×

Kitaifa

Diwani Mstaafu Mtarawanje Ashinda Kesi ya Rushwa

ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Kata ya Kijichi Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, Elias Mtarawanje ameshinda kesi iliyochukua takriban...

READ MORE

Ndege wa Maajabu Kutoka Tanzania, Anayesafiri Dunia Nzima

                        Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa nchini...

READ MORE

Samia: Miradi Yote Mikubwa Itakamilika kwa Wakati – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR)...

READ MORE

Makaburi 200 Yafukuliwa Dar

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam, imeanza kufukua makaburi zaidi ya 200 yaliyopo katika Mtaa wa Butiama, Kata ya...

READ MORE

Rais Doumbouya: Rudini na Kombe la AFCON Ama Fedha Zetu

RAIS wa mpito wa Guinea, Kanali Mamadi Doumbouya wa Guinea amewaambia wachezaji wa timu ya Taifa hilo kuwa wanatakiwa wachague...

READ MORE

Samia: Tutaendelea Kukopa, Ukisubiri Ukusanye Zako Utamaliza Kujenga Lini? – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kuchukua mikopo nafuu kutoka kwa nchi wahisani, ili kukamilisha mradi wa ujenzi wa...

READ MORE

Ndugai: Kuna Siku Nchi Itapigwa Mnada Kutokana Na Madeni

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kulingana na mwenendo wa Deni la Taifa kufikia Trilioni 70, ipo siku...

READ MORE

Aweso Awahamisha Vituo vya Kazi Vigogo Sita Mtwara

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amefanya mabadiliko kwa kuwaondoa watumishi sita katika nyadhifa zao kwa sababu mbalimbali za utendaji uliosababisha...

READ MORE

Udhamini Mnono, GGML Yaidhamini Geita Gold FC

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML imeidhamini Klabu ya soka ya Geita Gold Football Club kwa mkataba mnono wa...

READ MORE

Amuua Mama Yake Mzazi Kisha Kumfukia Kwenye Chemba Ya Choo

  Jeshi la polisi Jijini Arusha linamshikilia Patrick Mmasi (24) mkazi wa Njiro, jijini hapa, kwa tuhuma za kumuua mama...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Ateua Mwenyekiti Mpya wa NEC

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji Jackob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya...

READ MORE

Wananchi wa Buchosa Washiriki Misa Ya Kuwaombea Wazazi wa Mhe. Shigongo

  Wakati sikuku ya Krismasi ikiwa imemalizika Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Group na Mbunge wa Jimbo la Buchosa...

READ MORE

Mfanyabiashara wa Madini Aliyedaiwa Kuuawa na Mwanaye Azikwa – Video

MFANYABIASHARA wa madini ya Tanzanite, Ruth Mmassy anayedaiwa kuuawa na mtoto wake amezikwa leo Jumatatu Desemba 27, 2021 katika kijiji...

READ MORE

Mzee Kikwete Ahani Msiba wa Mama Mwakinyo

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete amewasili Jijini Tanga nyumbani kwa Bondia Hassan Mwakinyo kutoa mkono wa pole kwa familia kufuatia...

READ MORE

Makaburi 200 Kuhamishwa Vingunguti

BAADA ya miaka mitatu tangu baadhi ya makaburi ya Vingunguti, jijini Dar es Salaam kusombwa na maji ya Mto Msimbazi,...

READ MORE

Wawili Mbaroni Kwa Tuhuma za Mauaji Mbozi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata kwa mapanga mtu mmoja aliyefahamika...

READ MORE

Rais Samia Asamehe Wafungwa 5,704, Atoa Masharti – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 5,704 kuachiwa huru katika kumbukizi ya...

READ MORE

Simbachawene Aagiza Polisi Kumhoji Askofu Mwingira – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, amemtaka Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, kumtafuta...

READ MORE

Askofu Akemea Wanachuo Kuishi Kinyumba

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Arusha, Mhashamu Isack Amani ameonya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kuacha mara...

READ MORE

Kifo Mhitimu SUA Wazazi Waomba Msaada wa Rais

Wakati maziko ya mwili wa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Magreth Mashuwe(22) yakifanyika kwenye makaburi ya...

READ MORE

NMB Yatenga Mil. 240/- Kwa Washindi wa Promosheni ya MastaBata- Kivyako Vyako

  Benki ya NMB imezindua msimu wa tatu wa Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya Kadi na Masterpass QR iitwayo 'NMB...

READ MORE

Aliyelala Kitandani Mbeya Ajikuta Ameamkia Masasi Juu ya mti

SAILI Juma (27) mkazi wa Mbeya ambaye mapema wiki hii alilala kitandani nyumbani kwao Mbeya na ghafla akaamkia juu ya...

READ MORE

Watoto Wanne Wafariki Unguja

Watoto wanne wamefariki Dunia, Kaskazini Unguja huku wengine 47 wakiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya Kivunge kutokana na kula nyama...

READ MORE

Pumbulu: Mila ya Kisukuma Baada ya Mwanamke Kufariki Akijifungua

MILA na Desturi zina mchango mkubwa katika jamii endapo zitaenziwa kwa kuheshimu haki zingine za binadamu, hata hivyo wakati mwingine...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Akabidhi Zawadi za Krismasi

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango tarehe 24 desemba 2021 amekabidhi zawadi mbalimbali za...

READ MORE

Moderna Nyingine Dozi 376,320 Zatua Tanzania

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea Dozi 376,320 za Moderna ikiwa ni mwendelezo...

READ MORE

Makamu wa Rais Ashiriki Ibada ya Krismasi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe...

READ MORE

Watoto Wadogo Marufuku Majumba ya Starehe

JESHI la Polisi Mkoa Arusha limewataka wakazi mkoa Arusha, kuchukuwa tahadhari za uhalifu na kutopeleka watoto wadogo kwenye majumba ya...

READ MORE

Rais Samia Atoa Zawadi za Krismasi kwa Majirani Zake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi mbalimbali kwa wakazi wa kituo cha wasioona...

READ MORE

Mlemavu, Ombaomba Ajenga Nyumba Mbili za Zaidi ya Tsh Mil 100

Mary Stephano ni mlemavu wa miguu ambaye shughuli yake kubwa ni ombaomba, kazi anayoifanya katikati ya jiji la Mwanza. Mary...

READ MORE

Zanzibar Yarudisha Darasa la Saba

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imefanya mabadiliko katika ngazi ya elimu ya msingi kwa kurejesha darasa la...

READ MORE

Aliemuua Mama Yake Marekani Akamatwa Bongo

  MWANADADA WYLUVA Ngongoseke, Mtanzania ambaye mama yake mzazi Catherine Ngongoseke (60) amekutwa akiwa ameuwawa kwa kuchomwa visu nyumbani kwake...

READ MORE

Wanyang’anyi Watiwa Nguvuni Mabwepande

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewakamata watu 61 wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ambapo saba kati...

READ MORE

Jela Miaka 30 kwa Kumbaka Binti wa Miaka 12

MAHAKAMA ya Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro imemuhukumu kwenda jela miaka 30, Elitumain John Elitumain miaka 31 mkazi wa kitongoji...

READ MORE

Jaffo Atoa Siku 45 Mpwapwa

UONGOZI wilaya ya Mpwapwa imepewa siku 45 kukamilisha usimikaji wa mabomba na matanki ya kuhifadhi maji safi na salama kwenye...

READ MORE

Mukandara, Zitto Kuunda Kikosi Kazi

MSAJILI wa vyama vya siasa Tanzania, Jaji Francis Mutungi ameteua kikosi kazi cha watu 23 kinachojumuisha makundi mbalimbali cha kupitia...

READ MORE

Watu Watatu Wafariki kwa Ajali Geita

WATU watatu waliokuwa wakisafiri kutoka Kata ya Nzera kuelekea Geita Mjini wakitumia gari la abiria (aina ya Toyota Hiace) wamefariki...

READ MORE

Wanaokiuka Agizo Wataadhibiwa

SERIKALI imesema itaendelea kuchukua hatua kali za kisheria kwa Mabasi yote ambayo yanapuuza agizo la Serikali na kuendelea kupandisha nauli...

READ MORE

Kisa Corona, Mataifa 6 Ikiwemo Tanzania Yapigwa ‘Stop’ Dubai

UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE), zimesitisha safari za ndege kwa abiria wanaotoka nchi za Tanzania, Kenya, Ethiopia na Nigeria,...

READ MORE

Aweso: Jamii Ishirikishwe Kutunza na Kulinda Vyanzo vya Maji

WAZIRI wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (MB) amefanya ufunguzi wa jukwaa la wadau wa sekta mtambuka ambalo limewahusisha wadau wakubwa...

READ MORE