×

Kitaifa

Nape: Wizara Ipo Mikono Salama

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye amemuhakikishia aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo ambaye kwa sasa...

READ MORE

Kesi ya Mbowe: Shahidi Afunguka Tukio la Lissu Kupigwa Risasi

MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

READ MORE

Polisi Waanika Mtoto Alivyomuua Mama Yake

SILAHA ya jadi aina ya panga, ni moja ya vifaa vilivyokutwa katika shimo alilofukiwa mtu anayedhaniwa alikuwa muuguzi wa Hospitali...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mwakilema TANAPA

Rais Samia Suluhu amemteua Mhifadhi William Mwakilema kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA. Kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Kamishna...

READ MORE

Ole Madeye Naye Autaka Uspika

Akiyewahi kuwa Mbunge wa Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye amechukua fomu kuwania kiti cha Uspika. Ole-Medeye aliyekuwa Mbunge na Naibu...

READ MORE

Waandishi wa Habari Waliofariki Kwenye Ajali ya Gari Simiyu

Taarifa kamili juu ya ajali iliyohusisha waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza. …………………………………….. Ndugu waandishi wa habari na wadau wa...

READ MORE

Gari la Wanahabari Lagongana na Hiache 11 Wafariki

WATU zaidi ya 11 wamepoteza maisha wakiwemo wanahabari watano na abiria wa kawaida katika ajali iliyohusisha magari mawili ikiwa moja...

READ MORE

Watoto Wawili Wafia Ndani ya Gari Mama Akiwa Ibadani – Video

WATOTO wawili wa familia moja wamekutwa wamekufa ndani ya gari aina ya (Nissan Double Cabin) kwa kukosa hewa baada ya...

READ MORE

Afariki kwa Kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Mkazi wa Kijiji cha Gumba, Kata ya Gwata wilayani Kibaha mkoani Pwani, Bakari Mbagara (63) amefariki dunia kwa kile kinachodaiwa...

READ MORE

Bei ya Mahindi Haikamatiki Sokoni

BEI ya mahindi katika masoko mbalimbali mikoa ya Kanda ya Kaskazini (Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara), haikamatiki huku bidhaa hiyo...

READ MORE

Kaburi la Mtoto Lafukuliwa, Mwili Watupa Mtaani

WAOMBOLEZAJI wakiwa kwenye mazishi ya mara ya pili ya mtoto Sharifa Abasi ambaye mwili wake ulifukuliwa na watu wasiojulikana na...

READ MORE

Dkt. Tulia: Tutaikosoa Serikali kwa Nidhamu – Video

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson akiongea katika hafla ya kuwaapisha mawaziri, manaibu na viongozi wengine, amewapongeza wote walioteuliwa na kuwashauri...

READ MORE

Uamuzi Mdogo Kesi ya Sabaya Kutolewa Januari 14

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imepanga Januari 14, 2022 kutoa uamuzi mdogo endapo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai...

READ MORE

Stephen Masele Achukua Fomu Kuwania Uspika

ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Stephen Julius Masele leo Jumatatu, Januari 10, 2022 amechukua Fomu ya kugombea Kiti...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Washinda Pingamizi

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Jumatatu Januari 10, 2022 imekubali pingamizi la kutopokea sare za...

READ MORE

Adaiwa Kumuua Mama Yake Kisa Mali

ZIKIWA zimepita siku kadhaa toka litokee tukio la kijana mmoja jijini Arusha kumuua mama yake mzazi Kwa tamaa ya Mali,...

READ MORE

Radi Yaua Wanne Mbeya

WATU wanne wamefariki dunia papo hapo na mwingine kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakati wakichimba kaburi katika Wilaya ya...

READ MORE

Baada ya Mwaka Mpya, Mbowe na Wenzake Warejea Tena Mahakamani

Mahakama kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi No 16, 2021 yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili...

READ MORE

Shisha Kirusi Kipya Hatari kwa Mastaa

PAMOJA na kupigwa marufuku nchini Tanzania, lakini kasi ya uvutaji wa kilevi aina ya shisha, imerejea upya na kusababisha hatari...

READ MORE

Achomwa Moto na Rafiki Yake Kisa Mke

Daud Emanuel (27) mkazi wa Chamwino Manispaa ya Morogoro, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa mafuta ya petroli kisha kuchomwa moto...

READ MORE

Vigogo Waliotemwa Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Januari 8, 2022 amefanya mabadiliko ya Baraza...

READ MORE

Nape Waziri Mpya wa Habari, Ridhiwani Naibu Waziri Ardhi

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri na Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu.   Akitangaza...

READ MORE

Aunt: Tunaowachekea Ndio Vivuruge Wakubwa Mjini

MWANAMAMA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel anasema kuwa, watu wengi ambao ni wabaya ndiyo ambao wanamzunguka mtu na kila wakati...

READ MORE

Mavunde: Juni Umeme Uwashwe

MBUNGE wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde ameridhishwa na kasi ya usimikaji nguzo katika Kata hiyo na kumtaka Mkandarasi kukamilisha maeneo...

READ MORE

Shinyanga: Mzee Akutwa Amejinyonga

Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Magesa Mahona anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 60 na 65 mkazi wa...

READ MORE

Watu Milioni 1.3 Waitwa Kuchukua Vitambulisho vya NIDA

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) nchini Tanzania imetoa vitambulisho vya uraia milioni 9.4 tangu ianze kuzalisha vitambulisho hivyo huku...

READ MORE

TAKUKURU: Achana na Mil 90, Sabaya Ana Kesi Nyingine ya Kujibu

AFISA wa Takukuru anayetoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake sita ameiambia Mahakama kuwa...

READ MORE

Mwalimu Mstaafu Afia Gesti Baada ya Kujiburudisha na Mrembo

Polisi kaunti ya Nakuru nchini Kenya wanachunguza kisa ambapo mwalimu aliyekuwa amestaafu aliaga dunia kwa njia ya kutatanisha baada ya...

READ MORE

Mgeja: Genge la Ndugai Lijitathmini, Mabango ya Ndugai Yaondolewe

KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja amewapongeza Watanzania kuandika Historia ya pekee kumlinda Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mbatia Kwenda Mahakamani Kupinga Ndugai Kujiuzulu

Chama Cha NCCR-Mageuzi kimesema kinakusudia kwenda mahakamani kupinga iwapo kutakuwa na mchakato wowote wa kumpata Spika mpya wa Bunge la...

READ MORE

Wabongo Kumshuhudia D’Banj Dubai

WATANZANIA wameanza kuchomoza katika shindano la kuwania tiketi za bure kuelekea nchini Dubai kutembelea maonesho ya kibiashara ‘Dubai Expo 2020’,...

READ MORE

Mgeja Ataka Soko Kuu la Dodoma Lisiitwe Job Ndugai

KANDA wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mzalendo Foundation inayojihusisha na masuala ya haki, utawala bora na...

READ MORE

Vijana Msitumike Kupasua Chama – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana wa chama cha Mapinduzi kutokubali kutumiwa kusababisha mpasuko...

READ MORE

Vijana Tafuteni Kazi Sio Ajira – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Vijana nchini kujikita zaidi katika kutafuta fursa za kazi badala ya fursa za ajira. Rais...

READ MORE

Breaking: Wabunge Waitwa Bungeni Dodoma

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nenelwa Mwihambi leo Ijumaa, Januari 7, 2022 amesema baada ya Job...

READ MORE

Katiba Inasemaje Kuhusu Kiti cha Spika Kikiwa Wazi

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amejiuzulu nafasi hiyo kuanzia jana Januari 6, 2022 kwa hiari yake mwenyewe kwa...

READ MORE

RC Chalamila: Sitaki Katiba Mpya

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Albert Chalamila amekanusha taarifa iliyosambaa mtandoni ikionyesha kuwa ameunga mkono mabadiliko ya katiba jambo...

READ MORE

Ndugai Apongezwa, Wasema Ilitarajiwa

WATU wa kada mbalimbali wamesema hatua ya Spika Job Ndugai (pichani) kujiuzulu ni jambo lililotarajiwa huku wengine wakisema amechukua uamuzi...

READ MORE

Fahamu Nchi Yenye Watu 11 Pekee

Bila shaka umesikia simulizi nyingi za kuvutia kuhusu milki nyingi hadi kufikia hii leo. Ikiwa ni pamoja na Milki ya...

READ MORE

Kibajaji Amtaka Ndugai Ajiuzulu

Mbunge wa Mtera na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM (NEC), Mhe. Livingstone Lusinde ‘Kibajaji’ amemtaka Spika...

READ MORE