KIWANDA cha Jambo Food Products Company Limited kinachojihusisha na uzalishaji wa vinywaji baridi ikiwemo soda, juisi na maji kimejichukulia umaarufu...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema haina mamlaka ya kumfutia kesi wala kumpa dhamana Michael Wambura baada ya Wakili wake...
READ MOREBUNGE limeahirishwa huku Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye akiwa amejiuzulu Uenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,...
READ MOREKESI namba 112/2018 inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe...
READ MORENI SIMANZI juu ya simanzi! Kufuatia ajali iliyoua watu wanne katika mteremko wa Nyangoye, Bukoba mkoani hapa, mtoto wa mmoja...
READ MOREWAKATI wapendanao duniani wakiadhimisha Sikukuu ya Valentine’s Day kesho (Alhamisi) kwa kila mmoja kuonesha mahaba niue kwa mwenza wake, hali...
READ MOREGEORGE JONAS, raia wa Tanzania anayefanya kazi katika kampuni ya Boeing nchini Marekani amepata tuzo ya Mhandisi Mweusi Mwafrika...
READ MOREUPELELEZI wa kesi ya kuchapisha video ya ngono kupitia ukurasa wa Instagram inayomkabili Msanii wa Filamu, Wema Sepetu, umekamilika na...
READ MOREMBUNGE wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ambaye amepata ajali ya gari ilitokea leo Jumatano Februari 13, katika eneo la...
READ MORERAIA wa Tanzania aliyetambulika kwa jina la Abdul Rahman Asman anadaiwa kukamatwa huko Bali nchini Indonesia akiwa na madawa...
READ MORETaarifa zilizothibitishwa na Jeshi la Polisi zimeeleza kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi (CCM), Dkt. Dk Mwigulu Lameck Nchemba amepata ajali...
READ MOREEEE Mungu wangu! Hutaacha kusema hivyo ukifanikiwa kumuona Nezia Maregesi, mkazi wa Majita mkoani Mara ambaye ana uvimbe mguuni wenye...
READ MORETANZIA: Tasnia ya Bongo Fleva imepata pigo baada kuondokewa na Rapa maarufu nchini, Golden Jacob Mbunda ‘Godzilla‘ ambaye amefariki dunia ghafla...
READ MOREREHEMA Ezekiel, mkazi wa Sinza- Mugabe jijini Dar ni msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli) ambaye yamemfika mazito baada ya...
READ MOREJANUARI 10 mwaka huu wataalamu wa Baraza la Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira nchini (NEMC) lililopo chini ya Waziri wa...
READ MOREKAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema jeshi hilo limemkamata kijana William Simon kwa tuhuma za kumbaka Bibi...
READ MOREWATUHUMIWA watatu wa matukio ya mauaji ya watoto mkoani Njombe, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Njombe akiwemo Joel Nziku...
READ MOREKwa kutambua umuhimu na ukuaji wa sekta ya mawasiliano nchini Tanzania, serikali imeiahidi Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel kuendelea...
READ MOREBASI la abiria, mali ya Kampuni ya Abood, lenye namba za usajili T 877 DJP linayofanya safari zake kati ya...
READ MOREMWANAMKE mmoja ambaye hakufahamika mara moja, amezua taharuki baada ya kukutwa mtupu kama alivyozaliwa eneo la Shani Sinema jirani na...
READ MORESHIRIKA la Mawasiliano Tanzania TTCL Corporation, kupitia mtandao wake wa huduma za kifedha wa T-PESA pamoja na wadau wa...
READ MORENI MIAKA miwili sasa tangu baba mzazi wa Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Etienne Tshisekedi wa...
READ MOREMKURUGENZI wa UDART, Robert Kisena (46) na wenzake watatu wamesomewa mashitaka 19 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo utakatishaji...
READ MOREMKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Itigi, Wilaya ya Manyoni, Pius Luhende (54) na maofisa sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya...
READ MOREMTU mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye Boat inayozdaiwa kuwa ni...
READ MOREJESHI la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamshikilia Kereto Likoko (Mmasai) kwa madai ya kumuua Mwanafunzi Samson Conrad aliyekuwa akiyesoma katika Chuo...
READ MOREKIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amemteua Askofu Renatus Nkwande kuwa Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Askofu Mkuu...
READ MOREBAADA kukamatwa jana na kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, aliyekuwa Makamu wa Rais Shirikisho la Soka...
READ MOREJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwaua majambazi wawili na kukamata silaha moja aina ya Chinese...
READ MOREIKIWA ni saa chache kabla ya kupanda kiznimbani, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura...
READ MOREKampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia kitengo chake cha Huduma kwa wateja wakubwa wameshiriki kampeni maalum...
READ MOREMUUGUZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru Arusha, Martin Chama amesimamishwa kazi ya kutoa huduma za uuguzi na ukunga...
READ MOREMtoto Meshack Myonga (4)mkazi wa mji mwema Halmashauri ya Mji wa Njombe Mkoani Njombe aliyejeruhiwa kwa kukatwa koromeo amefariki dunia...
READ MOREKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, amesema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), anaumwa ugonjwa...
READ MOREMKUU wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri (pichani) jana ameshiriki katika ibada ya kuhitimisha mfungo na Maombi yakuombea mkoa wa...
READ MOREMWANAFUNZI wa shule ya msingi Lukungu kata ya Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu, Joyce Joseph miaka 8 aliyekuwa akisoma darasa...
READ MOREWAFANYABIASHARA na Wasafirishaji wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamekuja na mbinu nyingine mpya ya kujigeuza wanafunzi na kisha...
READ MOREMBUNGE wa Siha (CCM), Dk Godwin Mollel amesema tukio la Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 jijini Dodoma...
READ MOREMBUNGE wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma‘ ameishauri serikali kuondoa baadhi ya masharti yaliyowekwa kwa wanaoingiza madini ndani ya nchi kutoka...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ameendelea na kampeni yake ya kukomesha mama wajawazito na watoto wenye umri chini...
READ MORE