×

Kitaifa

Wizara ya Elimu Yasema Mageuzi ya Elimu Yanayokuja Kuhakikisha Elimu Ujuzi Inapatikana

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema mageuzi ya elimu yanayokuja yanakwenda sambamba na kuandaa mazingira ya...

READ MORE

Chama, Phiri Wabebeshwa Mzigo Simba Kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi Leo

  KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda, ni kama amewakabidhi viungo washambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama na Moses Phiri...

READ MORE

Kampuni ya  GF Yajivunia Mafanikio ya Miaka 15, Kuwa ya kwanza Kuteneneza Magari Nchini

  Kampuni ya Gf Trucks & Equipment’s Ltd  inajivunia mafanikio iliyoyapata kwa kipindi  cha miaka 15  katika sekta ya uuzaji ...

READ MORE

Siri ya Nmb Kunyakua Tuzo 18 Yatajwa, Uongozi Thabiti wa Afisa Mtendaji Watajwa..

  Benki ya NMB imedhibitisha uongozi na sifa yake ya kuwa taasisi kinara wa huduma za kifedha nchini na isiyo...

READ MORE

Kuelekea Dirisha Dogo… Nabi Akabidhi Majina Matano Yanga, Injinia Hersi Afunguka

MABOSI wa Yanga wamekabidhiwa majina matano ya wachezaji ambao Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mtunisia Nasreddine Nabi amependekeza kwa ajili...

READ MORE

Watu Sita Akiwemo Aliyekuwa Kocha wa Makipa Klabu ya Simba Wafikishwa Mahakamani

  Watu sita akiwemo aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya klabu ya Simba, Muharami Sultan (40) wamefikishwa katika mahakama...

READ MORE

Mkazi wa Songea Ajishindia Bodaboda Kupitia Nmb Mastabata Kotekote, Wengine Waondoka na Mil 7

  Benki ya NMB imepata mshindi wa pili wa bodaboda, Charles Erasto Mbwilo  kutoka Songea Mkoani Ruvuma kupitia droo ya ...

READ MORE

Vodacom yazindua “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” promosheni

odacom Tanzania plc imezindua promosheni ya wiki nane ya msimu wa siku kuu iitwayo “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” itakayowawapa wateja…

READ MORE

Ndege ya Air Tanzania Yashindwa Kutua Katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba – Video

Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera kutokana na...

READ MORE

Yanga Wafunguka Rasmi Sakata la Feisal Salum ‘Fei Toto’ Kutua Azam Fc

  MARA baada ya tetesi kuenea kuwa matajiri wa Klabu ya Azam wapo katika mpango wa kumsajili kiungo wa Yanga,...

READ MORE

Kisa Waarabu, Yanga Yatua CAF Baada ya Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika

  KUFUATIA vurugu kubwa walizofanyiwa na wenyeji wao mara baada ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Club...

READ MORE

Exclusive: Mchungaji Mchumba wa Wakonta Afunguka Chanzo Kutooana -“Sikufuata Pesa, Bado Nampenda”… -Video

 GLOBAL TV ONLINE imepiga stori na Mchungaji, Gregory Kileo aliyewahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mrembo Wakonta Mapunda...

READ MORE

NMB yapongezwa kusaidia Wakandarasi- Zanzibar

Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi -Zanzibar imeipongeza Benki ya NMB

READ MORE

Breaking: Simba Yatoa Tamko Kuhusu Kocha wa Makipa “Hakuwa Muajiriwa wa Klabu”

  Muda mfupi baada ya kutolewa kwa taarifa ya Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Sultan kukamatwa...

READ MORE

Breaking: Watu 11 Wakamatwa kwa Tuhuma za Kukutwa na Dawa za Kulevya Akiwemo Kocha wa Simba – Video

Mamlaka ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya inawashikilia watu 11 kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya...

READ MORE

Gf  Trucks & Equiments Yatoa Msaada Kwa Vikosi Vya Jeshi La Uokoaji Kilimanjaro

Meneja masoko na mawasiliano wa kampuni ya GF Trucks & Equipment’s Ltd , Smart Deus akikabidhi sehemu ya msaada wa...

READ MORE

Nmb Yatoa Msaada wa Vitanda Vya Kujifungulia na Mashuka Tanga

      Viongozi wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wamepongeza maono na fikra za uongozi wa Benki ya NMB...

READ MORE

TRA Yanogesha Matembezi na Mbio za Shukrani Kwa Mlipakodi

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wawakilishi wa...

READ MORE

DCB Yashinda Tuzo ya Benki Bora kwa Kutoa Huduma Bora kwa Wateja Nchini 

BENKI ya Biashara ya DCB imesema ushindi wa benki bora katika utoaji huduma kwa benki zenye ukubwa wa kati ilioupata,...

READ MORE

Washindi 75 wa Nmb MastaBata KoteKote” Wachomoka na Pikipiki, Laki Moja Kila Mmoja

  Zawadi zenye thamani ya Sh. Mil. 10.5 za droo ya kwanza ya Kampeni ya NMB MastaBata ‘Kote Kote’ zimepata...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa NICOL Wafana Dar, Kutoa Gawio  Kwa Wanahisa Wake

    KAMPUNI ya Uwekezaji ya NICOL imepata faida ya shilingi bilioni 3.8 baada ya kodi na imepitisha gawio kwa...

READ MORE

Waziri Ndalichako Aitaka CBE Kujitanua Zaidi Mikoani

    SERIKALI imevitaka vyuo kuzingatia mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi vyuoni ili kuondoa malalamiko kutoka kwa waajiri kwamba wahitimu...

READ MORE

TRA Yaipongeza CBE Kwa Kuanzisha Klabu ya Kodi Kwa Wanafunzi

    MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imepongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kuanzisha klabu ya kodi kwa...

READ MORE

Wizara ya Elimu Kuhakikisha Inagawa Rasilimali, Fursa Kwa Haki: Prof. Mkenda

Serikali imempongeza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bi Bahati Geuzye pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi...

READ MORE

Mahafali ya Shule Ya St Anne Marie Academy Yafaana Dar

  MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Dk. Jasson Rweikiza, amesema mwanafunzi ambaye atafiwa na wazazi wake wakati akiendelea na masomo kwenye...

READ MORE

Rais Samia Atoa Pole Kufuatia Ajali ya Ndege Iliyotokea Ziwa Victoria

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa watu walioathirika kufuatia ajali ya ndege ya Shirika la Precision katika Ziwa Victoria...

READ MORE

Mwinyijuma, Aliyekuwa Mwanasheria wa RAHCO Massawe Waachiwa Huru Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewaachia huru mfanyabiashara Kanji Mwinyijuma na aliyekuwa Mwanasheria wa Kampuni Hodhi ya...

READ MORE

Wananchi wa Buchosa Kulipwa Fidia Zao Kabla ya Ujenzi wa Barabara ya Lami

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema kuwa Wananchi wa Jimbo la Buchosa watalipwa fidia zao kupisha ujenzi wa...

READ MORE

PM Majaliwa Kuwa Mgeni Rasmi Mahafali ya 57 Ya  Chuo Cha CBE

    Mkuu wa chuo hicho, Prof. Emmanuel Mjema amesema kuwa  mahafali ya 57 ya  cha ElChuo cha Elimu ya...

READ MORE

Zawadi za Nmb Mastabata Msimu Huu Kuwakwamua Wateja Kiuchumi

  Msimu wa nne wa kampeni ya NMB MastaBata tayari umeanza baada ya promosheni hiyo ya kuchagiza malipo kidijitali kuzinduliwa...

READ MORE

Hospitali Ya KAM Musika Yapima Bure Matibabu ya Saratani Tezi Dume

  KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali ya awamu ya sita katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Hospitali ya...

READ MORE

Uwekezaji Kidijitali, Nmb Yaendelea Kukuza Uchumi wa Buluu

  Benki ya NMB imekuwa mstari wa mbele kwa ubunifu katika sekta ya TEHAMA kwa kutoa masuluhisho mbalimbali kwa wateja wake...

READ MORE

Majambazi Wawili Wauawa Gongo la Mboto Wakiiba Mkopo wa Milioni 1

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Wananchi wa maeneo ya Gongo la Mboto wamewadhibiti...

READ MORE

Utafiti Waonesha Halotel Yaongoza Kwa Intaneti Yenye Spidi Nchini

Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imeshika usukani mara ya tatu kwa kuwa na huduma ya intaneti yenye...

READ MORE

Waziri Ndalichako Aitaka Sekta ya Umma Kushirikiana Na Wadau Kuimarisha Usalama, Afya Mahali pa Kazi

Wito umetolewa kwa wadau wa sekta ya umma kushirikiana kikamilifu na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA)...

READ MORE

Makandarasi Watakiwa Kuchangamkia Fursa Ndani na Nje ya Nchi

  MAKANDARASI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kulalamika badala yake waweke juhudi ili wapate kazi kubwa zinazotangazwa ndani ya nje...

READ MORE

Serikali Yaifungia Shule ya Chalinze Modern Islamic Kuwa Kituo Cha Mitihani – Video

Serikali imeifungia Shule ya Awali na Msingi ya Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha Mitihani kutokana na udanganyifu uliofanyika katika...

READ MORE

Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM Wilaya ya Sengerema: Nitatumia Nafasi Yangu Kuwaunganisha Wana CCM

Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Omary Sukari amesema atatumia nafasi ya ujumbe wa mkutano mkuu ...

READ MORE