×

Kimataifa

Marekani: Rais Jimmy Carter, Aanguka, Avunjika Nyonga

Rais wa Awamu ya 39 wa Marekani, Jimmy Carter mwenye umri wa miaka 95 sasa amelazwa tena hospitali baada ya...

READ MORE

Askari Mwanamke Aporwa Silaha Akichati WhatsApp

ASKARI wa Jeshi la Magereza nchini Uganda wanachunguza tukio la Afisa Mwanamke wa Gereza aliyeibiwa silaha ya kivita aina ya...

READ MORE

Amuua Mwenzake Wakigombea Kumbikumbi

MURIUNGI KIYOGERE (35), mkazi wa Kaunti ya Tharaka-Nithi nchini Kenya, anadaiwa kumchoma kisu mara nne Daniel Mutiria Cece (36) kutokana...

READ MORE

Mfalme wa Thailand Amvua Mkewe Umalkia

MFALME wa Thailand, Vajiralongkorn,  ametangaza kumvua vyeo vyake vyote mke wake kutokana na tabia mbaya na kutokuwa mwaminifu kwa ufalme....

READ MORE

Wakatoliki Wakinukisha DRC, Kisa Pesa Kukombwa Benki Kuu

WAUMINI wa dini ya Kikristo wa Kikatoliki katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wamefanya maandamano katika maeneo mbali mbali...

READ MORE

Taarifa: Poda za Johnson’s Bay Usitumie, Wala Mtoto Wako

PODA maarufu ya watoto ambayo pia hutumiwa na baadhi ya watu wazima aina ya Baby Johnson kuanzia loti 22318RB haitakiwi...

READ MORE

Chuo Kikuu Wavalishwa Maboksi Wasifanye Udanganyifu

CHUO cha The Bhagat Pre-University College, kilichopo nchini India kimeomba msamaha kufuatia kitendo cha kuwavalisha maboksi, wanafunzi ili kuzuia kupiga...

READ MORE

Daktari Akiri Kuua Mwanamke Aliyetaka Kuongeza Makalio

DKT. Donna Francis amekiri mashtaka ya mauaji yaliyotokana na uzembe baada ya kumfanyia upasuaji mwanamke (34) ambaye alienda kwake kwa...

READ MORE

Sauti ya Marehemu Yasikika Wakizika

WALA siyo uongo bali ni kweli kabisa imetokea! Shay Bradley kutoka Leinster, Ireland amezua taharuki muda mfupi baada ya kuzikwa...

READ MORE

Ndege ya Namibia Yazuiliwa Afrika Kusini

MAMLAKA ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege nchini Afrika Kusini juzi iliizuia ndege ya Namibia kutokana na kutolipa ankara za...

READ MORE

Baba Mwenye Watoto 100, Wake 19 Aongeza Wake Wengine

KUTOKEA katika kijiji cha Ruyonza nchini Uganda kuna taarifa ambayo imezua gumzo mitandaoni kuhusu mzee mwenye umri wa miaka 94...

READ MORE

Wakenya Wapokea Ndugu Waliokufa Ethiopian Airlines

WAKENYAwamekusanyika kupokea mabaki ya miili ya wapendwa wao waliokufa katika ajali ya ndege ya Ethiopian Airlines Familia za wahanga wa...

READ MORE

Maajabu ya Mwanamke Aliyezaliwa na Miguu Minne

JOSEPHINE MYRTLE CORBIN,  mrembo kutoka Jimbo la Texas, Marekani, alizaliwa siku ya Mei 12, 1868 akiwa na miguu minne. Pamoja...

READ MORE

Ombaomba Afariki, Aacha Sarafu Zinazohesabiwa Kwa Saa 8

OMBAOMBA mmoja nchini India amefariki na kuacha sarafu zilizohesabiwa kwa saa nane. Polisi wametumia muda huo kuhesabu sarafu hizo zilizoachwa...

READ MORE

Rwanda Yaanza Kuunda Smartphone Zake

KAMPUNI ya Mara nchini Rwanda imezindua simu mbili za kisasa, (smartphones) ikiwa ni nchi ya kwanza ‘kutengeza aina hiyo ya...

READ MORE

Wachina Waliokiri Kusafirisha Kucha za Simba Waachiwa Huru – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu Raia wawili wa China, Li Ling na Chen Guo kulipa faini ya Tsh.Mil 70...

READ MORE

Uturuki: Maandalizi ya Kuishambulia Syria Yamekamilika

Baada ya Marekani kuamuru vikosi vyake vya Kijeshi vilivyokuwa Syria mpakani mwa Uturuki viondoke, Uturuki imesema imekamilisha maandalizi ya mashambuli...

READ MORE

Amnyoa Kipara Mkewe Alipokuta Nywele Kwenye Chakula

BABLU MONDAL mwenye umri wa miaka 35 mkazi wa Joypurhat, nchini India, amemnyoa mkewe upara baada ya kukuta nywele kwenye...

READ MORE

Mhubiri Afurumushwa kwa Kuwaita Wanawake ‘Ibilisi’

SERIKALI ya Rwanda imesema Mhubiri na Mmiliki wa Kituo cha Redio cha Amazing Grace, raia wa Marekani, Gregg Schoof, aliyekamatwa...

READ MORE

Jaji Ajipiga Risasi Katika Chumba cha Mahakama

JAJI Kanakorn Pianchana wa Thailand amejipiga risasi kifuani katika chumba cha mahakama baada ya kuwaachia huru watuhumiwa watano wa mauaji....

READ MORE

Zimbambwe Yatoa Tamko Kuhusu Kutumia Fedha Mpya

SERIKALI ya Zimbabwe imekanusha taarifa iliyotolewa na Eddie Cross kuhusu kuanza kutumika kwa fedha mpya mwezi Novemba 2019, ikisema mtu...

READ MORE

Gari la Magereza Lapinduka, Mfungwa Afariki Dunia

MFUNGWA mmoja amefariki na wengine saba kujeruhiwa baada ya gari la magereza kupinduka huko Kathageri karibu na Daraja la Thuci,...

READ MORE

Aliyechomwa Visu 17 na Mumewe Ili Auawe, Amsamehe!

PENINAH WANGECHI,  raia wa Kenya aliyechomwa visu mara 17 na mume wake ameondoa kesi dhidi ya mumewe mahakamani na kusema...

READ MORE

Kisa Mkwanja! Wananchi Kijiji Kizima Wameuza Figo Zao

NI jambo la kustaajabisha! Kijiji cha Hokse nchini Nepal kimebatizwa jina jipya la ‘Kidney Village’ kufuatia takribani watu wote wanaoishi...

READ MORE

Mwili wa Rais Mugabe Wazikwa Kijini Kwao – Pichaz

Hatimaye mwili wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe umezikwa jana Jumamosi, Septemba 28, 2019 kijijini kwake Kutama katika Wilaya...

READ MORE

Familia ya Mugabe Yaigomea Serikali, Yaweka Msimamo

FAMILIA ya aliyekuwa rais wa Zimbabwe, hayati Robert Mugabe, imebadili msimamo wake na kuamua kuwa mwili wa kiongozi huyo utazikwa...

READ MORE

Mtoto wa Mfalme Akiri Kuhusika na Mauaji ya Khashoggi

MTOTO wa mfalme wa Saudi Arabia amesema anahusika katika mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi mwaka jana kwa vile...

READ MORE

Mwanajeshi Akamatwa Akitoa Mafunzo ya Kutengeneza Bomu

FBI nchini Marekani limemkamata mmwanajeshi mmoja kwa kutuhumiwa kusambaza taarifa za kutengeneza mabomu kwenye mitandao ya kijamii. Mwanajeshi huyo Jarrett...

READ MORE

China Yazindua Uwanja wa Ndege Mkubwa Zaidi Duniani

NCHI ya China imezindua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Daxing, ambao ni mkubwa zaidi duniani ambao umegharimu zaidi dola...

READ MORE

Arejea Kwake Baada ya Miaka 51, Afanyiwa Bonge la Pati – Video

Waswahili wanasema usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Mara kadhaa huwa tnasikia tu kuhusu watu kupotea katika mazingira ya...

READ MORE

Wanafunzi 7 Wafariki kwa Kuangukiwa na Darasa – Video

Wanafunzi saba wamethibitishwa kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya darasa la shule yao kuporomoka leo Jumatatu Septemba 23, 2019...

READ MORE

Aliyepokea Fedha Kimakosa kwa M-Pesa Ashtakiwa

STANLEY IRUNGU amefikishwa mahakamani jijini Nairibo, nchini Kenya, baada ya kuchukua Sh. 39,000 za Kenya (Shilingi za Tanzania 1,300,000/=) katika...

READ MORE

Kwanini Trump Anabeba Pesa Mfukoni

Wakati akipanda ndege kuelekea  California, Rais Trump wa Marekani alipigwa picha zikimuonyesha kuwa na noti nyingi za dola 20 zilizoonekana...

READ MORE

Ben Ali: Rais Aliyehukumiwa Kufungwa Maisha Mara Mbili

ZINE EL ABIDINE ALI  alikuwa mwanasiasa wa Tunisia ambaye aliongoza kama rais wa nchi hiyo kwa miaka 23, kuanzia mwaka...

READ MORE

Rais Ben Ali Afariki Dunia

Rais wa zamani wa Tunisia, Zine Abidine ben Ali aliyeitawala nchi hiyo kwa zaidi ya miongo miwili amefariki dunia uhamishoni...

READ MORE

Mali za Mugabe Kaa la Moto!

SIKU chache baada ya mazishi ya kihistoria ya rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe kufanyika; mali zake zimegeuka kaa...

READ MORE

Mwendesha Baiskeli Afariki Akikwepa Ndege

MWANAMME mmoja raia wa Australia amefariki dunia katika ajali ya baiskeli wakati akijaribu kukwepa ndege aina ya kwenzi aliyekuwa akipaa...

READ MORE

Haijawahi Kutokea…. Bei ya Mafuta Yapanda Dunia Nzima

  BEI ya mafuta imepanda kwa kiwango cha juu kuwahi kushuhudiwa katika miezi minne baada ya mashambulio mawili dhidi ya...

READ MORE

Trump Athibitisha Marekani Kumuua Mtoto wa Osama

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba Hamza Bin Laden mwana wa mwanzilishi wa kundi la Al Qaeda, Osama Bin...

READ MORE

Ofisa Benki Atumbuliwa kwa Kulala na Wanaume 200

WANANCHI nchini Zambia wameshangazwa na habari kwamba ofisa mmoja mwanamke wa Benki ya Taifa ya Biashara ya Zambia (ZANACO), amesimamishwa...

READ MORE