×

Kitaifa

Aliyeua kwa Kisu Vingunguti Akiri Kosa, Aachiwa Mahakamani

Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemwachia huru mfanyabiashara Steven Aloyce mkazi wa Vingunguti kwa masharti ya kutotenda...

READ MORE

Mtoto Aliyepotea Kimaajabu Apatikana, Hakumbuki Chochote

IDRISSA Mkenge (16), mkazi wa Magomeni, mkoani Dar es Salaam, ambaye alikuwa anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoripoti shuleni...

READ MORE

Makonda Kusakwa

MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Kichwa cha Mlinzi Aliyeuawa Chapatikana, Muuaji Naye Mbaroni

JESHI la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Raymond Mollel ammbaya amekamatwa kwa tuhuma za mauaji...

READ MORE

Rais Mwinyi Atumbua Watano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi watano wa idara...

READ MORE

Mradi wa Maji Kichefuchefu Wamchefua Shigongo

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo ametaka majibu ya Serikali kuhusu mradi mkubwa wa maji Lumeya, Nayakaliro, Kalebezo hadi Nyehunge...

READ MORE

Rais wa MasterCard International Ashuhudia Droo Ya Tano Ya Nmb

Rais mpya wa MasterCard International- Sub Sahara Africa, Mark Elliott, ameshuhudia droo ya wiki ya tano ya Kampeni ya NMB...

READ MORE

Mtoto Achomwa Moto Sehemu za Siri na Mjomba Aake

MTOTO wa miaka 10 (jina limehifadhi) katika Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la...

READ MORE

Wauza Jezi Feki za Yanga Wanaswa Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limewakamata watu 17 kwa tuhuma za kuuza jezi bandia za timu ya...

READ MORE

Suala la Anuani za Makazi Litakamilika Kabla ya Sensa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema suala la anuani ya makazi zitakamilika kabla ya...

READ MORE

Mwanamke Anyongwa Nyumbani Kwake

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linaendelea na uchunguzi kufuatia tukio la mauaji ya mke wa mfanyakazi wa mgodi wa...

READ MORE

Silaa Atamani Aweso Apewe PhD

Mbunge wa jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam, Jerry Silaa, amempongeza Waziri wa Maji Jumaa Aweso, kwa utendaji wake...

READ MORE

Mwanafunzi Auawa Kinyama, Anyofolewa Viungo vys Siri

WATU wasiojulikana wamemuua kikatili mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Tutuo, Sikonge mkoani Tabora, Maria Kazungu (13)...

READ MORE

IGP Sirro: Tukio Mtwara Lisiwafanye Watanzania Lutoliamini Jeshi Lenu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro, amewaambia wananchi kuwa tukio la Mtwara lililowahusisha Maofisa wa Jeshi la...

READ MORE

Rais Samia: Jukumu la Mahakama ni Kutoa Haki – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema jukumu la msingi la mahakama ni kutoa haki na katika utekelezaji wa jukumu hilo, mahakama...

READ MORE

Luteni Urio Awa Mbogo kwa Kibatala Baada ya Kudai Yuko Kizuizini

SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis...

READ MORE

Rais Samia Uledi Mussa Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TRA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Uledi Abbas Mussa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi...

READ MORE

Amuua Mama Yake Mzazi Kisa Anamdai Laki 3

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma linamshikilia kijana Herman John kwa tuhuma za kumuua mama yake kwa kumpiga na mpini...

READ MORE

Mwanza: Dereva Tax Auawa na Kutobolewa Macho

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za mauaji ya dereva taksi aliyekuwa anajulikana kwa jina la...

READ MORE

Mtia Nia Uspika: Nitawanunulia Wabunge Magari Mazuri, Nitaongeza Posho

Mgombea wa Kiti cha Spika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kunje Ngombale Mwiru kutoka chama cha Sauti...

READ MORE

Dkt. Tulia: Bunge ‘Halitamezwa’ na Serikali

ALIYEKUWA Naibu Spika Dk Tulia Ackson na mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kiti cha Uspika wa Bunge la...

READ MORE

Hawa ndio Maspika Waliowahi Kuliongoza Bunge la Tanzania

Aloyekuwa Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson ameapa kuwa spika wa nane wa Bunge hilo tangu uhuru...

READ MORE

#UchaguziWaSpika: Mtia Nia Awaacha Hoi Wabunge

WAKATI wabunge wakiendelea kusikiliza hoja za watia nia wanaowania kurithi mikoba ya Job Ndugai, Bungeni jijini Dodoma, Ndonge Said Ndonge,...

READ MORE

ATCL Yapewa Maagizo Bei za Tiketi

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Atupele Mwakibete ameitaka idara ya Masoko ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kufanya...

READ MORE

Moto Wateketeza Soko la Mbuyuni Kilimanjaro

MOTO mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana, usiku wa kuamkia leo Februari Mosi 2022 umeteketeza sehemu ya soko la Mbuyuni...

READ MORE

Wateja 25 Droo ya Mwezi wa kwanza, NMB MastaBata wazoa Mil 25/=

  WAKATI kampeni ya NMB MastaBata – Kivyako Vyako ikizidi kunufaisha wateja kwa washindi 25 wa mwezi wa kwanza wa...

READ MORE

Absa Yastahimili Dhoruba Ya Janga la COVID- 19

  Benki ya Absa Tanzania imeendelea kuimarika karika shughuli zake za kibiashara licha ya misukosuko kwenye soko iliyotokana na janga...

READ MORE

Auawa kwa Tuhuma za Kutengeneza Radi

MWANANCHI mmoja mkazi wa Halmshauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi, Baraka Kabisu, ameuawa na wananchi wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa...

READ MORE

Wabunge wa CCM Wampitisha Dkt. Tulia Uspika

KAMATi ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kikao chao (Caucus) wamempitusha Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson...

READ MORE

Waliohusika na Mauaji Tanga Kusakwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Tanga Adam Malima, amesema atahakikisha kila aliyeshiriki kwenye mauaji wa...

READ MORE

Polisi Yafafanua Kifo cha Afande Aliyejinyonga Mahabusu

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za upotoshaji zinazoendelea kuhusu tukio la kujinyonga hadi kufa kwa mkaguzi msaidizi wa...

READ MORE

CCM Kubariki Dkt. Tulia Amrithi Job Ndugai

KAMATI ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo inakutana jijini Dodoma kuridhia, Dk Tulia Ackson agombee uspika wa Bunge...

READ MORE

Siku 10 za Maumivu, Ratiba Nzima ya Mgao wa Umeme Hii Hapa

WAKATI ratiba ya mgao wa umeme katika baadhi ya maeneo nchini wa siku kumi ikiwa haijatoka, wananchi, wakiwamo wafanyabiashara wadogo...

READ MORE

Familia Yataka Muuaji wa Mtoto Wao Aachiwe

FAMILIA ya marehemu Ally Khalifa Bakari, mtoto mwenye umri wa miaka (9) aliyefariki kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali...

READ MORE

Basi la Kidia One Lapata Ajali

TAARIFA zilizotufikia hivi punde ni kwamba, watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya busi la Kidia One linalofanya safari kati ya Arusha-Dar...

READ MORE

Tanga: Watano Wauawa Mapigano ya Wakulima na Wafugaji

MKULIMA Richard Masaki amesema waliona vijana jamii ya kimasai wakiingia katika eneo lao na kuanza kuwashambulia, kwa kuwapiga na baadae...

READ MORE

Nguzo za Umeme, Transfoma Zaanguka Mwenge Lufungila

Mchana wa leo Januari 30,2022 katika eneo la Lufungila,Mwengei jijini Dar es Salaam nguzo za umeme pamoja na Transfoma zimeanguka...

READ MORE

DC Jokate, Wafanyakazi wa DCB Benki Wafanya Usafi

  Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo  ameungana na kufanya usafi pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya...

READ MORE

Mwanafunzi Agongwa na Basi la Al Saedy, Afariki Dunia

MWANAFUNZI Nurdin Ally (6) amefariki dunia baada ya kugongwa na basi kampuni ya Al Saedy lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Morogoro....

READ MORE