×

Kitaifa

Mzee Majuto Awafungukia Wanaosambaza Taarifa Kuwa Amefariki

AKIFANYA Kipindi cha  XXL ya Clouds FM leo Januuary 24, 2017, mtangazaji Soudy Brown amezungumza na mchekeshaji maarufu hapa Bongo,...

READ MORE

Rais Magufuli Kuzindua ‘Mwendo Kasi’ Dar, Kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dk. John Pombe anatarajia kufanya uzinduzi rasmi wa huduma ya mabasi yaendayo...

READ MORE

Picha: Wakazi wa Goba Wachangamkia Shinda Nyumba Awamu Ya Pili

Madereva bodaboda wakiangalia kuponi ya Shinda Nyumba kwenye Gazeti la Uwazi leo. Afisa Masoko, Kefa akiendelea kutoa elimu ya kujaza...

READ MORE

CCM Yawashukuru Watanzania Kwa Ushindi wa Ubunge, Madiwani

Katibu wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha  Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole akizungumza na  vyombo vya habari. …Akisikiliza kwa...

READ MORE

Polisi Yaua Majambazi 2 Mwanza

MWANZA: JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza limewaua watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakati wakijaribu kutoroka. Imeelezwa kuwa tukio...

READ MORE

Ajali ya Basi na Lori la Mbao Yaua na Kujeruhi 32 Iringa

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Vitu Laini linalofanya safari zake kutoka vijiji...

READ MORE

Manara Atangaza Kumposa Wema Sepetu

Haji Manara (Kushoto), Wema Sepetu (Kulia). Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Haji Sunday Manara...

READ MORE

Watanzania Waombwa Kuhudhuria Tamasha la Sauti za Busara

Kutoka kushoto ni Meneja wa Sauti za Busara,  Ramadhan Journey, Mkurugenzi Mtendaji wa Tamasha hilo,  Yusuf Mahmoud, Mwenyekiti wa Bodi...

READ MORE

Chemsha Bongo Shinda Nyumba ya Pili

SHINDA NYUMBA Awamu ya Pili ipo kwa ajili yako, kwa uwingi wa zawadi kushinda ni lazima. Ni kwa shilinig 500/=...

READ MORE

Kauli ya Tundu Lissu Kuhusu Ushindi wa CCM Chaguzi Ndogo

Na. Tundu Lissu Waheshimiwa na makamanda poleni kwa mapambano na hongereni kwa kazi kubwa mliyoifanya kwenye chaguzi hizi. Naona kila...

READ MORE

Zitto Kabwe Atoa Waraka Kuhusu Marudio ya Uchaguzi

Nachukua fursa hii kuwapongeza Sana kwa kazi kubwa mliyoifanya kwenye chaguzi ndogo za udiwani na ubunge zilizomalizika hivi punde nchi...

READ MORE

Mtatiro Ametoa Kauli Hii Baada ya CUF Kuburuzwa na Uchaguzi Mdogo

Na. Julius S. Mtatiro Goodmorning. Katika uchaguzi huu mdogo CUF ilikuwa inatetea kata 1 ya Kimwani Muleba na CHADEMA ilikuwa...

READ MORE

JPM Amesema Haya Baada ya CCM Kushinda kwa Kishindo Uchaguzi wa Marudio

Mwenyekiti  wa Taifa wa CCM, Rais John Magufuli amesema ushindi wa CCM wa ubunge na madiwani katika Uchaguzi Mdogo uliofanyika...

READ MORE

Tanzania na Uturuki Zatiliana Saini Mikataba 9 ya Makubaliano ya Kiuchumi

 Rais wa Jamhuri ya Uturuki Mhe Recep Tayyip Erdogan na mkewe wakipokea mashada ya maua kutoka kwa watoto walipowasili Ikulu...

READ MORE

Waziri Kairuki Ahamishwa na Lori la Jeshi Kwenda Dodoma

DAR ES SALAAM: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Angellah J. Kairuki,  leo January 23 2017...

READ MORE

Ushahidi Dhidi ya Mkurugenzi wa ATCL Waendelea Kisutu

USHAHIDI dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi  Mtendaji  wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mataka,  umeendelea leo  katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Haya Ndio Majibu ya Mrithi wa Kanumba Kuhusu Lulu

Fredy Swai na Mama Kanumba. KUTOKANA na hivi karibuni mama wa aliyekuwa staa mkubwa wa filamu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa...

READ MORE

Prof. Lipumba Anusurika Kupigwa na Vijana wa UKAWA

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amedaiwa kunusurika kupigwa na...

READ MORE

Njemba aua wawili na kujeruhi Sita

Wakazi na wafanyabiashara wa Mabibo jijini Dar es Salaam wakiwa wameizunguka ofisi ya soko la Mabibo-Mwisho alimohifadhiwa mtu anayetuhumiwa kuua...

READ MORE

Matokeo ya Uchaguzi Jimbo la Dimani, Zanzibar

MATOKEO: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar, Juma Ali Juma (CCM) ameshinda uchaguzi huo kwa kura 4860, wakati mpinzani...

READ MORE

Mbeya Wachangamkia Shindano la Shinda Nyumba

  DERICK LWASYE,  Mbeya SHINDANO la Shinda Nyumba na Global Publishers awamu ya pili, limepokelewa vizuri na wasomaji wa maga­zeti...

READ MORE

Nafasi za Kazi Dar Live

KAMPUNI ya Dar Live iliyopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam inayojishughulisha na burudani, ukumbi wa sherehe n.k, inatangaza nafasi...

READ MORE

Zitto Asakwa na Polisi kwa Uchochezi, Dereva Wake na Katibu wa Chama Wakamatwa

Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo ndugu Msafiri A Mtemelwa ametoa taarifa kuwa kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Mh...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo Jumatatu, Januari 23, 2017

     MAGAZETI Yote ya Leo Jumatatu, Januari 23, 2017 Soma kilichoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania leo Jumatatu, Januari 23,...

READ MORE

Maalim Sief Afungukia Fedha za Ruzuku Benki Kuu

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif  Sharif Hamad. KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif ...

READ MORE

Rais wa Uturuki, Recep Erdogan Awasili Nchini Kwa Ziara ya Kikazi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan  aliyefuatana na  mkewe, Mheshimiwa Emine Erdogan (kulia) wakifuhia ngoma...

READ MORE

Wananchi Jimbo la Dimani, Zanzibar Wapiga Kura

Wananchi wakiangalia majina yao kabla ya kupiga kura katika kituo cha Bweleo katika jimbo la Dimani leo. Hatimaye wananchi wa...

READ MORE

Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Dimani na Madiwani Tanzania Bara

Wanachi wakipiga kura katika chaguzi zilizopita. Uchaguzi wa madiwani unafanyika kwenye kata Ishirini (20) katika Halmashauri Kumi na Tisa (19)...

READ MORE

Tanzia: Kamanda wa Polisi wa Zamani Dkt. Mohamed Chico Afariki Dunia

Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed  Chico amefariki dunia  usiku wa kuamkia leo jijini Dar es...

READ MORE

Mwanjale Mchezaji Bora wa Desemba 2016

    Sentahafu wa Simba, Method Mwanjale. Sentahafu wa Simba, Method Mwanjale amechaguliwa kuwa mchezaji bora Desemba wa Ligi Kuu...

READ MORE

Sekeseke la Mauaji Mabibo Jijini Dar

  Wakazi na wafanyabiashara wa Mabibo jijini Dar es Salaam wakiwa wameizunguka ofisi ya soko la Mabibo-Mwisho alimohifadhiwa mtu anayetuhumiwa...

READ MORE

Watoto wa Mastaa Gumzo Mtandaoni

Mtoto wa Esma Platnumz akiwa na Mjomba wake, DJ Romy Jones. HAPO awali ushindani kwa mastaa ulikuwa ni ufahari katika...

READ MORE

Baada ya Bilicanas na Shamba, Serikali ‘Yakamata’ Hoteli ya Mbowe wilayani Hai, Kilimanjaro

 Ikiwa ni takribani miezi mitano sasa tangu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe alipoondolewa katika jengo la Bilicanas lililokuwa pia...

READ MORE

Ditto Kumtoa Afande Selle 2017

Lameck Ditto (kushoto) akiongea na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally (kulia). Mkali wa Bongo Fleva anayetikisa kwa sasa...

READ MORE

Ujumbe wa Mpoto Wahusishwa na Baa la Njaa

Mrisho Mpoto akiwa Global Tv Online Mwanamuziki wa Muziki wa Asili Bongo na mtumbuizaji kwa staili ya kughani mashairi, Mrisho...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo Jumapili, Januari 22, 2017

Soma kilichoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania leo Jumapili, Januari 22, 2017. Pia endelea kutembelea Global Publishers kwa habari zote zinajiri...

READ MORE

Aliyetumbuliwa na JPM Ukuu wa Mkoa, Amteua Kuwa Mbunge

Rais Dkt John Pombe Magufuli leo Jumamosi, Januari 21, 2017 amemteua Anne Kilango Malecela kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri...

READ MORE

Mbalizi Nao Wanasema ni Zamu Yao Kushinda Nyumba Msimu Huu

Msomaji akisoma Gazeti la Risasi Mchanganyiko linalokuwa mtaani kila Jumatano. Wasomaji wakichangamkia Magazeti ya Championi na Risasi Mchanganyiko. Wakijaza kuponi...

READ MORE