×

Ijumaa

VIDEO HAIJATIBUA PENZI LA la FAHYMA NA RAYVANNY

REAL? Video vixen maarufu Bongo, Fahyma ambaye ni baby mama wa staa wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amefunguka kuwa...

READ MORE

KUTENGANA KWA MUDA KUNAVYOWEZA KUOKOA PENZI LINALOKUFA

KATIKA safari ya mapenzi ya watu wawili wanaopendana, lazima kuna milima na mabonde. Wakati mwingine, changamoto zinazoibuka, zinakuwa ni ndogo...

READ MORE

KUWA MAKINI NA MAUMIVU YA MARA KWA MARA YA TUMBO

MAUMIVU ya mara kwa mara ya tumbo ni yale ambayo yanampata mtu kwa muda mrefu au kwa vipindi yaani yanakuja...

READ MORE

VIPODOZI NUSURA VIMUUE MFANYABIASHARA, ASIMULIA!

DAR ES SALAAM: IDADI ya watu wanaotumia vipo­dozi hapa nchini na hasa wanawake ni kubwa na tahadhari imekuwa ikitolewa uchwao...

READ MORE

KWA MARA YA KWANZA, MONDI AMLIPUA VIBAYA ZARI!

DAR ES SALAAM: BAADA ya kimya kirefu tangu wamwagane, msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameibuka hadharani na...

READ MORE

MSIMAMO; SILAHA KUBWA YA MAFANIKIO PENZINI

JUMATATU nyingine nzuri imewadia. Mungu ametupa upendeleo mimi na wewe kuiona siku hii. Ni vyema tumshukuru yeye kwa zawadi hii...

READ MORE

FAHAMU UGONJWA WA HOMA YA MAPAFU

HOMA ya mapafu ni mashambuliwa ya ugonjwa wa homa ya mapafu (pneumonia) unaoenezwa kwa njia ya hewa.  Pneumonia hutokana na...

READ MORE

G NAKO: AMENIPA MTOTO, NAMZAWADIA NDOA !

MKALI wa Bongo Fleva kutoka Kundi la Weusi, George Sixtus Mdemu ‘G Nako’ amesema kuwa, baada ya mpenzi wake aitwaye...

READ MORE

LULU DIVA AFANYA ‘BETHDEI’ KWA DUA

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amesema kuwa aliamua kufanya ‘bethdei’ yake kwa kuomba dua tu kwa sababu...

READ MORE

AUNT AFUNGUKA ISHU YA MUMEWE KUTOKA JELA

 STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amedai kuwa madai ya mumewe Sunday Demonte kutoka gerezani nchini Dubai alikokuwa amefungwa...

READ MORE

KESI YA VIDEO CHAFU… WEMA GIZANI SIKU 40

DAR ES SALAAM: Yupo gizani! Ndivyo unavyoweza kusema kuakisi mapito ya Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ambaye anaishi kwa...

READ MORE

Lulu Diva afunguka kumtambulisha mchumba’ke!

DAR ES SALAAM: Sexy lady kwenye Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka juu ya kumtambulisha mwanaume ambaye yupo naye...

READ MORE

DIANA SASA YEYE NA MUNGU TU

   TUMRUDIE Mungu! Mwigizaji mwenye mbwembwe lukuki Bongo Muvi, Diana Kimari ameweka wazi kuwa kuna kila sababu kwa mastaa kumpa...

READ MORE

ESHA AVUNJA UKIMYA KUACHANA NA MUMEWE

DAR ES SALAAM: Baada ya tetesi kuenea kwenye mitandao ya kijamii mwigizaji wa Bongo Muvi, Esha Buheti ametandikwa talaka na...

READ MORE

MCHUMBA AGOMA KUMZALIA BEN POL

 DAR ES SALAAM: Miezi michache baada ya kutambulishwa ukweni nchini Kenya, mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Benard Paul ‘Ben...

READ MORE

TANASHA AANIKA SIRI NZITO ZA DIAMOND CHUMBANI

DAR ES SALAAM: Mwishoni mwa mwaka jana, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alikiri hadharani kuwa; “Tanasha ananijulia...

READ MORE

MCHUNGAJI MATATANI KIFO CHA KIBONDE

MCHUNGAJI wa Kanisa la Emmaus Bible Church, Mbezi Luis jijini Dar, Daudi Mashimo amejikuta mikononi mwa poli­si baada ya kuzungumzia...

READ MORE

JIDE, MAI MARTHA WACHONGANISHWA

MWANA­MUZIKI Judith Wambu­ra ‘Jide’ na mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’ juzikati walichongan­ishwa baada ya mashabiki kudai kuwa, eti Mai ni mnafiki...

READ MORE

TUNDA ATOBOA KUHUSU KUOLEWA ‘SOON’

VIDEO Queen asiyeishiwa na matukio, Anna Kimario ‘Tunda’ ameibuka na kudai kuwa anaolewa hivi karibuni na mwanaume ambaye sio staa...

READ MORE

MAYA: WANICHEKE TU, MI SIKURUPUKII MTOTO

MSANII wa kitambo kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema kuwa hata kama wenzake watamcheka kwa sababu mpaka...

READ MORE

MR. BLUE: KUNA WAKATI SIAMINI KAMA WATOTO NI WANGU

MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu, kila siku iitwayo leo lengo langu kubwa ni kukupatia kitu ambacho kitau-konga moyo wako.  Safu hii...

READ MORE

ATAKAYEMUOA SANCHI AJIPANGE

KAZI ipo! Mwanamitindo ambaye jina lake limezidi kupaa kutokana na umbo lake tata, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amesema kuwa mwanaume ambaye...

READ MORE

ZARI NOMA ANUNUA GARI LA KIFAHARI DUNIANI

DAR ES SALAAM: SHIKAMOO Zari! Ndivyo walivyoanza ‘kukomenti’ watu mitandaoni baada ya mwanamama mjasiriamali wa Kiganda, Zarinah Hassan ‘Zari The...

READ MORE

AMBER LULU AJUTA KUPOTEZA MUDA KWA PREZZO

 MAJUTO! Msanii wa Bongo Fleva, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa anajuta kupoteza muda wake kwa aliyekuwa mpenzi wake, Jackson...

READ MORE

NANDY ASHTUA, AHAMA MJENGO WA KIFAHARI

DAR ES SALAAM: Sexy lady wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ (26), ameshtua wengi, Ijumaa limedokezwa.     Mshtuko huo...

READ MORE

ESMA HATAKI KUSIKIA KUHUSU NDOA TENA

DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan amefunguka hataki kusikia tena kitu kinachoitwa ndoa kwa...

READ MORE

HIZI NDIZO SIKU 180 ZA MATESO YA RUGE

DAR ES SALAAM: Wakati mwili wake ukiwasili nchini leo ukitokea nchini Afrika Kusini, bado wingu jeusi limetanda nchi nzima kufuatia...

READ MORE

KUTOKWA NA MAJIMAJI, MUWASHO UKENI (VAGINAL DISCHARGE)

NI tatizo linalowapata zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa ingawa katika hali isiyo ya kawaida inaweza kuwatokea watoto ambao...

READ MORE

ODEMBA KUIBUKA SIKU YA WANAWAKE

MWANAMITINDO maarufu ndani na nje ya Bongo, Miriam Odemba anatarajia kuwa mmoja wa wanawake watakaohudhuria katika Onesho la Tanzanite Women...

READ MORE

WEMA AELEZA ALIVYOPIGWA MILIONI 64

 UKURASA mpya! Mwanadashosti kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ameeleza kuwa ameanza upya maisha kutokana na misukosuko aliokutana...

READ MORE

MAMA, BINTIYE WALIOPIGWA RISASI DAR UNDANI WA ANIKWA

MKAZI wa Tu­wamoyo, Kig­amboni jijini Dar, Halima Ibrahim ‘54’ na binti yake, Neema Andrea ‘24’ walijeruhiwa kwa risasi Jumatano iliyopita...

READ MORE

ALIYEPASULIWA KICHWA BADALA YA MGUU… MIL. 100 ZAMTESA

KIJANA mmoja Emmanuel Di­das Marishay (30) mkazi wa Kigogo, jijini Dar es Salaam ambaye alipasuliwa kichwa badala ya mguu, shilingi...

READ MORE

HAKUNA MKAMILIFU, UNAMSAIDIAJE MWENZA WAKO KUBADILIKA ?

 DUNIA ya sasa kumpata mtu mwenye mapenzi ya dhati, mwenye moyo wenye huruma, anayejali na ambaye ana hofu ya Mungu...

READ MORE

ALIYEZAA NA GOD ZILLA AIBUKA , ANENA

DARE SALAAM SIKU chache baada ya kifo cha msanii wa Hip Hop, Golden Mbunda ‘Godzilla’ kutokea, mzazi mwenzake, Desta Minde...

READ MORE

MKE WA MBUNGE YAMFIKA MAZITO

IKIWA imepita takriban miezi 8 tangu aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani ‘Profesa Maji Marefu’ afariki...

READ MORE

USILALAMIKE KWA NINI HUOLEWI,HUENDA UNAJICHELEWESHA

NI Ijumaa nyingine ninapokukaribisha mpendwa msomaji wangu kwenye uku­rasa huu murua. Siku chache zilizopita, nilipata bahati ya ku­zungumza na msomaji...

READ MORE

 WASANII WAGUSWA NA UGONJWA WA RUGE

ZIKIWA zimepita siku kadhaa tangu kaka wa Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, Mbaki aeleze hali ya...

READ MORE

IRENE PAUL: Situmii Gharama Kujichubua!

MWIGIZAJI mkali anapokuwa mbele ya kamera, Irene Paul ameamua kuwahamasisha mastaa na watu mbalimbali kuepuka gharama ya kujitengeneza badala yake...

READ MORE

ZAMARADI AELEZA SABABU ZA KUMCHANGIA RUGE

UBINADAMU kwanza! Aliyekuwa mtangazaji wa kipindi cha filamu cha Take-One kilichokuwa kikirushwa na Televisheni Clouds, Zamaradi Mketema ‘Zama’ ambaye pia...

READ MORE

PENNY AJIPODOA KUFICHA SHIDA ZAKE

KUMBE! Kama ulikuwa hujui, basi chukua hii kutoka kwa mtangazaji wa Kipindi cha Harusi Yetu kinachorushwa kupitia Magic Swahili, Penniel...

READ MORE