×

Kitaifa

Kesi Ya Msichana Aliyejirusha Bahari Kutoka Kwenye Boti ya Azam

Jeshi la Polisi Zanzibar limesema kuwa limekamilisha kumhoji msichana aliyejitosa bahari ya hindi eneo la Chumbe alipokuwa akisafiri na boti...

READ MORE

Mauaji ya Raia Yaendelea Kutikisa Pwani

Mkazi wa kitongji cha Makaravati katika Kijiji cha Umwe Kusini wilayani Rufijii anayeitwa Amri Chanjale (55),  ameuawa kwa kupigwa risasi...

READ MORE

Kitilya, Wenzake Wataka Upelelezi Ukamilike

NA DENIS MTIMA/GPL UPANDE wa utetezi katika kesi inayomkabili Kamishna Mkuu Mstaafu wa TRA, Harry Msamire Kitilya,mshindi wa Mashindano ya...

READ MORE

VIDEO: Sugu Amvaa Bashite, Ataka Ashtakiwe, Awaponda Bongo Muvi

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amemshambulia Bashite huku akisema kuwa mtu huyo alipaswa awe mahakamani na sio ofisini...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Anunua Hisa Vodacom

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amenunua hisa za kampuni ya Vodacom Tanzania Plc zenye thamani ya sh. milioni 10 pamoja na...

READ MORE

Professor Jay: Wasanii wa Tanzania Wamekata Tamaa (Video)

Mbunge wa Jimbo la Mikumi ambaye pia ni Mwanamuziki wa Hip Hop Tanzania, Joseph Haule ‘Professor Jay’ ameiomba serikali kuzingatia...

READ MORE

VIDEO: Kama Tunakimbiza Mwenge Basi Tukimbize Jembe, Nyundo & Shoka – Sugu

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amelaumu kuwa baadhi ya viongozi wa serikali wamesahau misingi ya Muasisi wa Taifa,...

READ MORE

Tanzania Yapokea Tuzo Ya Upatikanaji wa Umeme Vijijini

Jitihada za Wizara ya Nishati na Madini za kuhakikisha umeme unafika na kusambaa maeneo ya vijijini zimetambuliwa kimataifa hali iliyopelekea...

READ MORE

Madaktari Bingwa India kutoa huduma Tanzania

MADAKTARI  Bingwa kutoka Hospitali ya Prince Aly Khan ya Nchini India kwa kushirikiana na Madaktari wa Aga Khan wameanza kufanya...

READ MORE

Hali ya Mbunge wa CHADEMA Siyo Nzuri, Alazwa Muhimbili

Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche alifikishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jana akitokea Dodoma kwa ajili ya matibabu...

READ MORE

LIVE: Wabunge Viti Maalum Wacharuka Dhidi ya Wabunge wa Majimbo Kuhusu Pesa za Mfuko wa Bunge

Wabunge wa kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamecharuka Bungeni wakitaka wahusike kwenye mfuko wa Bunge ambao...

READ MORE

Ufafanuzi wa Taarifa Inayodai JPM Ametengua Agizo la Mwakyembe Kuzuia Redio na TV Kusoma Magazeti

Ufafanuzi wa taarifa inayodai Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametengua agizo la Waziri Dkt. Mwakyembe kwa vyombo vya habari kuhusu...

READ MORE

Machangu Wajilipua Kwa Rais Magufuli

STORI: ANDREW CARLOS, IJUMAA, HABARI DAR ES SALAAM: Kama mbwai na iwe mbwai! Ndivyo wanavyosema baadhi ya wasichana wanaojihusisha na...

READ MORE

‘Dasani Marathon’ Kufanyika Dar Mei 14

MASHINDANO ya riadha ya Dasani Marathon yameandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ya jijini Dar es Salaam, yanatarajiwa kuanza Mei 14...

READ MORE

NEC Yamteua Catherine Ruge Kuwa Mbunge wa Viti Maalum Chadema

Kwa mujibu wa Ibara ya 78(4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ikisomwa pamoja na...

READ MORE

Waziri Azindua Mpango wa Waajiri Kutoa Mafunzo kwa Vijana

NAIBU Waziriri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde, amezindua mpango mkakati wa kutoa mafunzo kwa vijana wanaotarajiwa kufanya kazi...

READ MORE

Rais Magufuli Amefanya Uteuzi Mwingine Leo Mei 4, 2017

IKULU: Rais Magufuli amemteua Prof. Egid Beatus Mubofu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Uteuzi umeanza Mei...

READ MORE

Ripoti ya Vyeti vya Madaktari, Wauguzi Dar… Wagonjwa Hali Mbaya

Na Waandishi Wetu, AMANI | DAR ES SALAAM: Inatisha! Kufuatia tamko la Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwataka watumishi wa...

READ MORE

BUNGENI: Prof. Jay Akipaza Sauti kwa Niaba ya Wananchi wa Kilosa (VIDEO)

Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Prof Jay’ (Chadema) amepaza sauti Bungeni mjini Dodoma akihoji kuhusu mradi wa bwawa...

READ MORE

Prof. Lipumba Aanika Aliyemuunganisha na Lowassa, Ishu ya Kutumika na CCM

Prof. Ibrahim Lipumba DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa CUF anayetambulika na msajili wa Vyama vya Siasa Prof. Ibrahim Lipumba leo...

READ MORE

Lukuvi Amtumbua Kigogo wa Ardhi kwa Kughushi Nyaraka na Kunyang’anya Ardhi Wanakijiji

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ameamuru kusimamishwa kazi Afisa Mipango Miji wa Lindi Ndugu...

READ MORE

Mil 300 Zatengwa Kumung’oa Mwakifwamba Urais Bongo Muvi

Na Gladness Mallya | AMANI |Dar es Salaam Wakati mambo yakizidi kupamba moto kutokana na maandamano yaliyofanywa hivi karibuni na...

READ MORE

Haki za Binadamu Yazindua Taarifa Yake ya 2016

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC) leo kimezindua taarifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini katika...

READ MORE

Video: Mbunge Atema Cheche Siku ya Uhuru wa Habari

Na Elvan Stambuli DAR ES SALAAM: Mbunge wa Viti Maalum (CUF) Mkoa wa Dar es Salaam, Salma Mwasa ametema cheche...

READ MORE

Dereva Aliyesababisha Vifo vya Wanafunzi Wawili Akamatwa

KAMISHNA wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Simon Sirro, amethibitisha kutokea kwa vifo vya wanafunzi wawili, Itlamu Athumani (mwanafunzi...

READ MORE

Media Day: Wanahabari Walaani Vitendo vya Kunyanyaswa na Viongozi na Wanasiasa

Bi Salome Kitomari akizungumza wakati wa kongamano hilo. Mwenyekiti wa MISA Tanzania, Bi Salome Kitomari amelaani vitendo vya baadhi ya...

READ MORE

VIDEO: NEC Yatangaza Nafasi Iliyoachwa na Mbunge Elly Macha

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi  ya mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya Chadema Nafasi hiyo imetangazwa...

READ MORE

Shinda Nyumba: Pikipiki, Phantom 6, Dinner Set Vyakabidhiwa Washindi

NA MWANDISHI WETU | GLOBAL PUBLISHERS | SHINDA NYUMBA WASHINDI wanne wa droo ndogo ya tatu ya Shinda Nyumba Awamu...

READ MORE

Breaking News: Hatimaye Serikali Imesikia Kilio cha Watumishi Wenye Vyeti Feki

NA MOHAMMED ZENGWA | GLOBAL PUBLISHERS | DODOMA DODOMA: Serikali imetoa nafasi kwa watumishi wanaodhani kuwa wameonewa, baada ya kutajwa...

READ MORE

Media Day: Vyombo vya Habari Viendane na Mabadiliko ya Kiteknolojia

     Na Johnson James | GLOBAL PUBLISHERS| MWANZA Vyombo vya habari  nchini vimetakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia kama lengo...

READ MORE

Kesi ya Wakurugenzi JamiiMedia… Maswali ya Tundu Lissu kwa Mpelelezi

DAR ES SALAAM: Baada ya kuahirishwa mara kadhaa kutokana na ushahidi kutokamilika, kesi namba 456 ambayo inahusu kuzuia taarifa za...

READ MORE

Majina ya Vigogo Yatikisa Vyeti Feki

STORI: BRIGHTON MASALU | UWAZI |DAR ES SALAAM Makali ya uhakiki wa vyeti feki, yameacha vilio, maumivu na mateso, kufuatia...

READ MORE