×

Habari

Wolper Avuta Ndinga Ya Milioni 20

   Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper akiwa kapozi na gari hilo aina ya Toyota Alphard . Hamida Hassan...

READ MORE

RC Makonda Awataka Watendaji wa Kata Kuwa na Taarifa Zote za Miradi ya Maendeleo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akizungumza na wananchi wa Kata ya Msigani mtaa wa Temboni juu...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Cuba, Fidel Castro Afariki Dunia

HAVANA, CUBA: Rais wa zamani wa Cuba, na kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha nchini humo, Fidel Alejandro Castro Ruz...

READ MORE

Rais Magufuli Awatunuku Wahitimu JWTZ

DAR ES SALAAM: Rais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli amewatunuku Cheo...

READ MORE

Msikilize JPM Akiongea Kwa Simu Na RC Makonda Jana Akiwa Mkutanoni Ubungo

DAR ES SALAAM: LEO Novemba 25, 2016 wakati Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda akizungumza kwenye...

READ MORE

Jihan Dimachk Aibuka Mshindi wa Miss Universe Tanzania 2016

DAR ES SALAAM: Mrembo Jihan Dimachk aibuka mshindi wa shindano la Miss Universe Tanzania 2016 lililofanyika Usiku wa Novemba 25,...

READ MORE

Kajala Naye Amjibu Wema, Kamuweka Wazi Mpenzi Wake (Video)

Staa wa Filamu Bongo,Kajala Masanja akiwa na anayedaiwa kuwa mpenzi wake mcheza filamu anayefahamika kwa jina la Mutra. Na Hamida...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi Novemba 26, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 26, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Gavana Prof. Ndulu: Kuweka Fedha Kwenye Akaunti Maalum (Fixed Deposit Account ) Si Kosa Kisheria

Sakata la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuweka fedha katika akaunti maalumu kwenye benki za biashara limechukua sura mpya baada...

READ MORE

Ummy Apokea Vifaa vya Macho Kutoka Standard Chartered

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered,  Sanjay Rughni (kushoto) akisoma hotuba kwa waziri Mwalimu. DAR ES SALAAM: WAZIRI wa...

READ MORE

Baada ya Kumwacha Pasqualino, Perrie Amdaka Chamberlain wa Arsenal

Perrie katika pozi. MWIMBAJI wa kundi la Little Mix, mrembo Perrie Edwards, anamwinda mcheza soka wa timu ya England na...

READ MORE

Menejimenti ya Shirika la Ndege Tanzania Yavunjwa

DAR ES SALAAM: Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imeivunja Menejimenti ya Shirika hilo ili kukidhi vigezo na haja...

READ MORE

Masauni Kuongoza Kampeni Ya Abiria Paza Sauti Kesho Ubungo

Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani nchini, DCP Mohamed Mpinga akizungumza jambo wakati alipozungumza na wanahabari leo. Kaimu Mtendaji Mkuu...

READ MORE

Happy Birthday Oscar Ndauka

Oscar Ndauka akiwa katika pozi. LEO ni siku muhimu sana kwa Mhariri Kiongozi wa Global Publishers, Oscar Ndauka ambapo anasherehekea siku...

READ MORE

Genge la ‘Walaji Rushwa’ Lajitangaza Gazetini

Wakenya wengi mtandaoni wameeleza kushangazwa kwao na tangazo lisilo la kawaida ambalo limechapishwa katika gazeti moja kuu nchini humo. Tangazo...

READ MORE

Demu Mpya wa Cristiano Ronaldo Awatoa Udenda Midume

MWANASOKA maarufu wa timu ya Real Madrid (31), ya Hispania, Cristiano Ronaldo, amepata kimwana mpya ‘mkali’  aitwaye Georgina Rodriguez ambaye...

READ MORE

Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege Kenyan Airways Ajiuzulu

KENYA: Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege Kenyan Airways la nchini Kenya, Mbuvi Ngunze amejiuzulu baada ya kufanya kazi na...

READ MORE

Pichaz: Hayawi Hayawi… Kocha Lwandamina Atambulishwa Rasmi Yanga SC

DAR ES SALAAM: HAYAWI HAYAWI YAMEKUWA; Kocha mpya wa Klabu ya Yanga, George Lwandamina ametua kikosini hapo na kukabidhiwa jukumu...

READ MORE

Mzee wa Upako Awafanyia Fujo Majirani, Afunga Mtaa kwa Matusi, Adakwa na Polisi, Ulevi Watajwa

DAR ES SALAAM: Mchungaji  Kiongozi wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Dar es Salaam, Anthony Lusekelo, maarufu Mzee wa Upako,...

READ MORE

Sinema ya Diamond Vs Dimpoz, Hizi Sasa ni Sifa!

Diamond DAR ES SALAAM: NI baada ya Diamond kuibuka kwenye interview ya Kipindi cha XXL cha Clouds Fm na kueleza...

READ MORE

Idris aishia ‘Kula Kwa Macho’ Kwa Sanchoka

Mtangazaji wa Redio Choice FM, Idris Sultan. Na Musa Mateja, Ijumaa DAR ES SALAAM: Licha ya mbwembwe alizoonesha Mtangazaji wa...

READ MORE

Hizi Hapa Nafasi 205 za Ubora wa Soka Fifa, Tanzania Yaporomoka Nafasi 16

TANZANIA imeoporomoka nafasi 16 za Viwango vya ubora wa Soka duniani vilivyotolewa na jana Novemba 24 na FIFA, kutoka nafasi...

READ MORE

Makonda Azidi Kuwasotesha Wenyeviti wa Mitaa, Amburuza Mwingine Rumande

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda jana  aliliagiza jeshi la polisi kumkamata mwenyekiti wa serikali ya Mtaa...

READ MORE

JPM Amualika Rais Edgar Lungu wa Zambia kwa Ziara ya Siku 3

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga, amesema Rais Edgar Lungu wa Zambia...

READ MORE

A-Z Wafuasi wa Prof. Lipumba na wa Maalim Seif Walivyotwangana Ngumi Mahakamani

Wafuasi  wa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu wa Chama hicho,  Maalim Seif Sharif Hamad jana waligeuka...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa Novemba 25, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 25, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Nyota wa Filamu India Abeba Nguruwe na Kwenda Nayo Benki

Nyota wa filamu nchini India amezua hisia baada ya kupigwa picha akiwa amesimama katika foleni nje ya benki akiwa amebeba...

READ MORE

Rais Magufuli Atoboa Siri ya Kuivunja Bodi ya TRA

Rais John Magufuli KUIDHINISHWA kwa Bodi ya Mamlaka ya Mapato  (TRA) kuweka mabilioni ya fedha katika benki binafsi ndiyo sababu...

READ MORE

Ommy Dimpoz: Nilivurugana na Diamond Kisa Wema Sepetu, Aanika Bifu la Kiba na Diamond

STAA wa Bongo fleva hapa nchini, Ommy Dimpoz anayetamba na ngoma yake ya ‘Kajiandae’, amefungukia bifu lake na msanii mwenzake,...

READ MORE

Kura za Jimbo la Wisconsin Huenda Zikahesabiwa Upya

Aliyekuwa mgombea wa urais katika uchaguzi wa Marekani huenda akafaulu katika harakati zake za kutaka kura kuhesabiwa upya. Donald Trump...

READ MORE

Hizi ni Sentensi 32 Za Diamond Platnumz Alipohojiwa na Clouds FM, Amfungukia Wema

Hizindizo sentesi 32 alizoongea mkali wa Bongo fleva hapa nchini, Diamond platinums jana alipojiwa jana Novemba 23, 2016 kwenye Kipindi...

READ MORE

Waziri Nape Atembelea Ofisi za WCB, Apokea Changamoto za Muziki wa Bongo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Nape Nnauye ametembelea ofisi za Kundi la musiki wa kizazi kipya la...

READ MORE

Clinton Anaongoza kwa Zaidi ya Kura 2m Dhidi ya Trump

Uongozi wa aliyekuwa mgombea urais wa chama cha Democratic Hillary Clinton dhidi ya Donald Trump wa Republican katika kura za...

READ MORE

Wafuasi wa Prof. Lipumba na wa Maalim Seif Wazichapa Nje ya Mahakama

Dar es Salaam: Wafuasi wa CUF wanaomuunga mkono Prof. Lipumba na wa Maalim Seif wamepigana nje ya Mahakama Kuu Kanda...

READ MORE

Kadinda Ataja Sababu Za Zutoonekana Na Mademu

     Mwanamitindo, Martin Kadinda. Habari na Imelda mtema Unapowazungumzia wanamitindo wakubwa Bongo, huwezi kuacha kumtaja Martin Kadinda. Licha ya kupata...

READ MORE

Hii Ndiyo Foleni Kubwa ya Magari Kuwahi Kutokea Duniani

Video ya foleni ndefu ya magari Kusini mwa Jimbo la California nchini Marekani imevuma sana mtandaoni, wengi wakisema huenda ndiyo...

READ MORE

Mahakama Yataka Neymar Afungwe Jela Miaka 2

WAENDESHA mashtaka nchini Hispania wamemtaka mshambuliaji wa Barcelona Neymar kufungwa jela miaka miwili kufuatia kuhusika kwake katika kesi ya ufisadi...

READ MORE