×

Habari

Zitto Kabwe Atoa Waraka Kuhusu Marudio ya Uchaguzi

Nachukua fursa hii kuwapongeza Sana kwa kazi kubwa mliyoifanya kwenye chaguzi ndogo za udiwani na ubunge zilizomalizika hivi punde nchi...

READ MORE

Mtatiro Ametoa Kauli Hii Baada ya CUF Kuburuzwa na Uchaguzi Mdogo

Na. Julius S. Mtatiro Goodmorning. Katika uchaguzi huu mdogo CUF ilikuwa inatetea kata 1 ya Kimwani Muleba na CHADEMA ilikuwa...

READ MORE

JPM Amesema Haya Baada ya CCM Kushinda kwa Kishindo Uchaguzi wa Marudio

Mwenyekiti  wa Taifa wa CCM, Rais John Magufuli amesema ushindi wa CCM wa ubunge na madiwani katika Uchaguzi Mdogo uliofanyika...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania, Leo Jumanne Jan. 24, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, January 24 2016. Ni yale ya Hardnews,...

READ MORE

Marais Waliowahi Kukomba Mikwanja wa Serikali na Kusepa Nazo

Zaidi ya dola milioni 11 zinaripotiwa kutoweka kutoka kwa hazina ya taifa nchini Gambia, kufuatia kuondoka kwa kiongozi wa muda...

READ MORE

Hiki Ndicho Kilichotokea Saa 24 Kabla ya Kifo cha Patrick Mafisango

     Mafisango enzi za uhai wake. NA MWANDISHI WETU| CHAMPIONI|, Dar es Salaam USIKU wa Jumanne ya Aprili 15, 2012...

READ MORE

Tanzania na Uturuki Zatiliana Saini Mikataba 9 ya Makubaliano ya Kiuchumi

 Rais wa Jamhuri ya Uturuki Mhe Recep Tayyip Erdogan na mkewe wakipokea mashada ya maua kutoka kwa watoto walipowasili Ikulu...

READ MORE

Hofu yatanda, Ngoma hatacheza tena Yanga

 Na Sweetbert Lukonge, Gazeti la Championi, Toleo la Jumatatu, Jan. 23, 2017 Mzambia, Donald Ngoma, hivi sasa yupo nchini kwao Zimbabwe...

READ MORE

Waziri Kairuki Ahamishwa na Lori la Jeshi Kwenda Dodoma

DAR ES SALAAM: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Angellah J. Kairuki,  leo January 23 2017...

READ MORE

Rasmi Okwi Afunguka Kuhusu Yanga

Musa Mateja, Gazeti la Championi, Toleo la Jumatatu, Jan. 23, 2017 HATIMAYE kwa mara ya kwanza straika anayesubiriwa kwa hamu...

READ MORE

Ushahidi Dhidi ya Mkurugenzi wa ATCL Waendelea Kisutu

USHAHIDI dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi  Mtendaji  wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mataka,  umeendelea leo  katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Haya Ndio Majibu ya Mrithi wa Kanumba Kuhusu Lulu

Fredy Swai na Mama Kanumba. KUTOKANA na hivi karibuni mama wa aliyekuwa staa mkubwa wa filamu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa...

READ MORE

Prof. Lipumba Anusurika Kupigwa na Vijana wa UKAWA

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amedaiwa kunusurika kupigwa na...

READ MORE

Mtoto wa Mbunge Anaswa Usiku na Golikipa Timu ya Mtibwa Sugar

  Naima Shaaakiwa na Saidi Mohamed ‘Nduda’. Dar es Salaam: Binti wa aliyekuwa Mbunge wa Mafia, Abdulkarim Shaa (CCM), Naima...

READ MORE

Pichaz: Maandalizi ya Ujio wa Video Mpya ya Chege

Chegge na Muongozji wa Video Destro   KELELE ZA CHURA wa Chege Chingunda na Nandy video yake ipo jikoni, hivi...

READ MORE

Njemba aua wawili na kujeruhi Sita

Wakazi na wafanyabiashara wa Mabibo jijini Dar es Salaam wakiwa wameizunguka ofisi ya soko la Mabibo-Mwisho alimohifadhiwa mtu anayetuhumiwa kuua...

READ MORE

Matokeo ya Uchaguzi Jimbo la Dimani, Zanzibar

MATOKEO: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar, Juma Ali Juma (CCM) ameshinda uchaguzi huo kwa kura 4860, wakati mpinzani...

READ MORE

Mbeya Wachangamkia Shindano la Shinda Nyumba

  DERICK LWASYE,  Mbeya SHINDANO la Shinda Nyumba na Global Publishers awamu ya pili, limepokelewa vizuri na wasomaji wa maga­zeti...

READ MORE

Muigizaji Mtanzania Ateuliwa Kuwa Rais wa Kampuni ya Filamu kwa Trump

NEW YORK: Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon (pichani),...

READ MORE

Overmars; Alikulia Kwenye Mashamba ya Viazi, Akawa Staa wa Dunia

UKICHUNGULIA kwenye kikosi cha Ar­senal kilichotwaa ub­ingwa wa Premier 1997-98, ndani yake utakutana na sura ya Mholanzi matata, Marc Overmars....

READ MORE

Nafasi za Kazi Dar Live

KAMPUNI ya Dar Live iliyopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam inayojishughulisha na burudani, ukumbi wa sherehe n.k, inatangaza nafasi...

READ MORE

Zitto Asakwa na Polisi kwa Uchochezi, Dereva Wake na Katibu wa Chama Wakamatwa

Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo ndugu Msafiri A Mtemelwa ametoa taarifa kuwa kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Mh...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo Jumatatu, Januari 23, 2017

     MAGAZETI Yote ya Leo Jumatatu, Januari 23, 2017 Soma kilichoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania leo Jumatatu, Januari 23,...

READ MORE

Dume Suruali Kaa Mbali Namii!-4

DUME SURUALI KAA MBALI NAMII!-4 Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale mama Careen alipomsikia binti yake huyo akimkaribisha mgeni ndani,...

READ MORE

Maalim Sief Afungukia Fedha za Ruzuku Benki Kuu

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif  Sharif Hamad. KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif ...

READ MORE

Rais wa Uturuki, Recep Erdogan Awasili Nchini Kwa Ziara ya Kikazi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan  aliyefuatana na  mkewe, Mheshimiwa Emine Erdogan (kulia) wakifuhia ngoma...

READ MORE

Watu 36 Wamefariki Dunia na Wengine Zaida ya 50 Kujeruhiwa Katika Ajali ya Train India.

Mashuhuda wakiangalia Treni iliyopinduka. INDIA: Katika jimbo la Andhra Pradesh huko India watu 36 wamefariki dunia na wengine wengi zaidi...

READ MORE

Wananchi Jimbo la Dimani, Zanzibar Wapiga Kura

Wananchi wakiangalia majina yao kabla ya kupiga kura katika kituo cha Bweleo katika jimbo la Dimani leo. Hatimaye wananchi wa...

READ MORE

Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Dimani na Madiwani Tanzania Bara

Wanachi wakipiga kura katika chaguzi zilizopita. Uchaguzi wa madiwani unafanyika kwenye kata Ishirini (20) katika Halmashauri Kumi na Tisa (19)...

READ MORE

Kilichojiri Siku Moja Baada ya Kuapishwa Trump

Baadhi ya waandamanaji wakiwa na mabango barabarani. JUMAMOSI hii mamilioni ya wanawake duniani, waliandamana kupinga kuapishwa Rais Donald Trump akiwa...

READ MORE

Tanzia: Kamanda wa Polisi wa Zamani Dkt. Mohamed Chico Afariki Dunia

Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed  Chico amefariki dunia  usiku wa kuamkia leo jijini Dar es...

READ MORE

Mwanjale Mchezaji Bora wa Desemba 2016

    Sentahafu wa Simba, Method Mwanjale. Sentahafu wa Simba, Method Mwanjale amechaguliwa kuwa mchezaji bora Desemba wa Ligi Kuu...

READ MORE

Sekeseke la Mauaji Mabibo Jijini Dar

  Wakazi na wafanyabiashara wa Mabibo jijini Dar es Salaam wakiwa wameizunguka ofisi ya soko la Mabibo-Mwisho alimohifadhiwa mtu anayetuhumiwa...

READ MORE

Watoto wa Mastaa Gumzo Mtandaoni

Mtoto wa Esma Platnumz akiwa na Mjomba wake, DJ Romy Jones. HAPO awali ushindani kwa mastaa ulikuwa ni ufahari katika...

READ MORE

Kikwete Akutana na Mabilionea, Aliko Dangote na Bill Gates

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete (kushoto), Alhaji Aliko Dangote (katikati) na Bill Gates (kulia). Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri...

READ MORE

Baada ya Bilicanas na Shamba, Serikali ‘Yakamata’ Hoteli ya Mbowe wilayani Hai, Kilimanjaro

 Ikiwa ni takribani miezi mitano sasa tangu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe alipoondolewa katika jengo la Bilicanas lililokuwa pia...

READ MORE

Yahya Jammeh ‘Alivyosepeshwa’ Gambia Kwenda Kuishi Uhamishoni

Aliyekuwa Rais wa Gambia, Yahya Jammeh. Aliyekuwa Rais wa Gambia, Yahya Jammeh ameondoka nchini humo baada ya mvutano wa muda...

READ MORE