×

Kitaifa

Suluhu Afungua Mkutano wa Polisi Wanawake SADC

MAKAMU wa Rais, Samiah Suluhu, leo amefungua mkutano wa polisi wanawake wa Jumuia ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC)...

READ MORE

TANZIA: Msanii Dogo Mfaume, Afariki Dunia

TANZIA: Msanii wa Bongo Fleva, Mfaume Selemani ‘Dogo Mfaume’, aliyetamba zaidi na wimbo wake wa Kazi ya Dukani amefariki dunia...

READ MORE

Wavunjaji wa Sheria za Huduma za Treni za Abiria Kufungwa Jela Miezi 6

  WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa treni za abiria za Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wametakiwa kuzingatia sheria za...

READ MORE

Majaliwa Mgeni Maadhimisho ya Ualbino

Na Gabriel Ng’osha/GPL WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uelewa Juu ya Ualbino...

READ MORE

Global TV Online: LIVE Kipindi Cha Wanyama

Kutoka Mbuga za Wanyama: Kipindi hiki kitaanza kuonyeshwa live leo kupitia Global TV Online Bofya Play  

READ MORE

Kikwete awa Mwenyekiti-Mwenza Baraza la Wakimbizi Duniani

RAIS mstaafu Jakaya Kikwete ameteuliwa na Baraza la Wakimbizi Duniani (WRC) kuwa Mwenyekiti-Mwenza katika idara yake ya  utendaji ambapo Mwenyekiti...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi TIC na Katibu Tawala Morogoro

UTEUZI: Rais Magufuli amemteua Bw. Geoffrey Idelphonce Mwambe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC). Aidha Rais Magufuli...

READ MORE

Said Mecki Sadiki Ataja Sababu za Kuacha Kazi ya Ukuu wa Mkoa

Aliyekuwa  Muu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Mecki Sadiki , amesema ameamua kuondoka serikalini baada ya utumishi wa muda mrefu...

READ MORE

Mwanza: Maajabu ya Mti Kupiga Kelele Ukipinga Kung’olewa (VIDEO)

AMA kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Taarifa zilizosambaa mitandaoni zimeeleza kuwa wakazi na watumiaji wa barabara ya Pasiansi...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Mei 17, 2017

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili na kupitisha...

READ MORE

VIDEO: Kauli ya Kamanda Sirro Kuhusu Askari Aliyefyatua Risasi Angani

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Simon Sirro, leo amezungumza na waandishi wa habari akieleza juu...

READ MORE

Video: Maajabu ya Mti Uliotoa Uhai Watu 5, Arusha ..Ilikuwa Lazima Wafe

STORI: HILALY DAUDI | UWAZI | HABARI ARUSHA: Ilikuwa lazima wafe! Hivyo ndivyo walivyokuwa wakisema baadhi ya watu walioshuhudia tukio...

READ MORE

Waziri wa Kikwete Afikishwa Kortini

NAIBU waziri wa fedha wa awamu ya nne kwenye uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Adam Kighoma Ali Malima leo...

READ MORE

Gari La Polisi Lanaswa Likibeba Mchanga

Mwandishi wa mtandao huu alishuhudia watu watatu wakikusanya na kupakia mchanga ndani ya gari hilo la polisi ambalo ni maalum...

READ MORE

Mtoto Majeruhi wa Lucky Vincent Afanyiwa Upasuaji Marekani

Taarifa iliyotolewa na Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu imeeleza kuwa “Madaktari wamesema wamemfanyia upasuaji wa bega ‘shoulder’, mtoto Doreen...

READ MORE

Breaking News: Mkuu wa Mkoa Meck Sadiki na Majaji Wawili Waachia Ngazi

KUJIUZULU: Rais Magufuli ameridhia kujiuzulu kwa viongozi wafuatao; RC Kilimanjaro, Said Meck Sadiki, majaji wa Mahakama Kuu, Aloysius Mujulizi na...

READ MORE

Kagera: Binti Adaiwa Kunyonga Kichanga Chake cha Siku 3, Kisha Kukizika

KAGERA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida Binti mmoja anayeishi mtaa wa Ntungamo Kata ya Buhembe, Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera,...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Leo Mei 16, 2017

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Leo Mei 16, 2017

READ MORE

Zitto Ataka Hatua Kali Zichukuliwe Dhidi ya Askari Polisi Aliyemtishia Bunduki Adam Malima

Katika hali isiyokuwa ya kawaida iliyotokea jana Jijini Dar es salaam kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha...

READ MORE

Nionavyo Mimi: Lazima Serikali Itekeleze Maazimio ya Bunge

MAKALA NA ELVAN STAMBULI | UWAZI |NIONAVYO MIMI WIKI iliyopita nilisikia bungeni wabunge wakimkumbusha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu maazimio...

READ MORE

Saudia Yatoa Tende Kwa Mfungo wa Ramadhan

BALOZI wa Saudi Arabia nchini Mohammed Almalik ametoa zawadi ya tende tani 43 kwa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata)...

READ MORE

Mauzo Hisa Yaongezeka Toka Bil 6 Wiki Iliyopita Hadi Bil 8.1 Wiki Hii

Mauzo ya Hisa (Turnover/ Liquidity) Idadi ya hisa zilizouzwa na kununuliwa zimeongezeka zaidi ya mara mbili kutoka hisa 745,000 hadi...

READ MORE

Masaki Dar: Adam Malima Atibuana na Polisi, Wafyatua Risasi Hewani (VIDEO)

TAHARUKI imeibuka mchana huu maeneo ya  Masaki karibu na Double Tree Hotel baada ya askari polisi mmoja kufyatua risasi hewani...

READ MORE

Polisi Waua ‘Jambazi’ Akijaribu Kupora Fedha za ATM

   JESHI la polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema leo  lilifanikiwa kumjeruhi kwa risasi mtu mmoja anayetuhumiwa kuwa jambazi...

READ MORE

Rais Magufuli Ameivunja Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kusaini Amri ya Rais (Presidential...

READ MORE

GlobalNewsAlert: Lita 6,694 za Kemikali za Kutengenezea Dawa za Kulevya Zakamatwa Dar

DAR ES SALAAM: Kamishna wa Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za Kulevya nchini, Rogers Sianga amesema wamekamata kiasi cha...

READ MORE

Mwigulu Nchemba: Bado Hatuna Sheria ya Kuthibiti Shisha

DODOMA: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba bungeni leo amesema serikali bado haina sheria ya kuthibiti matumizi...

READ MORE

Mwakyembe Aipongeza Dasani Marathon Kwa Kuibua Vipaji

WAZIRI wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe ameyasifia mashindano ya mbio ya Dasani Marathon 2017 yaliyofanyika jana...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Jumatatu

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili na kupitisha...

READ MORE

Nani Anataka Kumuua Rose Muhando?

STORI: SIFAEL PAUL | IJUMAA WIKIENDA MWANAMAMA Rose Muhando ni staa mkubwa wa Nyimbo za Injili Bongo. Rose ana sauti...

READ MORE

Mashindano Ya Mchezo Wa Drafti Yamalizika, Naibu Meya Tememe Apongeza

MASHINDANO ya mchezo wa Darfti ya Mstahkimi Meya wa jiji la Dar es Salaa Isaya Mwita yamemalizika leo na kufungwa...

READ MORE

Wanafunzi Walionusurika Ajali ya Basi Arusha Wapelekwa Marekani

Ndege kubwa inayoweza kutumika kama ‘AMBULANCE‘ angani na iliyotoka North Carolina, Marekani kuja moja kwa moja Kilimanjaro, Tanzania kuwachukua majeruhi...

READ MORE

Wanaume Watakiwa Kuwaunga Mkono Wanawake Kimaendeleo

WAKATI serikali inatambua mchango mkubwa wa wanawake katika shughuli za maendeleo, imewataka pia wanaume kuwaunga mkono wanawake katika kuchangia maendeleo...

READ MORE

Kauli ya Rais Mstaafu Mkapa Kuhusu Serikali Kubana Uhuru wa Habari

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mzee Benjamin Mkapa amevikosoa vyombo vya habari barani Afrika na haswa kusini mwa Jangwa...

READ MORE

LIVE: Taarifa ya Habari ya TBC 1 (Usiku)

Serikali imesema itawashughulikia watumishi wake ambao wamehusika kwenye uchapishwaji wa vitabu vya kiada vilivyosambazwa mashuleni na vinaonekana vina makosa mengi.

READ MORE

Tamasha la Dar Bodaboda Superstar Lafanyika

MAKAMPUNI ya JP Decaux pamoja na International Republican Institute (IRI) zilizokuwa zimeandaa Tamasha la Waendesha Pikipiki leo limefanyika katika Viwanja...

READ MORE

VIDEO: Lowassa Asikitishwa na Serikali Kufuta Kongamano la Vyama vya Siasa

DAR ES SALAAM: MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesikitishwa na kile alichokisema...

READ MORE

Meya wa Jiji Dar Azindua Michuano ya Drafti

NA DENIS MTIMA/GPL MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amezindua mashindano ya Mchezo wa Drafti yanayofanyika katika...

READ MORE