×

Kitaifa

Unaikumbuka Hii ya JPM? – VIDEO

KIWANDA cha Jambo Food Products Company Limited kinachojihusisha na uzalishaji wa vinywaji baridi ikiwemo soda, juisi na maji kimejichukulia umaarufu...

READ MORE

KILICHOMKUTA WAMBURA MAHAKAMANI LEO – VIDEO

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema haina mamlaka ya kumfutia kesi wala kumpa dhamana Michael Wambura baada ya Wakili wake...

READ MORE

MJADALA MOTO: NAPE, GHASIA KUJIUZULU KAMATI BUNGENI, KUNA NINI?

BUNGE limeahirishwa huku Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye akiwa amejiuzulu Uenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,...

READ MORE

KILICHOTOKEA LEO KESI YA MBOWE, MATIKO – VIDEO

KESI namba 112/2018 inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe...

READ MORE

AJALI ILIYOUA WANNE…. MTOTO AIBUA SIMANZI NZITO!

NI SIMANZI juu ya simanzi! Kufuatia ajali iliyoua watu wanne katika mteremko wa Nyangoye, Bukoba mkoani hapa, mtoto wa mmoja...

READ MORE

Mrembo achomwa visu akilazimishwa penzi

WAKATI wapendanao duniani wakiadhimisha Sikukuu ya Valentine’s Day kesho (Alhamisi) kwa kila mmoja kuonesha mahaba niue kwa mwenza wake, hali...

READ MORE

MTANZANIA ALIYELETA DREAMLINER ASHINDA TUZO MAREKANI

  GEORGE JONAS, raia wa Tanzania anayefanya kazi katika  kampuni ya Boeing nchini Marekani amepata tuzo ya Mhandisi Mweusi Mwafrika...

READ MORE

KESI YA WEMA PICHA ZA UTUPU, UPELELEZI WAKAMILIKA

UPELELEZI wa kesi ya kuchapisha video ya ngono kupitia ukurasa wa Instagram inayomkabili Msanii wa Filamu, Wema Sepetu, umekamilika na...

READ MORE

Mwigulu Asimulia Punda Walivyotaka Kumtoa Uhai Leo – Video

  MBUNGE wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ambaye amepata ajali ya gari ilitokea leo Jumatano Februari 13, katika eneo la...

READ MORE

Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya Indonesia

  RAIA wa Tanzania aliyetambulika kwa jina la Abdul Rahman Asman anadaiwa kukamatwa huko Bali nchini Indonesia akiwa na madawa...

READ MORE

Breaking News: Mbunge Mwigulu Nchemba Apata Ajali Mbaya

Taarifa zilizothibitishwa na Jeshi la Polisi zimeeleza kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi (CCM), Dkt. Dk Mwigulu Lameck Nchemba amepata ajali...

READ MORE

Ee! Mungu wangu!

EEE Mungu wangu! Hutaacha kusema hivyo ukifanikiwa kumuona Nezia Maregesi, mkazi wa Majita mkoani Mara ambaye ana uvimbe mguuni wenye...

READ MORE

Tanzia: Msanii Godzilla Afariki Dunia

TANZIA: Tasnia ya Bongo Fleva imepata pigo baada kuondokewa na Rapa maarufu nchini, Golden Jacob Mbunda ‘Godzilla‘ ambaye amefariki dunia ghafla...

READ MORE

Kilichompata ‘house girl’ huyu

REHEMA Ezekiel, mkazi wa Sinza- Mugabe jijini Dar ni msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli) ambaye yamemfika mazito baada ya...

READ MORE

NEMC: MAJI YATOKAYO MGODINI YANA SUMU

JANUARI 10 mwaka huu wataalamu wa Baraza la Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira nchini (NEMC) lililopo chini ya Waziri wa...

READ MORE

Njemba Ambaka Bibi Kizee wa Miaka 77 Hadi Kufariki

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto,  amesema jeshi hilo limemkamata kijana William Simon kwa tuhuma za kumbaka Bibi...

READ MORE

Watuhumiwa wa Mauaji ya Watoto Njombe Wafikishwa Kortini

WATUHUMIWA watatu wa matukio ya mauaji ya watoto mkoani Njombe, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Njombe akiwemo Joel Nziku...

READ MORE

Serikali yaahidi kuendelea kushirikiana na Halotel

  Kwa kutambua umuhimu na ukuaji wa sekta ya mawasiliano nchini Tanzania, serikali imeiahidi Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel kuendelea...

READ MORE

Breaking News: Basi la Abood Lateketea kwa Moto Chalinze – Video

BASI la abiria, mali ya Kampuni ya Abood, lenye namba za usajili T 877 DJP linayofanya safari zake kati ya...

READ MORE

Mama Akutwa Mtupu Live, Azua Taharuki

MWANAMKE mmoja ambaye hakufahamika mara moja, amezua taharuki baada ya kukutwa mtupu kama alivyozaliwa eneo la Shani Sinema jirani na...

READ MORE

T-Pesa kuanzisha mfumo wa malipo kwa kutumia card

    SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania TTCL Corporation, kupitia mtandao wake wa huduma za kifedha wa T-PESA pamoja na wadau wa...

READ MORE

MWILI WA BABA WA RAIS UPO MOCHWARI MWAKA WA PILI – VIDEO

NI MIAKA miwili sasa tangu baba mzazi wa Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Etienne Tshisekedi wa...

READ MORE

Mkurugenzi wa UDART Kortini Kwa KuIsababishIa Serikali Hasara ya Bilioni 2

MKURUGENZI wa UDART, Robert Kisena (46) na wenzake watatu wamesomewa mashitaka 19 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo utakatishaji...

READ MORE

MKURUGENZI ITIGI KORTINI KWA MADAI YA KUUA MTU KANISANI

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Itigi, Wilaya ya Manyoni, Pius Luhende (54) na maofisa sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya...

READ MORE

Dar: Ajirusha Baharini Afe, Aokolewa!

MTU mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye Boat inayozdaiwa kuwa ni...

READ MORE

Amchinja Mwanafunzi Kisa Pete

JESHI la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamshikilia Kereto Likoko (Mmasai) kwa madai ya kumuua Mwanafunzi Samson Conrad aliyekuwa akiyesoma katika Chuo...

READ MORE

Papa Francis Amteua Askofu Nkwande Kuwa Askofu Mkuu Mwanza

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amemteua Askofu Renatus Nkwande kuwa Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Askofu Mkuu...

READ MORE

WAMBURA ASOMEWA MASHTAKA 17, KUTAKATISHA MKWANJA TSH. MIL 75

BAADA kukamatwa jana na kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, aliyekuwa Makamu wa Rais Shirikisho la Soka...

READ MORE

Polisi DSM ‘Walivyowaua’ Majambazi Sugu Ukonga! – Video

 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwaua majambazi wawili na kukamata silaha moja aina ya Chinese...

READ MORE

WAMBURA ATANGAZA KUACHANA NA SOKA, AFIKISHWA KISUTU – Video

IKIWA ni saa chache kabla ya kupanda kiznimbani, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura...

READ MORE

Airtel Kusaidia Bima ya Afya Watoto Waishio Kwenye Mazingira Magumu

  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia kitengo chake cha Huduma kwa wateja wakubwa wameshiriki kampeni maalum...

READ MORE

Muuguzi Mount Meru Asimamishwa Kazi Mwaka Mzima kwa Ulevi

MUUGUZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru Arusha, Martin Chama amesimamishwa kazi ya kutoa huduma za uuguzi na ukunga...

READ MORE

MTOTO ALIYENUSURIKA KUUAWA NJOMBE AFARIKI DUNIA – VIDEO

Mtoto Meshack Myonga (4)mkazi wa mji mwema Halmashauri ya Mji wa Njombe Mkoani Njombe aliyejeruhiwa kwa kukatwa koromeo amefariki dunia...

READ MORE

DKT BASHIRU: Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi!

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally, amesema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), anaumwa ugonjwa...

READ MORE

Wananchi Waangusha Maombi Maalum Dhidi ya Mauaji ya Watoto Njombe

MKUU wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri (pichani) jana ameshiriki katika ibada ya kuhitimisha mfungo na Maombi yakuombea mkoa wa...

READ MORE

SIMIYU: Mwanafunzi Darasa la Pili Atekwa, Auawa!

MWANAFUNZI wa shule ya msingi Lukungu kata ya Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu, Joyce Joseph miaka 8 aliyekuwa akisoma darasa...

READ MORE

Wasafirishaji wa Mirungi Waja na Mbinu Kujifanya Wanafunzi

WAFANYABIASHARA na Wasafirishaji wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamekuja na mbinu nyingine mpya ya kujigeuza wanafunzi na kisha...

READ MORE

Mbunge Aliyehama Adai Chadema Waliratibu Mpango wa Lissu Kupigwa Risasi – Video

MBUNGE wa Siha (CCM), Dk Godwin Mollel amesema tukio la Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 jijini Dodoma...

READ MORE

MUSUKUMA: Dhahabu Siyo Korosho, Tusiiwekee Masharti Kabisa! – Video

MBUNGE wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma‘ ameishauri serikali kuondoa baadhi ya masharti yaliyowekwa kwa wanaoingiza madini ndani ya nchi kutoka...

READ MORE

KASHESHE ZA RC MWANRI ZINAENDELEA “NAWACHOTA JUMLA JUMLA” – VIDEO

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ameendelea na kampeni yake ya kukomesha mama wajawazito na watoto wenye umri chini...

READ MORE