×

Habari

Matumaini ya Arsenal Kuongoza Kundi Yamebuma Yatoka Sare Na PSG bao 2-2

Mshambuliaji wa PSG, Edinson Cavani akifunga bao dakika ya 18 kipindi cha kwanza usiku wa kuamkia leo  Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Magazeti Ya Leo Alhamisi, Novemba 24, 2016

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Novemba 24, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti...

READ MORE

Rais Magufuli Kumtunuku Mfungwa wa Gereza la Butimba

Dar es Salaam. Rais John Magufuli leo anawatunuku shahada za elimu ya juu wahitimu maalumu watatu kutoka Chuo Kikuu Huria...

READ MORE

Uhaba Mkubwa wa Wafungwa Waikumba Uholanzi

Mfungwa wa Uholanzi katika gereza la Esserheem Huku maeneo mengi ya dunia yakihangaika na magereza yaliyojaa wafungwa kupita kiasi, Uholanzi...

READ MORE

Mchungaji Atoa Pepo Kwa Kuwapulizia Waumini Dawa ya Mbu Usoni

Mchungani mmoja nchini Afrika Kusini amekuwa akiwapulizia usoni waumini wake dawa ya kuua wadudu inayoitwa Doom kwa imani kuwa anawaondolea...

READ MORE

Diamond: WCB Tumelipwa Bilioni 2 Kusambaziwa Kazi Zetu na Albamu Yangu Mpya Wamo Rihanna, Rick Ross

STAA wa Bongo Fleva kutoka kundi la WCB, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ leo ameweka bayana kuwa WCB wamesaini kanadarasi kubwa...

READ MORE

Calisah; Wema Amekupa Funzo, Simama Sasa! (Barua Nzito)

 Modo Ibrahim Mgimbu ‘Calisah’. NIMELAZIMIKA kukuandikia barua, Modo Ibrahim Mgimbu ‘Calisah’. Si bure sababu nimeona una kipaji, unajua kujieleza  na...

READ MORE

Pichaz: Manchester United Wajiwinda Dhidi ya Feyenoord Kesho

Kikosi cha kwanza cha Manchester United chini ya bosi wao Jose Mourinho leo kimefanya mazoezi katika Uwanja wa mazoezi wa...

READ MORE

Adha Ya Mvua jijini Dar Leo

Hali ilivyoonekana kufurika barabara za mitaa ya posta Dar. Mmoja wa watembea kwa miguu akionekana akipita kwenye maji yaliyojaa barabarani....

READ MORE

Justin Bieber Amchapa Konde Shabiki Wake, Ampasua Mdomo

Mwanamuziki asiyeishiwa matukio, Justin Bieber amezua sintofahamu baada ya kumchapa konde na kumpasua mdomo shabiki wake aliyekuwa akimlaki wakati akiwasili...

READ MORE

Basata Kuhakiki Video Mpya Ya Rich Mavoko – Kokoro Kuona Kama Wanawake Wamedhalilishwa

   Kauli ya BASATA kuhusu video ya wimbo wa Rich Mavoko na Diamond Platnumz Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ambalo...

READ MORE

Naibu Waziri Wa Ujenzi: Fanyeni Kazi Kibiashara Ili Kukuza Uchumi

Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani akitoa maelekezo kwa Meneja wa Mamlaka ya Hali ya Hewa...

READ MORE

TMA: Mvua za Uwepo wa LANINA Kunyesha Hadi Desemba

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za vuli zinazoendelea kunyesha nchini ni mvua ambazo...

READ MORE

Instagram Yazindua Video ya Matangazo ya Moja kwa Moja (Live Streaming)

   MTANDAO maarufu wa kijamii wa Instagram ndio mtandao wa huduma ya kijamii wa hivi karibuni kuzindua video za matangazo...

READ MORE

Magazeti ya Leo Jumatano Novemba 23, 2016

  Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Novemba 23, 2016. Pia usikose kutembelea...

READ MORE

Sasa Anajiita Abu Hayyan, A.K.A Ostaz Juma

MFADHILI wa kitambo katika masuala ya muziki wa kizazi kipya ameamua kubadili jina na kuwaomba wadau wake wamtambue kwa jina...

READ MORE

Lady Jaydee Kaolewa na Rastaman?

Staa wa Bongo Fleva, Lady Jaydee ‘Anaconda’  akiwa katika matembezi na Rastaman. Wakiwa katika mazungumzo matamatam katika Hoteli ya Serena...

READ MORE

RC Makonda: Wazazi Wenye Watoto Wahalifu ‘Panya Road’ Kukamatwa

DAR ES SALAAM: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul, Makonda amewataka wazazi kuwalea watoto wao katika maadili mema...

READ MORE

Polisi Dar Wakamata Wauza Shisha, Majambazi & Silaha (Video)

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Baadhi ya bastola...

READ MORE

Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepetu

  MASTAA wawili waliokuwa mashosti siku za nyuma, Aunty Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wameingia kwenye msuguano tena hivi karibuni...

READ MORE

Rais Mugabe: Kuna Watu Ndani ya ZANU PF Wanakwenda kwa Wachawi Kuniroga Nife

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa mika 92, anazungumzia kuhusu kustaafu , lakini swali ambalo bado watu wanahoji...

READ MORE

Wachina Kupewa Elimu Ya Mlipa Kodi

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu Kwa mlipakodi (TRA), Richard Kayombo (kulia) akizungumza na wanahabari(hawapo pichani) pembeni yake Mchina ni Mwenyekiti...

READ MORE

Kanye West Augua Ghafla, Alazwa Hospitali!

MAREKANI: Rapper maarufu nchini Marekani aliyewahi kutangaza nia ya kugombea urais wa nchi hiyo mwaka 2020, Kanye West, jana Jumatatu...

READ MORE

Baada ya Kusota Mahabusu kwa Siku 19, Lema Kujaribu Tena Kuomba Dhamana Mahakamani Leo

ARUSHA: Jaribio jingine la maombi ya dhamana ya Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema linafanyika leo baada ya kusota...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne Novemba 22, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 22, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Yanga Yamtangaza Rasmi Lwandamina Kuwa Kocha Wao, Kuanza Kazi Mzunguko wa Pili

Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC leo asubuhi akihojiwa na waandishi wa habari, amefafanua kwa kina ujio wa kocha mpya George...

READ MORE

Rais Magufuli Atuma Salamu kwa Rais wa China

Rais wa China Rais Xi Jinping. Dar es Salaam. Rais John Pombe Magufuli, ametuma salamu kwa Rais wa China Rais...

READ MORE

Hii Ndiyo Stendi Mpya ya Mabasi Msamvu, Baada ya Kukarabatiwa, Sasa Inang’aa Kama Airport!

Upande wa kuingilia abiria kwenye stendi hiyo. Abiria wakisubili usafiri. Moja ya mabasi hayo likiingia eneo la stendi na kupakia...

READ MORE

HakiElimu Yataka Waziri wa Elimu Apunguziwe Madaraka

Dar es Salaam. Shirika la HakiElimu limeitaka Serikali kufuta utaratibu wa sasa unaompa madaraka waziri wa elimu kubadilisha mifumo ya...

READ MORE

Moses Machali Aihama ACT- Wazalendo na Kujiunga CCM

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini kupitia NCCR-Mageuzi (2010–2015) kisha kuhamia ACT-Wazalendo mwaka 2015, Moses Machali leo amehamia...

READ MORE

Obama: Sitanyamaza Wakati wa Utawala wa Trump

Rais wa Marekani anayeondoka madarakani Barack Obama amesema huenda akazungumza, kinyume na utamaduni wa siasa Marekani, iwapo mrithi wake Donald...

READ MORE

RC Gambo Aagiza Manyara Ranchi Irejeshwe Kwa Wananchi

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akiwasalimiana na viongozi wa Wilaya katika eneo la mapokezi wakati wa ziara...

READ MORE

Eric Shigongo: Novemba 19, 2016 Jumamosi ya Machozi Kwangu

Kumbukumbu za Kweli za Maisha Yangu Eric Shigongo. Nawaomba radhi sana wananchi wa Singida,  sikuweza kuwepo Namfua baada ya waandaaji...

READ MORE

NACTE: Zoezi la Kupokea Maombi ya Kujiunga na Masomo ya Cheti, Diploma 2016/2017 Kufungwa Rasmi Leo

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu Wadau na Umma kwa ujumla kuwa zoezi la kupokea maombi...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu Novemba 21, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 21, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Bibi Mbaroni kwa Kumlisha Kinyesi Mjukuu Wake

MWANZA: BIBI mmoja aliyejulikana kwa jina la Amina Hamisi (56) mkazi wa Mtaa wa Mahina, Kata ya Butimba, Jijini Mwanza,...

READ MORE

Tamasha la Mziki Mnene Lawapagawisha Wakazi wa Mwananyamala Chini ya Vodacom Tanzania

Wasanii wa muziki wa Singeli wakionyesha vipaji vyao vya kusakata muziki huo kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki...

READ MORE

Makamu Mwenyekiti wa Zamani Yanga Afariki Dunia

KLABU ya Yanga leo alfajiri imepata pigo baada ya kuondokewa na mmoja kati ya  viongozi wake wa juu waliopata kuiongoza...

READ MORE