×

Kitaifa

Rais Samia Atoa Salamu za Pole kwa Kifo cha Malkia Elizabeth wa II wa Uingereza 

RAIS  wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na kifo cha Malikia Elizaberth II wa nchi ya Uingereza, kilichotokea jana Alhamisi...

READ MORE

Waziri Mkuu Awawashia Moto Wasimamizi wa Chuo cha Ufundi Mkoa wa Tabora

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) Mkoa wa Tabora, Musa...

READ MORE

TAMNOA: Punguzo la Tozo Larejesha Ukuaji wa Matumizi Huduma za Kifedha Kwa Njia Ya Simu

  Umoja wa waendesha huduma za simu za mikononi (TAMNOA) umebainisha kuwa kutokana na tozo za miamala ya simu zilizoanza...

READ MORE

Wanafunzi Sekondari Kupatiwa Elimu ya Mazingira na Afya

KATIKA kuhakikisha vipaji vinaendelea kukuzwa nchini, Taasisi ya Hakika Tunajifunza kwa kushirikiana na Kampuni ya Ushauri wa Kitaalamu ya GJS...

READ MORE

Nmb Jogging Mguu Sawa ” Mwendo wa Upendo”

    Wakati mbio za NMB Marathon zikitarajiwa kutimua vumbi Septemba 24 mwaka huu, klabu ya NMB Jogging yenyewe jana...

READ MORE

Meneja Mkuu Global Publishers Aungana na Waombolezaji Kuuzika Mwili wa Shakoor Jongo

Meneja Mkuu Global Publishers, Abdallah Mrisho ameungana na waombolezaji waliojitokeza kuuzika mwili wa Mwandishi nguli wa habari na mdau wa...

READ MORE

Wajumbe Wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Watembelea Miradi ya Kikanda ya EAC

  Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) chini ya Mwenyekiti wake,...

READ MORE

Waziri wa Elimu: Ratiba ya Kufungua Shule Ipo Vilevile, Akanusha Taarifa za Uzushi

  Serikali imekanusha taarifa za uzushi zilizotolewa kuhusu tarehe ya shule kufunguliwa iliyotolewa na baadhi ya watu wasiokuwa na nia...

READ MORE

RC Mgumba Aupongeza Mfuko wa Self Microfinance Kwa Kukuza Mtaji Wake

MKUU wa Mkoa wa Tanga Omari Mgumba ameupongeza Mfuko wa Self Microfinance kwa kuweza kukuza mitaji yao kutoka Bilioni 57...

READ MORE

Kesi ya Akina Halima Mdee, Jaji Atoa Uamuzi Sasa Kuanza Kuhojiwa Mahakani

LEO ikiwa ni Septemba 2, 2022 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imepanga Septemba 30, mwaka huu kuanza kusikiliza...

READ MORE

Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba Atoa Majibu Kuhusu Tozo za Mitandao ya Simu, Benki na Kodi za Majengo

Waziri mwenye dhamana ya fedha, Mwigulu Nchemba amesema serikali imeyapokea maoni yote yaliyotolewa na wananchi kupitia vyombo vya habari na...

READ MORE

Waziri wa Afya wa Ureno Ajiuzulu Baada ya Mtalii Mjamzito Kufariki kwa Kushindwa Kuhudumiwa

Waziri wa afya wa Ureno, Dkt.Marta Temido amejiuzulu saa chache baada ya ripoti kuibuka kuwa mtalii mjamzito amefariki dunia. Mwanamke...

READ MORE

NMB Yatangaza Ushirikiano na Kituo cha Radio cha EFM na TVE, Mbio za NMB Marathon

  Benki ya NMB imetangaza ushirikiano na kituo cha Radio cha EFM na TVE kama washiriki wenza katika mbio za...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Upelelezi Ufanyike Kabla Ya Kuwekwa Mahabusu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkurugenzi wa Upelelezi wa...

READ MORE

Askali Polisi Achomwa Mshale na Mtu Mmoja Aliyegoma Kuhesabiwa Sensa Mkoani Dodoma

ASKARI polisi wa kituo cha Mrijo wilaya ya Chemba mkoani Dodoma Konstebo William Werema amenusurika kifo baada ya kushambuliwa kwa...

READ MORE

Takribani Watu wapatao 18 Wamefariki kwa Kupigwa Risasi Nchini Madagascar

POLISI nchini Madagascar walilazimika kutumia risasi ili kutawanya waandamanaji ambao walikua na gadhabu baada ya mtu mwenye ulemavu wa Ngozi...

READ MORE

DC Gondwe: VODACOM Kinara Kwenye Mapinduzi ya Teknolojia Nchini

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mheshimiwa Godwin Gondwe ameipongeza kampuni ya Simu ya Vodacom kwa kuwa mstari wa mbele kwenye...

READ MORE

RC Kilimanjaro Azindua ATM Ya Nmb ya Kubadili Fedha za Kigeni Uwanja wa KIA

  Benki ya NMB leo imezindua rasmi mashine ya kubadilisha fedha (Forex – ATM) katika uwanja wa ndege wa kimataifa...

READ MORE

Program Ya Dunia Yangu Bora ya CAMFED Yawanufaisha Wanafunzi 70,302

  JUMLA ya Wanafunzi 70,302  kutoka katika shule za sekondari mbalimbali nchini Tanzania wananufaika na  progamu ya Dunia Yangu Bora...

READ MORE

Absa Yazindua Kadi ya Malipo ya Visa Kwa Wafanyabiashara

  Benki ya Absa Tanzania imezindua kadi ya malipo ya Visa kwa wafanyabiashara ya benki hiyo ikiwa na lengo la...

READ MORE

Japan Yatoa Dola za Bilioni 30 Kusaidia Nchi za Afrika

  Serikali ya Japan imetangaza kutoa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 30 katika kipindi cha miaka mitatu (2022 –...

READ MORE

NMB na Wizara ya Mambo ya Nje Zasaini Makubaliano Kutengeneza Mfumo wa Diaspora

  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Benki ya NMB wamesaini Hati ya Makubaliano ya...

READ MORE

Mtoto wa Waziri Simbachawene Afikishwa Mahakamani, Ahukumiwa

Mahakama ya kinondoni imemhukumu Mfanyabiashara, James Simbachawene (24) ambaye ni mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,...

READ MORE

NMB Yatambulisha Kifurushi Maalum Kuwahudumia Walimu – Songea

  KWA kutambua umuhimu wa walimu na mchango wao katika mafanikio ya Benki ya NMB, taasisi hiyo kubwa kuliko zote za...

READ MORE

Waziri Balozi Pindi Chana Azindua Mafunzo ya Maafisa Uhamiaji, Ataka Wadau Kucheza na Pasi ya Rais Samia

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Balozi Dkt.Pindi Chana amezindua Programu ya uimarishaji huduma kwa kupitia mafunzo kwa wadau walioko...

READ MORE

Waziri wa Mawasiliano Aiomba TTCL Kusaidia Maboresho ya Mawasiliano Zanzibar

WAZIRI wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Dk. Khalid Salum Mohamed ameliomba Shirika la Mawasiliano...

READ MORE

Katibu Mtendaji Baraza la Ushauri Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga Yuko Tayari Kuhesabiwa Agosti 23

Zikiwa zimebaki siku mbili kufikia like jambo letu la kitaifa, yaani Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kufanyika nchini more...

READ MORE

RC Makalla Atangaza Oparesheni ya Kukamata Matumizi ya Mifuko ya Plastiki

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo August 19 ametangaza Operesheni ya kukamata Mifuko...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Siku ya Sensa ni Mapumziko

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameridhia kuwa tarehe 23...

READ MORE

Wanafunzi 400 Waliosoma Nje ya Nchi Kushiriki Mahafali yao Jumapili

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolph Mkenda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya tatu ya wanafunzi...

READ MORE

Wiki ya Asasi za Kiraia Yazinduliwa Jijini Dar

  Imeelezwa kuwa jitihada za makusudi zinazofanywa na Asasi za kiraia katika kuimarisha ushirikiano miongoni mwa wadau mbalimbali wa sekta...

READ MORE

Dereva Daladala Akamatwa Kwa Tuhuma za Kumuua Mpenzi wake

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata Maarifa Hadith Matala (45), Dereva wa daladala, mkazi wa Kimara...

READ MORE

BoT Yatoa Leseni Kwa Pesapal, Kufanya Biashara Nchini 

  Kampuni ya Pesapal Tanzania imepewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kufanya biashara nchini kama mtoa huduma wa...

READ MORE

Tanzania na Oman Kushirikiana Kukuza Sekta ya Nishati

  wa Nishati Mhe.January Makamba amekutana na Mhe. Balozi wa Oman nchini Tanzania Mhe. Saud Hilal Al Shidhani na kuzungumzia...

READ MORE

Kiwanda Cha Chai Mponde Chakamilika kwa Asilimia 95

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako ametembelea...

READ MORE

SADC Yaidhinisha Brigedia Jenerali Nkangaa Kuwa Mkurugenzi wa Asasi ya Siasa

  Baraza la mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) limeidhinisha jina la Mtanzania,Brigedia Jenerali Juma Nkangaa Sipe...

READ MORE

Waziri Gwajima Aipongeza Nmb Kuwajali Wamachinga

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameipongeza benki ya NMB kwa kutenga...

READ MORE

Nchi 33 Zinatarajia Kushiriki Mkutano 13 wa Taasisi za  Jumuiya ya Skauti Wakike  Bara la  Afrika

AKRIBANI nchi 33 zinatarajia kushiriki mkutano 13 wa Taasisi za  Jumuiya ya Skauti wakike  bara la  Afrika (Taasisi ya Girl...

READ MORE

Nmb Yaahidi Kuendeleza Kunufaisha Sekta ya Kilimo Nchini

  Benki ya NMB imeweka adhma ya kuendelea kuiboresha sekta ya kilimo nchini kwa kutoa masuluhisho bora na nafuu kwa...

READ MORE