×

Habari

Lowassa: Hakuna mwenye hati miliki ya nchi

Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowasa amemtaka Rais John Magufuli kuwa na utamaduni wa...

READ MORE

JPM Akoshwa na Dc wa Igunga John Mwaipopo

 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Igunga Mhe John Mwaipopo akielezea changamoto za Stendi ya...

READ MORE

Ulinzi Mkali Mbowe Akihojiwa na Polisi, Lowassa Azuiliwa Getini

Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe leo  amewasili...

READ MORE

Mwili wa Joseph Senga Waagwa Dar

Waziri Mkuu mstaafu ambaye pia alikuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa akiaga mwili wa Joseph...

READ MORE

Dangote Ashuka Matajiri Bora 100 Duniani

Tajiri namba moja barani Afrika Aliko Dangote. Na Leonard Msigwa Tajiri namba moja barani Afrika Aliko Dangote, sasa anashika nafasi...

READ MORE

Mtuhumiwa Ujambazi Mwanza Auawa Akijaribu Kutoroka

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi. MTUHUMIWA wa ujambazi Msafiri Suleiman maarufu kama Juma Msukuma ameuawa wakati...

READ MORE

Gwiji wa Filamu Anayesujudiwa India

Rajinikanth. WATU wengi walio nje ya nchi ya India hawamjui Rajinikanth, mwanamme shupavu mwenye umri wa miaka 65, ambaye pia...

READ MORE

Mwili wa Mwanahabari Joseph Senga Wawasili Dar, Kuagwa Kesho

Joseph Senga enzi za uhai wake. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, (watatu kushoto), mbunge wa Nsumve...

READ MORE

Ndege asafiri kutoka Finland hadi Uganda

  Kampala, Uganda NDEGE mmoja ambaye inaaminika alitoka nchini Finland amepatikana katika uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda. Ndege...

READ MORE

Programu ya Kampeni za Hillary Clinton Yadukuliwa

Maafisa wa upelelezi nchini Marekani wamesema kuwa programu ya komputa inayotumiwa na jopo linalosimamia kampeni ya Bi Hillary Clinton imedukuliwa....

READ MORE

Wakazi zaidi ya 100 watimuliwa kwa nguvu nyumba za CDA

WAKAZI zaidi ya 100 leo wameondolewa kwa nguvu katika nyumba zinazomilikiwa na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) baada...

READ MORE

Mwanafunzi Mtanzania ashinda shindano la Umoja wa Mataifa

   Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Bw. Mogens Lykketoft akiwazungumza washindi 60 wa Insha kuhusu Lugha Nyingi,...

READ MORE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aitwa Polisi Dar

UJUMBE ALIOANDIKA MBOWE KWENYE UKURASA WAKE WA TWITTER Jana usiku nilipata wito nikitakiwa kwenda Polisi Kanda Maalum Ya Dar es...

READ MORE

Australia: Bawa lililookotwa Pemba ni la Ndege ya Malaysia

SERIKALI ya Australia jana Ijumaa, Julai 29, ilitoa tamko kupitia Wizara ya Miundombinu na Usafirishaji ya nchi hiyo kuwa, kuna...

READ MORE

Zuio la Mikutano ya Kisiasa… Zitto Kabwe leo Amepingana na Rais Magufuli

Maelekezo ya Kiongozi wa Chama (KC) kwa wanachama wote wa ACT Wazalendo ( KC/01/2016 ). Tangu kukamilika kwa Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Trafiki wakusanya Tsh. Milioni 320 kwa siku nne, Dar

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam limekusanya shilingi milioni 320.2 ambapo fedha hizo ni...

READ MORE

Anayedaiwa baunsa Yamoto Band asakwa kwa mauaji ya mchumba’ke!

Kassim Said ‘Baunsa Rambo’ na marehemu. Stori: Dustan Shekidele, Risasi Jumamosi MOROGORO: Kijana aliyefahamika kwa jina la Kassim Said ‘Baunsa...

READ MORE

Audio Magufuli: Nitayapiga mnada majengo ya wizara yaliyopo Dar

Rais John Magufuli akiwahutubia wakazi wa Manyoni, Singida. WAKATI suala la serikali kuhamia mkoani Dodoma likiwa dhahiri zaidi kila siku...

READ MORE

Waziri Mkuu amjulia hali Spika wa Bunge, Job Ndugai

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge , Job Ndugai wakati alipokwenda nyumbani kwa Spika jijini Dar es...

READ MORE

Airtel yakabidhi vifaa vya michezo kwa maendeleo ya soka la vijana

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akikabidhi vifaa vya michezo kwa katibu mkuu wa shirikisho la soka nchini (TFF),...

READ MORE

Nelly Mwagosi: Nahamia Dar ‘soon’

Nelly Mwangosi (kushoto) akikbidhiwa mkataba wa nyumba aliyoshinda kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers. HIVI karibuni aliyeibuka...

READ MORE

Miaka 43 imepita tangu uamuzi wa kuhamia Dodoma!

KWA anayesoma safu hii akiwa na umri ulio chini ya miaka 43 ajue kwamba alizaliwa baada ya uamuzi wa serikali...

READ MORE

Wanamuziki Dansi wampiga tafu Makonda

WANAMUZIKI wa Dansi nchini Jumamosi hii (leo) wanatarajia kuungana na  kufanya tamasha kubwa na la aina yake ambalo linategemewa kuwa...

READ MORE

Wanafunzi Shule za Msingi, Sekondari Kunufaika na NMB Kupitia Mafunzo ya Uwekaji Akiba

  Benki ya NMB kwa kushirikiana na shirika la kimataifa la Women’s World Banking leo wamezindua mpango wa kuwawezesha watoto...

READ MORE

Wasomaji Kigamboni Dar walichangamkia Ijumaa muonekano mpya!

Msomaji wa gazeti la Ijumaa,Pius Tamba (kushoto) akilinunua kwa muuzaji wa magazeti ya Global, Mwamvita Rashid. Msomaji wa Ijumaa Steven...

READ MORE

Papa Francis Aanguka Akiongoza Ibada Poland

Kiongozi mKUU wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis ameteleza na kuanguka alipokuwa akielekea kwenye altare kuongoza ibada ya misa nchini...

READ MORE

Kitengo cha Sickle Cell Hospitali Ya Muhimbili Chapewa Simu 130 na Vodacom

Balozi wa Ugonjwa wa Selimundo”Sickle cell” wa hospitali ya Taifa Muhimbili, Khadija Abdallah (kushoto), Mkuu wa kitengo cha Vodacom Tanzania...

READ MORE

Aliyepiga Picha za Mauaji ya Mwangosi Afariki

Mpiga picha wa Gazeti la Tanzania Daima, aliyepiga picha za tukio la mauaji ya Mwangosi Joseph Senga enzi za uhai...

READ MORE

Stori Ya Ijumaa Wikienda Yazaa Matunda

Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto) akiwa katika Gereza la Wilaya ya Geita. Mhe....

READ MORE

Serikali yapongeza mpango wa Airtel FURSA

Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kushoto) akikabidhi msaada wa mashine ya kutengeneza sabuni na vifungashio vyenye...

READ MORE

Nelly Mwangosi Akabidhiwa Nyumba Yake

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo James pamoja na mshindi wa nyumba Nelly Mwangosi wakikata utepe kuashiria uzinduzi...

READ MORE

Mwangosi Atua Global, Kukabidhiwa Nyumba Leo

Mshindi wa nyumba ya Global, Nelly Mwangosi (katikati) akiwa katika studio za Global TV Online kabla ya kwenda kukabidhiwa nyumba...

READ MORE

Chadema wazindua operesheni Ukuta

Dar es Salaam KUFUATIA kile walichokiita ‘matukio ya ukandamizaji wa haki na demokrasia’, Chadema kimetangaza Septemba Mosi mwaka huu kuwa...

READ MORE

Basata yashusha rungu kwa Nay wa Mitego

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Emmanuel Elibariki (Ney wa Mitego). Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia kwa kipindi...

READ MORE

Wakina Mama wa Korogwe Wafurahia Mafunzo ya Ujasiliamali ya Vodacom

Meneja Ruzuku wa Vodacom  Tanzania Foundation Sandra Oswald(wapili kushoto) akipatiwa maelekezo na Mariam Jecha (wapili kulia)ambaye ni  bibi  masoko wa...

READ MORE

Mwizi wa Milioni 7 kwa dakika asomewa mashitaka mapya 222

WAFANYABIASHARA wawili, akiwemo Mohamed Yusufali “Choma”, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka 222 ya kuisababishia...

READ MORE

‘Fisi’ aliyefanya ngono na watoto, wajane akamatwa… kumbe ana Ukimwi!

Raia mmoja wa Malawi alionekana katika habari moja ya BBC akihusishwa na tambiko la usafishaji wa wasichana wadogo kupitia kushiriki...

READ MORE

Hukumu ya Mwangosi Kutolewa Leo Iringa

Daud Mwangosi enzi za uhai wake. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa leo inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya mauaji ya...

READ MORE

Ajali: Basi la UDA laivaa treni usiku… mmoja afariki, 45 wajeruhiwa

Basi la Kampuni ya Usafirishaji ya UDA lenye namba za usajili T 696 CVP limegonga treni katika eneo la Kamata...

READ MORE

Madai: Mtu wa famasi amdunga sindano ya kutolea mimba mjamzito afariki!

Na Mashaka Baltazar, RISASI Mchanganyiko MWANZA: Muuza duka la dawa baridi ‘famasi’ katika Kijiji cha Matara wilayani Kwimba, Stephen Ng’wanyi...

READ MORE