×

Kimataifa

Marais Watano wa Afrika Waitwa Kujieleza Ufaransa

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron,  ametangaza kuwaita marais wa nchi tano za Ukanda wa Sahel, Desemba 16, 2019  katika mji...

READ MORE

Mchungaji Mbaroni kwa Kuwanywesha ‘Sumu’ Waumini

MCHUNGAJI Sam Little (25) ambaye ni raia wa Uingereza amekamatwa nchini Uganda kwa tuhuma za kuwanywesha waumini wake dawa ya...

READ MORE

Ulimwengu Kwisha! Aoa Mkwewe Awa Mke wa Pili

MWANAUME mmoja, Vvashko Sande wa Zimbabwe alishangaza kijiji chake alipoamua kuoa mkwewe na kumfanya mke wa pili.   Mwanamume huyo...

READ MORE

Ahukumiwa Jela kwa Kuropoka Atamuua Rais Magufuli

MAHAKAMA ya Mwanzo ya Ipembe mjini Singida, imemhukumu mkazi wa mtaa wa Minga, Bahati Martin (39), kifungo cha miaka miwili...

READ MORE

Mchungaji Asakwa kwa Kuwapa Mimba Wanafunzi 20

MAOFISA Usalama wa Kaunti ya Kitui nchini Kenya, wanamsaka mhubiri mmoja (jina halikutajwa) anayedaiwa kuwahadaa na kuwapa ujauzito wasichana wadogo...

READ MORE

Afisa Mkuu wa Polisi Kortini kwa Mauaji ya Mwandishi wa Habari

 OFISA Mkuu wa Polisi, Bi. Sabina Kerubo anatuhumiwa kuhusika na mauaji ya Mwandishi wa Habari wa The Star, Bw. Eric...

READ MORE

Mpambano Mkali… Waasi 80 Wauawa Congo

JESHI la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linasema, limewauwa waasi zaidi ya 80 wa ADF Nalu Wilayani Beni, katika operesheni...

READ MORE

Miaka 1,400: Hatimaye Wazungu Warudisha Ubao wa Yesu Bethlehem

  KIPANDE cha ubao kinachoaminiwa kuwa kilitolewa sehemu Yesu alipozaliwa kimerejeshwa mjini Bethlehem katika mji wa Jerusalem nchini Palestina baada ya...

READ MORE

Kamera Kuwanasa Watumia Simu Barabarani

AUSTRALIA imekuwa nchi ya kwanza kuzindua mfumo wa kamera za barabarani (za roboti) ili kuwanasa madereva wanaotumia simu wakati wakiwa...

READ MORE

Trump Agoma Kushiriki Kikao cha Kumchunguza

WAKILI wa Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Ikulu ya White House haitashiriki katika kikao cha uchunguzi kitakachofanyika bungeni Jumatano...

READ MORE

Watu 14 Wauawa kwa Shambulio Kanisani

ZAIDI ya watu 14 wameuwawa baada ya shambulio la kigaidi kutokea katika kanisa la Hantoukoura nchini Burkina Faso.   Waathirika...

READ MORE

Ajali ya Ndege Yaua Watu 9 Marekani

WATU tisa wakiwemo watoto wawili wamefariki katika ajali ya ndege ndogo iliyotokea katika jimbo la Dakota ya kusini nchini Marekani....

READ MORE

Rwanda Kutumia Sindano Kufubaza UKIMWI Badala ya Vidonge

TIBA ya sindano badala ya vidonge vya kila siku kwa wagonjwa wa ukimwi nchini Rwanda imeshika kasi na sasa iko...

READ MORE

Mtoto wa Bilionea Atekwa Akitoka Gym Kama Mo

WATU wasiojulikana wamemteka Shelton Lalgy, mtoto wa mfanyabiashara mkubwa nchini Msumbiji, Juneide Lalgy.   Tukio hilo limetokea jijini Matola jana...

READ MORE

Rais Trump Afanya Ziara ya Ghafla Afghanistan

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi ya vikosi vya Marekani nchini Afghanistan na kusema kuwa...

READ MORE

Ndege Yapigwa Radi Ikiwa Angani

NDEGE ya Proflight ikiwa na abiria 41 juzi ilifanikiwa kutua salama jijini Lusaka nchini Zambia baada kupigwa na radi na...

READ MORE

Vichwa Viwili vya Binadamu Vyakutwa Shambani

POLISI wilayani Ibanda nchini Uganda, wamekuta vichwa viwili vya binadamu (mwanaume na mwanamke) vikiwa vimetupwa shambani maeneo ya Kyegwisa ambapo...

READ MORE

28 Wafariki Ndege Ikianguka Kwenye Makazi ya Watu

WATU ishirini na nane wamefariki mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kutokana na ajali ya ndege iliyoanguka katika...

READ MORE

Zaidi Ya Watu 36 Wafariki Kwa Maporomoko Kenya

Watu zaidi ya 36 wamefariki dunia baada ya maporomoko ya udongo kutokea eneo la Pokot Magharibi mwa nchi ya Kenya....

READ MORE

Mafuriko: Watu Laki 4 Wakosa Makazi

  SHIRIKA la kimataifa la misaada la Save the Children limesema zaidi ya watu 420,000 wamelazimika kuondoka kwenye makaazi yao...

READ MORE

Polisi Watumia Mbwa, Waandamanaji Waja na Simba

  Tangu Oktoba 1, 2019 Wananchi wa Iraq walianza maandamano ya dhidi ya Wanasiasa wanaoongoza nchi hiyo wakiwashutumu kwa mfumo...

READ MORE

Hospitali ya Mombasa Yateketea kwa Moto

HOSPITALI ya Mombasa nchini Kenya imeteketea kwa moto, huku wagonjwa wakiokolewa na hakuna majeruhi wowote.   Imeelezwa kwamba moto huo...

READ MORE

Watu 37 Wafariki kwa Shambulio la Mgodi

SHAMBULIO la kushtukiza lililolenga msafara wa wafanyakazi wa mgodi wa Canada nchini Burkina Faso, limesababisha vifo vya watu 37, hili...

READ MORE

ICC Yamhukumu Ntaganda Kwenda Jela Miaka 30

Kiongozi wa zamani wa waasi wa Congo amehukimiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Kimataifa ya jinai kwa...

READ MORE

Watu 259 Waliofungwa Minyororo Waokolewa Msikitini

  JESHI la Polisi nchini Nigeria imewaokoa watu 259 kutoka katika kituo kisichokubalika kisheria kilichopo ndani ya Msikiti katika Mji...

READ MORE

Wanafunzi 13 Chuo Kikuu Wauawa

Watu 13 wamefariki dunia kufuatia vurugu za mapigano zilizotokea katika Chuo Kikuu cha Kogi katika eneo la Ayingba nchini Nigeria....

READ MORE

UN Yaisaidia Somalia Baada ya Mafuriko Mabaya

UMOJA wa Mataifa (UN) umetuma misaada ya dharura nchini Somalia kufuatia mvua kubwa ambazo zimenyesha katika baadhi ya maeneo ya...

READ MORE

Kundi la IS Latangaza Mrithi wa Abu Bakr al-Baghdadi

KUNDI linalojiita Dola la Kiislamu IS limemtangaza kiongozi wake mpya baada ya kuthibitisha kifo cha kiongozi wake Abu Bakr al-Baghdadi...

READ MORE

Miss Amtuhumu Rais kwa Kumbaka na Kumdharirisha

Aliyewahi kuwa Mrimbwende wa Taifa la Gambia mwaka 2014, Fatou Jallow amemtuhumu aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Yahya Jammeh kwa...

READ MORE

Rais Aingilia Kati Maandamano ya Wanafunzi Chuo Kikuu

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameagiza wanajeshi wanaozingira chuo kikuu cha Makerere kwa lengo la kutuliza maandamano waondoke mara moja...

READ MORE

Ahukumiwa Miaka Jela 14 kwa Kumuua Mwanamuziki Radio

MTUHUMIWA Godfrey Wamala amekutwa na hatia ya kumuua msanii Moses Sekibogo (Mowzey Radio) bila ya kukusudia. Hukumu hiyo imesomwa licha ya...

READ MORE

Treni Yawaka Moto, 16 Wafariki Dunia

WATU 16 wamefariki baada ya treni ya mwendokasi kuwaka moto na wengine 13 wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea mapema leo...

READ MORE

Rwanda Yazindua Magari Yanayotumia Umeme

Rwanda ikishirikiana na kampuni ya Volkswagen na Siemens imezindua magari ya kwanza ya umeme nchini humo yatakayokuwa rafiki kwa mazingira....

READ MORE

Uganda: Msichana Miaka 11 Abadili Maumbile Kuwa Mvulana

BINTI wa miaka 11, aliyefahamika kwa jina la Catherine amefanyiwa upasuaji na kubadili maumbile yak ya uzazi kutoka usichana kuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Hariri Atangaza Kujiuzulu

BEIRUT: WAZIRI Mkuu wa LEBANON, Saad El-Din Rafik Al-Hariri ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa wake huo kutokana na wananchi kuandamana kwa...

READ MORE

Maaskofu Wapendekeza Wanaume Waliooa Kuwa Mapadre

MAASKOFU wa Kanisa Katoliki wapendekeza kuwaruhusu baadhi ya wanaume waliooa kufanya kazi za Upadre. Pendekezo hili limepitishwa kwa kura 128...

READ MORE

Rais Moi Arudishwa Tena Hospitali

Rais wa Zamani wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi  amelazwa tena kwenye Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) katika Hospitali ya...

READ MORE

Ndege Yachomoka Gurudumu, Yashuka kwa Dharura

NDEGE ya Shirika la Silverstone imelazimika kutua kwa dharura baada ya gurudumu lake kuanguka wakati ikipaa, jana Jumatatu, Oktoba 28,...

READ MORE

Rais Trump Atangaza Kuuawa kwa Kiongozi wa Kundi la IS

RAIS wa Marekani Donald Trump amethibitisha kuwa vikosi maalum vya Marekani vimemuua kiongozi wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu –...

READ MORE

Mwizi Avunja Nyumba, Amuogesha Mtoto Kabla Ya Kuiba

MWANAMKE mmoja anayeishi Ohio nchini Marekani, amewaeleza polisi kuwa aliamka ghafla usiku wa manane na kukuta mvamizi akimuogesha mtoto wake...

READ MORE