×

Kitaifa

JK: Kuongoza Nchi ni Mzigo Mzito, Amtia Moyo Rais Magufuli

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefunguka na kusema suala la kuongoza nchi ni kazi kubwa...

READ MORE

CUF ya Maalim Seif Yazindua Ofisi Magomeni Dar

Suleiman Msuya IKIWA ni takribani miezi 10 sasa kwa Chama cha Wananchi (CUF), upande wa Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif...

READ MORE

Makamu Wa Rais: Migodi, Viwanda Vinavyoharibu Mazingira Vichukuliwe Hatua Kali

  Butiama. Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa viwanda na migodi inayofanya...

READ MORE

Viongozi Wamiminika Nyumbani Kwa Marehemu Ndesamburo Kutoa Pole Kwa Familia

  Maandalizi ya mazishi ya marehemu Dkt, Philemon Ndesamburo yakiendelea nyumbani kwake KDC mjini Moshi. Kwaya ikihudumu kwa nyimbo kwa...

READ MORE

Wastaafu PSPF Mwaka 2017/18 ‘Kulamba’ Shilingi Trilioni 1.3 Za Mafao

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, aliongozana na Mkurugenzi wa Uendeshaji Bi. Neema Muro na...

READ MORE

Namba ya Simu ya Ben Saanane Yaonekana Kutumika WhatsApp

Wakati hofu ikiwa imetanda baada ya miezi minane kupita tangu alipopotea kwenye mazingira ya kutatanisha, matumaini mapya yameanza kuibuka baada...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili June 4, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, June 4, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Makamu wa Rais Samia Suluhu Awasili Butiama, Kesho Kuwa Mgeni Rasmi Kilele Cha Siku Ya Mazingira Duniani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Mara alasiri ya leo June...

READ MORE

Maamuzi ya Manispaa ya Moshi Kuhusu Kuaga Mwili wa Mzee Ndesamburo

Manispaa ya Moshi imeitaka familia ya Mzee Ndesamburo kutumia Uwanja wa Majengo badala ya Uwanja wa Mashujaa, Moshi kuaga mwili...

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Mama Anna Mgwhira Kuwa Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro

IKULU: Rais Magufuli amemteua Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, mama Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akijaza nafasi ya...

READ MORE

Kinachoendelea Katika Msiba Wa Ndesamburo, Moshi

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akisaini kitabu cha Maombolezo katika msiba wa aliyekua Muasisi wa hicho Mhe. Dkt. Phillemon...

READ MORE

VIDEO: Mwili wa Mchora Nembo ya Taifa Ulivyoagwa na Kusafirishwa

Na Elvan Stambuli Mwili wa Francis Maige ‘Ngosha” anayedaiwa kuchora ngao ya taifa, umeagwa leo katika Hospitali ya Taifa ya...

READ MORE

Siku Ya Mazingira Kuadhimishwa Butiama Leo

STORI NA MUANDISHI WETU | RISASI JUMAMOSI | HABARI TUNAISHI vizuri, tunapata mvua, maisha yanakwenda vizuri kwa sababu ya mazingira....

READ MORE

PSPF Yawapiga Msasa Wastaafu Watarajiwa Zaidi Ya 300 Mkoani Mwanza

Meneja Pensheni wa PSPF, Bw. Mohammed Salim, akitoa mada juu ya maandalizi na fursa za wastaafu  Afisa Mwandamizi wa Utafiti...

READ MORE

Wema Asota Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

NA BINIFACE NGUMIJE, RISASI JUMAMOSI, HABARI DAR ES SALAAM: Mrembo Wema Sepetu anayekabiliwa na kesi ya matumizi ya madawa ya...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi June 3, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, June 3, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Rais Magufuli Amtaka IGP Sirro Kuondoa Dosari Zote za Utendaji Ndani ya Jeshi la Polisi

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka IGP Simon Sirro kuondoa dosari zote za utendaji kazi zinazoshusha ufanisi na heshima ya...

READ MORE

Kemikali za Kutengeneza ‘Unga’ Zakamatwa Dar

Mamlaka ya Kupambana na Kuthibiti Madawa ya Kulevya ‘unga’, leo imekamata na kukagua kontena mbili zenye kemika zaidi ya lita...

READ MORE

Breaking News: Kimenuka Bungeni, Mnyika Atolewa Nje na Askari, Upinzani Wasusia Bunge (VIDEO)

DODOMA: Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika leo alisababisha kuzaazaa Bungeni  Dodoma baada ya kugoma kutoka nje ya Bunge...

READ MORE

Siku ya Mazingira Kuadhimishwa Butiama Kesho

Na Mwandishi Wetu TUNAISHI vizuri, tunapata mvua, maisha yanakwenda vizuri kwa sababu ya mazingira. Mazingira ni kitu muhimu sana katika...

READ MORE

ARUSHA: Diwani Chadema Ashinda Kesi ya Uchochezi Oparesheni UKUTA

Mahakama ya Wilaya ya Arusha imemuachia huru Diwani wa Kata ya Sombetini, Ally Bananga baada ya kukutwa hana hatia katika...

READ MORE

Wema Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo na wenzake wawili, Matilda Abass na...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Azindua Mfumo wa Serikali wa Ukusanyaji Mapato Kielektroniki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Alhamisi, Juni 1, 2017 amezindua rasmi Mfumo wa...

READ MORE

Shabiki wa Simba Aliyefariki Ajalini Akitoka Dodoma, Kuagwa Leo – Dar

Mwili wa shabiki wa Simba, Shose Fidelis aliyefariki kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kushuhudia fainali ya Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Magavana Wawili wa Benki Kuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 31 Mei, 2017 amefanya uteuzi wa...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi June 1, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, June 1, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom Yazinduliwa

Na Mwandishi Wetu   Dar es Salaam,31 Mei 2017. Huduma mpya yenye lengo la ukarimu, ushirika na utoaji,Imezinduliwa rasmi na...

READ MORE

VIDEO: Kauli ya Mbowe, Lema Kufuatia Taarifa ya Kifo Mzee Ndesamburo

DODOMA: KUFUATI kifo cha aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro na (Chadema), Mzee Philemon Ndesamburo aliyefariki...

READ MORE

VIDEO: Hali Ilivyokuwa Bungeni Mtoto wa Ndesamburo Alivyopata Taarifa za Kifo cha Baba Yake

BUNGENI, DODOMA: Hali ilibadilika ghafla Bungeni mjini Dodoma leo baada Mtoto wa Marehemu Mzee Philemon Ndesamburo, Lucy Owenya kupewa taarifa...

READ MORE

Godbless Lema: Yeriko Nyerere Amekamatwa au Ametekwa?

KUFUATIA kada wa CHADEMA na mdau wa mitandao ya kijamii, Yericko Nyerere kukamatwa na watu wanaodaiwa kuwa Polisi akiwa nyumbani...

READ MORE

TANZIA: Mzee Philemon Ndesamburo Afariki Dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro na (Chadema), Mzee Philemon Ndesamburo ameafariki dunia muda mfupi...

READ MORE

BreakingNews: IGP Sirro Aanza na Mauaji Rufiji, Kibiti na Ikwiriri Mkuranga, Asema Ubaya Ubaya Tu!

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro amesema moja ya majukumu yake makubwa atakayoanza nayo ni kumaliza mauaji yanayofanywa...

READ MORE

Mfuko wa PPF Waendelea Kukabidhi Vifaa Tiba

Mfuko wa Pensheni wa PPF umeendelea kukabidhi vifaa tiba katika hospitali na vituo vya afya nchini kulingana na sera yake...

READ MORE

Mtabiri: Majini ya Madini Yanawamaliza Mawaziri wa Tanzania

STORI: GLADNESS MALLYA, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutengua uteuzi wa Waziri...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo Droo Ndogo Ya Shinda Nyumba Mwinjuma Mwananyamala

LEO ndiyo leo katika Viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wakati watu tisa, ambao ni wasomaji wa...

READ MORE

Leo Ndiyo Leo Droo Ndogo ya Shinda Nyumba

Makala: Risasi Vibes LEO ndiyo leo katika Viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam, wakati watu tisa, ambao...

READ MORE

Uwezekano wa Kuyashitaki Makampuni ya Madini Kurejesha Hasara Tuliyoipata Huu Hapa

UWEZEKANO  WA  KUYASHITAKI  MAKAMPUNI  YA  MADINI KUREJESHA  HASARA TULIYOIPATA HUU  HAPA Na  Bashir   Yakub Mikataba yoote ya kimataifa huongozwa...

READ MORE

Prof. Muhongo Awaondoa Hofu Wapiga Kura Wake Baada ya Kufutwa Kazi

MARA: Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Musoma Vijiji Prof. Sospeter Muhongo amewasihi wakazi wa jimbo hilo...

READ MORE

YUDA THADEY: Mlemavu Anayeushangaza Ulimwengu

NA WAANDISHI WETU, UWAZI, HABARI UKIFIKA Wilaya ya Mwanga maeneo ya Ugweno mkoani Kilimanjaro, jina la Yuda Thadey George ni...

READ MORE

Mjue Zaidi IGP Simon Nyakoro Sirro, Aliacha Masomo ya Upadri Akageukia Upolisi

Rais Dkt Magufuli juzi Mei 28, 2017 alimteua na jana, Mei 29, 2017 alimuapisha Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP)...

READ MORE