×

Ijumaa

Kumekucha! Acharuka Kuachana na Kusah

KUMEKUCHA! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel kucharuka ile mbaya kufuatia dua ya kumuombea aachane na...

READ MORE

Ukweli Vanessa Kubeba Mimba

DAR: Sexy lady kunako Bongo Flevani, Mariane Mdee almaarufu Mimi Mars, kwa mara nyingine amejitokeza na kutupilia mbali tetesi na...

READ MORE

Hamisa Mobeto Afunguka Kumzalia Watoto Watano Diamond

Wakati ndoa ya staa mkubwa wa muziki barani afrika, Nasibu abdul ‘Diamond Platnumz’ ikinukia, habari mpya ni kwamba mzazi mwenzake,...

READ MORE

CCM Yampongeza Mobeto!

 Mazito yamemfika msanii wa Bongo Fleva, mwanamitindo Hamisa Mobeto baada ya hivi karibuni kuonesha anauza vitenge vya Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Video: Dada Wa Kazi Asimulia Jinsi Marehemu Mercy Alivyouawa

MERCY Mukandara, mkazi wa Kimara Stop Over jijini Dar es Salaam, ameuawa na mumewe Erick Samson Kuberwa au la; ni...

READ MORE

Siri Ushindi wa Magufuli dhidi ya Corona Yafichuka

Mwanzoni mwa miaka ya 1990, niliwahi kuishi mkoani Geita kwenye machimbo ya dhahabu yaitwayo Mugusu, waliokuwepo maeneo hayo wakati huo...

READ MORE

WOLPER, Meja Kunta kitu na boksi?

DAR: Licha ya kuwepo kwa janga la maambukizi ya Virusi vya Corona, mambo hayaishi mjini kwani ndiyo kwanza yanazidi kupamba...

READ MORE

MREMBO: Nimelala Apartment na Harmonize Siku 3 – Video

DAR: Baada ya kusambaa kwa video inayodaiwa kuonesha kuwa amefumaniwa akiwa na staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’, mrembo...

READ MORE

Sarah wa Harmo Awachefua Warembo Uganda

KWA matarajio yao, baadhi ya warembo wa Kiganda walifikiri staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ atazuru nchi hiyo akiwa...

READ MORE

Ijumaa Sexiest Girl 2019… Bye Queen Elizabeth!

ZOEZI la kupiga kura linazidi kushika kasi ambapo baada ya msanii wa Bongo Fleva, Rosa Ree (17) kutolewa, wiki hii...

READ MORE

SIRI UTAJIRI WA JUX YAVUJA!

DAR ES SALAAM: Kama ulikuwa hujui, habari ikufikie kwamba staa mwingine wa Bongo Fleva, Juma Mussa ‘Jux’ ana ukwasi wa...

READ MORE

Wolper akiri kudanga

WAKATI mastaa mbalimbali wa kike wakidaiwa kudanga kwa wanaume tofauti, mwigizaji Jacqueline Wolper amefunguka kuwa hata yeye amewahi kufanya hivyo,...

READ MORE

Meneja Aingilia Penzi la Ebitoke, Mlela

MENEJA wa zamani wa mchekeshaji Ebitoke, Bhoke Rioba ameingilia kati suala la msanii wake huyo kuanika uhusiano wake na mwigizaji...

READ MORE

Ruby afunguka kuachana na mzazi mwenzake

KUACHWA au kuacha kusikie kwa wengine, usiombe yakukute! Hayo ni maneno ya mwanamuziki wa kike wa Bongo Fleva, Hellen George...

READ MORE

Sabby Angel Amshauri Harmonize

WIKI chache baada ya Meneja wa WCB, Sallam kusema kuwa staa wa Bongo Fleva, Abdul Khali ‘Harmonize’ ameandika barua ya...

READ MORE

 Lulu Diva afungukia kumvuruga Tanasha!

DAR ES SALAAM: Agosti 2, mwaka huu, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alilazimika kukanusha habari zilizokuwa zikienea...

READ MORE

Hii ndiyo Idadi ya wanaume wa Tanasha

DAR ES SALAAM: Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anafahamika kwa kucheza na mioyo ya watoto wa kike...

READ MORE

Mona amtahadharisha Mbasha kwa Sonia

ULE usemi usemao abiria chunga mzigo wako, umejidhihirisha wazi kwa msanii mkongwe Yvonne Cherry ‘Monalisa’ baada ya kumtaha-dharisha muimbaji wa...

READ MORE

NORA AOMBA MSAADA WA MAOMBI

MGANGA hajigangi! Licha ya kwamba kwa sasa ameishika dini vilivyo, msanii wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nuru’ amewaomba watu wamuombee...

READ MORE

Ijue silaha ya kudumu penzini

UKIFANYA tathimini za kina, utagundua mapenzi ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Mapenzi ni kichocheo cha furaha,...

READ MORE

MCHUNGAJI AANDAA MAOMBI NDOA YA LULU

DAR ES SALAAM: Mchungaji wa Mitume na Manabii, Daudi Mashimo, baada ya kumaliza maombi aliyokuwa akimuombea mwigizaji wa filamu za...

READ MORE

Esma Afichua Mpango Mimba Ya Tanasha Kuharibika

WAKATI akiwa amebakiza mwezi mmoja wa kujifungua, dada wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan ‘Esma...

READ MORE

shilole Siwezi kufa na unafiki!

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema watu wengi wanakwama kwa sababu hawapendi kusema ukweli badala yake wanakumbatia unafiki,...

READ MORE

tanasha atamani mwanawe afanane na baba’ke

MWANDANI wa mwanamuziki mkali wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch ametoa la moyoni kuwa anatamani mwanaye atakayejifungua...

READ MORE

Elewa tatizo la ugumba kwa wanaume!

TATIZO la ugumba limekua kubwa na umefika wakati lizungumzwe kwa kuangalia upande wa pili wa shilingi.  Inaelezwa kuwa katika kila...

READ MORE

MREMBO AMTIA ADABU ZARI

DAR ES SALAAM: Maji yamekorogeka! Upepo bado siyo mzuri kabisa kwa upande wa mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’...

READ MORE

UWOYA amfanyia mbaya Johari

ZANZIBAR: Staa mkubwa wa filamu Bongo, Irene Uwoya amemfanyia kitu mbaya mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’.  Uwoya amemshtukiza Johari ambaye...

READ MORE

Mama D nyodo 100%

ANATAAAMBA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama D’...

READ MORE

Unagombana sana na mpenzi WAKO?

UHUSIANO wa kimapenzi ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu! Mtu yeyote ambaye amekamilika, anahitaji kuwa katika uhusiano wa kimapenzi....

READ MORE

Romy Jones amjibu Shilole!

DAR ES SALAAM: Saa chache baada ya mwanamama wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kudai kuwa Rais wa Wasafi, Nasibu...

READ MORE

MONDI AMUUMBUA ZARI UGANDA!

MAMBO ni moto! Bado ‘muvi’ la zilipendwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ linazidi kutikisa...

READ MORE

WEMA AFICHUA SIRI YA MAISHA YAKE

WEMA Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja ukimya, amefichua siri nyuma ya maisha yake, Ijumaa Wikienda linakudokeza.  Katika mahojiano maalum na Gazeti...

READ MORE

MARIOO ANAVYOPINDUA BONGO FLEVA

MUZIKI ni ajira lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia ‘serious’ tofauti na wengi wanavyoiona!  Kila mwaka...

READ MORE

Johari Hajawahi Kumnyima Chuchu Usingizi – VIDEO

ZANZIBAR Mwanamama kunako Bongo Muvi, Chuchu Hans, kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa, hajawahi kutikiswa na mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula...

READ MORE

HARMONIZE KUJITOA WASAFI GIZA NENE!

DAR ES SALAAM: Ni giza nene! Madai yenye ujazo wa kutosha yanaendelea kutikisa kwamba memba wa Wasafi Classic Baby (WCB),...

READ MORE

MSHTUKO MCHUMBA WA JUX, ADAIWA KUFANYA UPASUAJI MARA 6

DAR ES SALAAM: ACHANA na bata analokula akiwa na staa wa muziki wa RnB Bongo, Juma Khalid ‘Jux’ mara wapo...

READ MORE

SULUHUSHO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME-2

Wiki iliyopita niliianza mada hii ambayo inaonekana kugusa wengi juu ya tatizo la upungufu wa nguvu za kieme. SASA ENDELEA…...

READ MORE

KIAMA CHA WAKINA GIGY MONEY, SANCHI, AMBER LULU KIMEFIKA

“HATUWEZI kuwa na wanamuziki wanaotegemea kiki, niombe kwa wasanii wote wanaotegemea muziki wao kwa kiki waache mara moja.”   Ni...

READ MORE

Diva: Nakula Bata na Jaguar Dubai!

MWANAMUZIKI mrembo anayekuja juu kwa kasi kwenye bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ameweka wazi mapenzi yake motomoto na mwanamuziki...

READ MORE

Kajala Kisogo Maisha ya Starehe

MWANAMAMA wa Bongo Movie, Kajala Masanja amefunguka kuwa, kwa sasa ameamua kuyapa kisogo maisha ya kuendekeza starehe hivyo mambo yanayoendelea...

READ MORE