×

Kitaifa

Maafisa Wapya wa Jeshi la Zimamoto Walioteuliwa na Rais Waapishwa

            Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini Tanzania Thobias Andengenye amewaapisha maofisa...

READ MORE

Ee Mungu, Mponye Kijana Huyu Anateseka!

  AMA kweli hujafa hujaumbika! Kijana Adam Mwangoka (21), mkazi wa Arusha, amepatwa na gonjwa la ajabu la macho yake...

READ MORE

Waandishi wa Habari Wapigwa Msasa Ishu ya Nishati Jadidifu

Waandishi wa habari wakinolewa kwenye semina kuhusu nishati jadidifu (renewable energy) Semina ikiendelea Wadau wakifuatilia semina hiyo. Kulia ni mwandishi...

READ MORE

Chadema: Majibu ya Serikali Kuhusu Hali Hasi ya Uchumi ni Dhaifu

MBUNGE wa jimbo la Kawe kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee,   amesema Watanzania wanapaswa kupima ukweli kuhusu...

READ MORE

VIDEO: Mbunge wa Mbozi Aachiwa kwa Dhamana

Mbunge wa Mbozi, Paschal Haonga (Chadema) aliyekamatwa na polisi kisha kuwekwa ndani katika Kituo cha Polisi akidaiwa kutoa kauli ya...

READ MORE

Rais Magufuli: Mwizi ni Mwizi Tu, Hata Kama ni Mzungu!

  RAIS John Magufuli amesema ifike wakati wizi uliokuwa ukifanywa na baadhi ya viongozi wa serikali wakishirikiana na wawekezaji kutoka...

READ MORE

VIDEO: Magufuli Afuta Hati ya Mashamba ya Ekari 14,000, Muheza

RAIS John Magufuli amefuta hati ya mashamba matano yenye zaidi ya ekari 14,000 zilizochukuliwa na watu na wakashindwa kuyaendeleza, wilayani...

READ MORE

Mahakama Yampa Harbinder Sethi Siku 14 Kutibiwa Nchini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeahirisha kesi inayowakabili mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder  Singh Sethi...

READ MORE

JPM Aamuru Mgambo JKT Kurudisha Eneo la Ekari 50

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ameamuru eneo la ekari 50 lililopo Mkata mkoani Tanga...

READ MORE

Aolewa Saa 10 Jioni, Afariki Saa 7 Usiku, Aondoka na Kichanga Tumboni!

  DAR ES SALAAM: Hii inauma sana! Wakati wengi wakitamani kuingia kwenye ndoa ili kuyafurahia maisha hayo, kwa binti Zai...

READ MORE

Hapi Amaliza Mgogoro wa Ardhi Nyakasangwe

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, ametoa miezi mitatu kwa kampuni ya upimaji wa ardhi ya Afro Map kuhakikisha...

READ MORE

Breaking News: Waziri Lukuvi Awarejeshea Viwanja Watu 180 Waliodhulumiwa Ardhi

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amefuta hati za viwanja 180 na kuvirejesha viwanja hivyo...

READ MORE

Basi la Sharon Lapinduka, Wawili Wafariki Dunia

WATU wawili wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi mali ya Kampuni ya Sharon lililokuwa litatoka Dodoma kwenda Arusha,...

READ MORE

Kesi ya Wabunge Waliovuliwa Uanachama CUF Yaanza Kuunguruma Kortini

  Wabunge wanane wa Chama cha Wananchi (CUF) waliovuliwa uanachama na Mwenyekiti wa Chama hicho anayetambulika na Msajili wa Vyama,...

READ MORE

Mwenyekiti wa Tadea Mzee Chipaka Afariki Dunia

Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani nchini cha TADEA, John Lifa Chipaka amefariki dunia jana jioni katika Hospitali...

READ MORE

Msajili wa Vyama vya Siasa Agomea Maamuzi ya Maalim Seif

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amepinga maamuzi ya Chama Cha Wananchi (CUF) kuwafukuza Uanachama Wabunge wawili...

READ MORE

KIFO CHA MTOTO NORAH, ALICHOWEKA MTANDAONI MTUHUMIWA INATISHA!

SIKU chache baada ya kufariki dunia katika mazingira yenye utata kwa mtoto Norah Mareale, mtu ambaye anatuhumiwa kuwa mhusika wa...

READ MORE

Wavuvi Watatu Wapigwa Risasi

UMATI wa wavuvi kupitia chama chao cha Wavuvi Wadogowadogo Minazi Mikinda (WAWAMI) wa jijini Dar es Salaam, wameicharukia serikali baada...

READ MORE

VIDEO: OFM KAZINI… DAKTARI ‘MUUAJI’ ANASWA!

  Jamaa aliyejitambulisha kuwa ni daktari wa hospitali moja iliyopo maeneo ya Buza jijini Dar, aliyetajwa kwa jina moja la...

READ MORE

Exclusive: Maskini Jini Kabula! Ukimsikia Utalia, Anatia Huruma (VIDEO)

  Ikiwa ni takriban miezi miwili na siku kadhaa tangu kuzagaa kwa ishu za kuugua ugonjwa wa afya ya akili...

READ MORE

Kesi ya Wema; Wakili Apinga Ushahidi wa Mkemia Mkuu

KESI inayomkabili staa wa Bongo Muvi, Wema Sepetu, imeahirishwa hadi Agosti 4 mwaka huu ambapo Hakimu Mkazi, Thomas Simba, atatoa...

READ MORE

Prof. Mkumbo na Mikakati ya Kuboresha Miundombinu ya Maji, Dar na Pwani

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo amesema wizara yake imeahidi kuboresha huduma ya maji katika...

READ MORE

Kesi ya Wema Kuunguruma Leo Mchana

  KESI inayomkabili mlimbwende wa Bongo Movie, Wema Sepetu ambaye anatuhumiwa kwa matumizi ya bangi imeahirishwa kusikilizwa kwa muda katika...

READ MORE

Kenyatta: Nipo Tayari Kukabidhi Madaraka Iwapo Nitashindwa

  Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema ikiwa atashindwa kwa haki, Uchaguzi Mkuu wa tarehe nane mwezi Agosti, atakubali matokeo...

READ MORE

Mume: Mke Wangu Amedai Mimi Siyo wa ‘Type Yake’, Amesepa (VIDEO)

  Mwanaume aliyejitambulisha kwa jina la Samson Segeli, amefunguka ya moyoni jinsi mkewe, Ester Gaspari alivyomkataa baada ya kuishi naye...

READ MORE

Sangoma Anaswa na Mguu wa Bundi, Mkia wa Nyumbu

  Mganga wa kienyeji ‘sangoma’ katika Kijiji cha Majimoto kilichopo katika Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, Kambona Nkana anayejulikana kwa...

READ MORE

Tanesco Yagoma Kukata Umeme Kupisha Bomoabomoa Kimara

Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limedaiwa kugomea zoezi la ukataji umeme kwenye nyumba zinazotakiwa kuvunjwa eneo la Kimara na Kiluvya...

READ MORE

Mbunge Aliyeondolewa CUF Azuiwa Kuingia Kwenye Kikao cha Madiwani

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF) aliyevuliwa ubunge hivi karibuni Salma Mwasa amesikitishwa na kitendo cha askari wa Manispaa ya Ubungo...

READ MORE

Majadiliano Serikali, Barrick Gold Yaanza

  Majadiliano kati ya kamati maalumu iliyoundwa na Rais John Magufuli na wawakilishi kutoka kampuni ya Barrick Gold Corporation kuhusu...

READ MORE

Mbowe Aitaka Serikali Iweke Hadharani Ripoti Zote Mbili za Madini

Serikali imetakiwa kuweka hadharani ripoti zote mbili za madini zilizoandaliwa na kamati zilizoundwa na Rais John Magufuli kuchunguza uendeshaji wa...

READ MORE

‘SHINDA NYUMBA’ YATIKISA MLANDIZI

  BAHATI Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili leo ilitembelea eneo la Mlandizi mkoani Pwani ambako Mr Shinda Nyumba...

READ MORE

Mbowe Aipinga Serikali Kuwanyang’anya Viwanda Wawekezaji

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Serikali haiwezi kujenga viwanda peke yake bila kuihusisha sekta binafsi ambayo ndiyo mdau mkuu...

READ MORE

Yaliyojiri Kesi ya Askofu Gwajima ya Kushindwa Kuhifadhi Silaha na Risasi

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Agosti 30, 2017 itatoa hukumu katika kesi ya kushindwa kuhifadhi silaha na risasi inayomkabili...

READ MORE

VIDEO: Bomoabomoa Mpanda ni Vilio Tupu, Mamia ya Nyumba Zabomolewa

Bomoabomoa Mpanda ni Vilio Tupu, Mamia ya Nyumba Zabomolewa Wakazi wa maeneo ya Tambukareli, Mpanda Hotel na Msasani, wamejikuta katika...

READ MORE

TANZIA: Mume wa Mbunge Mary Nagu Afariki Dunia

Profesa Joseph Nagu ambaye ni mume wa Mbunge wa Jimbo la Hanang mkoani Manyara, Dk Mary Nagu amefariki dunia katika...

READ MORE

Chadema Yalia na Serikali Kuhusu Mfumuko wa Bei Nchini

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Serikali imeshindwa kusimamia mfumuko wa bei ya chakula nchini kwa sababu haitambui umuhimu wa...

READ MORE

Majaliwa Aagiza TAKUKURU Kukamatwa Viongozi Jiji la Mbeya kwa Ubadhirifu

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mbeya kuwakamata, kuwahoji na kisha...

READ MORE

KISUTU: Kesi ya Aveva na Kaburu Yasogezwa Mbele

Kesi ya madai ya utakatishaji fedha inayowakabili viongozi wa Simba, Rais Evans Aveva na Makamu wake, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ imeahirishwa...

READ MORE

TANZIA: Mmiliki wa Impala Afariki Dunia

Mfanyabiashara maarufu nchini, Maleu Mrema amefariki dunia jana akiwa kwenye matibabu nchini Afrika Kusini. Ndugu wa marehemu,Vincent Laswai alithibitisha msiba...

READ MORE