×

Kitaifa

Mwafunzi wa Sekondari Rannia Nasser aja na maonesho ya picha

    Mwanafunzi wa sekondari umri wa miaka 17 Rannia Nasser amezindua maonesho ya picha maarufu kama ‘WATU WA TANZANIA’...

READ MORE

Majaliwa Atembelea Banda la Nmb Maonesho ya Nane Nane Simiyu

  Katika maadhimisho ya Nane Nane kitaifa yaliyofanyika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu, Benki ya NMB imewahakikishia wakulima kuwa...

READ MORE

Utata! Anayedaiwa Kufa Afufuka

MATUKIO ya watu sehemu mbalimbali nchini kudaiwa kufa na baadaye kupatikana wakiwa hai ‘kufufuka’, yanazidi kuzua utata miongoni mwa jamii,...

READ MORE

Presha Inapanda Wagombea Ubunge CCM

WAKATI vikao vya mchujo vikiendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kupata jina moja la mgombea atakayepeperusha...

READ MORE

Lissu Achukua Fomu NEC Kuwania Urais

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu,  amekabidhiwa fomu za kuwania urais katika uchaguzi...

READ MORE

Waziri Kilimo Azindua Mfumo wa Kuhakiki Mbegu na Pembejeo, ‘T-Hakiki’

WAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga amezindua rasmi huduma maalum ya kuhakiki pembejeo inayofahamika kwa jina la ‘T-hakiki’.   T-Hakiki ni...

READ MORE

Wasiojulikana Wamuua Mjumbe – Video

MWANZA: Wakati mchakato wa kupitisha majina ya wagombea ubunge kupitia CCM ukizidi kushika kasi, ‘watu wasiojulikana’ wanadaiwa kumteka na kumuua...

READ MORE

Aliyemuua Mtoto Wake kwa Panga Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Bukoba imemuhukumu kunyongwa hadi kufa Melchedes Burchard (30) mkazi wa Kiluluma mkoani Kagera kwa kukutwa na...

READ MORE

Sheikh Majini: Lissu Tumia Maneno ya Busara

MTABIRI na mtaalamu wa visomo na dua, Sheikh Sharrif Majini, amemtaka mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema),...

READ MORE

NCCR-Mageuzi Yateua Wagombea Urais – Video

VYAMA vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kupitisha majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, hatua ambayo...

READ MORE

Miaka 22 Shambulio Ubalozi wa Marekani Dar, Nairobi

MWAKA 1998, Agosti 7, majira ya saa 4 asubuhi, siku ya Ijumaa katika mitaa ya Dar es Salaam na viunga...

READ MORE

Fisi Wakithiri Shinyanga, Serikali Kuwashughulikia

KUTOKANA na kukithiri kwa matukio ya fisi kushambulia wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga hususan watoto wadogo, serikali imeunda...

READ MORE

Jamaa Aliyesaidia Kutuliza Vurugu Kijiji Cha Mpeta Kigoma Amwomba Waziri Mkuu Awadie

Jamaa ameibuka kutoka katika kijiji cha Mpeta Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma akiwawakilisha wananchi sita wakimuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...

READ MORE

Majambazi Yamponza Kigogo wa Polisi

MAJAMBAZI yaliyomvamia mfanyabiashara mmoja, Mkombozi Mjaila (32) wilayani Handeni, mkoani Tanga na kumjeruhi kichwani, yamemponza kigogo wa polisi ambaye ni...

READ MORE

Majanga Yaendelea Kumwandama Mtoto Aliyeokolewa Chooni

MISUKOSUKO imeendelea kumwandama mtoto (jina linafichwa) ambaye aliopolewa kwenye shimo la choo cha Shule ya msingi Murganza iliyoko wilayani Ngara...

READ MORE

Binti wa Miaka 17 Mahakamani: Sikubakwa na Nilitaka Mwenyewe

MTOTO wa miaka 17, ameiambia Mahakama ya Mkoa ‘B’ Chake Chake kuwa, mshitakiwa Bakar Mbwana Juma wa Kengeja hakumbaka, bali...

READ MORE

Hati za Viwanja vya Wachezaji wa Taifa Stars Ziko Tayari

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas...

READ MORE

Mwakyembe Ataka Vitabu Visivyo na Ithibati Kuondolewa

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amelitaka Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), kuwasajili wafasiri, wakalimani...

READ MORE

Twitter Yazuia Akaunti ya Kampeni ya Rais Trump

TWITTER imezuia akaunti ya kampeni ya Rais wa Marekani,  Donald Trump, kwa kukiuka sheria zake zinazohusu usambazaji wa taarifa za...

READ MORE

Naibu Waziri Adaiwa Kutoa Rushwa Kura za Maoni UWT

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Mary Mwanjelwa, amedaiwa kutoa rushwa kwa wajumbe wa Mkutano wa Umoja wa...

READ MORE

Ifahamu Kemikali Iliyoisambaratisha Beirut

  TAKRIBANI tani 3,000 za kemikali ya ammonium nitrate zilizohifadhiwa miaka sita iliyopita katika ghala zimeelezewa kusababisha mlipuko huo uliotokea...

READ MORE

Bashiru: Kazi na Bata, Sijui Wanalala na Bata! – Video

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amesema anashangwazwa na kaulimbiu ya moja ya vyama vya upinzani...

READ MORE

Magufuli Ataka Tanzania Iwe Kama Ulaya – Video

MWENYEKITI  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais . John  Magufuli, leo Agosti 6, 2020, amechukua fomu ya kugombea urais wa...

READ MORE

Mahakama ya Rufaa: Makosa ya Jinai Yasiwe na Dhamana

MAHAKAMA ya Rufaa nchini imetengua uamuzi wa awali wa Mahakama Kuu na kusema kuwa makosa yaliyo chini ya kifungu cha...

READ MORE

Wananchi Zanzibar Wafurahishwa na Elimu ya TMA

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), inashiriki katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Dole, Kizimbani – Unguja,...

READ MORE

Waziri Bashungwa Aipongeza NMB Utoaji Elimu ya Kifedha Nanenane

  WAZIRI wa viwanda na biashara Innocent Bashungwa ameipongeza Benki ya NMB kwa utoaji wa elimu ya kifedha bure kwa...

READ MORE

ACT-Wazalendo: Membe, Maalim Seif Wapitishwa Kugombea Urais

Mkutano Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, umewateua Bernard Membe na Maalim Seif Sharif Hamad kuwa wagombea urais wa Tanzania na...

READ MORE

Majaliwa Ashiriki Maziko ya Mtumishi Ofisi ya Waziri Mkuu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo (Jumatano, Agosti 5, 2020) ameshiriki maziko ya aliyekuwa mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu marehemu...

READ MORE

JPM Anunua Muhindi Dumila, Atoa Milioni 100 – Pichaz

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesimama na kuwasalimia wafanyabiashara wa mazao eneo la Dumila,...

READ MORE

Magufuli Kuchukua Fomu NEC Kesho Mapemaa!

MGOMBEA Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Joseph Maguful...

READ MORE

Polepole: Chadema Nawaachia Watanzania – Video

KATIBU wa Itikadi na Uenezi (CCM), Humphrey Polepole,   wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha Chama...

READ MORE

JPM Akichukua Fomu NEC, Wasanii 109 Kukesha Uhuru Stadium – Video

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi Mkuu wa 2020, Dkt. John Pombe Magufuli atachukua Fomu...

READ MORE

Polepole: Watia Nia Waliodanganya Tutawaadabisha – Video

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitawashikisha adabu watia nia waliopenya kwenye kura za maoni za kutafuta wagombea wa Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Fomu ya Urais Kuanza Kutolewa Leo NEC Dodoma

WAKATI baadhi ya vyama vya siasa vikiendelea na mchakato wa kusaka mpeperusha bendera wa chama kwenye Uchaguzi Mkuu, ratiba ya...

READ MORE

Mkuranga: Aachiwa Huru Baada ya Kukiri Kumuua Mpenzi Wake

MAMLAKA ya rufaa mjini Dar es Salaam imemuondolea mashitaka mkazi wa kijiji kilichopo wilayani Mkuranga baada kukiri kuwa alimuua mpenzi...

READ MORE

Naibu Waziri Aweso Aipongeza TMA, Ataka Iendelee Kuwasaidia Wakulima

NAIBU Waziri wa Maji, Juma Aweso ameipongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kwa juhudi wanazozifanya kuwasaidia wakulima kupitia taarifa zao...

READ MORE

Taarifa za Hali ya Hewa Zimewasaidia Wakulima-TMA

MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imesema wakulima wanaotumia taarifa za hali ya hewa zimekuwa na tija na msaada mkubwa kwenye...

READ MORE

Jaji Mtungi: Chadema Wameunajisi Wimbo wa Taifa, ni Jinai – Video

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji mstaafu Francis Mutungi amewaonya CHADEMA kutokana na alichokiita Uvunjifu wa Sheria kwa kuongeza...

READ MORE

Bombardier ya ATCL Kuanza Kuruka na Kutua Songea

SERIKALI imesema ndege aina ya Bombardier Q400 itaanza safari zake za kuruka na kutua katika Kiwanja cha ndege cha Songea...

READ MORE

NEC Yataka Wasimamizi Uchaguzi 2020 Kutozima Simu

WASIMAMIZI wa uchaguzi wa mikoa na wasimamizi wa uchaguzi mkuu ngazi ya wilaya na majimbo, wameagizwa kuhakikisha simu zao zinakuwa...

READ MORE