MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu (CCM) amemtembelea Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu aliylazwa...
READ MORENYUMBA ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT – Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yateketea kwa moto. Habari...
READ MOREBARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) limesema kuwa wataendelea na mpango wao wa kumuombea dua Mbunge...
READ MOREKAMPENI ya Uzalendo Kwanza iliyoanzishwa na Wasanii wa Filamu, Bongo Movie imezidi kuota mizizi baada ya kutanua matawi yake kwa...
READ MORESERIKALI ya Tanzania imesema imeshtushwa baada ya kuorodheshwa miongoni mwa nchi za Bara la Afrika ambazo zimechunguzwa na Umoja wa...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano, maombi na mikusanyiko isiyo halali huku likielekeza kuwa...
READ MOREWAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Septemba 15, 2017 ameelezea juu ya kusikitishwa kwake na tukio la kinyama la kushambuliwaji kwa...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ametoa msaada wa mifuko 200 ya saruji na nondo tani mbili, kwa ajili...
READ MORESPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewatadharisha wabunge kuwa makini na usalama wao mahali popote wanapokwenda kufuatia matukio mengi ya uhalifu...
READ MOREASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amefutiwa kesi ya kushindwa kutunza silaha baada ya mahakama kushindwa...
READ MOREDEREVA wa Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, John Heche (Chadema) amevamiwa na watu wasiojulikana kisha kumkata kwa mapanga usiku...
READ MOREWAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa akitoa Hoja ya Kuahirisha Bunge mjini Dodoma leo amefafanua kuhusu hali ya wakulima na changamoto wanazokumbana...
READ MOREJESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wametoa ufafanuzi kuhusu kushamiri kwa uhalifu wa makosa...
READ MOREWATUHUMIWA waliokamatwa na mzigo wa Almasi zenye thamani ya Sh 32.3 bilioni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...
READ MOREMAHAKAMA ya leo Alhamisi, Septemba 14, imemuachia huru mfanyabiashara Yusuf Manji (41) na wenzake katika kesi ya uhujumu uchumi baada...
READ MOREMSHTAKIWA Habinder Sethi ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa bado hajatibiwa. Sethi amesema hayo mahakamani baada ya wakili wake...
READ MOREViongozi wa vyama vya siasa ambavyo havina wawakilishi bungeni, leo wamezungumzia namna wanavyoipinga barua waliyotumiwa na Msajili wa Vyama vya...
READ MOREMBUNGE wa Mpendae – Zanzibar, Salim Turky (CCM) leo Alhamisi, Septemba 14 amefafanua kuhusu ukweli wa ndege iliyomsafirisha Mbunge wa...
READ MOREMBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amemjia juu Spika wa Bunge, Job Ndugai akimtaka kuacha kudanganya kuwa ndege iliyomsafirisha...
READ MOREASUBUHI ya leo katika eneo la makutano ya barabara za Morogoro Shekilango jijini Dar es Salaam, palikuwa na foleni ndefu...
READ MORECHADEMA Mkoani Rukwa kimeshindwa kufanya Ibada ya maombi kwa ajili ya Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho, Tundu Lissu aliyejeruhiwa kwa...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mataka na mwenzake...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetoa taarifa kuhusu tukio la Meja Jenerali Mstaafu Vincent Mribata aliyevamiwa na...
READ MORETaarifa kwa waandishi wa habari Septemba 13 2017 Wadau waitaka serikali kutekeleza Sheria ya Upatikanaji wa Taarifa Duniani kote, sheria...
READ MORESERIKALI imelifuta shamba la mfanyabiashara Yusuf Manji lililopo Kigamboni, lenye ukubwa wa eka 714. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, jana Septemba 12, maeneo ya Kivule Chanika lilifanikiwa kumuua jambazi sugu...
READ MORERAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amevunja Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Kigamboni (KDA)...
READ MORESPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema kuwa anaweza kumpiga marufuku Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo), Zitto Kabwe kuongea bungeni...
READ MOREMAJANGA! Jumla ya familia zipatazo saba wiki moja iliyopita zilijikuta katika wakati mgumu kufuatia kubomolewa kwa nyumba waliyokuwa wakiishi, kufuatia...
READ MOREUHABA mkubwa wa maji umeyakumba baadhi ya maeneo mkoani Arusha ambapo wananchi wanalazimika kuamka saa tisa usiku na kutembea umbali...
READ MOREWATU wasiojulikana waliovunja ofisi za mawakili wa Prime Attorneys ambayo pia inashughulikia kesi ya Yusuf Manji wameiba Sh3.7 milioni na...
READ MOREWAKATI Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto akimtaka dereva wa Mbunge wa Singida Mashariki kufika katika Ofisi za...
READ MOREChadema: Lissu Amevunjwa Mguu na Nyonga Lakini Jasiri, Tumuombee!
READ MOREMCHEKESHAJI maarufu nchini, Emmanuel Matebe Mathias ‘MC Pilipili’ amepata ajali mbaya ya gari katikati ya Kijiji cha Nyasamba na Bubiki...
READ MORESPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemuagiza kutafutwa kwa namna yoyote Mbunge wa Ubungo(Chadema), Saed Kubenea apelekwe kesho kwenye Kamati ya...
READ MORESEKESEKE Party Two limeuibuka tena bungeni Dodoma leo Septemba12, 2017 mara baada ya wabunge wa Chama Cha Wananchi CUF wanaomuunga...
READ MORE