×

Habari

Wananchi Wabomolewa Nyumba 150 Dar, Leo Kutua kwa DC Kutoa Kilio Chao

 Mkazi wa eneo hilo, Lukia Khalid (aliyekaa), akiwa amekaa nje na vyombo vyake baada ya kubolewa nyumba yake.  Wananchi wa...

READ MORE

Magazeti Ya Tanzania Leo Oktoba 21, 2016

MAGAZETI ya leo Oktoba 21, 2016  stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzaniakwenye kurasa za mbele na nyuma ili ujue...

READ MORE

Rose Ndauka Azindua Lebo Ya ‘Ndauka Music’

Ofisa Masoko wa Ndauka Adverts Ltd, Aneth Mosha (kulia) , akifuatiwa na msanii Casso na Mkurugenzi wa Ndauka Adverts Ltd,...

READ MORE

Etihad Yatunukiwa Hadhi ya Nyota Tano

 Wafanyakazi wa ndani ya ndege za Etihad, wakiwa na Peter Baumgartner na Edward Plaisted. Edward Plaisted (wa tano toka kushoto)...

READ MORE

Kikosi Cha Simba SC Vs Mbao FC Leo

Vincent Angban Janvier Bokungu Mohamed Hussein Juuko Murushid Method Mwanjali Jonas Mkude Shiza Kichuya Mzamiru Yassin Laudit Mavugo Ibrahim Migomba...

READ MORE

Vitambulisho Vya Taifa: Watumishi wa Umma Mwisho Kujisajili Oktoba 31

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba,  akizungumza wakati wa mkutano na vyombo vya habari mkoani Dodoma kuhusu...

READ MORE

‘Door of No Return’: Mlango Uliopitisha Mamilioni ya Waafrika Kwenda Utumwani

‘Door of No Return’. Rais Barack Obama na mkewe wakiwa ‘Door of No Return’  walipotembelea kisiwa cha Gorée Juni 27, 2013....

READ MORE

UEFA: Barcelona Wamuadhibu Kocha Wao wa Zamani

Lionel Messi akishangilia mojawapo ya mabao yake. KIKOSI cha Barcelona kikiwa nyumbani jana usiku kilimdhalilisha kocha wao wa zamani anayeifundisha...

READ MORE

Waziri Mkuu Amsimamisha Kazi Mhandisi Wa Maji Lindi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na viongozi wa Mamlaka ya Maji Lindi. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa...

READ MORE

Watu 7 wafariki baada ya fuso na tenka la mafuta kugongana Moro

WATU saba wamepoteza maisha huku mwingine mmoja akijeruhiwa vibaya baada ya lori lililokuwa likisafirisha nyanya aina ya fuso kugongana na...

READ MORE

Rais Akana Kumng’oa Gambo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.  RAIS John Magufuli amemhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kuwa taarifa...

READ MORE

Kamati Ya Bunge Yakataa Faini Ya 500,000/-

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, Mohammed Mchengerwa. KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Oktoba 20, 2016 Yako Hapa

Haya ndiyo yaliyoandikwa leo Alhamisi Oktoba 20, 2016 katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania. Usikose kufuatilia...

READ MORE

(VIDEO)’Majambazi’ Sita Wauawa Katika Majibizano ya Risasi na Polisi Dar

   Kaimu Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, DCP L. J. Mkondya akizungumza na waandishi wa habari...

READ MORE

Wazee wa Yanga Wazidi Kumkaba Koo Manji (Picha&Video)

Katibu wa Kamati ya Muafaka ya Wazee wa klabu hiyo, Ibrahim Akilimali akizungumza na wanahabari. Wanahabari wakichukua tukio hilo. WAZEE...

READ MORE

(VIDEO)‘Scorpion’ Afutiwa Mashitaka na Kushitakiwa Upya

Salum Njwete maarufu kwa jina la Scorpion akielekea kwenye chumba cha mahakama chini ya ulinzi. [embedyt] http://www.youtube.com/watch?v=krEQE4BeoiE[/embedyt] Scorpion na watuhumiwa...

READ MORE

Kesi ya Bodi ya Wadhamini Cuf Kuanza Kusikilizwa (Picha&Video)

Kaimu Naibu Mkurugenzi wa Habari wa CUF, Maharagande Mbarala (kushoto) akizungumza na wanahabari baada ya kutoka katika chumba cha Mahakama...

READ MORE

Tambwe: Huyu Kichuya ni Hatari Aisee

KASI ya kuzifumania nyavu ya winga wa Simba, Shiza Kichuya aliyonayo sasa katika Ligi Kuu Bara, imempagawisha mshambuliaji wa Yanga,...

READ MORE

Ali Kiba, Sallam Wametoka Mbali

Wiki mbili zilizopita, Ali Kiba alikuwa mmoja kati ya mastaa wa muziki waliopafomu kwenye Tamasha la Rock lililofanyika Viwanja vya...

READ MORE

Lulu Diva, Amber Lulu Hakuna Bifu

Muuza sura kwenye video za Kibongo, Lulu Abass ‘Lulu Diva’ (pichani juu) na mwenzake Amber Lulu (pichani chini) hawana bifu...

READ MORE

Mwamuzi Aliyepigwa Tanga Atoka Hospitali

YULE mwamuzi aliyechezea kichapo kutoka kwa mashabiki wa Coastal Union, Jumapili iliyopita, Thomas Mkombozi ameripotiwa kuendelea vizuri kiafya baada ya...

READ MORE

Dogo Janja Afungukia Kuoa

SIKU chache baada ya Mbongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ kufunga ndoa, mwanamuziki mwenzake, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ (pichani juu)...

READ MORE

Zitto Atoa Neno Ugomvi wa RC Arusha na Godbless Lema

Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameamua kutoa ya moyoni kufuatia hali iliyojitokeza jana mkoani Arusha wakati wa uzinduzi...

READ MORE

Panya Road Azindukia Mochwari Dar

Pichani: Vijana wanaotuhumiwa kuwa Panya Road wakiwa chini ya ulinzi. MTOTO aliyetambuliwa kwa jina la Isack Ernest (16) anayetuhumiwa kuwa...

READ MORE

Paulina Kulwa wa Mwanza Aibuka na Kitita cha Shilingi Mil.100 Kupitia Jiongeze na M Pawa

Meneja masoko huduma za kifedha wa Vodacom Tanzania, Noel Mazoya (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) baada...

READ MORE

Covenant Bank Yakipiga Jeki Kijiji cha Kituri, Mwanga

Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Mathabetha Mwambenja (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya milioni tano na laki mbili mwakilishi kutoka...

READ MORE

Khadija Kopa Kuwasha Moto Krismas Morogoro (Picha&Video)

Mwenyekiti na mratibu wa tamasha hilo, Hamis Abdallah,  akizungumza jambo na wanahari (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni mkuu wa matukio...

READ MORE

Yatima Ashinda Sh. 500,000 za Gazeti la Amani

Sikitu Kyalo (kushoto) akifurahia kabla ya kukabidhiwa kitita cha shilingi 500,000/=. Kulia ni mwakilishi wa wakala wa Global Publishers wa Kanda...

READ MORE

Rais JPM Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Tanga

Rais Dk. John Pombe Magufuli. Rais Dk. John Pombe Magufuli leo ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya...

READ MORE

Sophia Mjema Ataka Soko la Feri Kuwa la Kimataifa

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, akikabidhi ripoti ya uongozi wa soko kwa mwenyekiti mpya wa bodi ya soko...

READ MORE

Dstv Yashusha Bei za Vifurushi, Yajaza Chaneli

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Multchoice Tanzania, Ronald Shelukindo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani). Mhariri Kiongozi wa...

READ MORE

NMB Kuendelea Kusherehekea Huduma Kwa Mteja Kwa Mwezi Mzima

WIKI ya kwanza ya mwezi Oktoba hujulikana kama wiki ya huduma kwa mteja na huadhimishwa duniani kote. Benki ya NMB...

READ MORE

Mahakama ya Ardhi Yatupilia Mbali Kesi ya Mbowe Hotels Ltd Dhidi ya NHC

  Wakili wa NHC, Aliko Mwamnenge akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka katika hukumu ya kesi hiyo. Wakili...

READ MORE

Marekani: Mtangazaji Aliyemhoji Trump Afukuzwa Kazi

  Shirika la Utangazaji la NBC nchini Marekani limemfuta kazi mtangazaji Billy Bush (pichani juu) ambaye amekuwa akiendesha kipindi cha...

READ MORE