×

Kitaifa

BREAKING: CHADEMA Waibua MAPYA Ishu ya KOROSHO – VIDEO

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemuomba Rais wa Jamuhuri yaMmuungano wa Tanzania, Dk John Magufuli kukutana na wadau wa...

READ MORE

Waziri Mkuu, RC Makonda Walivyofika MSIBA WA RUGE MUTAHABA – Video

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekuwa ni miongoni mwa viongozi mbalimbali wa Serikali ambao wamefika katika msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa...

READ MORE

JK; “Nimelemewa”, JPM; “Nitakukumbuka”, Makonda; “Hautosahaulika”

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameeleza maumivu aliyonayo kufuatia kifo cha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media...

READ MORE

Mwili wa Kijana Aliyekaa Mochwari Miezi 8 Wachukuliwa – Video

HATIMAYE familia imuechukua mwili wa Frank Kapange (22) jana Jumanne, Februari 26, 2019 katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya...

READ MORE

BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO WA WADAU WAKUBWA SEKTA YA MAZIWA

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Jukwaa la Kimataifa la Maziwa na wadau wengine wameungana kukutanisha wadau wa sekta ya...

READ MORE

MAAFA TENA UKEREWE! WATOTO 2 WAFARIKI, NYUMBA 16 ZABOMOLEWA

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia huku watu 77 wakazi wa kijiji cha Mibungonanakwekwe wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza...

READ MORE

MOI Yafanya Upasuaji wa Fuvu la Binadamu kwa Darubini

MADAKTARI Bingwa wa Upasuaji ubongo wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), wamefanikiwa kufanya upasuaji mgumu wa kuondoa uvimbe...

READ MORE

DK TULIA AICHAMBUA SERIKALI YA JPM, UNUNUZI WA NDEGE

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson Mwansasu, amesema Serikali ya Awamu ya Tano...

READ MORE

Mchungaji Aliyefufua ‘Maiti’ Azua Gumzo – Video

NI Jumapili asubuhi ambapo kuna ibada ya uponyaji katika kanisa la  Alleluia Ministries International, kaskazini mwa jiji la Johannesburg, Afrika...

READ MORE

Mbele ya RC Mwanri, VP Samia Atoa Maagizo Tabora – Video

MAKAMU wa rais Samia Suluhu amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa mazingira Mkoani Tabora, ambapo amewataka kuboresha usafi na kuacha...

READ MORE

LINDI WAAGIZWA KUSITISHA UMWAGAJI WA MAJI TAKA DAMPO LA TAKA NGUMU

  Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima ameuagiza Uongozi wa Mkoa wa Lindi...

READ MORE

Wabunge wawili wa Chadema Wafikishwa Mahakamani

WABUNGE wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Peter Lijualikali (Kilombero) na Susan Kiwanga wa Mlimba na wenzao saba...

READ MORE

Wataalam 9 wa Ardhi Waliofariki Ajali Waagwa Morogoro – Video

NAIBU Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula,  amewaongoza mamia ya wananchi katika zoezi la kuaga miili ya wataalam tisa wa wizara...

READ MORE

Jamhuri Yaomba Lissu Akamatwe, Mahakama Yagoma!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeombwa kumfutia dhamana na kutolewa hati ya kukamatwa kwa Mbunge wa...

READ MORE

Wananchi Waua Majambazi Wanne Dodoma

WANANCHI wa kijiji cha Kinyasi wilayani Kondoa wamewaua watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliovamia kituo cha mafuta kilichopo kijijini hapo...

READ MORE

Ndoo 226 Zenye Sampuli za Madini 883 Zakamatwa Mwanza

KAMATI ya ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza inalishikilia gari lori aina Fuso lililokuwa likisafirisha shehena ya sampuli za madini...

READ MORE

BENKI YA NMB YAWATAJA 6 WANAOKWENDA KULA BATA DUBAI

BENKI ya NMB imewatangaza wateja watatu ambao wameibuka washindi katika droo ya mwisho ya kampeni ya matumizi ya ‘NMB Mastercard’...

READ MORE

GARI LATUMBUKIA MTONI, WATUMISHI 9 WAFARIKI!

#BRAKINGNEWS: Watu tisa ambao ni wataalam wa Idara ya Ardhi wamefariki dunia baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa...

READ MORE

KIPIGO CHA SIMBA: AZAM YAWATIMUA PLUIJM NA MWAMBUSI

IKIWA ni siku moja baada ya kuchapwa mabao 3-1 na Simba, Azam FC imeamua kuvunja benchi la ufundi kwa kusitisha...

READ MORE

Tani 68 za Korosho Zarejeshwa kwa Wakulima

ZAIDI ya tani 68 za Korosho zilizokuwa zimepimwa na wakulima katika vyama vya Msingi Chemana na China  kata ya Chitekete...

READ MORE

MC MAARUFU BONGO AKWAA SKENDO YA UTAPELI

PAMELA Mboma ‘Mc Pam Tony’ ambaye ni mshereheshaji wa kwenye maharusi na shughuli mbalimbali, amekwaa skendo ya kudaiwa kutapeli kiasi...

READ MORE

MTOTO WA KIGWANGALLA AZIKWA NZEGA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan aliongoza shughuli za mazishi ya Zulqarinain mtoto...

READ MORE

INASIKITISHA! HAMISI ANAVYOTESEKA, UTAMWAGA MACHOZI

WAKATI mimi na wewe tukiwa wazima wa afya, Watanzania wenzetu wanaotekeska kwa maradhi ama shida mbalimbali, si kwa kutaka wao...

READ MORE

DAR: WANAFUNZI 2 NA WANANCHI 6 WAHUKUMIWA MAISHA JELA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kifungo cha maisha jela washitakiwa wanane baada ya kutiwa hatiani...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFIKA KUWAPA POLE FAMILIA YA KIGWANGALLA

Rais Dkt. John Magufuli, leo ametoa mkono wa pole kwa familia ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWALILIA 19 WALIOKUFA AJALINI SONGWE

Rais Dk. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza jamaa zao katika ajali ya barabarani iliyotokea katika Wilaya ya...

READ MORE

BINTI ADAIWA KUUAWA KWA RISASI NA ASKARI, MAMA YAKE AJERUHIWA

Neema Dominick mkazi wa Kigamboni Mtaa wa Tuamoyo jijini Dar es Salaam amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika eneo...

READ MORE

SAKATA LA SUGU, CHADEMA WAWATAKA POLISI WASIKURUPUKE – VIDEO

Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kufanya kazi kwa weledi na kuacha kukurupuka katika utendaji...

READ MORE

AJALI YA LORI NA COASTER YAUA 19 SONGWE

WATU 19 wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya lori lililokuwa na mzigo, lenye namba T 388 CAA baada ya gari...

READ MORE

Mwanafunzi Kidato cha Nne Ajiua kwa Bastola ya Profesa

JASMIN NGOYE (18) mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya Sekondari Lupanga iliyopo manispaa ya Morogoro, amekutwa amekufa baada ya...

READ MORE

SAKATA LA VITAMBULISHO VYA MACHINGA, SUGU AACHIWA

MBUNGE wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

READ MORE

Airtel yazindua Dabo Data na SMATIKA

  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imetangaza kuzindua ofa mpya kwa wateja wake inayojulikana kama  Dabo Data...

READ MORE

Shabiki wa Simba atajirika na M-Bet

Shabiki wa Simba, Arsenal na Real Madrid, Simon Eusebi Muray (32) ameshinda kitita cha Sh 81,097, 540. Baada ya kutabiri...

READ MORE

KAA CHONJO STAILI MPYA YA WANAWAKE KUWALIZA WANAUME YAIBUKA

 UKIAMBIWA kaa chonjo usifikiri kuna jambo la heri linakuja, ni hatari tupu! Onyo hili liwafikie wanaume wote kutokana na kuibuka...

READ MORE

KINACHOENDELEA MSIBA WA MTOTO WA KIGWANGALLA

  MSIBA wa Zulqarinain Mtoto wa Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi...

READ MORE

RPC Afunguka Madai ya Vichwa vya Watoto Kukutwa Kituo cha Polisi – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro amekanusha uvumi uliosambaa jana wa kukutwa vichwa vya watoto kituo cha polisi...

READ MORE

Aliyevamia Msafara wa Rais Akiona

Adriunus Landnam (34), mkaazi wa Mkunazini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, amefikishwa mahakamani kwa kosa la kuingilia msafara wa Rais wa...

READ MORE

WAZIRI KIGWANGALLA APATA PIGO TENA

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Hamis Kigwangalla amefiwa na mtoto wake anayefahamika kwa jina la Zul, ambapo mazishi yatafanyika kesho...

READ MORE

Wizara Yatoa Sababu za Kondomu Kuadimika Mitaani

BAADA ya kuwapo kwa malalamiko ya upungufu wa kondomu katika baadhi ya maeneo nchini, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya...

READ MORE

MJADALA HOT: BARRICK WAKUBALI KULIPA BIL 682, ACACIA WAKANA

Jana Februari 20, 2019, Rais Dkt. John Magufuli alikutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation, Dkt....

READ MORE