×

Kitaifa

Makamba Aandika Waraka Mzito “Ruge, Naomba Nisikilize Kidogo”

Na January Makamba Ndugu yangu Ruge, najua ndio umewasili huko upande wa pili na si ajabu una mambo mengi na...

READ MORE

WOLPER Amlipua DUDU BAYA / DIAMOND Hajamposti RUGE Mhm! – Video

Muigizaji Jackline Wolper, ametoa wito kwa Watanzania wote kuungana na kuomboleza msiba wa Ruge Mutahaba, na kuachana na maneno ya...

READ MORE

RUGE ALIKUWA MSTARI WA MBELE KUWASAIDIA VIJANA-MAJALIWA  

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Taifa limepoteza kijana aliyekuwa msatari wa mbele kuwahamasisha vijana wajitambue wawe wazalendo kwa nchi...

READ MORE

Alichokisema JOSEPH KUSAGA Msibani kwa RUGE – Video

  MKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga, amezungumzia kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Makampuni...

READ MORE

WASOMAJI WALISHUKURU GAZETI LA BETIKA

BAADHI ya wasomaji wa gazeti namba moja na la kijanja linalohusu ishu nzima za kubeti lijulikanalo kwa jina la BETIKA,...

READ MORE

DK TULIA: NIKIKUTANA NA JPM NITAMWAMBIA HAYA KUHUSU GLOBAL GROUP

DAR ES SALAAM: Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson Mwansasu, Jumamosi Februari 23,...

READ MORE

HII HAPA RATIBA YA KUAGA MWILI WA RUGE NA MAZISHI

NDUGU Kashasha ambaye ni msemaji wa Familia ya Mutahaba amesema kama mambo yakienda kama yalivyopangwa, mwili wa #RugeMutahaba utawasili jijini...

READ MORE

Mwakywembe Aagiza Dudu Baya Akamatwe, Mwenyewe Amjibu! – Video

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amelielekeza Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kwa kushirikiana na Jeshi...

READ MORE

BREAKING: CHADEMA Waibua MAPYA Ishu ya KOROSHO – VIDEO

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemuomba Rais wa Jamuhuri yaMmuungano wa Tanzania, Dk John Magufuli kukutana na wadau wa...

READ MORE

Waziri Mkuu, RC Makonda Walivyofika MSIBA WA RUGE MUTAHABA – Video

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekuwa ni miongoni mwa viongozi mbalimbali wa Serikali ambao wamefika katika msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa...

READ MORE

JK; “Nimelemewa”, JPM; “Nitakukumbuka”, Makonda; “Hautosahaulika”

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameeleza maumivu aliyonayo kufuatia kifo cha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media...

READ MORE

Mwili wa Kijana Aliyekaa Mochwari Miezi 8 Wachukuliwa – Video

HATIMAYE familia imuechukua mwili wa Frank Kapange (22) jana Jumanne, Februari 26, 2019 katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya...

READ MORE

BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO WA WADAU WAKUBWA SEKTA YA MAZIWA

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Jukwaa la Kimataifa la Maziwa na wadau wengine wameungana kukutanisha wadau wa sekta ya...

READ MORE

MAAFA TENA UKEREWE! WATOTO 2 WAFARIKI, NYUMBA 16 ZABOMOLEWA

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia huku watu 77 wakazi wa kijiji cha Mibungonanakwekwe wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza...

READ MORE

MOI Yafanya Upasuaji wa Fuvu la Binadamu kwa Darubini

MADAKTARI Bingwa wa Upasuaji ubongo wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), wamefanikiwa kufanya upasuaji mgumu wa kuondoa uvimbe...

READ MORE

DK TULIA AICHAMBUA SERIKALI YA JPM, UNUNUZI WA NDEGE

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson Mwansasu, amesema Serikali ya Awamu ya Tano...

READ MORE

Mchungaji Aliyefufua ‘Maiti’ Azua Gumzo – Video

NI Jumapili asubuhi ambapo kuna ibada ya uponyaji katika kanisa la  Alleluia Ministries International, kaskazini mwa jiji la Johannesburg, Afrika...

READ MORE

Mbele ya RC Mwanri, VP Samia Atoa Maagizo Tabora – Video

MAKAMU wa rais Samia Suluhu amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa mazingira Mkoani Tabora, ambapo amewataka kuboresha usafi na kuacha...

READ MORE

LINDI WAAGIZWA KUSITISHA UMWAGAJI WA MAJI TAKA DAMPO LA TAKA NGUMU

  Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima ameuagiza Uongozi wa Mkoa wa Lindi...

READ MORE

Wabunge wawili wa Chadema Wafikishwa Mahakamani

WABUNGE wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Lijualikali (Kilombero) na Susan Kiwanga wa Mlimba na wenzao saba...

READ MORE

Wataalam 9 wa Ardhi Waliofariki Ajali Waagwa Morogoro – Video

NAIBU Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula,  amewaongoza mamia ya wananchi katika zoezi la kuaga miili ya wataalam tisa wa wizara...

READ MORE

Jamhuri Yaomba Lissu Akamatwe, Mahakama Yagoma!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeombwa kumfutia dhamana na kutolewa hati ya kukamatwa kwa Mbunge wa...

READ MORE

Wananchi Waua Majambazi Wanne Dodoma

WANANCHI wa kijiji cha Kinyasi wilayani Kondoa wamewaua watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliovamia kituo cha mafuta kilichopo kijijini hapo...

READ MORE

Ndoo 226 Zenye Sampuli za Madini 883 Zakamatwa Mwanza

KAMATI ya ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza inalishikilia gari lori aina Fuso lililokuwa likisafirisha shehena ya sampuli za madini...

READ MORE

BENKI YA NMB YAWATAJA 6 WANAOKWENDA KULA BATA DUBAI

BENKI ya NMB imewatangaza wateja watatu ambao wameibuka washindi katika droo ya mwisho ya kampeni ya matumizi ya ‘NMB Mastercard’...

READ MORE

GARI LATUMBUKIA MTONI, WATUMISHI 9 WAFARIKI!

#BRAKINGNEWS: Watu tisa ambao ni wataalam wa Idara ya Ardhi wamefariki dunia baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa...

READ MORE

KIPIGO CHA SIMBA: AZAM YAWATIMUA PLUIJM NA MWAMBUSI

IKIWA ni siku moja baada ya kuchapwa mabao 3-1 na Simba, Azam FC imeamua kuvunja benchi la ufundi kwa kusitisha...

READ MORE

Tani 68 za Korosho Zarejeshwa kwa Wakulima

ZAIDI ya tani 68 za Korosho zilizokuwa zimepimwa na wakulima katika vyama vya Msingi Chemana na China  kata ya Chitekete...

READ MORE

MC MAARUFU BONGO AKWAA SKENDO YA UTAPELI

PAMELA Mboma ‘Mc Pam Tony’ ambaye ni mshereheshaji wa kwenye maharusi na shughuli mbalimbali, amekwaa skendo ya kudaiwa kutapeli kiasi...

READ MORE

MTOTO WA KIGWANGALLA AZIKWA NZEGA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan aliongoza shughuli za mazishi ya Zulqarinain mtoto...

READ MORE

INASIKITISHA! HAMISI ANAVYOTESEKA, UTAMWAGA MACHOZI

WAKATI mimi na wewe tukiwa wazima wa afya, Watanzania wenzetu wanaotekeska kwa maradhi ama shida mbalimbali, si kwa kutaka wao...

READ MORE

DAR: WANAFUNZI 2 NA WANANCHI 6 WAHUKUMIWA MAISHA JELA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kifungo cha maisha jela washitakiwa wanane baada ya kutiwa hatiani...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFIKA KUWAPA POLE FAMILIA YA KIGWANGALLA

Rais Dkt. John Magufuli, leo ametoa mkono wa pole kwa familia ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWALILIA 19 WALIOKUFA AJALINI SONGWE

Rais Dk. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza jamaa zao katika ajali ya barabarani iliyotokea katika Wilaya ya...

READ MORE

BINTI ADAIWA KUUAWA KWA RISASI NA ASKARI, MAMA YAKE AJERUHIWA

Neema Dominick mkazi wa Kigamboni Mtaa wa Tuamoyo jijini Dar es Salaam amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika eneo...

READ MORE

SAKATA LA SUGU, CHADEMA WAWATAKA POLISI WASIKURUPUKE – VIDEO

Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kufanya kazi kwa weledi na kuacha kukurupuka katika utendaji...

READ MORE

AJALI YA LORI NA COASTER YAUA 19 SONGWE

WATU 19 wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya lori lililokuwa na mzigo, lenye namba T 388 CAA baada ya gari...

READ MORE

Mwanafunzi Kidato cha Nne Ajiua kwa Bastola ya Profesa

JASMIN NGOYE (18) mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya Sekondari Lupanga iliyopo manispaa ya Morogoro, amekutwa amekufa baada ya...

READ MORE

SAKATA LA VITAMBULISHO VYA MACHINGA, SUGU AACHIWA

MBUNGE wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

READ MORE