×

Kitaifa

WAZIRI MAKAMBA AONGOZA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KATIKA MJI WA SERIKALI

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.  January Makamba hii leo ameongoza watumishi wa...

READ MORE

Maamuzi ya Mahakama Kuu Kesi ya Zitto na Wenzake Vs Mwanasheria Mkuu – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo Januari 4, 2019, imeahirisha kesi No. 31 ya mwaka 2018, ambayo...

READ MORE

Mkazi wa Simiyu ashinda Milioni 56.1 za M-bet

    Mkazi Bariadi Mkoa wa Simiyu, Golesu Maduhu (23) ameshinda Sh 56,137,550 baada ya kubahatisha kwa usahihi mchezo wa...

READ MORE

MSHTUKO! MUME, MKEWE WAJIUA WASIUONE MWAKA MPYA

WAKATI watu wengi wakiwa kwenye dua kuomba Mungu awafikishe Mwaka Mpya wa 2019, kuna wengine walijiapiza kutouona kwa kuamua kuuana,...

READ MORE

SIMULIZI YA FAMILIA HII INAUMA!

FAMILIA nyingi nchini huwa zinapata shida mbalimbali lakini simulizi ya familia hii ukiisikia, inauma sana. Ni kwamba msichana Hadija Abduli...

READ MORE

Wanachokiona watoto hawa ni Mateso 100%

PWANI: FAMILIA ya Hamisi Sabiri na mkewe Zena Mari, wakazi wa Kitongoji cha Mkanzi, wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani ipo...

READ MORE

Haya Hayatasahaulika 2018!

MIAKA mitatu iliyopita wakati Rais Dk John Magufuli akitangaza baraza lake la kwanza la mawaziri mara baada ya kushika nchi...

READ MORE

Maadui wa JPM Watikisa Morogoro RPC Awafungia Kazi

  WAKATI Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ ikipambana kwa kasi kubwa kuweka miundombinu...

READ MORE

Wakili Ahoji Rufaa ya Mbowe, Kesi Yapelekwa Januari 17

  Wakati Mwenyekiti wa CHADEMA ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko...

READ MORE

Halotel Yajivunia Mafaniko 2018, Yaibuka na wateja Mil 4

  MWAKA 2018 ulikuwa mwaka mzuri kwa Kampuni ya Halotel Tanzania ikiwa moja ya Kampuni ya Mawasiliano iliyosajiliwa nchini ikifanikiwa...

READ MORE

BREAKING: ZITTO AFANYA MAAMUZI MAGUMU, AISHIKA PABAYA SERIKALI – VIDEO

KIONGOZI wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na viongozi wenzake wa vyama vya upinzani nchini, Joran Lwehabula Bashange na...

READ MORE

MAMA ALIA; Nateseka, Natembelea Kigoda kwa Miaka 3, Nisaidieni – VIDEO

Bi. Fatma Athman mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, amekuwa akiteseka kwa takribani miaka mitatu kutokana na...

READ MORE

Nyumba ya Mjomba wa Rais Magufuli Kubomolewa na Mwekezaji – Video

NYUMBA inayodaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alikuwa akitembelea mara kwa mara alipokuwa mwanafunzi...

READ MORE

EXCLUSIVE: Halima Mdee Ataja Orodha ya Viongozi Bora 2018 – Video

Mbunge wa Kawe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake BAWACHA, Halima Mdee akifanya exclusive interview na Global TV...

READ MORE

Amuacha mumewe kitandani, aenda kujinyonga kwao

RUVUMA: Mkazi wa Kijiji cha Nakayaya wilayani Tunduru mkoani Ruvuma, Awetu Makunula (44) mwishoni mwa wiki iliyopita amejinyonga hadi kufa...

READ MORE

Atumbukia Kisimani na Kufariki Dunia

Mtu mmoja aitwaye Mikidadi Abdi mkazi wa Manyoni mkoani Singida amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima katika kitongoji cha Majengo...

READ MORE

JPM Awatakia Watanzania Heri Ya Mwaka Mpya (VIDEO)

RAIS John Magufuli amewatakia heri ya Mwaka Mpya wa 2019 Watanzania wote na kuwaomba wadumishe umoja, amani na upendo waliouonyesha...

READ MORE

WAZIRI MKUU AZINDUA TAWI LA BENKI YA CRDB RUANGWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezindua tawi la benki ya CRDB wilayani Ruangwa na kuushukuru uongozi wa benki hiyo kwa kuwa...

READ MORE

JPM APONGEZWA , ATAKIWA KUWA IMARA

    ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Uongozi wa Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka 2014, Mnawaru Hamudi amempongeza...

READ MORE

Mkazi wa Tarime ajishindia Milioni 10 za Tigo Jigiftishe

    Mkazi wa Wilaya ya Tarime Mkoani Mara Ahia Stephen, ameibuka mshindi wa wiki katika promosheni ya Tigo Jigiftishe...

READ MORE

Wateja wengine 20 wa NMB washinda 100,000 kila mmoja

DROO ya pili ya kampeni ya matumizi ya ‘NMB Mastercard’ au ‘NMB Masterpass’ inayojulikana kama ‘MastaBata’, imefanyika tena kwa mara ya...

READ MORE

IBADA YA KUBARIKI MAKABURI YA WAZAZI WA SHIGONGO YAFANYIKA MWANZA

LEO, leo Jumatatu, Desemba 24, 2018, familia ya Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, imefanya ibada maalum...

READ MORE

Maneno ya Shigongo Akiwakumbuka Wazazi Wake Yawagusa Wengi

LEO, leo Jumatatu, Desemba 24, 2018, familia ya Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, imefanya ibada maalum...

READ MORE

Ibada ya Misa Kuwaombea Wazazi wa Shigongo Yafanyika Bupandwamhela – Pichaz

FAMILIA ya Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, leo Jumatatu, Desemba 24, 2018 imefanya ibada maalum ya...

READ MORE

Mwanza: Ajirusha Kutoka Ghorofa ya 3 Rock City Mall, Afariki Dunia

Mussa Ally (25), mkazi wa Kiloleli wilayani Ilemela jijini Mwanza anayedaiwa kuwa na elimu ya chuo kikuu, amejirusha katika jengo...

READ MORE

Mapya Yaibuka, Aliyedaiwa Kufia Mwananyamala na Dawa za Kulevya Tumboni

KAMISHNA Mkuu Wa Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Siyanga, amesema uchunguzi waliyoufanyika wamebaini kuwa mwili wa mfanyabiashara,...

READ MORE

Ndege Mpya Airbus A220-300 Kutua Bongo Jumapili

Msemaji wa Serikali, Dk Hassan Abbas amesema Serikali itapokea ndege yake nyingine mpya toleo la Airbus A220-300, Jumapili hii Desemba...

READ MORE

Waliomlawiti Mwanachuo na Kumdai Pesa Wafikishwa Kisutu

MFANYABIASHARA Samson Kisuguta (28) na mwanafunzi wa Chuo cha Ardhi, Anna Mwaisumo (23) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa...

READ MORE

Mwili Wagundulika Una Dawa za Kulevya, Wazuiwa Mwananyamala

MFANYABIASHARA Happy Mboya (38) aliyefariki dunia katika hospitali ya Mwananyamala, Jumapili, Desemba 16 na kupangwa kusafirishwa jana kwenda Moshi kwa mazishi...

READ MORE

MBOWE, MATIKO WAWATAKIA CHADEMA SIKUKUU NJEMA, WARUDISHWA LUPANGO

KESI Na. 112/2018 ya uchochezi inayowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Mbunge wa Tarime mjini, Ester Matiko na viongozi wengine...

READ MORE

TTCL KUITIKISHA DAR NA TAMASHA LA ‘RUDI NYUMBANI KUMENOGA’

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Corporation linatarajia kufanya matamasha makubwa matatu jijini Dar es Salaam katikaa wilaya za Ilala, Temeke na...

READ MORE

Rais Magufuli Ataka Daraja la Selander Liitwe Tanzanite – Video

        Rais Dkt. John Pombe Magufuli Desemba 20, 2018 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja...

READ MORE

Polisi Wamsaka Mke wa Mugabe

Polisi nchini Afrika Kusini imetoa amri ya kukamatwa kwa Grace Mugabe, mke wa aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ambaye...

READ MORE

Watu 64 Wanaswa na Muroto, Wamo Wezi, Makahaba na Wauza Madawa – Video

Jeshi la Polisi linaendelea na misako katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dodoma ambapo limefanikiwa kukamata mali za wizi, wapokeaji...

READ MORE

Baada ya Kuzushiwa Kulala Makaburini, RC Hapi Atoa Tamko

MKUU wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi amekanusha taarifa za uzushi zilizotungwa dhidi yake na kusambazwa kwenye mitandao ya...

READ MORE

CBA, VODACOM ZAKABIDHI BAJAJI 5 WASHINDI WA SHINDA NA M-PAWA

Benki ya CBA na Vodacom imekabidhi zawadi kwa washindi wake wa promosheni ya SHINDA NA M-PAWA  katika tawi la benki...

READ MORE

Mwalimu Amnyonga Mpenzi Wake Kisha Naye Kujinyonga

WATU wawili wanaodaiwa kuwa ni wapenzi, Karoli Domisian (36) na Regina Temu (29) wamefariki dunia katika Mtaa wa Mafumbo, Manispaa...

READ MORE

Baada Ya Kujichimbia Zanzibar, Upinzani Watoa Tamko Zito

VYAMA sita vya upinzani vilivyokaa kikao chao Zanzibar vimesema mwaka wa 2019 ni mwaka ambao watapambana kwa hali zote katika...

READ MORE