo imeambatana na upepo mkali, imesababisha maafa makubwa katika vijiji vitatu vya wilaya ya Butiama mkoani Mara...

READ MORE

Twaweza: Asilimia 88 ya Wananchi Wataka Bunge Lirushwe Live

Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). DAR ES SALAAM: UTAFITI wa taasisi ya Twaweza umeonyesha...

READ MORE

Kesi ya Vijana 7 wa Chadema ya Ukusanyaji Matokeo ya Uchaguzi 2015 Yafutwa

DAR ES SALAAM: Kesi ya ukusanyaji matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 iliyokuwa ikiwakabili vijana saba wa Chama Cha...

READ MORE

Kiungo Mkabaji, Justine Zulu Asaini Miaka 2 Yanga

Zulu akisaini mkataba wa miaka miwili na Yanga. Kiungo mkabaji raia wa Zambia, Justice Zulu leo amesaini mkataba wa miaka...

READ MORE

Kesi ya Shehe Mpemba Kinara wa Meno ya Tembo Aliyetajwa na Rais Magufuli Yapigwa Kalenda

DAR ES SALAAM: KESI inayomkabili mtuhumiwa wa makosa ya kukamatwa na nyara za serikali, Yusuf Ali Yusuf maarufu kama Shehe...

READ MORE

Serikali Yafuta Maadhimisho ya Kitaifa ya Walemavu

DODOMA: Serikali imebatilisha uamuzi wake wa kufanya maadhimisho ya Siku ya Walemavu Kitaifa Jijini Dar es Salaam na kutoa agizo...

READ MORE

Hizi Ndizo Ajali 8 za Ndege Zilizowahi Kuzikumba Timu za Michezo

Kuanzia ajali ya ndege ya Munich ambayo iliangamiza mabingwa mara tano wa timu ya soka ya Italia, Torino na timu...

READ MORE

Ummy Mwalimu: Katika Watanzania 100, Watano Wana Maambukizi ya VVU

UKIMWI bado ni janga kubwa nchini kwetu. Takwimu zinaonyesha maambukizi ya VVU kwa upande wa Tanzania Bara kuwa ni #asilimia5.3....

READ MORE

Wakazi wa Tabata, Arusha Walamba Mil 46/- za m-Bet

M bet.Washindi wa M-bet,Emmanuel  Katema (kushoto) na Ramon  Mane wakifurahia zawadi yao  wakati walipokabikdhiwa hundi ya mfano ya Sh.Milioni Arobaini...

READ MORE

RPC Kakamba wa Singida Alivyoagwa Dar

Mwili ukiingizwa kanisani. Kutoka kushoto ni Kamishna wa Kanda Maalum ya Dar, CP Simon Sirro, IGP Mstaafu, Said Mwema na...

READ MORE

Mbunge Afukuzwa Kanisani kwa Kusema ana Virusi vya HIV

Princes Kasune (40) ni mmoja ya wanaharakati maarufu wa ugonjwa wa ukimwi nchini Zambia na alichaguliwa kuwa mbunge kupitia chama...

READ MORE

Mambo Yazidi Kuwa Magumu kwa Wadaiwa Bodi ya Mikopo, Sasa Kukatwa 15% ya Kipato Chao kwa Mwezi

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhandisi Stella Manyanya. MAMBO yanazidi kuwa magumu kwa wadaiwa wa mikopo ya...

READ MORE

Sababu ya Ndege ya Brazil Kuanguka ni Baada ya Kuishiwa Mafuta, Aliyenusurika Aaanika Mazito!

Ndege iliyokuwa imewabeba wachezaji wa timu ya mpira kutoka nchini Brazil ambayo ilipata ajali nchini Colombia inasemekana kwa mujibu wa...

READ MORE

Majambazi Wavamia Mgahawa, Wapora na Kujeruhi Mwanza

Ahmed Msangi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza. WATU wanaodaiwa kuwa majambazi wamevamia mgahawa wa Dinners uliopo katika mtaa wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Baba wa Mizengo Pinda

DODOMA: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana aliongoza mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa marehemu Mzee Xavery Pinda ambaye ni baba...

READ MORE

Mti Mrefu Zaidi Afrika Wagunduliwa Tanzania

Wanasayansi wanasema kuwa wamegundua kile wanaamini kuwa ni mti mrefu zaidi barani Afrika. Mti huo uko bonde moja lililo Kaskazini...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Alhamisi Desemba 1, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 1, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Sangoma Auawa Akitaka Kumbaka Mgonjwa

SHINYANGA: Mganga wa kienyeji ‘Sangoma’ aliyejulikana kwa jina la Kashinje Kashinje (55), mkazi wa kijiji cha Singita kilichopo Kata ya...

READ MORE

Kisa Kukana Ujauzito, Nisha Amchana Nay wa Mitego

  MSANII wa filamu za vichekesho nchini, Salma Jabu ‘Nisha’ ameibuka na kumchana staa wa Hip hop, Nay wa Mitego...

READ MORE

Washia Waadhimisha Kifo cha Mtume Muhammad kwa Maandamano ya Amani Dar

   WAUMINI wa Dhehebu la Shia nchini, leo wamefanya maandamano ya amani kwa ajili ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad...

READ MORE

Taasisi za Serikali, Dini na Kiraia Zatakiwa Kufuata Maadili

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Suzan Mlawi, akizungumza jambo kwenye hafla...

READ MORE

Samia Kuzindua Mkutano wa Wasindika Vyakula Nchini

CHAMA cha wasindikaji  wa vyakula nchini  (Tanzania Food Processors Association  – TAFOPA) kinatarajiwa kufanya mkutano wake wa wadau wa uwekezaji...

READ MORE

Tanzia: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida SACP Kakamba Afariki Dunia

DAR ES SALAAM: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida SACP Peter Kakamba amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, leo...

READ MORE

Rapa Tyga Ashitakiwa Kutolipia Ferrari Aliyokodi

BAADA ya kukumbana na matatizo mengi ya kifedha yakiwemo ya  kunyang’anywa magari kadhaa mwaka huu, rapa wa Marekani, Tyga, ambaye...

READ MORE

Masikitiko Tena! Kipa wa Brazil Aliyenusurika Ajali ya Ndege Naye Afariki Dunia

         MWANASOKA wa Brazil aliyejiondoa katika mabaki ya ndege iliyoanguka nchini  Colombia Jumatatu usiku, alimpigia simu ya mwisho mkewe muda...

READ MORE

Wafuasi wa CUF Wavamia Makao Makuu ya Chama Zanzibar

MTENDENI, ZANZIBAR: Wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF), Zanzibar leo wamevamia Ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho yaliyopo eneo...

READ MORE

Mfalme Charles Mumbere wa Uganda Afunguliwa Mashtaka kwa Mauaji ya watu 62

UGANDA: Charles Wesley Mumbere, ambaye ni mfalme kutoka magharibi mwa Uganda amefunguliwa mashtaka ya mauaji kufuatia mapigano ya mwishoni mwa...

READ MORE

Scorpion Aongezewa Shtaka la Kujeruhi, Arudishwa Rumande Hadi Desemba 14

DAR ES SALAAM: Mtuhumiwa anayedaiwa kumtoboa macho Said Ally, Salum Njwete (34) maarufu kama Scorpion leo ameongezewa shtaka lingine la...

READ MORE

Pichaz: King Kiba Alivyosherehekea Birthday Yake Kwenye Hifadhi ya Serengeti

Alikiba akipokea keki. King Kiba akikata keki. Kiba akimlisha keki Baraka Da Prince. Baraka Da Prince, Seven Mosha na Alikiba...

READ MORE

Mtanzania Anyakuwa Tuzo ya TEHAMA Kenya

Kila mwisho wa mwaka kumekua kukitolewa tunzo za utambuzi wa michango mbali mbali ya wana TEHAMA maeneo mengi ambapo mwaka...

READ MORE

Ngome ya Wanawake ACT Yamshitaki RC Makonda kwa Kumdhalilisha Afisa Ardhi Kinondoni

  Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo imeitaka Tume ya Maadili na Utawala Bora kufanya uchunguzi na kuchukua hatua dhidi ya...

READ MORE

Rais Lungu Ahitimisha Ziara Yake, Akataa Biashara ya Uswahiba

DAR ES SALAAM: Rais wa Zambia, Edgar Lungu amewataka watendaji wa nchi yake na Tanzania, kuweka siasa pembeni na kujikita...

READ MORE

Selfie ya Diamond Akiwa Amevaa Kichupi Aibu Yake Hii Hapa!

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul  ‘Diamond Platnumz’ amezua sintofahamu kwenye mitandao ya kijamii baada ya jana Jumanne kupost kwenye...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatano Novemba 30, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 30, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Ziara ya Kushtukiza Gereza la Ukonga Dar

Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiweka saini kitabu cha wageni...

READ MORE

Yanga Chini ya Lwandamina Yazidi Kujifua Tayari kwa Mzunguko wa Pili wa VPL

Wachezaji wa Yanga wakiendelea na mazoezi leo kwenye Uwanja wa Polisi, Kurasini chini ya kocha mkuu George Lwandamina pamoja na...

READ MORE

Pedeshee Ndama Kortini Kwa Kugushi Nyaraka na Kutakatisha Bil 1.77

DAR ES SALAAM: Mfanyabiashara wa jijini Dar, Ndama Shaaban Hussein almaarufu Pedeshee Ndama Mutoto ya Ng’ombe, aliyewahi kuwa mfadhili wa...

READ MORE