×

Kitaifa

MBOWE, MATIKO WAWATAKIA CHADEMA SIKUKUU NJEMA, WARUDISHWA LUPANGO

KESI Na. 112/2018 ya uchochezi inayowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Mbunge wa Tarime mjini, Ester Matiko na viongozi wengine...

READ MORE

TTCL KUITIKISHA DAR NA TAMASHA LA ‘RUDI NYUMBANI KUMENOGA’

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Corporation linatarajia kufanya matamasha makubwa matatu jijini Dar es Salaam katikaa wilaya za Ilala, Temeke na...

READ MORE

Rais Magufuli Ataka Daraja la Selander Liitwe Tanzanite – Video

        Rais Dkt. John Pombe Magufuli Desemba 20, 2018 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja...

READ MORE

Polisi Wamsaka Mke wa Mugabe

Polisi nchini Afrika Kusini imetoa amri ya kukamatwa kwa Grace Mugabe, mke wa aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ambaye...

READ MORE

Watu 64 Wanaswa na Muroto, Wamo Wezi, Makahaba na Wauza Madawa – Video

Jeshi la Polisi linaendelea na misako katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dodoma ambapo limefanikiwa kukamata mali za wizi, wapokeaji...

READ MORE

Baada ya Kuzushiwa Kulala Makaburini, RC Hapi Atoa Tamko

MKUU wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi amekanusha taarifa za uzushi zilizotungwa dhidi yake na kusambazwa kwenye mitandao ya...

READ MORE

CBA, VODACOM ZAKABIDHI BAJAJI 5 WASHINDI WA SHINDA NA M-PAWA

Benki ya CBA na Vodacom imekabidhi zawadi kwa washindi wake wa promosheni ya SHINDA NA M-PAWA  katika tawi la benki...

READ MORE

Mwalimu Amnyonga Mpenzi Wake Kisha Naye Kujinyonga

WATU wawili wanaodaiwa kuwa ni wapenzi, Karoli Domisian (36) na Regina Temu (29) wamefariki dunia katika Mtaa wa Mafumbo, Manispaa...

READ MORE

Baada Ya Kujichimbia Zanzibar, Upinzani Watoa Tamko Zito

VYAMA sita vya upinzani vilivyokaa kikao chao Zanzibar vimesema mwaka wa 2019 ni mwaka ambao watapambana kwa hali zote katika...

READ MORE

Rais Magufuli Ampa Pole Mzee Mkapa kwa Msiba Mzito

Rais John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Benjamin Mkapa kufuatia kifo cha...

READ MORE

Serikali Yaombwa kupiga marufuku Mifuko ya Plastiki

  Imebainika kuwa Mto Nile, ambao chanzo chake ni Ziwa Victoria, ni mto wa tano miongoni mwa mito kumi duniani...

READ MORE

CCM YAWASAMEHE ILIYOWATIMUA, YUMO MADABIDA

  Kwa kauli moja Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imepokea maombi na kukubali kusamehewa adhabu ya kufukuzwa uanachama kutoka kwa...

READ MORE

ANGEL INVESTORS LAZINDUA OFISI ZAKE KIJITONYAMA DAR

    SHIRIKA la Kimataifa la Angel Investors  (Wawekezaji Malaika) lenye makao makuu  Instanbul, Uturuki,  limefungua ofisi ya Mkuruenzi Mkazi...

READ MORE

Unyama wa Kutisha: Mtoto Mchanga Akutwa Ametupwa

POLISI Mkoa wa Mwanza imefanikiwa kumuokoa mtoto mchanga wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja hadi tatu aliyekuwa...

READ MORE

Tarehe ya Hukumu ya Tido Muhando Yatajwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Januari 25, 2019,  kutoa hukumu ya kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa...

READ MORE

LUKUVI: ‘ZEGE HAILALI’ ATOA SIKU 60 WAMILIKI WA VIWANJA DAR

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ametoa siku 60 kwa wamiliki wa viwanja vilivyopimwa kuviendelezwa ili...

READ MORE

JENERALI MABEYO: MAGHALA YOTE YAMEJAA KOROSHO MTWARA

JESHI la Wananchi  Tanzania limesema liko tayari kutumia meli yake yenye uwezo wa kubeba tani 500 kusafirisha korosho hadi jijini Dar es...

READ MORE

BancABC yadhamini mkutano wa TWCC Wafanyabiashara

  BancABC Tanzania ambayo ni kampuni tanzu ya Atlas Mara na ambao imeorodhesha kwenye soko la hisa la London, mwishoni...

READ MORE

Vigogo Upinzani Wajichimbia Zanzibar, Wanachokifanya Huko…

VIONGOZI mbalimbali wa vyama vya siasa vya upinzani nchini, wakiwemo Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamadi, Mjumbe wa...

READ MORE

Wazambia wakata tamaa Caf

LICHA ya Nkana FC juzi Jumamosi kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba, lakini mashabiki wa timu hiyo...

READ MORE

Hotuba ya Rais Magufuli Kilele cha Miaka 50 Ya BAKWATA – Video

Leo Disemba 18, 2018 Kumefanyika kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Baraza la Waislamu nchini BAKWATA ambapo katika sherehe...

READ MORE

Mshtakiwa Adai Waziri Lukuvi Alimkaba na Kumpora Begi Lenye Pesa

Mkurugenzi wa Kiluwa Group, Mohammed Kiluwa amedai mahakamani kwamba Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, alimkaba...

READ MORE

Benki ya FINCA Yatoa  mil 10 kwa wajasiriamali shindano la ‘Kuza Ofisi na FINCA’

  Bugingo Emmanuel  ameibuka mshindi wa shindano la biashara la Kuza Ofisi na FINCA na kuondoka na kiasi cha TZS...

READ MORE

TCAA YAIPA SIKU 28 FAST JEST, VINGINEVYO ITAIFUTIA LESENI

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imelipa notisi ya siku 28 Shirika la Ndege la FastJet Tanzania kabla haijalifutia leseni kwa madai...

READ MORE

NBC yatoa elimu ya kifedha kwa mama na baba lishe soko la fer

    BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) Juzi ilikabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi kwa Mtendaji wa Soko la Samaki la...

READ MORE

SHANGWE ZA WASAFI FESTIVAL MWANZA USIPIME CCM KIRUMBA! (Picha +Video)

USIKU wa kuamkia leo Tamasha la Wasafi Festival lilofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Baadhi ya wasanii watakaotumbuiza...

READ MORE

ALICHOFANYIWA MTOTO HUYU… INAUMA MPAKA BASI

DAR ES SALAAM: AMA kweli kesho si siku ya kuitegemea sana; kwa sababu hujui kitakachotokea; mtoto Issaya Merikion ‘2’ mkazi...

READ MORE

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019 – DAR

UTANGULIZI FINAL 2018.pdf SELECTION DSM 2019.htm TAARIFA KWA VYOMBO HABARI SELECTION 2019.docx

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2019 – Kilimanjaro

Machaguo Moshi DC Wavulana PLSE 2019.pdf Machaguo Wavulana Moshi MC 2019.pdf Machaguo Wavulana Rombo DC PLSE 2019.pdf Machaguo Siha-PLSE 2019-Wavulana.pdf...

READ MORE

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2019 – ARUSHA

Tazama Hapa  Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2019 Mkoa wa Arusha. Bonyeza Mkoa unaotaka kuona Majina hapo...

READ MORE

NAIBU WAZIRI KILIMO ATEMBELEA MAGHALA YA KOROSHO PWANI

…Mgumba akizungumza na viongozi wa vyama vya ushirika wa Mkoa wa Pwani.    Naibu Waziri  wa Kilimo, Mhe. Omary Mgumba...

READ MORE

WAZIRI ATAKA WALIOKOPA SACCOS WALIPE NDANI YA MIAKA MITATU

WAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga,  ameagiza kurejeshwa ndani ya miezi mitatu madeni yote yaliyokopwa kwenye vyama vya akiba na mikopo...

READ MORE

 MAKONDA: Picha za AMBER RUTTY Zinaongeza Joto DSM – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wasanii wote wenye mashabiki wengi kwenye mitandao ya kijamii pamoja...

READ MORE

MPANGO: Misaada ya Wafadhili Imepungua, Nchi Inapitia Kipindi Kigumu

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema nchi inapita kwenye kipindi kigumu kutokana na wafadhili kupunguza misaada na...

READ MORE

Asimulia Alivyomwagiwa TINDIKALI na MKE Mwenza – Video

INASIKITISHA SANA! MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Vumilia Sankemwa (32) amefanyiwa ukatili wa aina yake na mke mwenzake katika Kata ya...

READ MORE

BENKI YAFAFANUA MBUZI KUFUNGWA KWENYE TAIRI YA GARI LA SERIKALI

Benki ya Maendeleo (TIB) imetolea ufafanuzi kuhusu picha ya gari inayosambaa mtandaoni ikionyesha gari hiyo imebeba mbuzi aliyefungwa kwenye tairi...

READ MORE

Lindi: Mvua, Upepo Mkali Vyabomoa Nyumba 157

NYUMBA 157 yakiwamo majengo ya serikali zimebomolewa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha juzi Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi....

READ MORE