×

Habari

Busungu Anusurika Kifo Ajalini Dakawa

   Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Malimi Busungu amenusurika kifo katika ajali ya gari jana jioni katika eneo la Dakawa...

READ MORE

Rais JPM Atengua Uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRA

Rais Dk. John Pombe Magufuli leo ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili Novemba 20, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 20, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Manchester United Watoshana Nguvu na Arsenal

Manchester United wanaonolewa na Kocha asiyeishiwa maneno, Jose Mourinho waliyokuwa nyumbani kweye uwanja wao wa Old Trafford, wameshindwa kutamba mbele...

READ MORE

Majuto: Nataka Nikifa Nizikwe Kama Steven Kanumba

NA IMELDA MTEMA | RISASI JUMAMOSI: Wiki hii, Mpaka Home ilifunga safari mpaka mkoani Tanga, nyumbani kwa mchekeshaji maarufu wa...

READ MORE

Magari ya Mwalimu Nyerere Kivutio Kikubwa Makumbusho ya Taifa

DAR ES SALAAM: NI kumbukumbuku na historia ya aina yake kwa taifa letu! Yale magari aliyokuwa akiyatumia Aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Busu la Jennifer Lopez Lavunja Ndoa ya Marc Anthony na Mkewe Shannon

VYANZO vya habari vya E! News na Us Weekly vimeripoti kwamba, ndoa ya mwimbaji maarufu duniani, Marco Antonio Muñiz ‘Marc...

READ MORE

Trump Alipa Dola Milioni 25 Kumaliza Kesi

MAREKANI: WAKILI wa rais mteule wa Marekani, Donald Trump ametatua kesi ya mamilioni ya madola iliyokuwa inamkabili mteja wake ili...

READ MORE

Maalim Seif Azuiliwa na Jeshi la Polisi Kufanya Mkutano wa Ndani Mtwara

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif akisalimiana na viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) mara baada ta kutua Mtwara Mjini...

READ MORE

Tabiri Mshindi wa Leo Kati Manchester United Vs Arsenal

Here it is – your @Arsenal team to play Manchester United#MUFCvAFC pic.twitter.com/sHEgfu4okr — Arsenal FC (@Arsenal) November 19, 2016 Today’s...

READ MORE

Wema ‘This is Too Much’ Bwana!

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ . WEMA Isaac Sepetu! Kama kuna Mtanzania hamfahamu muigizaji huyu wa filamu, basi ni...

READ MORE

Ofisa Mtendaji wa Kata Mbaroni kwa Kubaka Mwanafunzi Darasa la Tatu

MWANZA: Jeshi la Polisi Mkowa wa Mwanza wanamshikilia Ofisa Mtendaji wa Kata ya Mkuyuni, Bwana James Chiragwire kwa tuhuma za...

READ MORE

Wapwa wa Rais Watiwa Mbaroni kwa Kuingiza Kilo 800 za Cocaine, Marekani

MAREKANI: WAPWA wawili wa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro wamepatikana na hatia ya kujaribu kuingiza takribani Kilogramu 800 za Mihadarati...

READ MORE

Anyongwa Hadi Kufa kwa Kukutwa na Misokoto 14 ya Bangi!

Singapore: Mwanamme mmoja raia wa Nigeria amenyongwa hadi kufa nchini Singapore kwa kuhusika kwenye ulanguzi wa Madawa ya Kulevya baada...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi Novemba 19, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumamosi Novemba 19, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mwili wa Msichana Anayetarajia ‘Kufufuliwa’ Wahifadhiwa kwa Teknolojia Cryonics

Msichana ambaye alitaka mwili wake ugandishwe na kuhifadhiwa kwa matumaini kwamba anaweza kurejeshewa uhai wake siku za usoni, alipata ushindi...

READ MORE

Ester Bulaya Ambwaga Tena Wassira ‘Tyson’

Esther Bulaya (Chadema). Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza leo imetoa uamuzi wa kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa...

READ MORE

Kigwangalla Aongoza Siku ya Takwimu Afrika

Naibu Waziri wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangalla, akihutubia katika hafla hiyo....

READ MORE

Asilimia 41 ya Silaha Zote Tanzania Bara Hazijahakikiwa, Mwisho Dec 20, Wahusika Kufutiwa Leseni

Kaimu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai,  CP-Robart Boaz akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).Akisikiliza maswali ya wanahabari yaliyokuwa yakiulizwa....

READ MORE

Video: Majambazi Wavamia Duka Mwanza, Wamuua Mama wa Kihindi kwa Risasi

  WATU wanaosadikia kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto, wamevamia duka moja lililopo Mtaa wa Nkurumah (Katikati ya...

READ MORE

RwandAir Yanunua Ndege Kali Afrika, Duniani ya Pili

MOJA ya vitu ambavyo vina ‘kiki’ sana kwenye Mataifa ya Afrika Mashariki kwa sasa ni pamoja na huduma za usafiri...

READ MORE

Kamanda Sirro: Makonda Ni Mwenyekiti Wangu, Kama Ana Wasiwasi Atajua Atachukua Hatua Gani Dhidi Yetu

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dar es Salaam, Simon Sirro, amesema kama Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul...

READ MORE

RC Makonda: Mnasubiria Nitumbuliwe? Mimi Najua Nipo kwaKusudi la Mungu

Dar es Salaam: Baada ya kauli ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusema atamwajibisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya, Wamo DCI- Diwani Athuman na Jaji Warioba

Rais John Pombe Magufuli (kulia) akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, Ikulu, jijini Dar (picha na maktaba)....

READ MORE

JPM Aikosa Tuzo ya Person of the Year 2016 Inayotolewa na Forbes

Aliyekuwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali na Wakili nchini Afrika Kusini Thuli Madonsela jana ametangazwa kuwa ndiye mshindi  wa Tuzo ya...

READ MORE

Mwanafunzi wa UDOM Afikishwa Kortini Akidaiwa Kuwafadhili Al-Shabaab

Dodoma: Mtu mmoja anayehusishwa na vitendo vya ugaidi, Azan Abubakary amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma Mjini na kusomewa...

READ MORE

Mwanamke Afariki Akiombewa kwa ‘Nabii’, Akutwa Bila Nguo Akiwa Amenyolewa Nywele na Nyusi

ARUSHA: Mwanamke  mkazi wa Unga-Limited jijini Arusha , Lightness Kivuyo ameripotiwa kufa wakati akifanyiwa maombi nyumbani kwa mchungaji aliyejulikana kama...

READ MORE

Tecno Hawa Hapa Tena….Uko Tayari Kwa Jambo Kubwa?

  Kampuni inayoongozwa kwa kuuza simu bora na imara kwa bei nafuu, Tecno kila siku wanaumiza vichwa kuhakikisha kwamba una...

READ MORE

‘Fisi’ Mwenye HIV Akili Mahakamani Kuwa Alifanya Mapenzi na Wajane na Mabinti Wadogo 104

Uamuzi wa kesi ya mwanamme anayejulikana kwa jina la Eric Aniva nchini Malawi unatarajiwa kutolewa wiki hii, baada ya kukutwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa Novemba 18, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Ijumaa Novemba 18, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Kifo Chenye Utata cha Kigogo Mstaafu Jeshi la Magereza Uchunguzi Waanza

Dodoma: Naibu Kamishna mstaafu wa Magereza nchini (DCP), Luhusa Chiza (62) amefariki dunia katika mazingira ya utata kwenye Hoteli ya...

READ MORE

Shirika la Ndege la Etihad Lapanua Huduma Zake Ulaya          

Ndege ya mizigo ya  Shirika la Ndege la Etihad, Boeing 777 kupitia kitengo chake cha Etihad Cargo. Idara ya Usafirishaji...

READ MORE

Ma-DJ wa Bongo Kuchuana Kesho Manzese

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Muziki wa Disco Tanzania (TDMA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar...

READ MORE

Mrema Ataka Wafungwa Waliolipiwa Faini Waachiliwe

Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Taifa Dk. Augustine Lyatonga Mrema akisoma taarifa yake. …Akionyesha nakala za malipo ya benki. Nakala za...

READ MORE

Waziri Mpango Mgeni Rasmi Siku ya Takwimu Afrika Kesho

Meneja Takwimu za Pato la Taifa (NBS), Daniel Masolwa, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mkutano na wanahabari ukiendelea. WAZIRI wa...

READ MORE

Rais JPM Asaini Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametia saini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka...

READ MORE

Wazungu Waliomtia Mtu Mweusi Kwenye Jeneza Akiwa Hai Washtakiwa

Theo Martins Jackson Mtu mweusi nchini Afrika Kusini ambaye alidaiwa kulazimishwa kuingia katika jeneza na wakulima wawili weupe kwa kupita...

READ MORE