×

Kitaifa

Nani Anataka Kumuua Rose Muhando?

STORI: SIFAEL PAUL | IJUMAA WIKIENDA MWANAMAMA Rose Muhando ni staa mkubwa wa Nyimbo za Injili Bongo. Rose ana sauti...

READ MORE

Mashindano Ya Mchezo Wa Drafti Yamalizika, Naibu Meya Tememe Apongeza

MASHINDANO ya mchezo wa Darfti ya Mstahkimi Meya wa jiji la Dar es Salaa Isaya Mwita yamemalizika leo na kufungwa...

READ MORE

Wanafunzi Walionusurika Ajali ya Basi Arusha Wapelekwa Marekani

Ndege kubwa inayoweza kutumika kama ‘AMBULANCE‘ angani na iliyotoka North Carolina, Marekani kuja moja kwa moja Kilimanjaro, Tanzania kuwachukua majeruhi...

READ MORE

Wanaume Watakiwa Kuwaunga Mkono Wanawake Kimaendeleo

WAKATI serikali inatambua mchango mkubwa wa wanawake katika shughuli za maendeleo, imewataka pia wanaume kuwaunga mkono wanawake katika kuchangia maendeleo...

READ MORE

Kauli ya Rais Mstaafu Mkapa Kuhusu Serikali Kubana Uhuru wa Habari

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mzee Benjamin Mkapa amevikosoa vyombo vya habari barani Afrika na haswa kusini mwa Jangwa...

READ MORE

LIVE: Taarifa ya Habari ya TBC 1 (Usiku)

Serikali imesema itawashughulikia watumishi wake ambao wamehusika kwenye uchapishwaji wa vitabu vya kiada vilivyosambazwa mashuleni na vinaonekana vina makosa mengi.

READ MORE

Tamasha la Dar Bodaboda Superstar Lafanyika

MAKAMPUNI ya JP Decaux pamoja na International Republican Institute (IRI) zilizokuwa zimeandaa Tamasha la Waendesha Pikipiki leo limefanyika katika Viwanja...

READ MORE

VIDEO: Lowassa Asikitishwa na Serikali Kufuta Kongamano la Vyama vya Siasa

DAR ES SALAAM: MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa amesikitishwa na kile alichokisema...

READ MORE

Meya wa Jiji Dar Azindua Michuano ya Drafti

NA DENIS MTIMA/GPL MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amezindua mashindano ya Mchezo wa Drafti yanayofanyika katika...

READ MORE

Abiria Waliokwama kwa Treni Morogoro Wapata Usafiri

MORORGORO: Abiria wapatao 802 waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka Dar es Salaam kwenda Bara kukwama Lukobe, Morogoro wamefanikiwa kusafirishwa kwa...

READ MORE

Mpaka Home: Nicole Apata Kigugumizi Kumzungumzia MC Pilipili

NA MAYASA MARIWATA | RISASI JUMAMOSI| MPAKA HOME KAMA ilivyo kawaida ya kolamu hii ya Mpaka Home kuwatembelea mastaa mbalimbali...

READ MORE

Picha: Treni ya Abiria Yapata Ajali, Morogoro

MOROGORO: Treni ya abiria iliyokuwa inakwenda Bara imepata ajali usiku wa kumakia leo majira ya saa 5:25 katika eneo la...

READ MORE

VIDEO: Hali Ilivyo Sasa kwa Wanafunzi Walionusurika na Ajali Arusha

ARUSHA: TAARIFA rasmi kutoka chumba cha Mganga Mkuuwa Hospitali ya Rufaa ya Mt. Meru, Arusha, zimeeleza kuwa hali ya watoto...

READ MORE

Lowassa, Kinana, Polepole, Mbowe Kukutana Uso Kwa Uso Kesho

ALIYEKUWA mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Ngoyayi Lowassa; Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

JPM Atuma Salam za Rambirambi Vifo vya Sozigwa na Mwambungu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametuma Salam za Rambirambi kufuatia vifo vya viongozi wawili...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa mgeni rasmi Mkutano wa Tasnia ya Korosho

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Wadau wa Tasnia ya Korosho utakaofanyika kwa siku...

READ MORE

Mvua Zabomoa Daraja, Barabara Bukoba

Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Kagera, Daraja la Kemondo lililoko Barabara Kuu ya Bukoba – Mwanza, Bukoba –...

READ MORE

Mmiliki wa Shule ya Lucky Vincent Afikishwa Kortini, Aachiwa kwa Dhamana

ARUSHA: Mmiliki wa shule ya Lucky Vincent iliyopo Kwa Morombo ambaye anatambulika kwa majina ya Innocent Mushi na Makamu Mkuu...

READ MORE

Watoto Walionusurika Ajali Karatu, Kuagwa Jumapili Kwenda Marekani

ARUSHA: Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amesema kuwa, tayari ndege aina ya DC 8 imepatikana ambayo itawasafirisha watoto watatu...

READ MORE

Ofisi Ya Rais Yakanusha Taarifa Hizi za Utoaji Ajira

Ofisi ya Rais yakanusha taarifa inayosambazwa mitandaoni kuhusu vigezo vya utoaji ajira

READ MORE

TANZIA: Sozigwa na Mwambungu Wafariki Dunia Muhimbili

#TANZIA: Tanzania imepata misiba miwili baada ya kuondokewa na watu wawili ambao waliwahi kushika nyadhifa za juu kwenye uongozi wa...

READ MORE

Benki Nyingine Yafutiwa Leseni na Kufungwa

Benki Kuu ya Tanzania imeifungia Mbinga Community Bank PLC, kusitisha shughuli zake zote za kibenki na kufuta leseni yake ya...

READ MORE

VIDEO: Eneo la Ajali Mazito Yaibuka Karatu, Viongozi wa Kijiji, Madereva Wanena

IMENDIKWA NA HILALI DAUDI, GABRIEL NG’OSHA NA GLADNESS MALLYA |AMANI ARUSHA: Siku nne baada ya kutokea kwa ajali iliyosababisha vifo...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Ijumaa, Mei 12

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili na kupitisha...

READ MORE

VIDEO: Hashim Rungwe Aomba Kukutana na Rais Magufuli Amshauri

Mwenyekiti wa Chama Cha Umma (Chauma), Hashim Rungwe amesema ingefaa Rais Dk. John Magufuli akawaalika viongozi wa siasa ili waweze...

READ MORE

IYF Yatoa Elimu ya Maadili ya Wanafunzi kwa Walimu

Mkurugenzi wa IYF hapa nchini, Jeon Hee Yong akizungumza na wanahabari. Mkurugenzi Msaidizi wa IYF, Levin Ndengerio naye akifafanua jambo....

READ MORE

Kampuni za Jumia, Tecno Kuuza Bidhaa Kwa Mtandao

KAMPUNI ya Jumia Tanzania inayouza bidhaa kwa njia ya mtandao, itashirikiana na kampuni za simu za Tigo na Tecno kuuza...

READ MORE

Toeni Taarifa Kwenye Tatizo Kipindi cha Mvua-TANESCO

  SHIRIKA la Umeme Tanzania(TANESCO) limetoa taadhari kwa Wananchi wote kutoa taarifa kipindi hiki cha mvua mara inapotokea hitilafu yoyote...

READ MORE

Kauli ya Rais Zuma kwa JPM Kuhusu Ujenzi wa Reli ya Kisasa

Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Gedleyihlekisa Zuma amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...

READ MORE

Wako Wapi Wenzetu?

STORI: MWANDISHI WETU | GAZETI LA AMANI | ARUSHA Mungu mkubwa! Hali za wanafunzi manusura watatu wa ajali iliyosababisha vifo...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni – Dodoma

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii kujadili bajeti za...

READ MORE

VIDEO: Lijualikali Asimulia Mengi Yaliyomkuta Jela

MBUNGE wa Ulanga kwa tiketi ya Chadema, Peter Lijualikali jana alisimulia mengi yaliyomkuta wakati akitumikia kifungo cha miezi sita jela...

READ MORE

Cheka, Mbelwa Wasimulia Walivyong’atana Ulingoni

Na Ibrahim Mussa | Championi Jumatano | Makala ZIMEPITA takribani siku 136 sawa na miezi minne na siku 11 tangu...

READ MORE

Mwanafunzi Akamatwa na Bastola, Risasi 13

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph, Lazaro Mbise (23) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kukutwa na...

READ MORE

Maalim Seif Aibukia Kanisani Kwa Askofu Gwajima

LEO Mei 10, 2017, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hammad amekwenda kumtembelea Mchungaji wa Kanisa...

READ MORE

Musukuma: Wabunge Wawili ndo Hawakwenda kwa Waganga Wakati wa Uchaguzi

Mbunge wa Geita kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku Musukuma amezua mvutano bungeni kufuatia kile alichokisema kuwa...

READ MORE

Arusha: Mmiliki wa Shule ya Lucky Vincent Akamatwa na Polisi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha ( RPC ), Charles Mkumbo amesema wanamshikilia mmiliki wa basi dogo aina ya...

READ MORE