×

Habari

Kiba Ampiga Dongo Diamond Baada ya Kuwaona Simba Origino

Simba original 😂 #KingKiba A photo posted by alikiba (@officialalikiba) on Nov 29, 2016 at 3:34am PST Mwanamuziki Alikiba amechafua...

READ MORE

Wananchi wa Cuba Watoa Heshima za Mwisho Kwa Mwili wa Rais Fidel Castro

HAVANA, CUBA: Maelfu ya raia wa Cuba wanatoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi mwanamapinduzi Fidel Castro, aliyeaga dunia Ijumaa...

READ MORE

Daktari Feki Afanya Upasuaji Wagonjwa 9 na Kufariki Mmoja, Apewa Ofa ya Kujiendeleza Kielimu

KENYA: Kamati ya maswala ya afya nchini Kenya imependekeza daktari feki aliyekamatwa nchini humo aruhusiwa kujiendeleza na masomo ya udaktari...

READ MORE

Burundi Yiishutumu Rwanda kwa Jaribio la Kumuua Mshauri Mkuu wa Rais Nkurunzinza

Burundi imemlaumu jirani wake Rwanda kwa kupanga jaribio lililofeli la kutaka kumuua mshauri mkuu wa rais Pierre Nkurunziza. Msemaji wa...

READ MORE

Happy Birthday KingKiba

LEO Novemba 29 ndiyo siku aliyozaliwa staa wa Bongo Fleva hapa nchini, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’ au ‘KingKiba’. Staa huyo anayekimbiza...

READ MORE

Chadema Waja na Oparesheni Mpya ‘Kata Funua’

Baada ya kuanzisha na hatimaye kukwama kuitekeleza operesheni ya Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (Ukuta), Chadema imekuja na nyingine itakayokwenda...

READ MORE

Ajali; Ndege Iliyobeba Wanasoka wa Brazil Yaanguka Colombia, Yaua 76, Watano Wanusurika 

Mabaki ya ndege iliyoanguka. Kabla ya kuanza safari timu hiyo ilipiga selfie hizi. Ndege iliyoanguka hii hapa. Mmoja wa wachezaji...

READ MORE

Njama 638 za Mauaji Alizoepuka Rais Fidel Castro

Njama ya kutumia sigara kumuua Fidel Castro ambayo ilitibuka inajulikana sana, lakini njama nyengine 637 dhidi ya maisha yake ni...

READ MORE

Rais Magufuli na Rais Lungu Kufufua Miradi ya TAZARA na TAZAMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa...

READ MORE

Prof. Ndalichako Akanusha Taarifa ya Wanafunzi wa Diploma Kuzuiliwa Kujiunga vyuo Vikuu

DAR ES SALAA: WIZARA ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imetoa ufafanuzi kwamba haijapiga marufuku watu wenye Stashahada...

READ MORE

Chanjo Dhidi ya Ukimwi Kuanza Kufanyiwa Majaribio Kesho Jumatano

AFRIKA KUSINI: Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii. Wanasayansi wanasema...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne Novemba 29, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 29, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Kesi ya Mke wa Bilionea Msuya Yaahirishwa Tena

DAR ES SALAAM: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kutoa uamuzi wa maombi ya Miriam Msuya aliyekuwa mke wa...

READ MORE

Ali Kiba, Diamond, Vanessa Mdee & Navy Kenzo Watajwa Kuwania Tuzo Nigeria. Wapigie Kura Hapa

NIGERIA: Kituo cha runinga cha Sound City (Sound City Tv) kimetoa orodha ya wasanii na vipingele watakavyowani katika tuzo za Sound...

READ MORE

Mbunge Lema Akwama Tena Mahakamani, Arudishwa Rumande Hadi Disemba 2

   ARUSHA: Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema leo amefikishwa tena Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kwa ajili ya kusikiliza...

READ MORE

Watakaoruhusiwa Kujiunga na Vyuo Vikuu Mwakani ni Wenye Sifa Hizi Pekee!

DAR ES SALAAM: Kwa mara nyingine, Waziri wa Elimu nchini Tanzania Profesa Joyce Ndalichako, ametoa tamko linalozua mjadala mkali nchini...

READ MORE

Lwandamina Aanza Kazi Rasmi, Awafagilia Wachezaji Yanga

   KOCHA mkuu wa Yanga SC George Lwandamina aliyeingia mkataba na Yanga SC hivi karibuni akitokea Zesco United nchini Zambia,...

READ MORE

Naibu Meya Shinyanga Ajiuzulu, Awatuhumu Mkuu wa Mkoa na Mkurugenzi kwa Ufisadi!

SHINYANGA: Naibu Naibu Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, David Mathew Nkulila (CCM) ametangaza kujiuzuru ujumbe wa Kamati ya Fedha...

READ MORE

Malia Obama Agonga Miaka 17, Kujiunga Harvard Hivi Karibuni

FAMILIA ya Rais Obama ilikuwa na furaha kubwa wikiendi iliyopita wakati mtoto wao Malia Obama alikuwa akitimiza umri wa miaka...

READ MORE

Machafuko Yanayoendelea Kwenye Kasri ya Mfalme Uganda, Mwandishi wa KTN Akamatwa

Mwandishi wa habari wa runinga ya KTN ya nchini Kenya, Joy Doreen Biira amekamatwa na kuzuiliwa na maafisa wa usalama...

READ MORE

Prof. Ndalichako: Watumishi Waliosoma Vyuo Vikuu Bila Sifa Kufukuzwa Kazi

DAR ES SALAAM: Baada ya matamko kadhaa kadhaa ya serikali kuhusu Sekta ya Elimu nchini hatimaye leo limeibuka jingine la...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yapeleka Maombi ya Kujiunga na Soko la Hisa (DSE)

Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetangaza dhamira yake ya kuuza hisa kwa umma itakayofuatiwa na   kujiunga kwenye   Soko la...

READ MORE

Shigongo: Hivi Ndivyo Nilivyomalizana na CCM

INAHITAJI mtu jasiri sana kuzungumza ukweli, kwani ukweli umewagharimu watu wengi, ukweli unaweza kugharimu maisha, unaweza kukupeleka gerezani, unaweza kukufukuzisha...

READ MORE

Hatima ya Dhamana ya Godbless Lema Kujulikana Leo

ARUSHA: Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, leo, anatarajia kujua hatima ya dhamana ya kesi ya uchochezi inayomkabili. Lema...

READ MORE

Mbeya ni Jiji la Pili kwa Wingi wa Madhehebu Afrika Likiongozwa na Lagos

JIJI la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria. Kwa mujibu wa...

READ MORE

JPM Awapokea Marais Wawili, wa Chad na wa Zambia, Ikulu Dar

 RAIS John Magufuli jana aliwapokea marais wawili, Edgar Lungu wa Zambia aliyewasili kwa ziara ya kiserikali na Idriss Deby wa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu Novemba 28, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 28, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Kiwanda cha Dangote Chasitisha Uzalishaji wa Saruji Mtwara Kutokana na Gharama Kuwa Juu

MTWARA: Kiwanda cha Saruji cha Dangote huko Mtwara kimesitisha uzalishaji kutokana na gharama kuelemewa na gharama za uendeshaji hivyo kuwaacha...

READ MORE

Wasichana 2 Wakutwa Wakipigana Busu Juu ya Paa, Wafikishwa Mahakamani

MARRAKESH, MOROCCO: Wasichana wawili waliokutwa wakipigana busu katika paa la nyumba wamefikishwa mahakamani katika Mji wa Marrakesh nchini Morocco wakishtakiwa...

READ MORE

Cuba Kuomboleza Kifo cha Fidel Castro kwa Siku 9

Nchi ya Cuba itaomboleza kwa siku tisa kifo cha Fidel Castro, anayejulikana kwa siasa zake za kimapinduzi, aliyetawala taifa hilo...

READ MORE

Choki Ang’ara Kutimiza Miaka 30 Katika Muziki

Baadhi ya mashabiki wakigombea CD za nyimbo za Choki alizokuwa akizitoa bure. Ally Choki  (kulia) akiwa na mwanamuziki mkongwe, Tshimanga...

READ MORE

Watu 55 Wauawa Katika Mapigano ya Polisi na Mgambo wa Kikabila Uganda

WATU wasiopungua 55 wameuawa leo katika mapigano makali yaliyotokea magharibi mwa Uganda kati ya majeshi ya usalama na mgambo wa...

READ MORE

Maalim Seif: Prof. Lipumba, Jeshi la Polisi, Msajili wa Vyama Wanaihujumu CUF

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Prof. Ibrahim Lipumba,...

READ MORE

Mzee wa Upako: Wachungaji na Manabii Walionipigia Kunipa Pole ni Wapumbavu!

MCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo maarufu kwa jina la Mzee wa Upako, amewajia juu na kuwaita wapumbavu,...

READ MORE

Nani Aliyepanga Mishahara Hadi Sh. Mil 40 Kwa Mwezi?

MIONGONI mwa mambo ambayo Rais Magufuli anastahili kupongezwa na Watanzania waadilifu – bila kujali ‘kambi’ zao  – ni ujasiri wake...

READ MORE

Sumaye Anyang’anywa Shamba Lake la Hekta 33 na Serikali

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemnyang’anya Waziri Mkuu mstaafu, Mhe. Frederick Sumaye shamba lake lenye ukubwa wa hekta...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili Novemba 27, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 27, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Abiria Waaswa Kutoa Taarifa Kuhusu Madereva Wanaovunja Sheria

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi,  Hamadi Masauni akijiandaa kukata utepe kama ishara ya uzinduzi wa kampeni hiyo. …Akizungumza...

READ MORE

Mkapa Ampongeza JK kwa Ujenzi wa Chuo Cha Udom

RAIS mstaafu katika serikali ya Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amempongeza Rais wa Awamu iliyopita, Jakaya Kikwete, kwa kuthubutu na...

READ MORE