×

Kitaifa

Sura Baraza la Mawaziri

SIKU chache baada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rais Dk John Magufuli anatarajiwa...

READ MORE

Kibaha: Diwani Mteule (CCM), Wajukuu Zake Wauawa

DIWANI mteule Kata ya Kikongo, Kibaha Vijijini (CCM), Fatuma Ngozi na wajukuu zake wawili wamekufa baada ya nyumba yake kuchomwa...

READ MORE

RC Kunenge Ataja Rasmi Tarehe ya Kuanza Stendi Mpya ya Mbezi Luis

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amesema Ujenzi wa Stand mpya ya Mabasi ya mikoani ya...

READ MORE

JPM: Napata Vimeseji vya Wakuu wa Mikoa, Wilaya Wana Hofu – Video

RAIS  John Magufuli amewaondoa hofu wakuu wa mikoa na wilaya ambao wamekuwa wakimpigia simu na kumwandikia meseji wakijieleza kuwa katika...

READ MORE

Kidato cha Pili Kuanza Mitihani wa Kitaifa Leo

Wanafunzi wa kidato cha pili wapatao  646,148 kote nchini  wanatarajia kuanza Mitihani hiyo leo Jumatatu, Novemba 9, 2020 hadi Novemba...

READ MORE

Lema Akamatwa Kenya Akitafuta Hifadhi

ALIYKUWA  Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Godbless Lema, amekamatwa na Polisi katika Kaunti ya...

READ MORE

Chadema Pekee Kutoa Wabunge Viti Maalum Upinzani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema vyama viwili kati ya 20 vilivyoshiriki katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28, mwaka...

READ MORE

Kassim Majaliwa Awajulia Hali Mzee King Kiki Na Mkuu wa Wilaya ya Mlele

  Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa leo Novemba 8, 2020 amemtembelea na kumjulia hali mwanamziki mkongwe nchini Kikumbi Mwanza Mpango...

READ MORE

RC Kunenge Awataka Wananchi Kufanya Mazoezi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amewasisitiza wananchi kuhakikisha wanafanya mazoezi na kuepuka ulaji usiofaa ili...

READ MORE

Profesa Jay Hataki Kuongelea Siasa

SIKU chache baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, mwaka huu kutangazwa, wabunge wengi wameonekana kukosa nafasi kwa...

READ MORE

Watoto 11 Watuhumiwa Kuiba Nyumbani kwa Askari

POLISI mkoa wa Tabora inawashikilia watoto 11, ambao ni wanafunzi wa shule za msingi kwa tuhuma mbalimbali za uvunjaji, uporaji...

READ MORE

JPM Kufungua Bunge Nov. 10

RAIS John Magufuli anatarajiwa kufungua Bunge la 12, Novemba 10, 2020 baada ya wananchi kutumia haki yao ya msingi ya...

READ MORE

Wachimbaji Wajeruhiwa kwa Mapanga, Visu

WACHIMBAJI wadogo wanane wajeruhiwa kwa silaha za jadi yakiwamo mapanga, visu sehemu mbalimbali za miili yao katika machimbo ya dhahabu...

READ MORE

Alichosema Hakimu Kesi ya Lissu

HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Thomas Simba, ameahirisha kesi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Walimu Wawili Wapandishwa Kizimbani Kwa Tuhuma za Mauaji ya Mwanafunzi

Walimu wawili wa  Shule ya Awali na Msingi ya Holly Cross Nursery iliyopo Temeke jijijini Dar es Salaam wamefikishwa katika...

READ MORE

Jamaa Wamdai Bosi Wao Milioni 350, Wamwangukia JPM

JAMAA zaidi ya 20 ambao ni wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi ya Elerai Construction Company LTD ya jijini Arusha, inayomilikiwa...

READ MORE

Mama Amwaga Machozi Akisimulia Ulemavu wa Mwanaye – Video

Mtoto Ally mwenye umri wa miaka 10 ametelekezwa na baba yake mzazi baada ya kuzaliwa na ulemavu wa viungo huku...

READ MORE

Wanaodaiwa Kuchoma Mabweni ya Shule Kilimanjaro Wanaswa – Video

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka imewafikisha mahakamani washtakiwa watatu wanaohusishwa na matukio ya kuchoma moto bweni la Shule ya Sekondari...

READ MORE

JPM Ateua Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali....

READ MORE

Zitto Kabwe, Freeman Mbowe Waripoti Polisi

Mwenyekiti Chadema Freeman Mbowe na Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe pamoja na wajumbe watatu wa kamati kuu wameripoti kituo...

READ MORE

Marais wa Afrika Wampongeza JPM Kwa Ushindi wa Kishindo

Marais waliyohudhuria sherehe za kuapishwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe Magufuli wampongeza kwa ushindi wa kishindo...

READ MORE

JPM: Uchaguzi Umekwisha, Tuchape Kazi

Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuapishwa katika jiji la Dodoma mbele...

READ MORE

Museveni Asema Hajui Mwelekeo wa Wapinzani Tz – Video

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema si rahisi kwa mgombea urais kuibuka na ushindi katika nchi za Bara la Afrika...

READ MORE

Magufuli Aapishwa Rais Tanzania – Video

ALIYEKUWA rais mteule wa Tanzania Dkt. John  Magufuli ameapishwa rasmi leo Novemba 5, 2020, jijini Dodoma katika Uwanja wa Jamhuri...

READ MORE

GGML Yaanzisha Bustani ya Kuvutia Mjini Geita

Wakazi wa mji wa Geita wanafurahia kuwa sehemu ya mradi wa bustani ya kupumzikia inayofadhiliwa  na Kampuni ya Geita Gold...

READ MORE

Rais Mwinyi Ateua Mwanasheria Mkuu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, amemteua Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar. Kabla ya uteuzi huo...

READ MORE

Giza Nene Latanda Upinzani

WAKATI Watanzania wakikaa chini na kutafakari mustakabali wa siasa nchini katika kipindi cha miaka mitano ijayo, giza nene limetanda kwa...

READ MORE

Wanaotuhumiwa Kuchoma Nyumba ya Katambi Mbaroni

POLISI mkoani Shinyanga imewakamata watu tisa kwa tuhuma za kutaka kuchoma moto nyumba ya mbunge mteule wa Shinyanga Mjini, Patrobas...

READ MORE

Afande Sele Atoa Neno Kwa Wasanii Waliokurupukia Siasa

MSANII wa muda mrefu kwenye kiwanda cha muziki Bongo, Selemani Msindi, maarufu kama Afande Sele, amesema kwenye mchakato wa uchaguzi...

READ MORE

Mbowe, Wenzake Waachiwa kwa Dhamana

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, na viongozi wenzake Godbless Lema  na Boniface Jacob, wameachiwa...

READ MORE

Ndugai Achukua Fomu Kugombea Uspika

Spika wa Bunge aliyemaliza muda wake, Job Ndugai amechukua fomu kwa ajili ya kutetea nafasi hiyo kwa kipindi cha pili....

READ MORE

Dkt. Tulia Achukua Fomu Kuwania Unaibu Spika

Mbunge mteule wa Mbeya Mjini (CCM), Dkt. Tulia Ackson amesema hajachukua fomu ya kuwania uspika wa Bunge la 12 ili...

READ MORE

Breaking: Zitto Akamatwa na Polisi Dar

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imemkamata Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe,  akiwa Kituo...

READ MORE

Viongozi 20 Chadema Wakamatwa Singida

VIONGOZI 20 wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema) wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Singida na kufikishwa mahakamani kwa...

READ MORE

Adaiwa Kuua Mke, Shemeji kwa Shoka

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia mtuhumiwa Faraji Yunus (44), mkazi wa Kijiji cha Kikagati wilayani Muleba mkoani Kagera, kwa...

READ MORE

Anayetuhumiwa Kupora Sanduku la Kura Asakwa

MKUU wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga, amesema serikali inaendelea kumtafuta kijana anayedaiwa kukimbia na sanduku la kupigia kura wiki...

READ MORE

Kisa Uchaguzi: Majengo ya Serikali, Magari Yachomwa Moto

BAADHI ya wananchi wenye hasira mkoani Lindi, wanadaiwa kufanya uharibifu wa mali za umma ikiwamo kuchoma majengo ya serikali, binafsi...

READ MORE

Tundu Lissu Akamatwa na Polisi, Aachiwa

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu...

READ MORE

CCM Yatangaza Nafasi za Spika, Meya

BAADA ya kukamilika kwa uchaguzi mkuu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kimepata ushindi mkubwa kimewaalika wanachama wa chama hicho wanaotaka...

READ MORE

Prof. Lipumba: CUF Hatutashiriki Tena Uchaguzi

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemesema kuwa kutokana na uchaguzi mkuu ulivyoendeshwa nchini, hakubaliani na matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika Oktoba...

READ MORE