×

Kitaifa

CAMFED Yatoa Elimu Ya Biashara Kwa Wasichana Toka Wilaya Tano

      SHIRIKA la CAMFED Tanzania limetoa mafunzo ya elimu ya biashara na ujasiriamali kwa wasichana kutoka katika Wilaya tano...

READ MORE

Dodoma: Mtoto Aishi na Jiwe Puani Miaka 12

MADAKTARI wa magonjwa ya sikio, pua na koo (E.N.T) katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma wamefanikiwa kumfanyia upasuaji mtoto...

READ MORE

Mbaroni Akituhumiwa Kumbaka Binti Yake

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Madizini, Kata ya Mtibwa wilayani Mvomero, Shabani Hatibu (50), kwa...

READ MORE

JPM: Uongozi Haujaribiwi Kama Limao, Nitajenga Airport Simiyu – Video

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amewaahidi wananchi wa Mkoa wa Simiyu kujenga uwanja wa ndege...

READ MORE

PM Majaliwa: CCM Haikurupuki

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema hicho hakikurupuki katika kuiwekea...

READ MORE

Simulizi Mwalimu Kuuawa Kikatili Inasikitisha

SIMULIZI ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Chalantai, Kata ya Chala, wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Tabitha Mwanyanje (29) aliyeuawa kwa...

READ MORE

Waumini, Viongozi Wamkimbia Askofu Wao Baada ya Kumuoa ‘Changudoa’

Askofu mmoja wa kanisa la Kipentekoste huko Magharibi mwa Kenya, amewagawanya waumini wake, baada ya kuamua kumuoa mwanamke mmoja ambaye...

READ MORE

Tanzia: Mtangazaji wa ITV Agnes Almas Afariki Dunia

MWANDISHI wa habari na mtangazaji wa kituo cha televisheni cha ITV, Agnes Almas,  amefariki dunia ghafla mchana wa leo Alhamisi,...

READ MORE

Mume wa Shamimu Mwasha Asahau Neno la Siri Aomba Akabidhiwe CCTV Camera

  Washtakiwa wawili ambao ni Mfanyabiashara, Abdul Nsembo na Mkewe Shamim Mwasha wanaokabiliwa na mashitaka ya kukutwa na dawa za...

READ MORE

Makada Chadema Wadaiwa Kuchoma Ofisi za Chadema

POLISI Mkoa wa Arusha imewakamata watu watatu, wawili wakiwa ni madereva na ofisa uhamasishaji, wote wa Chama cha Demokrasia na...

READ MORE

Mbele ya JPM, Kigwangalla Asimulia Alivyouza Vitumbua, Jojo – Video

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Nzega Vijijini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla, amesema kuwa yeye ni...

READ MORE

Precision Yasitisha Safari Zake Kenya

SHIRIKA  la Ndege la Precision Air limetangaza kusitisha kurejeshwa kwa safari zake za Nairobi nchini Kenya kutokana na uhitaji mdogo....

READ MORE

Watu 16 Kortini kwa Mauaji ya Kada wa CCM Songwe

WATU 16 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Songwe juzi, wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya anayedaiwa...

READ MORE

JPM: Matusi Nayotukanwa Nayafurahia, Wanamchukia Kigwangalla kwa Sura – Video

Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe...

READ MORE

Dkt. Akwilapo Ataka Taasisi za Elimu ya Juu Kuanzisha Programu za Vipaumbele Vya Taifa

    Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo ametoa wito kwa Vyuo Vikuu nchini kuhakikisha...

READ MORE

Shamimu Mwasha na Mumewe Wakutwa na Kesi ya Kujibu

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa maarufu kama Mafisadi imesema kwamba mfanyabiashara Abdu Nsembo (45) na mke wake...

READ MORE

Wanafunzi 7,586 Wachagulliwa Kujiunga na Kidato cha Tano Awamu ya Pili

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Seikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amesema kuwa wanafunzi 7,586...

READ MORE

JPM: Napenda Nifike Mbinguni, Niwe ‘Waziri wa Malaika’ – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kupitia chama hicho,  Dkt. John ...

READ MORE

Halopesa na Umoja Switch Wazindua Huduma ya kutoa Fedha Kidijitali

    KUTOKANA na kasi ya ukuaji wa teknolojia na uchumi, Halopesa imeendelea kutanua wigo wa kutoa huduma zake za kifedha...

READ MORE

Kuwatimua TBC! Wanahabari Wamtaka Mbowe Kuomba Radhi

CHAMA cha waandishi wa habari Dar es Salaam (DCPC) kimetoa taarifa inayomtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

READ MORE

Mgombea Aangua Kilio Kwenye Mkutano wa Kampeni

MGOMBEA udiwani wa Kata ya Mumbaka, Masasi mkoani Mtwara, Salum Mwinyikheri, ameangua kilio mbele ya wananchi wakati akiomba kura.  ...

READ MORE

Watatu Mbaroni Kujiunganishia Umeme wa TANESCO

WATU watatu akiwemo mfanyabiashara, Gaston Masika (58) na wenzake wawili wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na kesi...

READ MORE

JPM: Mwambieni ‘Lissu’ Aachane na Urais, Nitampa Kazi Serikalini – Video

  MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amemtaka mgombea wa...

READ MORE

Magufuli: Hakuna Uzazi wa Mpango, Fyatueni Watasoma Bure – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),   Dkt. John  Magufuli leo alikuwa, katika Uwanja...

READ MORE

Kusajili Drone Dola 100 kwa Mwaka, Hizi Zinaweza Kuwa Silaha

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania SACP David Misime, amesema kuwa Ndege zisizokuwa na Rubani maarufu kama drone, zisiposajiliwa zinaweza...

READ MORE

Tanzania, Ufaransa Zaingia Makubaliano Kufundisha Kifaransa

  Serikali za Tanzania na Ufaransa zimeingia makubaliano ya kutoa mafunzo ya mbinu za kufundishia lugha ya Kifaransa kwa walimu...

READ MORE

Dkt. Semakafu Atoa Mwongozo Ufundishaji wa Elimu Vyuo Vya FDCs

  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. AveMaria Semakafu amevitaka Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDCs)...

READ MORE

Wanne Mbaroni Tuhuma za Mauaji Mwanza – Video

POLISI Mkoa wa Mwanza inawashikilia watu wanne kwa tuhuma za makosa ya kupanga tukio la mauaji ya mtu mmoja wilayani...

READ MORE

Aibu! Askofu Anayetuhumiwa Uzinzi Avamiwa Madhabahuni

ZANZIBAR: Timbwili kuzuka baa si hoja; lakini askofu kuvamiwa madhabahuni, kusukwasukwa mpaka kuvuliwa kofia, ni jambo la aibu kufanywa kanisani....

READ MORE

Samia Azungumza na Wajumbe Tume ya Haki za Binadamu

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Tume ya Haki za Binadamu na...

READ MORE

Shule ya Mivumoni Islamic Yaungua kwa Mara ya 3 Ndani ya Miezi 2

Shule ya Sekondari ya Mivumoni Islamic, iliyopo katika eneo la Msikiti wa Mtambani Kinondoni Dar es Salaam, imeteketea kwa moto...

READ MORE

Kigoma: Mtoto Darasa la Pili Alipukiwa na Bomu, Afariki!

MTOTO mwenye mwenye umri wa miaka 9 katika kijiji cha Kasumo Kata ya Kajana wilayani Buhigwe mkoani Kigoma amepoteza maisha...

READ MORE

Waziri Kanyasu: Kuleni Nyama ya Mamba ni Tamu

NAIBU Waziri wa  Maliasili na Utalii, Constantine John Kanyasu,  amesema kuwa mamba ana nyama tamu na ngozi yake ni biashara...

READ MORE

Tanzania Yatajwa Nchi ya Kwanza kwa Amani Afrika Mashariki

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania imetajwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza (inayoongoza) kwa kuwa na amani katika Ukanda wa Afrika...

READ MORE

Magufuli Aahidi Kununua Ndege 5 Akishinda Urais 2020

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli ameahidi kuwa endapo atashinda,...

READ MORE

Kampeni za Uchaguzi Sio Mwanya wa Kufanya Ujangili

Simiyu. Kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu SACP Henry Mwaibambe, amewatahadharisha wananchi kujihusisha na vitendo vya ujangili kwa kudhani kuwa...

READ MORE

Mchungaji wa KKKT Ashikiliwa na Takukuru kwa Kutoa Mikopo Umiza

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoani Manyara inamshikilia mchungaji kiongozi wakanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...

READ MORE

Wamepotea, Wanawatafuta Wazazi Wao

  Usiku wa kuamkia leo Agosti 29, 2020 majira ya saa 08:00, Hospitali ya Taifa Muhimbili (UPANGA) imewapokea binti Aurelia...

READ MORE

NMB Yaweka Mikakati Kukuza Utalii Tanzania

  Benki ya NMB imesema kuwa inathamini sana sekta ya utalii nchini na imeweka mikakati endelevu zaidi katika kuhakikisha shughuli...

READ MORE