×

Kitaifa

Rais Magufuli Awapigia Simu Wasanii, Awapa Milioni 100 – Video

Rais Dkt. John Magufuli amempigia simu Rais wa Chama cha Muziki Tanzania, Ado Novemba na kumweleza kuwa kuwa anafuatilia shughuli...

READ MORE

NMB Yawapiga Msasa Wabunifu Ufundi

  MKURUGENZI wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewaasa wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kada ya ubunifu na ufundi kutumia benki...

READ MORE

Airtel yazindua Airtel 4G kuboresha mawasiliano nchini

        Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imetangaza kuzindua huduma ya Airtel 4G ikiwa ni muendelezo...

READ MORE

Mbunge Aliyesema Aliyewaponda Wahudumu wa ATCL Aomba Radhi

MBUNGE wa Kigoma Kusini (CCM), Husna Mwilima leo Alhamisi, Novemba 14, 2019 ameomba radhi bungeni kufuatia kauli yake aliyoitoa kuhusu...

READ MORE

Mtwara: Kijiji Chavamiwa, Watu Sita Wauawa kwa Risasi

Watu sita wameuawa katika kijiji cha Ngongo Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara na wengine saba kujeruhiwa katika mpaka wa Tanzania...

READ MORE

NMB Yatoa Msaada Kusaidia Ujenzi Uwanja wa Mpira Chato

    BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kusaidia ujenzi wa...

READ MORE

Kijana Aamchinja Mama Yake Kisa Mti

Kijana James Otuma (53), katika Kijiji cha Lukume, Jimbo la Malava, Wilaya ya Kakamega nchini Kenya anashikiliwa na vyombo vya...

READ MORE

Waziri Kalemani Ateua Wajumbe wa Bodi TANESCO

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ameteua Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) yenye wajumbe nane....

READ MORE

Pesa za Kikundi Zayeyuka Kwenye Kibubu

Sherehe za kugawana faida katika kikundi cha ujasiriamali cha Imani, zilizokuwa zifanyike mapema mwishoni mwa wiki zimegeuka kilio kwa wanachama...

READ MORE

Wauzaji Mbogamboga Soko Kuu Kariakoo Wajigamba na Betika

MAPEMA leo Jumatano Novemba 13, 2019, timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Soko Kuu la Kariakoo...

READ MORE

Waliomuua RPC wa Mwanza Wahukumiwa Kunyongwa

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza imewahukumu kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne kati ya saba waliokuwa wanakabiliwa na kesi...

READ MORE

Michezo ya Kubahatisha Kuunganishwa na TEHAMA

NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji amesema Serikali iko mbioni kuunganisha michezo yote ya kubahatisha katika mfumo...

READ MORE

Baba Azimia Baada ya Mwanaye Amebakwa – Video

INAUMA sana! Baba mmoja aliyejulikana kwa jina la Rashidi mkazi wa Manzese, Dar amejikuta akipoteza fahamu kutokana na tukio la...

READ MORE

JPM Awataka Viongozi Wajenge Utaratibu Huu

Rais Magufuli amewataka viongozi wastaafu nchini kujenga utaratibu wa kuandika vitabu vinavyohusu maisha yao ili viwe chachu kwa vijana wanaotamani...

READ MORE

Aveva, Kaburu, Hans Pope Kuanza Kujitetea

ALIYEKUWA rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na wenzake wawili,  wataanza kujitetea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Novemba...

READ MORE

Kilichotokea Kortini Leo Kesi ya Mo Dewji Kutekwa – Video

UPANDE wa utetezi kàtika kesi ya kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’ , leo Jumanne, Novemba 12, 2019 umelalamikia upande...

READ MORE

Makamba Kuachana na Ubunge? Kutoa Hatima Yake Kisiasa ‘Soon’

MBUNGE wa Bumbuli, January Makamba,  amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka...

READ MORE

Polisi Yanasa Silaha za Kivita, Nyama ya Twiga, Meno ya Tembo – Video

JESHI la polisi mkoani Arusha hapa limefanikiwa kukamata bunduki mbili za kivita pamoja na nyara za serikali ambazo ni nyama...

READ MORE

CAG Kichere Atua Bungeni Dodoma

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere leo Jumatatu Novemba 11, 2019 ametambulishwa rasmi bungeni jijini...

READ MORE

Akiwa Gerezani, Malinzi Yamkuta Mazito Tena

SHIRIKISHO la Soka Ulimwenguni (FIFA) limemfungia kwa miaka kumi (10) aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Jamal Malinzi baada...

READ MORE

Diwani Mbaroni Kufuatia Ofisi ya Kata Kuchomwa Moto – Video

KAMANDA wa Polisi mkoa wa Morogoro nchini Tanzania Wilbroad Mutafungwa amesema watu watatu wanashikiliwa kwa mahojiano akiwemo Diwani wa Kata...

READ MORE

Askofu Ataka Uchaguzi S/Mitaa Usogezwe Mbele

ASKOFU Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Iringa, Owdenburg Mdegela amesema ni vizuri kwa wanasiasa...

READ MORE

Siku 20 Baada ya Uchaguzi, Rais Ajiuzulu, Atanganza Uchaguzi Mpya

RAIS wa Bolivia, Evo Morales,  amejiuzulu kufuatia maandamano ya kumshinikiza kufanya hivyo yaliyosambaa nchi nzima na kuungwa mkono na polisi na...

READ MORE

Geita: Vilio, Huzuni Vyatawala Mgodi wa Imalanguzu

MAJONZI na huzuni vimetawala kwenye mgodi wa wachimbaji wadogo wa dhahabu mgodi wa Imalanguzu Wilaya ya Geita kata ya Lwamgasa...

READ MORE

Wasiojulikana Wachoma Moto Ofisi ya Kata, Waacha Bangi – Video

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwhira, amesema watu kadhaa wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za...

READ MORE

Dereva Mlevi Aua Wanawake Watatu

Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia dereva wa gari ndogo aina ya Toyota Salon yenye namba za usajili T.213, Deogratius...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine ATCL, TANESCO

Rais Dkt. Jon Magufuli amemteua Mhandisi Emmanuel Korosso kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania...

READ MORE

Wafanyabiashara Kortini kwa Kunaswa na Pesa Bandia – Video

MFANYABIASHARA Chartone Mushi (44) na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, wakikabiliwa na makosa matatu likiwamo la...

READ MORE

Lugola Amwagiza Sirro Kumshughulikia Mbunge Aliyemtimua Polisi – Video

Baada ya kauli ya Mbunge Sophia Mwakagenda (CHADEMA) aliyosema leo asubuhi, Novemba 8, 2019 bungeni kuwa amemuondoa mpangaji ambaye ni...

READ MORE

Aliyemuua Mjukuu Wake Ahukumiwa Kunyongwa – Video

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemuhukumu kunyongwa hadi kufa mwanamke Esther Lyimo (47) baada ya kupatikana na...

READ MORE

Mbowe: Mashtaka Yetu ni ya Kisiasa – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mashtaka yanayowakabili ni...

READ MORE

Mwanafunzi Darasa la Sita Afariki Akitoa Mimba ya Mapacha

MWANAFUNZI wa darasa la sita Monica Ponera wa Shule ya Msingi Mtumbatimaji Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, amefariki baada ya...

READ MORE

Mbowe: Chadema Tumejitoa, Hatutashiriki Uchaguzi- Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kujitoa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika November 24, mwaka huu....

READ MORE

Polepole Awatolea Povu Upinzani ‘Walisubiri Oil Chafu’

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, , amesema kinachowatesa vyama vya upinzani nchini ni...

READ MORE

Kesi ya Rugemalira, Seth Bado Sana – Video

KESI ya uhujumu uchumi inayowakabili wafanyabiashara wawili, Habinder Seth na James Rugemarila, upande wa mashtaka umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Mwenyekiti Auawa Akitatua Mgogoro wa Ardhi

MWENYEKITI wa Kamati ya Mazingira wilayani Kiteto mkoani Manyara, Engerusi Mikonde (59), ameuawa katika shamba moja akiwa kwenye harakati za...

READ MORE