×

Kitaifa

Nmb Yaanza Mwaka Kwa Kusambaza Upendo Kupitia MastaBataKoteKote

   Benki ya NMB imeanza mwaka kwa kusambaza upendo kupitia kampeni ya #MastaBataKoteKote kwa kumzawadia mshindi wa pikipiki mpya aina...

READ MORE

Halotel Tanzania Yakabidhi Gari Jipya la Promosheni ya 7bang Bang

  Kampuni ya Mawasiliano nchini ya Halotel Tanzania PLC leo imekabidhi zawadi kwa mshindi mkuu aliyejishindia gari aina ya IST...

READ MORE

Rais Dkt. Hussein Mwinyi Apokea Msaada Kutoka NMB Wa Vifaa Tiba Hospitali Ya MiCheweni Pemba

Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya tiba mbalimbali kwa Hospitali ya Wilaya ya Micheweni Pemba ikiwa ni utekelezaji...

READ MORE

Nmb Sengerema, Chato Watoa Msaada wa Magodoro na Kompyuta

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuhudumia wananchi, Wafanyakazi wa benki ya NMB kutoka matawi...

READ MORE

Kigogo wa Jatu PLC Afikishwa Mahakamani Kisutu

Kutoka katika Mahakama ya Hakimu mkazi kisutu ni kwamba Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya amefikishwa katika...

READ MORE

TCAA-CCC Yaahidi Huduma Bora Kwa Wadau wa Usafiri Wa Anga

BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC) limesema litaendelea kuhakikisha ya kwamba watumiaji wa...

READ MORE

Global Publishers Inawatakiwa Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya 2023

Mkurugenzi Mtendaji, Eric Shigongo,Uongozi na Wafanyakazi wa Global Groups wanawatakia wasomaji wetu kote nchini na nje ya Tanzania Krismasi Njema,...

READ MORE

Polisi Dar Yamnasa Mwanafunzi wa CBE Aliyejifanya Rais Mstaafu Kikwete Kutapeli

Press 22 Desemba 2022 Makosa ya KImtandao(1) KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA 11 MAKOSA YA KIMTANDAO Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Imetoa Zaidi ya Bil 7 Kuwezesha Ujenzi Chuo cha Ualimu Sumbawanga

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa zaidi ya shilingi bilioni saba kuwezesha ujenzi wa majengo mapya ya...

READ MORE

Waziri wa Elimu Akemea Watumishi Wanaofanya Udanganyifu Kwenye Mitihani

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekemea vikali udanyanyifu wa mitihani unaofanywa na baadhi ya watumishi wa...

READ MORE

PM Majaliwa Akagua Ujenzi wa Hospitali ya Sumbawanga, Abaini Mapungufu

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea na kujionea maeneo ambayo bado hayajakamilika wakati alipokagua ujenzi wa Kituo cha Afya...

READ MORE

Wafanyakazi wa Absa Wasaidia Madawati Kwa Watoto Wenye Mahitaji

Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya Absa Tanzania, George Binde ( kushoto) akikabidhi madawati 37 yenye...

READ MORE

RC Kilimanjaro: Uwekezaji wa PSSSF Umeleta Faraja Kubwa Mkoani Kwetu

  MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu amesema uwekezaji kwenye eneo la viwanda uliofanywa na Mfuko wa Hifadhi...

READ MORE

RC Makala Ashiriki uzinduzi wa ‘NMB Pesa Akaunti’ Kidijitali Zaidi

Zama mpya ya huduma za kibenki imejili nchini baada ya Benki ya NMB kuzindua suluhisho la kisasa ‘NMB Pesa Akaunti’...

READ MORE

Waziri Mkenda: Ajira za Chuo Kikuu Isiwe Kuangalia GPA, Lazima wapimwe, Wafanye na usaili

Kuanzia sasa serikali itaanza kuzitazama ajira za vyuo vikuu badala ya kuangalia ubora wa ufaulu yaani GPA pekee sasa waajiriwe...

READ MORE

Kampeni ya Nmb Mastabata ‘Kotekote’ Yazidi Kupasua Anga

  Kampeni ya NMB MastaBata ‘Kote Kote,’ inayoendeshwa na Benki ya NMB, imezidi kupasua anga baada ya zawadi zenye thamani...

READ MORE

Halotel Kuwapatia Wanafunzi wa Vyuo Salio la Bure

  Katika juhudi zake za kusaidia sekta ya elimu hapa nchini, Kampuni ya Halotel imekuja na ubunifu mwingine katika kutoa...

READ MORE

Serikali Yaahidi Kutatua Changamoto za DMI

·          WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imeahidi kuzifanyia kazi changamoto mbalimbali zinazokikabili Chuo cha bahari Dar es Salaam (DMI)....

READ MORE

TTCL Yapeleka Mawasiliano ya Data Katika Kilele Cha Mlima Kilimanjaro

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation) kwa kufanikiwa...

READ MORE

Vishikwambi Kutengenezwa Nchini, Waziri wa Elimu Prof. Mkenda Aeleza

  Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema haina sababu ya kuagiza Vishikwambi kutoka nje ya nchi itaunga mkono jitihada...

READ MORE

Rais Samia,Dkt. Mwinyi, Kinana Wang’ara

MWENYEKITI wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan  amepata kura 1914 huku akipata kura moja ya hapana. Kwa Makamu Mwenyekiti...

READ MORE

DMI Yaomba Meli ya Mafunzo Kwa Wahitimu

  CHUO cha Bahari Dar es Salaam, (DMI), kimeomba serikali ikipatie meli ya mafunzo kwaajili ya kuwaongezea ujuzi wahimu wa...

READ MORE

Jaji Mkuu Mstaafu Othman Chande Awatunuku Wahitimu 943 ARU

WAKUFUNZI 54 wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), wamepata ufadhili wa kusoma Shahada za Uzamili kupitia mradi unaolenga kufanya tafiti kutatua...

READ MORE

Kampuni ya T-PESA Yazindua Huduma za Bima

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima nchini Tanzania (TIRA), imeipongeza Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation) T-Pesa kwa...

READ MORE

Anayevuruga Mitihani Ashitakiwe Mahakamani, Aende Jela-Waziri Mkenda

  Serikali imeweka bayana dhaira yake ya kuchukua hatua kali za uwajibikaji kwa Maafisa Elimu wa Mikoa, Wilaya, Walimu na...

READ MORE

Fedha za Maadhimisho ya Uhuru Kujenga Mabweni ya Shule Nane

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amesema fedha zilizokuwa zimetengwa na...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Akabidhi Tuzo Kwa NMB ya Mwajiri bora wa mwaka 2022   

Benki ya NMB imetangazwa kuwa Mwajiri bora wa mwaka 2022 katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Chama cha...

READ MORE

TEN MET Yataka Ubora wa Elimu Ukidhi Mahitaji ya Wenye Ulemavu

  MTANDAO wa Elimu Tanzania (TEN/MET), umetoa changamoto kwa wadau wa elimu nchini kwa kushirikiana na Serikali kuhakikisha mabadiliko ya...

READ MORE

Kampuni ya Marekani Yazindua Ndege ya Makombora ya Nyuklia

Kampuni ya Northrop Grumman Corp imezindua ndege yake mpya ya ufyatuzi wa mabomu aina ya B-21 “Raider” aina ya jet,...

READ MORE

Anne Makinda Afurahia Ubora Wa Wahitimu HKMU

  CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeiomba serikali kuendelea kuongeza mikopo na ufadhili kwa wanafunzi wa fani...

READ MORE

Mwinyi Zahera Ateuliwa Kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Polisi Tanzania

Aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga SC Mwinyi Zahera ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Polisi Tanzania inayoshiriki...

READ MORE

SATF Yawakutanisha Wanufaika wa Vyuo 2021/22

Shirika la Social Action Trust Fund ( SATF ) ambalo limekuwa likitoa msaada kwa Watoto wenye uhitaji kufikia malengo yao...

READ MORE

PSSSF Yatwaa Tuzo ya Umahiri Katika Uwasilishaji Taarifa za Mahesabu Kwa Mwaka 2021

    MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetwaa Tuzo ya Umahiri katika Uwasilishaji  wa Taarifa...

READ MORE

Kampuni ya Barron Yatoa Msaada Wa Viatu Kwa Watoto Wenye Maambukizi ya Ukimwi

Katika kuadhimisha siku ya UKIMWI Duniani leo tarehe 1 Disemba 2022 Kampuni ya Barron ambao ni wazalishaji na wauzaji wa...

READ MORE

CCM Yasikitishwa na Kulaani Kitendo cha Udhalilishaji Dhidi ya Mzee Mkoani Mara

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesikitishwa na kulaani kitendo cha udhalilishaji na ukiukaji wa haki ya msingi ya Mtanzania kuwa huru...

READ MORE

Mayele: Ndiyo Kwanza Kazi Inaanza Baada ya Kufikisha Mabao 10 Ligi Kuu

LICHA ya kufanikiwa kufunga mabao saba katika michezo mitatu iliyopita ya ligi, staa wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa bado...

READ MORE

Anne Makinda Kutunuku Wahitimu 291 Chuo Cha HKMU

  SPIKA Mstaafu ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha  Hubert Kairuki (HKMU), Anne Makinda anatarajiwa kuwatunuku wahitimu 291 wa...

READ MORE