×

Habari

Benki ya Twiga Kuanza Kutoa Huduma Novemba 8, 2016

Kwa mamlaka iliyopewa kisheria kupitia kifungu namba 58(2) (a) na (b) cha Sheria ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya...

READ MORE

Maisha Magic Bongo na Multichoice Walivyozindua Chaneli ya Filamu za Kibongo

Wageni waalikwa wakiwa ndani ya nyumba. Mzee Chilo (kulia) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Dar, Paul Makonda katikati ni Mkuu...

READ MORE

Tishio la Usalama Lamuondoa Trump Jukwaani

Mgombea wa urais wa chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amelazimika kuondolewa jukwaani kwa muda na walinzi wake baada...

READ MORE

Kikosi cha Yanga SC Leo Dhidi ya Tanzania Prisons

1. Beno Kakolanya 2. Mbuyu Twite 3. Mwinyi Haji 4. Vicent Bossou 5. Kelvin Yondani 6. Thabani Kamusoko 7. Yusufu...

READ MORE

Wawili Wauawa Baada ya Msafara wa Majeshi Kushambuliwa Somalia

WATU wawili wameuawa baada ya mlipuaji wa kujitoa muhanga kushambulia msafara wa majeshi karibu na bunge la Somalia mjini Mogadishu....

READ MORE

Fiesta 2016 Imooo Yatikisa Jiji la Dar

Mwanadada kutoka Nigeria, Yemi Alade akizikonga nyoyo za mashabiki waliohudhuria tamasha la Fiesta 2016 Imoooo katika Viwanja vya Leaders Club...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumapili Novemba 6, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 6, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Mgonja: Watumiaji Wa Barabara Kupatiwa Elimu Wiki Ya Usalama Barabarani

DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Kamati ya Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Dar es Salaam,  Elifadhili Mgonja (pichani anayezungumza) amesema...

READ MORE

Hatimaye Bunge Lapitisha Mswada Sheria ya Huduma za Habari

Hatimaye mchana huu wabunge wamepitisha bungeni muswada wa sheria ya huduma za habari wa mwaka 2016 uliojadiliwa kwa siku mbili....

READ MORE

Mwenye Nidhamu Ana Silaha Dhidi ya Ujinga na Umasikini

Vita dhidi ya umasikini kwa kiwango cha kaya mpaka Taifa kwa jumla, nidhamu naipa namba moja kama ni sababu ya...

READ MORE

Listi Ya Wasanii Watakao Kinukisha Jukwaa La Fiesta, Dar leo

Staa kutoka Nigeria, Yemi Alade. Mkali wa ngoma ya Wash, Where, Dulo kutoka Nigeria, Tekno Miles. Staa wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Wema Amdondoshea Povu Shosti Wake Muna, Pachimbika!

KIMENUKA TENA! Jana Ijumaa, Novemba 4, 2016, hali ya hewa ilichafuka kwenye mitandao ya kijamii baada ya staa wa filamu...

READ MORE

Mbunge Sadifa Afunguka Ishu ya Ulevi

NA IMELDA MTEMA | RISASI JUMAMOSI: WIKI hii tumefunga safari mpaka visiwani Zanzibar, ambapo imeenda kuyadadavua maisha halisi ya mbunge...

READ MORE

Polisi Dar Yaeleza kwa Nini Hawajamkamata Tundu Lissu

DAR ES SALAAM: Jana, Novemba 4, 2016 iliripotiwa kwenye vyombo vya habari kwamba Mbunge na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu...

READ MORE

Yemi Alade: Nilimtabiria Nandy Atakuwa Msanii Mkubwa

DAR ES SALAAm: Msanii wa kike maarufu nchini Nigeria na Afrika kwa ujumla ambaye atakuwa ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Novemba 5, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Novemba 5, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti...

READ MORE

Tundu Lissu Akataa Kujisalimisha Mahakamani

Siku moja baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuagiza Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu...

READ MORE

Nape Nnauye Awsailisha Bungeni Mswada wa Huduma za Habari

  Hotuba ya Waziri Nape Nnauye Kuhusu Mswada wa Huduma za Habari

READ MORE

Rais JPM Atumia Saa 2 Kutathimini Mwaka Mmoja Madarakani na Wanahabari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akiongea na wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam leo....

READ MORE

Wananchi Wafuatilia Mahojiano Kati ya JPM na Wahariri

Baadhi ya wananchi wakifuatilia mahojiano ya vyombo mbalimbali vya habari na Rais Magufuli kwenye runinga. WANANCHI  leo walifuatilia mahojiano kati...

READ MORE

Vurugu Zilivyotanda Kati ya Machinga Vs Mgambo Moro!

Eneo la Soko Kuu la Morogoro ambapo baada ya kuvunjwa kwa lengo la kumpisha makandarasi kujenga soko la Kisasa ya...

READ MORE

Live Updates: Yanayojili Kwenye Mahojiano ya JPM na Wanahabari

IKULU, DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 04 Novemba, 2016...

READ MORE

Airtel Yatangaza Washindi wa Shindano la Video Bora Lijulikanalo Kama “Jicho la Kitaa”

Jaji wa shindano la jicho la kitaa na mmiliki na mkurugenzi mkuu wa studio ya picha ya I-View,  Raqey Mohamed...

READ MORE

Ujue Umasikini Usiozaliwa Nao

Wananchi wa Tanzania wakiwa sokoni. Hali ngumu ya maisha kwa sasa imenisukuma kukuandikia haya mpenzi msomaji.  Kukomesha umasikini wa kupindukia...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Ijumaa Novemba 4, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Novemba 4, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti...

READ MORE

Mbowe Azidi Akomaa na Wabunge wa CCM Kuhusu Tuhuma za Kupewa Rushwa ya Mil 10

DODOMA: Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe jana alisababisha taharuki katika kikao cha Bunge baada ya kuzusha tuhuma...

READ MORE

Rais Magufuli Kufanya Mahojiano na Wanahabari Leo Ijumaa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 04 Novemba, 2016 atafanya mahojiano ya kwanza...

READ MORE

Mahakama Yatoa Kibali Tundu Lissu Akamatwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imetoa amri ya  kukamatwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na kuamuru...

READ MORE

Mbunge Lema Asafirishwa Kutoka Dodoma Usiku Hadi Arusha, Aswekwa Mahabusu

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, amesafirishwa kutoka Mkoani Dodoma usiku wa kumkia jana na kuswekwa kwa mara...

READ MORE

TMA Yatahadharisha Nchi Kukumbwa na Ukame

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) – imeendelea kuwataka Wakulima kufuatilia kwa ukaribu Taarifa za hali...

READ MORE

Lugora Awaonya Mawaziri Wasimpotoshe Rais Magufuli

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugora (CCM) amewaonya baadhi ya mawaziri kutompotosha Rais John Magufuli kuwa fedha zimepotea, kutokana na baadhi...

READ MORE

Walimu 3 Mbaroni kwa Kuwazuia Wanafunzi Kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne

POLISI mkoani Dodoma inawashikilia walimu watatu wa shule za sekondari kwa tuhuma ya kuwazuia wanafunzi wa kidato cha nne, kufanya...

READ MORE

Miss Kilimanjaro mwaka 2016 Ateuliwa Kuwa Balozi Wa PII

Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa PII, Amos Oyomba akimkabidhi Miss Kilimanjaro mwaka 2016, Glory Msuya hundi ya shilingi milioni moja....

READ MORE

Jambo Unalolipenda na Kulitumikia Lina Uhusiano wa Moja Kwa Moja na Kifo Chako

  MUNGU ni wa ajabu.  Ajabu yake inakamilishwa na yaliyomo ulimwenguni, ikiwemo yanayoonekana na yale ya kusadikika. Uwepo wa uhai...

READ MORE

Video: Mbowe Amtwanga Swali Waziri Mkuu Kuhusu Rushwa kwa Wabunge wa CCM, Naibu Spika Azuia Lisijibiwe

DODOMA: Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe katika kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu leo amedai kuwa, mnamo...

READ MORE

Binti wa Chuo Kikuu cha Makumira Adaiwa Kubakwa Hadi Kufa Kisha Mwili Wake Kutupwa

INASIKITISHA SANA: Binti mmoja ambaye ni model na mwimbaji wa muziki wa Bongofleva na ngoma za asili aliyetambulika kwa jina la...

READ MORE

Sita Wafariki Dunia Wakidaiwa Kula Ugali wa Muhogo!

HABARI za kusikitrisha ni kwamba, watu sita akiwemo mama wa familia, watoto wake watatu wa kiume na majirani zake waiwili...

READ MORE