×

Kitaifa

Askari Anaswa kwa Utapeli, Anatumia Jina la CCM – Video

POLISI jijini Mwanza imemkamata askari wa Magereza, Kibemba Warioba (27), mwenye namba za usajili B.9205 WDR, akiwa na simu tano...

READ MORE

Mtanzania Atunukiwa na Umoja wa Mataifa kwa Kutengeneza Chujio

MHANDISI mmoja nchini Tanzania, Dkt. Askwar Hilonga, ametambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa uvumbuzi wake wa kifaa cha...

READ MORE

Mchimbaji Shinyanga Apata Almasi ya Bil. 3, Awa Bilionea!

BAHATI ya utajiri imemdondokea mchimbaji mdogo wa madini, Joseph Temba, baada ya hivi karibuni kuuza almasi yake yenye karati 512...

READ MORE

Waziri Mkuu Aifagilia NMB kwa kutoa Huduma Bora

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaja benki ya NMB kuwa ni taasisi inayopaswa kuigwa kwa ubora wa huduma akisifia namna walivyoweka...

READ MORE

Mateso ya Mtoto Huyu… Mungu Tenda Muujiza!

MUNGU tenda muujiza juu ya mtoto huyu! Ndiyo maneno pekee yanayoweza kukutoka baada ya kusoma mateso anayopitia mtoto huyu huku...

READ MORE

NEMC yawaondoa hofu wadau viwanja vya ndege

  BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),  limewaondolea hofu wadau wanaoendesha huduma mbalimbali kwenye Viwanja vya...

READ MORE

MTOTO AFANYIWA OPERERSHENI MARA SABA, AWA NA UPOFU – VIDEO

AMA kweli hujafa hujaumbika!, Masikini Mtoto Daniela Wilfred Kalanjo(9), mkazi wa Tabata Kinyerezi jijini Dar es salaam amejikuta akiteseka baada...

READ MORE

Lugola Awasimamisha Kazi OCD, OCS na OC CID, Kisa Mahabusu 15 Kutoroka

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amewasimamisha kazi Mkuu wa Polisi Wilaya ya Geita (OCD), Mkuu...

READ MORE

Halotel Yazindua Huduma Mpya ya ‘Mpango Mzima’

Kampuni ya Halotel Tanzania imekuja na huduma mpya ya mawasiliano iitwayo ‘MPANGO MZIMA’ ambayo pamoja na faida zake nyingine inamuwezesha...

READ MORE

Benki ya NMB Kuendelea Kutoa Elimu ya Fedha

    SPIKA wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, ameiomba Benki ya NMB kutoa elimu kwa...

READ MORE

BREAKING NEWS: WAZIRI MKUU WA UINGEREZA AJIUZULU – Video

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Theresa May,  ametangaza kujiuzulu wadhifa huo leo, Ijumaa, Mei 24, 2019, kutokana na shinikizo la chama...

READ MORE

JPM, JK WAPAA SAUZI KWENYE SHEREHE – (PICHA + VIDEO)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  John  Magufuli,  leo Ijumaa, Mei 24, 2019 amkwenda Afrika Kusini ambapo kesho atahudhuria...

READ MORE

Walichokifanya Airtel, Hakijawahi Kutokea, Unapiga Mitandao Yote? – Video

  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeendelea kuwapa wateja wake huduma kabambe na za kipekee ikiwa ni...

READ MORE

BREAKING NEWS: SPIKA ASEMA ‘TUMPUUZE, TUMSAMEHE MASELE’

KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iliyomtia hatiani kwa makosa manne Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) ambaye pia...

READ MORE

MLINGA AHOJI BUNGENI KONDOM KUGAWIWA BURE!

MBUNGE  wa Ulanga, Goodluck Mlinga (CCM) ameomba mwongozo bungeni akihoji sababu ya serikali kutoa mipira ya kiume (kondomu) bure badala...

READ MORE

MAGARI ya Kisasa Kuuzwa Dar, BEI CHEE kwa Mnada – Video

KAMA ilivyo kawaida, Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd, inakuletea mnada mwingine mkubwa wa hadhara...

READ MORE

Betika ndiyo habari ya mjini

  WASOMAJI wa Gazeti la Betika, wameendelea kutoa ushuhuda wao juu ya gazeti hilo huku wakisema ni habari ya mjini...

READ MORE

JPM Atoa Heshima za Mwisho kwa Brigedia-Jenerali Ngwilizi

          PICHA NA IKULU RC MWANRI ‘ALIVYOMNING’INIZA’ MTU – VIDEO

READ MORE

MAITI YA TSHISEKEDI KUREJESHWA DRC BAADA YA MIAKA MIWILI

MWILI wa aliyekuwa kiongozi wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Étienne Tshisekedi, utarejeshwa nyumbani Mei 30 na kuzikwa...

READ MORE

CHADEMA WASHUHUDIA ALIYEMRITHI NASSARI AKIAPISHWA – VIDEO

Kwa mara ya kwanza wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) wamebaki ndani ya ukumbi wa Bunge wakati zoezi...

READ MORE

Tundu Lissu Ataja Tarehe ya Kurejea Bongo

Mbunge Tundu Lissu amesema atarejea nchini Septemba 7, 2019, siku ambayo itatimia miaka miwili tangu aliposhambuliwa kwa risasi jijini Dodoma...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Mazishi ya Askofu Mmole Mtwara – Video

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania wote wamuenzi marehemu Askofu Mstaafu Gaberiel Mmole (80) wa Jimbo Katoliki...

READ MORE

MAAJABU: Mtoto Aliyepandishwa Juu ya BATI, Asimulia Alivyomuita ‘YESU’ – Video

SIKU chache zilizopita mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Maziwa, jijini Mbeya mkoani Mbeya alipatwa na tukio...

READ MORE

MUFTI MKUU TANZANIA AITABIRIA MAKUBWA BENKI YA NMB

MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir, ameitabiria makubwa Benki ya NMB, kutokana na utamaduni chanya walionao wa kuijali, kuithamini...

READ MORE

BOMOABOMOA MWENGE…UTAPELI WAIBUKA

KUFA kufaana! Ndivyo ilivyokuwa baada ya zoezi la bomoabomoa kufanyika juzi katika Kituo cha Daladala cha Mwenge jijini Dar ambapo...

READ MORE

EXCLUSIVE: MAMA NA MWANAE WAMWAGA MACHOZI STUDIO – VIDEO

Ni kisa cha kusisimua sana, kinachowahusisha kijana anayefahamika kwa jina la Hussein (18) na Mama yake mdogo ambaye ndiye aliyemlea...

READ MORE

JPM: Mawaziri Wenye Simu za TTCL, Wasiotoa Gawio Wafungiwe – Video

RAIS  John Magufuli leo Jumanne, Mei 21, 2019 ametembelea makao makuu ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania (TTCL) na kupokea...

READ MORE

NAPE ALIAMSHA DUDE: KOROSHO YETU IKO WAPI? MMEDANGANYA – VIDEO

MBUNGE wa Mtama,Nape Nnauye (CCM) ametaka wote waliohusika na kuhujumu Korosho wachukuliwe hatua na wasipochukuliwa ataleta kusudio jinsi walivyofanya mmoja...

READ MORE

Makambo Azuia Milioni 689 za Kagere Simba

KITENDO cha straika wa Yanga, Heritier Makambo kusaini mkataba wa awali na Horoya AC, kimeifanya Simba kukosa kiasi cha dola...

READ MORE

MDUDE Alivyomwaga ‘MACHOZI’ Hadharani “NINA KOSA GANI” – VIDEO

MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali amesema licha ya kupotea hivi karibuni kwa kile alichokidai kuwa...

READ MORE

MBUNGE ATAKA BANGI IRUHUSIWE TANZANIA, SPIKA AMPA BIG UP! – VIDEO

Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ameishauri Serikali ya Tanzania kuruhusu kilimo cha bangi nchini kwa ajili ya utengenezaji...

READ MORE

WALIOMKERA JPM KORTINI

MBEYA: MAOFISA watatu waliomkera Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati wa ziara yake mkoani hapa hivi karibuni, wamefikishwa mahakamani na...

READ MORE

TIRA YAZINDUA KANUNI ZA BIMA KUPITIA BENKI

    MAMLAKA ya Usimamizi wa Shughuli za Bima nchini (TIRA) kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zimezindua Kanuni...

READ MORE

Masele Awekwa ‘Mtu Kati’ Kamati ya Maadili Bunge

MBUNGE wa Shinyanga Mjini (CCM) na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (Pan African Parliament – PAP),...

READ MORE

Halotel, Visa waungana kuwezesha malipo kwa njia ya simu

Kampuni za Halotel Tanzania na Visa zimesaini mkataba wa kimkakati ambao utawawezesha watumiaji wa Halopesa kufanya malipo kwa njia ya...

READ MORE

Watu 11 Wauawa Katika Shambulio Brazil

TAKRIBAN watu 11 wameuawa baada ya watu wenye silaha kuvamia baa moja na kuwashambulia kwa risasi watu waliokuwemo ndani ya...

READ MORE

Breaking News: HATIMAYE Masele Ajisalimisha kwa Ndugai – Video

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament – PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen...

READ MORE