×

Kitaifa

VIDEO: Askari Wanaochoropoka na Tochi Vichakani Hawana Mafunzo -Kangi Lugola

DODOMA: Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola amesema kuwa majeshi ya usalama hapa nchini yamesahaulika na yanachukuliwa kama ni ya kawaida...

READ MORE

Askofu Gadi Aomboleza Vifo vya Wanafunzi 32

ASKOFU wa Kanisa la Good News For All Ministry la jijini Dar es Salaam, Dkt. Charles Gadi ameomboleza vifo vya...

READ MORE

Yaliyojiri Bungeni Leo Jumatano

Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Upendo Pendeza kwenye viwanja vya bunge...

READ MORE

VIDEO: Mama wa Mtoto Aliyenusurika kwa Mabomu Akafariki kwa Ajali Karatu

KUFUATIA tukio la ajali mbaya iliyoondoka na roho za watu 35 miongoni mwao wakiwemo wanafunzi 32 wa Shule ya Lucky...

READ MORE

Fuatilia Live Yanayojiri Bungeni Leo Mei 10

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili bajeti za...

READ MORE

‘Watanzania Wengi Hawana Taaluma ya Kusimamia Miradi’

BAADHI ya Watanzania wamekuwa wakikwama kuendeleza miradi yao kutokana na kukosekana kwa wataalam wenye taaluma ya kuratibu miradi hiyo. Hayo...

READ MORE

Majaliwa: Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi Zingatieni Mipaka ya Madaraka Yenu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuzingatia mipaka ya madaraka yao na kuhakikisha...

READ MORE

SportPesa Yazinduliwa Rasmi Hapa Nchini

  Kampuni ya SportPesa yenye makao yake makuu nchini Kenya ambayo hivi karibuni ilikuwa ikitajwa kutaka kuzidhamini Simba na Yanga,...

READ MORE

Mapacha Walioungana: Tuna Ndoto za Kuolewa

   STORI: MWANDISHI WETU | UWAZI NJOMBE: Mabinti pacha walioungana kiwiliwili ambao ni yatima, Consolata na Maria Mwakikuti (19) wa...

READ MORE

Serikali Kuanzisha Mkoa Mpya wa Kipolisi Rufiji

Serikali inatarajia kuanzisha mkoa mpya wa kipolisi rufiji mkoani Pwani ili kusogeza huduma ya kipolisi karibu zaidi na wananchi na...

READ MORE

Rais Magufuli Atoa Ambulance 3 kwa Wabunge

IKULU: Rais Magufuli ametoa magari matatu ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kwa Wabunge wa majimbo ya Nkasi, Shinyanga na Tabora. Mbunge...

READ MORE

ARUSHA: Watano Wafariki Dunia Baada ya Nyumba Kuangukiwa na Mti

ARUSHA: Watu watano wa familia moja wamefariki dunia baada ya nyumba yao kuangukiwa na mti katika eno la Sokoni Two,...

READ MORE

AJALI: Basi la Allys na Coaster Yagongana Shinyanga, 60 Wanusurika Vifo

SHINYANGA: Watu zaidi ya 60 wamenusurika kifo, huku 26 kati yao wakijeruhiwa vibaya baada ya basi mali ya Kampuni ya...

READ MORE

PICHA: Bi Samia Awatembelea Wanafunzi Walionusurika Ajali ya Karatu

   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali  Sadia Isamel Awadhi mwenye...

READ MORE

Lema, Msigwa Wakinukisha Bungeni leo, Kisa Salamu za Rambirambi

Wabunge wawili wa Chadema, Peter Msigwa wa Iringa Mjini na Godbless Lema wa Arusha Mjini wameomba mwongozo wa Spika kuhusu...

READ MORE

PICHAZ: Watoto Wawili Ajali ya Karatu Wazikwa, Mmoja Asafirishwa Tanga

WATOTO wawili kati ya 32 waliofariki kwa ajali ya gari Jumamosi iliyopita wilayani Karatu walizikwa jana huku mmoja akisafirishwa na...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Mei 9

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili bajeti za...

READ MORE

Matukio Yanayotokea Nchini Yananifanya Nimkumbuke Nyerere

NA ELVAN STAMBULI | GAZETI LA UWAZI | NIONAVYO MIMI NILIKUWA sikupanga kuandika makala haya lakini nimeamua kuandika baada ya...

READ MORE

Mbunge Godbless Lema Alaani Ubaguzi Aliofanyiwa Msibani Arusha

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Godbless Lema ametoa masikitiko yake na kuonyesha kuumizwa na...

READ MORE

Wanafunzi Wote Hawa Wamekwenda? Inauma, R.I.P

Stori: Joseph Ngilisho | Ijumaa WIKIENDA ARUSHA: Rest In Peace (R.I.P)! Ndivyo walivyosikika baadhi ya wananchi wa viunga mbalimbali jijini...

READ MORE

Makatibu Wakuu wa Tanzania, Afrika Kusini Kujadili Fursa za Kiuchumi

MAKATIBU wakuu wa wizara mbalimbali Tanzania na wa nchi ya Afrika Kusini leo wamekutana na kujadili mambo mbalimbali yanayohusu masuala...

READ MORE

Aingia Gesti na Mwanaume… Afariki Dunia!

    Stori: Mwandishi Wetu | IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Tutakukumbuka daima! Ndivyo waombolezaji wengi walivyosikika wakisema kwa masikitiko kufuatia...

READ MORE

Kiongozi wa Washia Aomboleza Vifo vya Wanafunzi Arusha

Kiongozi mkuu wa Waislam wa madhehebu la Washia nchini, Sheikh Hemed Jalala, ametoa pole kwa wafiwa wote wa ajali iliyotokea...

READ MORE

Rais Zuma wa Afrika Kusini Kuzuru Tanzania Aprili 10

RAIS wa Afrika Kusini, Jacob  Zuma, anatarajiwa kufanya ziara ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini kuanzia Aprili 10 hadi...

READ MORE

Majeneza 35 Yamuumiza Rais Magufuli

Rais Dkt Magufuli ameshindwa kujizuia na kusema kuwa amekumbwa na majonzi makubwa baada ya kuona majeneza 35 ya wanafunzi wa...

READ MORE

Mfumuko wa Bei Waongezeka kwa Asilimia 0.5

Mfumuko wa bei wa mwezi kwa Aprili mwaka huu, unaopimwa kwa kila mwezi, umeongezeka kwa asilimia 0.5 ikilinganishwa na ongezeko...

READ MORE

Wabunge Wametoa Posho Yao ya Leo Rambirambi kwa Wafiwa Karatu

DODOMA: Wabunge wote wamekubali kutoa posho yao yote ya leo kwa ajili ya rambirambi kwa familia za wanafunzi 32 waliopoteza...

READ MORE

PICHAZ +VIDEO: Mashujaa Watoto wa Karatu Walivyoagwa Arusha

Arusha Ilivyozizima Miili ya Wanafunzi Waliokufa kwa Ajali Ikiagwa ARUSHA: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi....

READ MORE

Vilio vya Mastaa kwa Wanafunzi Waliokufa Arusha

Arusha Ilivyozizima Miili ya Wanafunzi Waliokufa kwa Ajali Ikiagwa MAJONZI yamegubika nchi nzima kufuatia tukio la kihistoria la ajali ya...

READ MORE

VIDEO +PICHAZ: Zoezi Kuaga Miili ya Wanafunzi Waliofariki kwa Ajali Karatu

Arusha Ilivyozizima Miili ya Wanafunzi Waliokufa kwa Ajali Ikiagwa Makamu wa Rais wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan (kushoto),  akipokewa na...

READ MORE

Wasanii na Swaga za Kiswanglish Kwenye ‘Interview’

Na Ally Katalambula|IJUMAA WEKIENDA|GPL April 17 mwaka huu Msanii wa Bongo Fleva anayechipukia kwa kasi kwenye sayari ya muziki wa...

READ MORE

Fuatilia Live Yanayojiri Bungeni Dodoma – Jumatatu Mei 8

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamesimama kwa dakika moja ikiwa ni kuwakumbuka watu 36 wakiwemo wanafunzi...

READ MORE

Ajali Mbaya ya Coaster na Lori Yaua Muheza, Tanga

TANGA: Ajali mbaya imetokea usiku wa kuamkia leo katika Kijiji cha Lusanga wilayani Muheza ambapo basi aina ya Coaster likitokea...

READ MORE

Video: Giza Nene Latanda Jijini Arusha Maiti za Wanafunzi Zikiwasili Hospitali

Miili ya marehemu ikishushwa kutoka kwenye ambulance Zoezi la kuteremsha miili likiendelea. Polisi wakiimarisha ulinzi nje ya Hospitali ya Mt....

READ MORE

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Kuongoza Kuaga Wanafunzi Waliofariki Arusha Kesho

Makamu wa Rais, Samia Suluhu kesho saa mbili asubuhi ataongoza wakazi wa Arusha katika Uwanja wa Sheikh Abeid Karume kuaga...

READ MORE

Ajali ya Basi na Lori Yajeruhi 10, Watatu Wana Hali Mbaya

Walikuwa wakitoka Turiani kwenda Morogoro ndipo basi hilo lilipogongana uso kwa uso na lori lililokuwa likitokea Morogoro kwenda nchini Rwanda....

READ MORE

Nay wa Mitego: Nyumba Yangu Ikiwaka Moto Nakimbia na Sanamu tu

Na Boniphace Ngumije | Risasi Jumamosi | Mpaka Home MAMBO vipi mpenzi msomaji wa Mpaka Home? Kama kawaida ya kolamu...

READ MORE

Fainali ya Shika Ndiga Yafana, Wawili Waondoka na Ndinga

Umati uliofurika kufuatilia fainali ya Shika Ndinga Suleiman Mlela, Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Baraza la Taifa la...

READ MORE