×

Kimataifa

Wanafunzi wa Kike Uingereza Wana Matatizo ya Akili Zaidi

TAFITI zimefanyika kwenye vyuo mbalimbali nchini Uingereza na kubaini kuwa zaidi ya theluthi moja (mmoja kati ya watatu) ya wanafunzi...

READ MORE

Njemba Avamia Makao Makuu ya Trump, Apanda Ghorofa 21 kwa Saa 3

Polisi wakijitahidi kumtoa njemba huyo aliyepanda juu ya ghorofa. Njemba huyo katika haakati za kukwea jengo hilo la ghoofa 58....

READ MORE

Kenya Yaruhusu Uhusiano wa Kimapenzi Baina ya Binamu

Mahakama Kuu nchini Kenya imehalalisha uhusiano wa kimapenzi baina ya mabinamu kwa kile kilichoelezwa kuwa sababu inakubalika katika baadhi ya...

READ MORE

Picha ya Yesu Akitokwa Damu Msalabani Yaonekana Kanisani Nigeria

Picha ya Yesu msalabani inayodaiwa kutokwa damu. Mwanga mkali kanisani baada ya picha ya Yesu kudaiwa kuonekana. Kanisa Katoliki la...

READ MORE

Mwanamke Aliyegoma Kula Chakula kwa Miaka 16 Aachiliwa Huru

Bi. Irom Sharmila Mwanaharakati nchini India Irom Sharmila anakamilisha mgomo wake leo wa kukataa kula chakula kwa miaka 16 ikiwa...

READ MORE

Rwanda na Burundi Bifu Tena!

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza. UHUSIANO baina ya Burundi na Rwanda umeingia tena shubiri baada ya serrikali ya Burundi kuyazuia...

READ MORE

Mtoto wa Obama Aondoka Ikulu, Aamua Kuwa Mhudumu wa Mgahawa

Sasha Obama akihudumia mgahawani. Marekani IKIWA imebaki miezi miwili tu ili utawala wa Rais wa Marekani Barack Obama ufikie ukomo,...

READ MORE

Olof Palme: Waziri Mkuu aliyeuawa mitaani akitoka sinema kwa miguu

UNAWEZA usiamini; waziri mkuu wa nchi anauawa mitaani akiwa anatembea kwa miguu kutoka ukumbi wa sinema na mkewe! Hilo lilitokea...

READ MORE

Mtu wa ajabu… akigongwa gari haumii!

  The body of Graham with his huge chest, inflated head, extra nipples and absence of a neck has been...

READ MORE

Mchungaji Afariki kwa Kufunga Siku 30 Akijaribu Kuvunja Rekodi ya Yesu

LILE andiko la usimjaribu bwana Mungu wako lililosemwa na Yesu Kristu limejidhihirisha baada ya mchungaji maarufu nchini Afrika Kusini, Alfred...

READ MORE

Etihad Yazindua Vyumba vya Mapumziko ya Kisasa Uwanja wa Los Angeles

Muonekano wa eneo la mapumziko ya kisasa yaliyozinduliwa na Etihad kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Los Angeles, Marekani. Uzinduzi wa...

READ MORE

Basi la kisasa zaidi lazinduliwa China

MAFANIKIO ya Kiteknolojia yanazidi kupiga hatua sehemu mbalimbali duniani! Hii ni baada ya nchi ya China kuzingua basi la kipekee...

READ MORE

Ndege ya Emirates ikiwa na watu 300 yawaka moto wakati ikitua

Dubai Ndege ya Shirika la  Ndege la Emirates iliyokuwa ikijiandaa kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Dubai imewaka moto  na...

READ MORE

Rais amteua mkewe kuwa mgombea mwenza wa urais

Rais wa Nicaragua, Daniel Ortega (70) amemteua mkewe kuwa mgombea mwenza nafasi ya makamu wa rais wakati huu ambapo anawania...

READ MORE

Picha za Utupu za Mke wa Trump Zavuja

IMEVUJAA hatimaye picha za uchi za mke wa mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Republican, Donald Trump...

READ MORE

Maajabu: Ndege mbili zagongana uwanja wa ndege, watu 583 wafariki

Na HASHIM AZIZ Hebu vuta picha, ndege mbili kubwa, Boeing 747, zinagongana wakati zikijiandaa kupaa uwanja wa ndege na kusababisha...

READ MORE

Helkopta ya Urusi Yatunguliwa na Kuua 5 Syria

Helkopta ya kijeshi ya Urusi aina ya Mi-8 ikiteketea baada ya kutunguliwa. Wananchi wakishuhudia mabaki ya helkopta hiyo ya kijeshi. Helkopta...

READ MORE

Mti Wenye Sura ya Donald Trump Waonekana Uingereza

Na Leonard Msigwa/GPL DUNIA ina maajabu mengi, wakati joto la uchaguzi nchini Marekani likiwa limepamba moto, mti wenye sura inayofanana...

READ MORE

Dangote Ashuka Matajiri Bora 100 Duniani

Tajiri namba moja barani Afrika Aliko Dangote. Na Leonard Msigwa Tajiri namba moja barani Afrika Aliko Dangote, sasa anashika nafasi...

READ MORE

Gwiji wa Filamu Anayesujudiwa India

Rajinikanth. WATU wengi walio nje ya nchi ya India hawamjui Rajinikanth, mwanamme shupavu mwenye umri wa miaka 65, ambaye pia...

READ MORE

Ndege asafiri kutoka Finland hadi Uganda

  Kampala, Uganda NDEGE mmoja ambaye inaaminika alitoka nchini Finland amepatikana katika uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda. Ndege...

READ MORE

Programu ya Kampeni za Hillary Clinton Yadukuliwa

Maafisa wa upelelezi nchini Marekani wamesema kuwa programu ya komputa inayotumiwa na jopo linalosimamia kampeni ya Bi Hillary Clinton imedukuliwa....

READ MORE

Australia: Bawa lililookotwa Pemba ni la Ndege ya Malaysia

SERIKALI ya Australia jana Ijumaa, Julai 29, ilitoa tamko kupitia Wizara ya Miundombinu na Usafirishaji ya nchi hiyo kuwa, kuna...

READ MORE

Zlatan Ibrahimovic Aanza Mazoezi Man U

Na Leonard Msigwa/GPL MSHAMBULIAJI Zlatan Ibrahimovic jana kwa mara ya kwanza ameshiriki kufanya mazoezi na wenzake tangu ajiunge na timu...

READ MORE

Papa Francis Aanguka Akiongoza Ibada Poland

Kiongozi mKUU wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis ameteleza na kuanguka alipokuwa akielekea kwenye altare kuongoza ibada ya misa nchini...

READ MORE

Hatua za Kumchagua Rais wa Marekani

Na Leonard Msigwa. Mchakato wa kumchagua rais wa Marekani na magavana hufanyika kwa wakati mmoja, na uchaguzi huu haufanywi kwa...

READ MORE

‘Fisi’ aliyefanya ngono na watoto, wajane akamatwa… kumbe ana Ukimwi!

Raia mmoja wa Malawi alionekana katika habari moja ya BBC akihusishwa na tambiko la usafishaji wa wasichana wadogo kupitia kushiriki...

READ MORE

Ikulu Kubwa Zaidi Duniani

     Je? Wajua kwamba Ikulu ya Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki aliyetaka kupinduliwa na wanajeshi wake ndiyo Ikulu kubwa...

READ MORE

Abu Dhabi Yaendelea Kujiimarisha Kukuza Sekta ya Utalii, Uarabuni

Abu Dhabi Kutokana na utamaduni uliojengeka kwa nchi za Falme za Kiarabu, uwapo wa vivutio na ukarimu kutoka kwa wenyeji...

READ MORE

Mvua ya samaki ilivyotingisha Thailand

Hebu vuta picha, umeamka asubuhi na kuingia barabarani kwa ajili ya kuelekea eneo lako la kazi ghafla unakutana na samaki...

READ MORE

Kaka yake Rais Obama asema atampigia kura Trump

Ndugu wa damu wa Rais wa Marekani Barack Obama, ambaye ni kaka wa kambo Malik Obama, ametangaza kuwa atampigia kura...

READ MORE

Mombasa: Vijana Wadogo Wafanyishwa Ngono na Wanyama

MOMBASA inafahamika kwa mambo mengi, ikiwemo madawa, ukahaba na mengineyo kibao lakini hili linalofanyika eneo la Mtwapa limetia fora. Ukahaba...

READ MORE

Pichaz: Mvua yaua 200 China, milioni 16 wakosa makazi

Beijing, China MVUA kubwa isiyo ya kawaida imeendelea kunyesha katika Jiji la Beijing China na kusababisha mafuriko ambayo yameuwa watu...

READ MORE

Kutimuliwa nchini Kenya, Koffi amevuna alichopanda

Koffi Olomide akimpiga mnenguaji wake. Na Andrew Carlos AMEVUNA alichopanda! Unaweza sema hivyo kwa maana nyingine baada ya wikiendi iliyopita...

READ MORE

Kiongozi wa ISIS Auawa

KIONGOZI mkuu msaidizi wa kundi la ISIS, Hashim Nassif Jassem al-Hayali ameuawa kwenye Mji wa Mukhisa, Diyala, baada ya kushambuliwa...

READ MORE

Salva Kiir Akutana na Museveni Uganda

Na Leonard Msigwa/GPL Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameitwa na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni kwenye Ikulu ya...

READ MORE

Mlipuko Waua 80 Afghanistan

Wizara ya afya  nchini Afghanistan imesema takribani watu 80 wameuawa na zaidi ya wengine 150 kujeruhiwa katika shambulio la kujitoa...

READ MORE

Licha ya Kukana Kumpiga Mnenguaji Wake, Koffi Atimuliwa Kenya

Nairobi, Kenya SAA chache baada ya kusambaa mitandaoni kwa video inayomuonesha gwiji wa muziki wa dansi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia...

READ MORE